🚹 Uchambuzi Crownfm, Mapya Yaibuka inshu ya Aziz ki,Zandani kaanza safari kurudi dar es Salaam.

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 8. 07. 2024
  • #arsenal #arsenalfc #football #liverpool #manchesterunited #simba #simbasc #soccer #yanga #yangaleo

Komentáƙe • 25

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v Pƙed 15 dny +3

    TIMU ZA AFRICA HAZINA UWEZO WA KUMSAJIRI AZIZI KI ISIPOKUWA YANGA

  • @user-vy9oq7gq9d
    @user-vy9oq7gq9d Pƙed 15 dny +2

    Yani kiukweli wana simba wenzangu tujiandae maana naona kama tabu iko palepale

  • @godfreykibaha4441
    @godfreykibaha4441 Pƙed 15 dny

    Deal done, Stephen ni Mwananchi

  • @MusaManyilima
    @MusaManyilima Pƙed 15 dny

    Kwani huyo azz ni mungu aende tu kwao au kwetu

  • @noelmakere1381
    @noelmakere1381 Pƙed 15 dny

    Wachambuzi acheni uongo. ...km hamna taarifa sahihi kaeni kimyaaa

  • @Ba63828
    @Ba63828 Pƙed 15 dny

    Umepatia mchambuzi: UPENDO FURAHA MUHIMU

  • @AllyAthumani-xy4xf
    @AllyAthumani-xy4xf Pƙed 15 dny

    katika watangazaji wakweli nyinyi mmenyooka

  • @hamidmussa838
    @hamidmussa838 Pƙed 15 dny

    Waongo nyinyi

  • @Vedsastomutalemwa1980
    @Vedsastomutalemwa1980 Pƙed 15 dny

    Belozdad alitoa ofa tangia mwezi wa 6 wala sio Jana.

  • @user-ht5vo2em4f
    @user-ht5vo2em4f Pƙed 14 dny

    Niny uto hamjitambui niny umewezaje mpaka Simba washindwa huyo AZZ ki atakuja ,,,,,,,

  • @fathimadaid3429
    @fathimadaid3429 Pƙed 15 dny

    Mmezidi umbea

  • @GodfreyJames-zt6ig
    @GodfreyJames-zt6ig Pƙed 15 dny

    Wwe ni mchambuz mandaz k azzi amesha ondoka

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Pƙed 15 dny

    Aziz ki ameshaondoka kweda wapi? zaidi ya kwenda Yanga?

  • @AyatollahMustafa
    @AyatollahMustafa Pƙed 15 dny

    Kwahyo mtu akipongeza ujio wa mchezaji ndo inamaanisha atabaki hata mayele alikua kipenzi cha yanga aliishi kama mfalme ila nini kilitokea kueni na kumbukumbu acheni kuchambua kwa ubunifu wenu

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v Pƙed 15 dny

    WAAMDISHI ISHINI KWA" FACT" MSIISHI KWA" SPECULATION" WENYE "D2 TUTAWADHARAU SANA

  • @user-vy9oq7gq9d
    @user-vy9oq7gq9d Pƙed 15 dny

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @ZakiaMgabo
    @ZakiaMgabo Pƙed 15 dny

    Ende tu mpiran n biashara

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 Pƙed 15 dny

    Acheni uongo hiyo offer fake nilioona mshahara siyo dola laki 4 hiyo ni pesa ya kusani tu mshahara ni dola 20, 000 mnatangaza vitu hata uongo wenyewe unakua na uongo ndani yake sijui mmesoma wapi uandishi KI KSAINI ZAMANI MPAKA LEO KI ANA SIKU 16 MTU YUKO FREE AJENT ANAKOSAJE TIMU MAFISI WANGEKUA WASHAMPITIA

  • @AliUsi-ms4bm
    @AliUsi-ms4bm Pƙed 15 dny

    Nyinyi mnaweka akili ya mafanikio tu, hamuangalii Kuna na bahati mbaya ya kufeli, Kuna kuumia na mengineyo, ? Uchambuzi gn huo unaoangalia mafanikio tuu?

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209 Pƙed 15 dny

    Kwa taarifa yako mwanamichezo, Eng.Hersi anampadisha chart ila Anasaini yanga na MO hamhitaji Azizi Ki kwa dau lolote

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v Pƙed 15 dny

    NYIE WACHAMBUZI ni UJINGA WENU WA KUFIKIRI

  • @user-up4kd4di7h
    @user-up4kd4di7h Pƙed 15 dny +1

    Acheni akatsfute maisha

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Pƙed 15 dny +1

      Ndo yupo njiani kuelekea Egypt kujiunga na akina deborah

  • @pambaboniface1199
    @pambaboniface1199 Pƙed 15 dny +4

    Makolon hawana ubavu wa kimsajili hiyu dogo....wanatafuta mlango wa kutokea ilii wapte viewers