MUME WA RAIS SAMIA ASHINDWA JIZUIA UKUMBINI, KWA FURAHA AMKUMBATIA UKUMBINI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 12. 2022

Komentáře • 38

  • @charlesmillinga992
    @charlesmillinga992 Před 2 měsíci +6

    WANGAPI KAMA MIMI WAMEMUONA BABA YETU JAMANI. GONGA LIKES KAMA 200 HAPA. 🙏🙏🙏🙏

  • @alikidungura9419
    @alikidungura9419 Před 2 měsíci +4

    Kwani lazima mumpigie kura wakati tunajuwa kuwa Mtu akiwa Rais wa jamuhuri ya muungano huwa ndo mwenyekini Taifa hamuoni apo mna wadanganya watu nakupoteza elatu

  • @user-bx3kl4hn6j
    @user-bx3kl4hn6j Před 2 měsíci +3

    Anafurahia mihela

  • @PowerMwakambonja
    @PowerMwakambonja Před 2 měsíci +1

    Jembe letu hilooooo hatuna shaka naye tunatembea kifua mbele daima

  • @naishiyemollel
    @naishiyemollel Před 3 měsíci +2

    Mama Samia Suluhu Hassan oyee mitano Tena Mama

  • @alloycejames5285
    @alloycejames5285 Před rokem +1

    Hongereni kwa uongozi wa busara na amani

  • @edwardmusa9189
    @edwardmusa9189 Před rokem +2

    Hongera tulia akison

  • @ShomaryJunior
    @ShomaryJunior Před měsícem

    ❤😅

  • @AllyMhinakisharu
    @AllyMhinakisharu Před měsícem

    Ally

  • @aliissahaji33
    @aliissahaji33 Před 2 měsíci

    Kila kitu kina mwisho wake

  • @allynassoro2080
    @allynassoro2080 Před rokem

    Mmmh tatizo ilo

  • @danielgeorge7404
    @danielgeorge7404 Před měsícem

    Aliyompigia mama kura ya hapana ni nan jaman mama mitano tena

  • @ELISHABOAZI-we2uf
    @ELISHABOAZI-we2uf Před měsícem

    Asate mama kwa hilo

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle Před 8 měsíci

    Simamieni katiba ya nchi na siyo kuikanyaga

  • @akidaally2835
    @akidaally2835 Před 2 měsíci

    Uchaguzi gani mgombea ni mmoja?

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle Před 8 měsíci +2

    Pia tunaomba sajira kwa waliosoma siziangalie itikadi za vyama maana tumeanza kuona hayo.Ukiwa ccm ajira zipo ukiwa chadema ajira hakuna serikali.Mbona nyie watoto wenu wakihitimu elimu zao ajira hawakosi kama watoto wa maskini?au wenu wanasoma iliwaje kuwatawala watanzania ndiyo madarsja ya elimu ysmetofautiana?

  • @SoudShuraim
    @SoudShuraim Před 2 měsíci

    Ashindana na lissu

  • @alloycejames5285
    @alloycejames5285 Před rokem

    Mzee mbona hujambusu mama yetu afurahi zaidi....

  • @khadhiriramadhan5984
    @khadhiriramadhan5984 Před rokem +3

    mnajichaguwa wenyewe ngojeni 2025 lazma kiwake

    • @ashakhamis5699
      @ashakhamis5699 Před rokem

      Kabisaaa!! Tumechoka vitu" viko bei sana!!

    • @adamufundikira7878
      @adamufundikira7878 Před rokem

      @@ashakhamis5699 mnasemaga hivyo ikifika tule tunyimbo ccm mbele kwa mbele mnasahau vyote

    • @ashakhamis5699
      @ashakhamis5699 Před rokem

      @@adamufundikira7878 mm siye"!!

    • @magomakabanja480
      @magomakabanja480 Před 2 měsíci +1

      Hakuna Lakuwaka Wala Nini Mama Kaisha Pita 2025 Mtake Mstake Ukwel Ndio Huo

  • @muhammednassor3569
    @muhammednassor3569 Před měsícem

    Kumbe sheni yupo

  • @user-mh5wj1vs7v
    @user-mh5wj1vs7v Před 2 měsíci

    Mume wa mchongo

  • @acuerdo6192
    @acuerdo6192 Před rokem +4

    Alikuwa anashindan na nani?

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 Před rokem +2

      kivuli chake labda , 🤣🤣🤣 . halafu ukitaka kujua hiki chama kimejaa ujinga na wajinga eti kashinda kwa asilimia 99.99%. hivi hapo hakuna fikra mbadala ???

    • @gehartstone9452
      @gehartstone9452 Před 3 měsíci

      Mwenyewe afu kashinda mwenyewe 😂

    • @user-kz7ys5qw2h
      @user-kz7ys5qw2h Před 2 měsíci

      Ndo nashangaa hapo nilipata tu

  • @user-bl3go5yr8u
    @user-bl3go5yr8u Před měsícem

    Mjisifie tu ila ukweli wa kumwogopa Muumba wetu ccm mmeiharibu taifa kabisa ufisadi,unyanyasaji wa kidemokrasia na kutokubali kulinda maliasili zetu mnauza nakubinafsisha bila kujali kizazi kijacho watamiliki nini

  • @magomakabanja480
    @magomakabanja480 Před 2 měsíci +1

    Wataelewa tyu Chuma Juu ya Chuma
    2025 Kapita Tayari Wanaweweseka Wapinzani Sisi tunavuka na Mama Yetyu Mh Rais Samia Sulhu Hassan
    KIGOMA Kura Zote zako

  • @danielgeorge7404
    @danielgeorge7404 Před měsícem

    Aliyompigia mama kura ya hapana ni nan jaman mama mitano tena

  • @danielgeorge7404
    @danielgeorge7404 Před měsícem

    Aliyompigia mama kura ya hapana ni nan jaman mama mitano tena