Kwani lazima mumpigie kura wakati tunajuwa kuwa Mtu akiwa Rais wa jamuhuri ya muungano huwa ndo mwenyekini Taifa hamuoni apo mna wadanganya watu nakupoteza elatu
Pia tunaomba sajira kwa waliosoma siziangalie itikadi za vyama maana tumeanza kuona hayo.Ukiwa ccm ajira zipo ukiwa chadema ajira hakuna serikali.Mbona nyie watoto wenu wakihitimu elimu zao ajira hawakosi kama watoto wa maskini?au wenu wanasoma iliwaje kuwatawala watanzania ndiyo madarsja ya elimu ysmetofautiana?
kivuli chake labda , 🤣🤣🤣 . halafu ukitaka kujua hiki chama kimejaa ujinga na wajinga eti kashinda kwa asilimia 99.99%. hivi hapo hakuna fikra mbadala ???
Mjisifie tu ila ukweli wa kumwogopa Muumba wetu ccm mmeiharibu taifa kabisa ufisadi,unyanyasaji wa kidemokrasia na kutokubali kulinda maliasili zetu mnauza nakubinafsisha bila kujali kizazi kijacho watamiliki nini
Wataelewa tyu Chuma Juu ya Chuma 2025 Kapita Tayari Wanaweweseka Wapinzani Sisi tunavuka na Mama Yetyu Mh Rais Samia Sulhu Hassan KIGOMA Kura Zote zako
WANGAPI KAMA MIMI WAMEMUONA BABA YETU JAMANI. GONGA LIKES KAMA 200 HAPA. 🙏🙏🙏🙏
Kwani lazima mumpigie kura wakati tunajuwa kuwa Mtu akiwa Rais wa jamuhuri ya muungano huwa ndo mwenyekini Taifa hamuoni apo mna wadanganya watu nakupoteza elatu
Nashangaaa
Pwagu na pwaguzi wamekutana
Waache wale tuu, maana wasipozila Leo hawatakula tena.
Anafurahia mihela
Jembe letu hilooooo hatuna shaka naye tunatembea kifua mbele daima
Mama Samia Suluhu Hassan oyee mitano Tena Mama
Hongereni kwa uongozi wa busara na amani
Hongera tulia akison
❤😅
Ally
Kila kitu kina mwisho wake
Mmmh tatizo ilo
Aliyompigia mama kura ya hapana ni nan jaman mama mitano tena
Asate mama kwa hilo
Simamieni katiba ya nchi na siyo kuikanyaga
Uchaguzi gani mgombea ni mmoja?
Pia tunaomba sajira kwa waliosoma siziangalie itikadi za vyama maana tumeanza kuona hayo.Ukiwa ccm ajira zipo ukiwa chadema ajira hakuna serikali.Mbona nyie watoto wenu wakihitimu elimu zao ajira hawakosi kama watoto wa maskini?au wenu wanasoma iliwaje kuwatawala watanzania ndiyo madarsja ya elimu ysmetofautiana?
Ashindana na lissu
Mzee mbona hujambusu mama yetu afurahi zaidi....
mnajichaguwa wenyewe ngojeni 2025 lazma kiwake
Kabisaaa!! Tumechoka vitu" viko bei sana!!
@@ashakhamis5699 mnasemaga hivyo ikifika tule tunyimbo ccm mbele kwa mbele mnasahau vyote
@@adamufundikira7878 mm siye"!!
Hakuna Lakuwaka Wala Nini Mama Kaisha Pita 2025 Mtake Mstake Ukwel Ndio Huo
Kumbe sheni yupo
Mume wa mchongo
Alikuwa anashindan na nani?
kivuli chake labda , 🤣🤣🤣 . halafu ukitaka kujua hiki chama kimejaa ujinga na wajinga eti kashinda kwa asilimia 99.99%. hivi hapo hakuna fikra mbadala ???
Mwenyewe afu kashinda mwenyewe 😂
Ndo nashangaa hapo nilipata tu
Mjisifie tu ila ukweli wa kumwogopa Muumba wetu ccm mmeiharibu taifa kabisa ufisadi,unyanyasaji wa kidemokrasia na kutokubali kulinda maliasili zetu mnauza nakubinafsisha bila kujali kizazi kijacho watamiliki nini
Wataelewa tyu Chuma Juu ya Chuma
2025 Kapita Tayari Wanaweweseka Wapinzani Sisi tunavuka na Mama Yetyu Mh Rais Samia Sulhu Hassan
KIGOMA Kura Zote zako
Aliyompigia mama kura ya hapana ni nan jaman mama mitano tena
Aliyompigia mama kura ya hapana ni nan jaman mama mitano tena