HII NDIO SHULE ALIYOPELEKWA DOGO ALIYESAIDIWA NA PAUL MAKONDA, "NIMEKUWA STAR SHULE"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 02. 2024

Komentáře • 171

  • @user-hy5le8uk5b
    @user-hy5le8uk5b Před 4 měsíci +8

    Duh yan watot km hawa inakuw ni blessing na zawad kubwa san kutok kwa mung maana kupat mtot km uy wap wachech san God bless you dog your dreams will be come true 🙏

  • @messaabbas739
    @messaabbas739 Před 4 měsíci +12

    This kid he's something else wallah,, genius,,the way anajua kujieleza MaashaaAllah,, Allah akundinde na uwezi kutimiza ndoto zako baby boy 🙏

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g Před 4 měsíci +10

    Halafu baadhi ya viongozi wanamponda Makonda anapofichua Madudu yao, loooh Kuna watu anaroho mbaya wivu koo

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 Před 4 měsíci +8

    Mungu akutunze makonda ❤❤

  • @user-dx1hz3ow7k
    @user-dx1hz3ow7k Před 4 měsíci +9

    Mungu amfanyie wepesi ktk safari yake ya Elimu

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 Před 4 měsíci +9

    Yupo makini sana dogo❤❤

  • @user-nt6fb2ky3t
    @user-nt6fb2ky3t Před 4 měsíci +6

    Uhaba wa madawati Bado kizngumkuti kwnye baadhi ya shule hapa Tanzania kama hii KABINGO Primary

  • @user-yj4iw6pg8u
    @user-yj4iw6pg8u Před 4 měsíci +18

    Ila aliyemnunulia begi Mungu anamuona

  • @vero57
    @vero57 Před 4 měsíci +5

    Amependeza zaidi Haji hongera sana

  • @augustinesombi6285
    @augustinesombi6285 Před 4 měsíci +12

    Kuna changamoto kwenye shule hii, dawati 1 wanafunzi 4 sijapenda wakuu

    • @hellendaniel3809
      @hellendaniel3809 Před 4 měsíci +4

      Kama una uwezo peleka madawati uwasaidie

    • @Kabeya410
      @Kabeya410 Před 4 měsíci

      ​@@hellendaniel3809wewe kichwa maji hujui point unayoongea madawati ni juu ya serikali maana tunalipa kodi ili zifanye kazi moja ni hiyo pamoja na madawa hospital usilete ushabiki kodi zetu zinakusanywa za kutosha ila zinaliwa ndo maana unaona halmashauri nyingi zinapata hati chafu kwa kula pesa ya kodi.

  • @tato8979
    @tato8979 Před 4 měsíci +5

    Mungu amuongoze ktk masomo yake na akawe kichwa darasani

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 Před 4 měsíci +2

    Hongera sn makonda mungu akujalie afya yk

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Před 4 měsíci +1

    Asante Makonda Familia na sisi tutakumbuka milelr

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 Před 4 měsíci +4

    Makonda wetu mbona kimnya kwa sasa? Hatumuoni akiendeleya na ziyara zake ambazo zilikuwa na tija kubwa kwa jami

    • @BonyLiony
      @BonyLiony Před 24 dny

      Saizi ni mkuu wa mkoa wa arusha

  • @user-jx4rx6jy6y
    @user-jx4rx6jy6y Před 4 měsíci +4

    Mungu nimwema najiskia fulaha sana kukuskia mtt upo shule

  • @BelinaMartini
    @BelinaMartini Před 4 měsíci +1

    Asante Sana Makonda ubarikiwe

  • @jescashembilu3826
    @jescashembilu3826 Před 4 měsíci +5

    Jamani mbona watoto wameshindiliana bench moja watoto zaidi ya wanne.watangazaji jitahidini pia kuibua changamoto hiyo ili watoto wakae kwa kujinafasi wapate hewa na wawe comfortable at least

  • @isarichard
    @isarichard Před 27 dny

    Wow! What a grandatious moiv

  • @vero57
    @vero57 Před 4 měsíci +8

    Inabindi muendee kufuatilia mpaka nyumba yao ijengwe, asante sana kwa kufuatilia, MUNGU NI MWEMA SANA

  • @user-uz8ol8hh5q
    @user-uz8ol8hh5q Před 4 měsíci +2

    Katika maisha usikatetamaa mungu yuu pamoja,makonda niruru ya taifa

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Před 4 měsíci +2

    God is good

  • @bakarirajabu3783
    @bakarirajabu3783 Před 4 měsíci +3

    Haji mzuri mashaallah

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 Před 4 měsíci +2

    Mungu ni mwema😊

  • @emilianarichard4624
    @emilianarichard4624 Před měsícem

    Makonda Mungu akutunze pia haji hongera pia jitaidi shule🥰🥰

  • @eryclassictz6011
    @eryclassictz6011 Před 4 měsíci

    Ni mtt mdg bt anajua kusema saiz namshukuru mungu, dg anakitu sanaa

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali1946 Před 4 měsíci +1

    Mwalimu Said Shaaban big up classmates

  • @davidkiula429
    @davidkiula429 Před 4 měsíci +1

    Kiukweli nimejifunza mengii kupitia ziara ya muheshimu P Makonda najua iko sababu na kusudi sahihi la MUNGU katika inchi hiii Kuna sehemu ipo Mungu anaianda kwa ajili ya watanzania wanaoteseka na nchi Yao na kuishi kama hawana pakusemea

  • @suzanbegas4139
    @suzanbegas4139 Před 3 měsíci

    Jaman Mungu Akutunze Mtoto Utafika Mbal,Huyu nikiongoz Bora Ajae.❤️🙏🏼

  • @user-ft2vq5on6l
    @user-ft2vq5on6l Před 4 měsíci +2

    Allah amsaidie ila hii shule na kwa ufundishaji wenyewe wa mwalimu wa hesabati kuandika na kuondoka hali bado ngumu

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 Před 4 měsíci +4

    MNGU ampe ulinzi wake insha'allah

  • @mycmeranyswai7957
    @mycmeranyswai7957 Před 4 měsíci +2

    i wish him to get better school 😢😢

  • @elizabethismile6827
    @elizabethismile6827 Před 4 měsíci +2

    Maskini alitamani kusoma.. unajua watoto ambao hawasomi wakiona wenzao wako kwenye sare wanajiskia vibaya snaa😢😢 nimeamini hlo

  • @user-mu5hu7yi6t
    @user-mu5hu7yi6t Před 4 měsíci +2

    Mtoto anaakili ila inaonekana wanachangamoto ya mwalim wa hesabu

  • @salimramadhan5837
    @salimramadhan5837 Před 4 měsíci +2

    Mi ombi langu kwenye ofisi za ayo tv nawaombeni dogo mfatilien kila baada ya mda ili wasije kumhachananiza

  • @ZubedaJonas
    @ZubedaJonas Před 4 měsíci +2

    Da hadisura imeonekana saiv hongera mwaya

  • @ashambena6910
    @ashambena6910 Před 4 měsíci +1

    Mungu amtunze afaulu serikali isimwache

  • @VERONICALAIZER-vt3ui
    @VERONICALAIZER-vt3ui Před měsícem

    Mungu akufikishe mbali mwanangu,,una kitu utafika mbali..

  • @user-hn6kv6xe7m
    @user-hn6kv6xe7m Před 2 měsíci

    Makonda ni hazina huko tanganyika,inastahiki mumuenzi huyu kiongozi ana msada mkubwa kwa wananchi wake,m.mungu azidi kumpa nguvu.amina.

  • @robbyfany3395
    @robbyfany3395 Před 22 dny

    Uwe salama young ...

  • @mariammbwaga8463
    @mariammbwaga8463 Před 4 měsíci +3

    Montress😂😂😂

  • @user-qt3rb3vo1f
    @user-qt3rb3vo1f Před 4 měsíci +1

    Daah kwel

  • @esthermwikali5403
    @esthermwikali5403 Před měsícem

    Ata iyo nyumba hifuatiliwe tuone kweli mungu wewe ni mungu makonda mungu akulinde

  • @everlynkilimba3963
    @everlynkilimba3963 Před 4 měsíci +1

    MWALIMU wa Hisabati sasa!!!!

  • @sebastianthadeus5270
    @sebastianthadeus5270 Před 4 měsíci +2

    Mbona watoto wamejazana hivyo jamani serikali saidia !!😊

  • @mamamwajei8789
    @mamamwajei8789 Před 4 měsíci +2

    jmn kapelekwa kayumba?🤔🤔🤔🤔🤔

  • @KelvinAldrich
    @KelvinAldrich Před 22 dny

    dgo yupo vizur sana anaojiwa naanajibu ipasavyo kipaji icho

  • @ramajuma5620
    @ramajuma5620 Před 4 měsíci

    Halafu usikie kiongoz aliekusaidia yey yupo mtataz vuongoz wenzake wanampgania asiendelee kufichua machafu yaluojificha katk nchi ya tz mungu msaidie dogo afanikishe aliopngiwa na mungu sis ni watazamaji mungu atakushika mkon inshaallah ina hay yananikumbusha maisha niliopitia ya kukt tamaa kabisa na mpk sahiv ni hivo hivo ila tunashukr uhai upo tunaishi😢😢😢

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh Před 4 měsíci

      Ndugu yangu Rama marufuku kukata tamaa wakati bado upo hai mimi hapa dada yako nimesoma kwa shida baba alipata shida akawa mgonjwa wa akili anavua nguo halali mchana wala usiku anapiga kelele hatuna wakuangalia madaftari yetu hatuna wakutuuliza tumesoma tumemaliza la saba kwa shida safari ya shule ikaishia hapo ndugu yangu nyumba tunakaa ya udongo na makuti vitanda vya kamba ndani kunguni hakuna umeme sasa hapa hizi changamoto ndio zilinipa njia ya kutokea sasa hivi Alhamdullah tunashukuru tuna maisha mazuri nyumba za tofali umeme na tails ndani mafeni kila kitu tunakula vizuri Alhamdullah

  • @beatusmajumbi7125
    @beatusmajumbi7125 Před 3 měsíci

    Millard tuko na nyinyi mpaka atakapo hamia kwny nyumba aliohaidiwa mfatilieni na mungu awabariki millad

  • @vikimartin9441
    @vikimartin9441 Před 4 měsíci +1

    Millard ayo mnunulie huyo mtoto beg la saizi yake Hilo ni kubwa Sana awekee nguo atalitumia miaka ya huko mbele

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula Před 4 měsíci +1

    Shule nxuri sana wasafi walimu wametakata

  • @stansiauisso5441
    @stansiauisso5441 Před 4 měsíci +1

    Wanafunzi wapo wengi darasani na kuna uhaba wa madawati wasaidieni pia jaman

  • @SophiaSabri-su6hm
    @SophiaSabri-su6hm Před měsícem

    Huyu mtoto ni Mzuri Kwa Kila kitu... MUNGU amtunze

  • @user-vf5pp2wn1f
    @user-vf5pp2wn1f Před 4 měsíci +1

    Yuko poa San anasona vizuli lakin vizuli mwandishi wetu Yuko poa

  • @jacksonkabaata6011
    @jacksonkabaata6011 Před 4 měsíci

    Instrumental hii ni wimbogan jaman

  • @jacksonkabaata6011
    @jacksonkabaata6011 Před 4 měsíci

    😭😭😭😭

  • @beatusmajumbi7125
    @beatusmajumbi7125 Před 3 měsíci

    Mungu amekudia kwenda kayumba huko huko atatoboa tu mungu ni mwema

  • @WinfridaJackson-ji8bq
    @WinfridaJackson-ji8bq Před měsícem

    Everything Jesus in prayer

  • @esthermwikali5403
    @esthermwikali5403 Před měsícem

    Sai kumepatikana magufuri mwingine mungu akuweke maali yuko

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Před 4 měsíci

    09:57 dogo harembi, hapo utajua maisha ya ukweli ya mtaani yanapokutana na nadharia za shule.. kawachana fresh maticha

  • @maryswaibu2218
    @maryswaibu2218 Před 4 měsíci +1

    Nilijua atapelekwa shule ya kulipia kwa ungalizi mzuri ila ht hapo najua atakuwa na uangalizi nzuri uangakizi

  • @VailethSolomon
    @VailethSolomon Před měsícem

    Jamn makonda anatakiwa aje na huku kijiji cha kingori kuna madudu sana huku kwa viongoziiiiiiiiii

  • @herbethlukogela7657
    @herbethlukogela7657 Před měsícem

    Sasa hapo ndo utajua CCM wanavyotengeneza root zao kutoka chini kabisa

  • @huldamichael4445
    @huldamichael4445 Před 4 měsíci +5

    Usiwe tu monitress nakuomba Haji😂😂😂

  • @CatherineKissamo
    @CatherineKissamo Před 15 dny

    Jamaan,aliyemnunulia kaptula mungo anamuona pakubwa

  • @enockmaige8936
    @enockmaige8936 Před měsícem

    Sura imekuwa angavu Mungu mtunze mtoto na familia yake lakin pasipo kumsahau mh Makonda Mungu mtunze na ulinde dhidi ya maadui

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj Před měsícem

    Begi na viatu kwa pesa alizopata wamepiga😢

  • @user-mu5hu7yi6t
    @user-mu5hu7yi6t Před 4 měsíci +1

    Lakini bado kunamajitu yanamponda makonda

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 Před 4 měsíci +1

    Darasa limejaa watoto kuliko wastan unaotakiwa

  • @MohamedMiyombo
    @MohamedMiyombo Před měsícem

    Pia viongozi wadini ya uislam nao wamsimamie kwasababu ktk mapito alopitia aliwahi kusema walienda kanisan kuombewa mama yake ktk Yale maradh

  • @mariammbwaga8463
    @mariammbwaga8463 Před 4 měsíci +1

    Madawati hayatoshi

  • @rehemaphillingsonmlawa4206
    @rehemaphillingsonmlawa4206 Před 4 měsíci

    Huyu mwalim sidhani kama haya anayoongea kuhusu huyu mtoto kumfuatilia sikweli,kwasababu mtoto amekili kuwa mwalimu wa hesabu na kingereza huwa hawaelewi kabisa, kwasababu huwa wanaandika notice nakutoka.

  • @mashafestusmramba7577
    @mashafestusmramba7577 Před měsícem

    Kijana ako smart sana kiakili

  • @neemadalu506
    @neemadalu506 Před 7 dny

    Siasa 😂. Kwenye mkutano ilitolewa mil 2 ya vifaa lkn saiz mtt anasema nimenunuliwa madaftar machache any way tuwape mda

  • @TeddyTheresiamboya
    @TeddyTheresiamboya Před měsícem

    Kweli waandishi waabar mmmmh

  • @joycekisamo4896
    @joycekisamo4896 Před 4 měsíci

    Darasa moja lina wanafunzi wangapi jamani!! Sijui kama attention kwa mwanafunzi Sijui inakuaje! Duh!

  • @user-pr5mz5cq9t
    @user-pr5mz5cq9t Před 2 měsíci

    Wayaangalie hayo madawat watoto hawajakaa vzur.na huyo mwalimu wa math awe anawaelewesha wtoto

  • @AhmedMohamed-mw3ev
    @AhmedMohamed-mw3ev Před 4 měsíci +12

    Apelekwe na maddrasa ili ajuwe dini yake ni lazima kwa kila muislamu kuijuwa dini yake vizuri Allah atamfanyia wepesi Insha'Allah

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 Před 4 měsíci

      Kijana alisema kuwa mama yao aliritadishwa kipindi walikuwa na ugumu wa maisha na kanisani ndio walitowa mkopo wa kuuza ndizi kwa huyo kijana. Ila Allah anusuru nyota ya huyu kijana na familiya yake warudi kumsujudiya Mola wao.

    • @troysfan6077
      @troysfan6077 Před 2 měsíci +2

      Wampeleke madrasa awe gaidi .. kwenda zako.

    • @AhmedMohamed-mw3ev
      @AhmedMohamed-mw3ev Před 2 měsíci

      @@troysfan6077 ww kafiri mshenzi mkubwa wee

    • @AhmedMohamed-mw3ev
      @AhmedMohamed-mw3ev Před 2 měsíci

      @@troysfan6077 Kafiri mkubwa wee

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 Před 2 měsíci

      @@troysfan6077
      Roho mbaya na chuki itakuuwa wewe kenge

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula Před 4 měsíci

    Alunguze maneno na kufuatwa na wahandishi.

  • @habisnasalum-nz4zo
    @habisnasalum-nz4zo Před 4 měsíci

    Begi mbona kubwa kama Kuna mtu amnunulie dogo bwana na daftari zote hapo huyo mkuu wa wilaya anakula hapo hapo na wanae

  • @huldamichael4445
    @huldamichael4445 Před 4 měsíci

    Ana uwezo mkubwa huyu mwamba.

  • @user-in7ud5gj7c
    @user-in7ud5gj7c Před 4 měsíci

    Mi nimevutiwa na madam tu

  • @user-kf2qm3go3i
    @user-kf2qm3go3i Před 4 měsíci

    ❤❤😅😅

  • @user-yj3gy4jc1t
    @user-yj3gy4jc1t Před 4 měsíci

    Darasa dogo wanafunzi wengi

  • @anordmwesiga8717
    @anordmwesiga8717 Před 4 měsíci

    Kayumba tena!

  • @Official83640
    @Official83640 Před 4 měsíci +2

    Maa'shaallah na nuru usoni amepata Alhamdulillah
    Makonda kasema atamsomesha ndy kumpeleka Kayumba elimu bure aah jaman nyie

    • @ramxonforex772
      @ramxonforex772 Před 4 měsíci +1

      ndo uhalisia wa serikali yetu

    • @fatumakiwera7145
      @fatumakiwera7145 Před 4 měsíci +1

      Ulitaka ampeleke wapi, wakat before alpakosa hapo

    • @teddymassawe3583
      @teddymassawe3583 Před 4 měsíci +4

      Siyo mbaya,tangu awali angepata huo msaada wa hiyo shule wala hasingeenda kuuza ndizi,hakuna msaada mdogo asante sana Makonda

    • @Official83640
      @Official83640 Před 4 měsíci +2

      @@fatumakiwera7145 Ulifatilia story mwanzo au unakurupuka tu ukishamwambia mtu nitakusomesha hd unamaliza jua nn unaamanisha sasa hiyo Kayumba anamsomesha au anasoma bure maana hamna malipo hapo watazame wale watoto wawili wapo wapi kielimu yule dogo aliyemshtaki baba yake anataka kuuza shamba na yule wa hesabu wanasomeshwa Kayumba wale au jiangalie ww

    • @Official83640
      @Official83640 Před 4 měsíci

      @@teddymassawe3583 Kwani mwanzo c alisoma Kayumba akaacha kwa kumsaidia mama yake sasa alitaka awe mbali zaidi ili asome akiwa karibu na mama yake hatosoma ndy maneno ya dogo sasa yy kamrudisha shule zile zile kayumba na kumpeleka mbele wakati darasa la 3 hakusoma kumsomesha mtu ni shule zakulipia sio za bure ukisema nasomesha basi jua kuna majukumu ya ada

  • @stellajerome-kw4rg
    @stellajerome-kw4rg Před 4 měsíci

    ❤hongera mdogo wangu

  • @Zubaiba
    @Zubaiba Před měsícem

    Mwl wa hisabati kuwa makini ktk kipindi cha hesabu kufundusha,mdg wake makonda atakupiga spana kwelikweli

  • @stansiauisso5441
    @stansiauisso5441 Před 4 měsíci

    Wanafunzi wapo wengi darasani na kuna uhaba wa madawati wasaidieni pia jaman