Duh yan watot km hawa inakuw ni blessing na zawad kubwa san kutok kwa mung maana kupat mtot km uy wap wachech san God bless you dog your dreams will be come true 🙏
@@hellendaniel3809wewe kichwa maji hujui point unayoongea madawati ni juu ya serikali maana tunalipa kodi ili zifanye kazi moja ni hiyo pamoja na madawa hospital usilete ushabiki kodi zetu zinakusanywa za kutosha ila zinaliwa ndo maana unaona halmashauri nyingi zinapata hati chafu kwa kula pesa ya kodi.
Jamani mbona watoto wameshindiliana bench moja watoto zaidi ya wanne.watangazaji jitahidini pia kuibua changamoto hiyo ili watoto wakae kwa kujinafasi wapate hewa na wawe comfortable at least
Kiukweli nimejifunza mengii kupitia ziara ya muheshimu P Makonda najua iko sababu na kusudi sahihi la MUNGU katika inchi hiii Kuna sehemu ipo Mungu anaianda kwa ajili ya watanzania wanaoteseka na nchi Yao na kuishi kama hawana pakusemea
Halafu usikie kiongoz aliekusaidia yey yupo mtataz vuongoz wenzake wanampgania asiendelee kufichua machafu yaluojificha katk nchi ya tz mungu msaidie dogo afanikishe aliopngiwa na mungu sis ni watazamaji mungu atakushika mkon inshaallah ina hay yananikumbusha maisha niliopitia ya kukt tamaa kabisa na mpk sahiv ni hivo hivo ila tunashukr uhai upo tunaishi😢😢😢
Ndugu yangu Rama marufuku kukata tamaa wakati bado upo hai mimi hapa dada yako nimesoma kwa shida baba alipata shida akawa mgonjwa wa akili anavua nguo halali mchana wala usiku anapiga kelele hatuna wakuangalia madaftari yetu hatuna wakutuuliza tumesoma tumemaliza la saba kwa shida safari ya shule ikaishia hapo ndugu yangu nyumba tunakaa ya udongo na makuti vitanda vya kamba ndani kunguni hakuna umeme sasa hapa hizi changamoto ndio zilinipa njia ya kutokea sasa hivi Alhamdullah tunashukuru tuna maisha mazuri nyumba za tofali umeme na tails ndani mafeni kila kitu tunakula vizuri Alhamdullah
Huyu mwalim sidhani kama haya anayoongea kuhusu huyu mtoto kumfuatilia sikweli,kwasababu mtoto amekili kuwa mwalimu wa hesabu na kingereza huwa hawaelewi kabisa, kwasababu huwa wanaandika notice nakutoka.
Kijana alisema kuwa mama yao aliritadishwa kipindi walikuwa na ugumu wa maisha na kanisani ndio walitowa mkopo wa kuuza ndizi kwa huyo kijana. Ila Allah anusuru nyota ya huyu kijana na familiya yake warudi kumsujudiya Mola wao.
@@fatumakiwera7145 Ulifatilia story mwanzo au unakurupuka tu ukishamwambia mtu nitakusomesha hd unamaliza jua nn unaamanisha sasa hiyo Kayumba anamsomesha au anasoma bure maana hamna malipo hapo watazame wale watoto wawili wapo wapi kielimu yule dogo aliyemshtaki baba yake anataka kuuza shamba na yule wa hesabu wanasomeshwa Kayumba wale au jiangalie ww
@@teddymassawe3583 Kwani mwanzo c alisoma Kayumba akaacha kwa kumsaidia mama yake sasa alitaka awe mbali zaidi ili asome akiwa karibu na mama yake hatosoma ndy maneno ya dogo sasa yy kamrudisha shule zile zile kayumba na kumpeleka mbele wakati darasa la 3 hakusoma kumsomesha mtu ni shule zakulipia sio za bure ukisema nasomesha basi jua kuna majukumu ya ada
Duh yan watot km hawa inakuw ni blessing na zawad kubwa san kutok kwa mung maana kupat mtot km uy wap wachech san God bless you dog your dreams will be come true 🙏
This kid he's something else wallah,, genius,,the way anajua kujieleza MaashaaAllah,, Allah akundinde na uwezi kutimiza ndoto zako baby boy 🙏
Halafu baadhi ya viongozi wanamponda Makonda anapofichua Madudu yao, loooh Kuna watu anaroho mbaya wivu koo
Mungu akutunze makonda ❤❤
Mungu amfanyie wepesi ktk safari yake ya Elimu
Yupo makini sana dogo❤❤
Uhaba wa madawati Bado kizngumkuti kwnye baadhi ya shule hapa Tanzania kama hii KABINGO Primary
Ila aliyemnunulia begi Mungu anamuona
Nimecheka kwa sauti 😂😂kwani lina nini
Ni kubwa sana
Ili alibebe mpaka anamaliza😂
Daaa Ila ilo begi kubwa jamani😅😅😅😅😅
Yan ww
Amependeza zaidi Haji hongera sana
Kuna changamoto kwenye shule hii, dawati 1 wanafunzi 4 sijapenda wakuu
Kama una uwezo peleka madawati uwasaidie
@@hellendaniel3809wewe kichwa maji hujui point unayoongea madawati ni juu ya serikali maana tunalipa kodi ili zifanye kazi moja ni hiyo pamoja na madawa hospital usilete ushabiki kodi zetu zinakusanywa za kutosha ila zinaliwa ndo maana unaona halmashauri nyingi zinapata hati chafu kwa kula pesa ya kodi.
Mungu amuongoze ktk masomo yake na akawe kichwa darasani
Hongera sn makonda mungu akujalie afya yk
Asante Makonda Familia na sisi tutakumbuka milelr
Makonda wetu mbona kimnya kwa sasa? Hatumuoni akiendeleya na ziyara zake ambazo zilikuwa na tija kubwa kwa jami
Saizi ni mkuu wa mkoa wa arusha
Mungu nimwema najiskia fulaha sana kukuskia mtt upo shule
Asante Sana Makonda ubarikiwe
Jamani mbona watoto wameshindiliana bench moja watoto zaidi ya wanne.watangazaji jitahidini pia kuibua changamoto hiyo ili watoto wakae kwa kujinafasi wapate hewa na wawe comfortable at least
Wahusika walione ilo
Wow! What a grandatious moiv
Inabindi muendee kufuatilia mpaka nyumba yao ijengwe, asante sana kwa kufuatilia, MUNGU NI MWEMA SANA
Kabisa
😂😂😂saw saw tuone na sis
Itakua vyema sana
Mashallah kazuri halaf jinias
Katika maisha usikatetamaa mungu yuu pamoja,makonda niruru ya taifa
God is good
Haji mzuri mashaallah
Mungu ni mwema😊
Makonda Mungu akutunze pia haji hongera pia jitaidi shule🥰🥰
Ni mtt mdg bt anajua kusema saiz namshukuru mungu, dg anakitu sanaa
Mwalimu Said Shaaban big up classmates
Kiukweli nimejifunza mengii kupitia ziara ya muheshimu P Makonda najua iko sababu na kusudi sahihi la MUNGU katika inchi hiii Kuna sehemu ipo Mungu anaianda kwa ajili ya watanzania wanaoteseka na nchi Yao na kuishi kama hawana pakusemea
Jaman Mungu Akutunze Mtoto Utafika Mbal,Huyu nikiongoz Bora Ajae.❤️🙏🏼
Allah amsaidie ila hii shule na kwa ufundishaji wenyewe wa mwalimu wa hesabati kuandika na kuondoka hali bado ngumu
MNGU ampe ulinzi wake insha'allah
i wish him to get better school 😢😢
Maskini alitamani kusoma.. unajua watoto ambao hawasomi wakiona wenzao wako kwenye sare wanajiskia vibaya snaa😢😢 nimeamini hlo
Mtoto anaakili ila inaonekana wanachangamoto ya mwalim wa hesabu
Mi ombi langu kwenye ofisi za ayo tv nawaombeni dogo mfatilien kila baada ya mda ili wasije kumhachananiza
Da hadisura imeonekana saiv hongera mwaya
Mashallah! Anapendeza.
Mungu amtunze afaulu serikali isimwache
Mungu akufikishe mbali mwanangu,,una kitu utafika mbali..
Makonda ni hazina huko tanganyika,inastahiki mumuenzi huyu kiongozi ana msada mkubwa kwa wananchi wake,m.mungu azidi kumpa nguvu.amina.
Uwe salama young ...
Montress😂😂😂
Daah kwel
Ata iyo nyumba hifuatiliwe tuone kweli mungu wewe ni mungu makonda mungu akulinde
MWALIMU wa Hisabati sasa!!!!
Mbona watoto wamejazana hivyo jamani serikali saidia !!😊
yaani hatari
Araf Awana hata Abar kabisa
Hawa ni wachache kwa shule za halmashauri..
jmn kapelekwa kayumba?🤔🤔🤔🤔🤔
dgo yupo vizur sana anaojiwa naanajibu ipasavyo kipaji icho
Halafu usikie kiongoz aliekusaidia yey yupo mtataz vuongoz wenzake wanampgania asiendelee kufichua machafu yaluojificha katk nchi ya tz mungu msaidie dogo afanikishe aliopngiwa na mungu sis ni watazamaji mungu atakushika mkon inshaallah ina hay yananikumbusha maisha niliopitia ya kukt tamaa kabisa na mpk sahiv ni hivo hivo ila tunashukr uhai upo tunaishi😢😢😢
Ndugu yangu Rama marufuku kukata tamaa wakati bado upo hai mimi hapa dada yako nimesoma kwa shida baba alipata shida akawa mgonjwa wa akili anavua nguo halali mchana wala usiku anapiga kelele hatuna wakuangalia madaftari yetu hatuna wakutuuliza tumesoma tumemaliza la saba kwa shida safari ya shule ikaishia hapo ndugu yangu nyumba tunakaa ya udongo na makuti vitanda vya kamba ndani kunguni hakuna umeme sasa hapa hizi changamoto ndio zilinipa njia ya kutokea sasa hivi Alhamdullah tunashukuru tuna maisha mazuri nyumba za tofali umeme na tails ndani mafeni kila kitu tunakula vizuri Alhamdullah
Millard tuko na nyinyi mpaka atakapo hamia kwny nyumba aliohaidiwa mfatilieni na mungu awabariki millad
Millard ayo mnunulie huyo mtoto beg la saizi yake Hilo ni kubwa Sana awekee nguo atalitumia miaka ya huko mbele
Kweli jaman
Shule nxuri sana wasafi walimu wametakata
Wanafunzi wapo wengi darasani na kuna uhaba wa madawati wasaidieni pia jaman
Huyu mtoto ni Mzuri Kwa Kila kitu... MUNGU amtunze
Yuko poa San anasona vizuli lakin vizuli mwandishi wetu Yuko poa
Instrumental hii ni wimbogan jaman
😭😭😭😭
Mungu amekudia kwenda kayumba huko huko atatoboa tu mungu ni mwema
Everything Jesus in prayer
Sai kumepatikana magufuri mwingine mungu akuweke maali yuko
09:57 dogo harembi, hapo utajua maisha ya ukweli ya mtaani yanapokutana na nadharia za shule.. kawachana fresh maticha
Nilijua atapelekwa shule ya kulipia kwa ungalizi mzuri ila ht hapo najua atakuwa na uangalizi nzuri uangakizi
Hata hapo atatoboa Mungu yupo
Jamn makonda anatakiwa aje na huku kijiji cha kingori kuna madudu sana huku kwa viongoziiiiiiiiii
Sasa hapo ndo utajua CCM wanavyotengeneza root zao kutoka chini kabisa
Usiwe tu monitress nakuomba Haji😂😂😂
hee
Monitress mbona ni Mwamamke na huyo ni mwanaume
Ninecheka😂😂kakosea jamann
Jamaan,aliyemnunulia kaptula mungo anamuona pakubwa
Sura imekuwa angavu Mungu mtunze mtoto na familia yake lakin pasipo kumsahau mh Makonda Mungu mtunze na ulinde dhidi ya maadui
Begi na viatu kwa pesa alizopata wamepiga😢
Lakini bado kunamajitu yanamponda makonda
Darasa limejaa watoto kuliko wastan unaotakiwa
Pia viongozi wadini ya uislam nao wamsimamie kwasababu ktk mapito alopitia aliwahi kusema walienda kanisan kuombewa mama yake ktk Yale maradh
Madawati hayatoshi
Huyu mwalim sidhani kama haya anayoongea kuhusu huyu mtoto kumfuatilia sikweli,kwasababu mtoto amekili kuwa mwalimu wa hesabu na kingereza huwa hawaelewi kabisa, kwasababu huwa wanaandika notice nakutoka.
Kijana ako smart sana kiakili
Siasa 😂. Kwenye mkutano ilitolewa mil 2 ya vifaa lkn saiz mtt anasema nimenunuliwa madaftar machache any way tuwape mda
Kweli waandishi waabar mmmmh
Darasa moja lina wanafunzi wangapi jamani!! Sijui kama attention kwa mwanafunzi Sijui inakuaje! Duh!
Sisi tumesoma tumekaa chini lkn leo Mungu ametusaidia
Wayaangalie hayo madawat watoto hawajakaa vzur.na huyo mwalimu wa math awe anawaelewesha wtoto
Apelekwe na maddrasa ili ajuwe dini yake ni lazima kwa kila muislamu kuijuwa dini yake vizuri Allah atamfanyia wepesi Insha'Allah
Kijana alisema kuwa mama yao aliritadishwa kipindi walikuwa na ugumu wa maisha na kanisani ndio walitowa mkopo wa kuuza ndizi kwa huyo kijana. Ila Allah anusuru nyota ya huyu kijana na familiya yake warudi kumsujudiya Mola wao.
Wampeleke madrasa awe gaidi .. kwenda zako.
@@troysfan6077 ww kafiri mshenzi mkubwa wee
@@troysfan6077 Kafiri mkubwa wee
@@troysfan6077
Roho mbaya na chuki itakuuwa wewe kenge
Alunguze maneno na kufuatwa na wahandishi.
Begi mbona kubwa kama Kuna mtu amnunulie dogo bwana na daftari zote hapo huyo mkuu wa wilaya anakula hapo hapo na wanae
Toa sadaka hiyo basi ndugu
Ana uwezo mkubwa huyu mwamba.
Mi nimevutiwa na madam tu
Huna akili wewe
@@user-kx8nx9qs1e jamani si nimesema yaliyoko moyoni
❤❤😅😅
Darasa dogo wanafunzi wengi
Kwa Zitto huko
Kayumba tena!
Maa'shaallah na nuru usoni amepata Alhamdulillah
Makonda kasema atamsomesha ndy kumpeleka Kayumba elimu bure aah jaman nyie
ndo uhalisia wa serikali yetu
Ulitaka ampeleke wapi, wakat before alpakosa hapo
Siyo mbaya,tangu awali angepata huo msaada wa hiyo shule wala hasingeenda kuuza ndizi,hakuna msaada mdogo asante sana Makonda
@@fatumakiwera7145 Ulifatilia story mwanzo au unakurupuka tu ukishamwambia mtu nitakusomesha hd unamaliza jua nn unaamanisha sasa hiyo Kayumba anamsomesha au anasoma bure maana hamna malipo hapo watazame wale watoto wawili wapo wapi kielimu yule dogo aliyemshtaki baba yake anataka kuuza shamba na yule wa hesabu wanasomeshwa Kayumba wale au jiangalie ww
@@teddymassawe3583 Kwani mwanzo c alisoma Kayumba akaacha kwa kumsaidia mama yake sasa alitaka awe mbali zaidi ili asome akiwa karibu na mama yake hatosoma ndy maneno ya dogo sasa yy kamrudisha shule zile zile kayumba na kumpeleka mbele wakati darasa la 3 hakusoma kumsomesha mtu ni shule zakulipia sio za bure ukisema nasomesha basi jua kuna majukumu ya ada
❤hongera mdogo wangu
Mwl wa hisabati kuwa makini ktk kipindi cha hesabu kufundusha,mdg wake makonda atakupiga spana kwelikweli
Wanafunzi wapo wengi darasani na kuna uhaba wa madawati wasaidieni pia jaman