FULL HISTORIA YA MAISHA YA MAMA SAMIA MPAKA KUWA KIONGOZI "NILIKATAA KUWA MAKAMU WA RAIS"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 02. 2020

Komentáře • 384

  • @marymusau1662
    @marymusau1662 Před 3 lety +7

    What an inspiration... Love this woman. May the almighty God bless her to lead the country well. Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪

  • @VictoriaCharlesMwanziva
    @VictoriaCharlesMwanziva Před 4 lety +29

    Ulikuwa wakati mwema Sana kujifunza kutoka kwa Mama Samia Suluhu Hassan tunamshukuru kwa Upendo wake na nafasi aliyotupa ya kutupa somo lile 🤲🏽

  • @homebizproms
    @homebizproms Před 3 lety +5

    Mama Samia, you really make me want to study Kiswahili. I can tell that you are a great story teller and inspirator. May God bless you and Tanzania abundantly.

  • @DrJoeNjenga
    @DrJoeNjenga Před 3 lety +10

    That''s a story of determination and resilience..very inspiring to young girls

  • @raphaeldayos9188
    @raphaeldayos9188 Před 4 lety +78

    Sasa mbna naenda kusutwa mie,,Kama umependa hiki kipande Cha mama LIKE it

  • @emuthree
    @emuthree Před 4 lety +16

    Huyu ndie mwanasiasa aliyeishi na wananchi akajua maisha ya watu akawapigania watu, bila makuu...

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 Před 4 lety +35

    Hongera sana MAMA Tunakupenda sana na busara zako tumejifunza kitu na watoto wetu watajifunza kupitia kwako. Mwenyezimungu akulinde ajalie Afya njema.

    • @user-hq5we6xm5u
      @user-hq5we6xm5u Před 6 dny

      Hongera sana mama kwa busara zako nasi tuige mawazo yako nasii tuyaweke ktk familia zetu

  • @godlovemgoji4357
    @godlovemgoji4357 Před 4 lety +15

    Hongera Mh.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Tanzania,Umetufunza vijana,pia umetufungua kuhusu kuwa na kasi ya sanaa katika kazi,umekuwa Jasiri na mwenye kusikiliza kuliko kuongea zaidi.
    MUNGU ATAKUFUNGULIA BARAKA ZAIDI YA HAPO.

    • @FatnaAlly-go7yt
      @FatnaAlly-go7yt Před 2 měsíci

      Hongera mamy mwanamje jasiri apingwi hupewa motisha ili afikie Marengo mashallah ♥️ ❤️ 😍 💖 🎉😂😢

  • @magrethsimtenda926
    @magrethsimtenda926 Před 4 lety +10

    Asante MAMA kwangu nimejifunza vingi MUNGU akutunze nashukuru sana

  • @farouqgithenya33
    @farouqgithenya33 Před 3 lety +66

    Nani ako hapa baada ya Hon Mama Samia kuapishwa rais wa Tanzania?

  • @richardmwambene3366
    @richardmwambene3366 Před 4 dny +1

    HONGERA MAMA ANGU KUTUJULIA YOYE HAYO, KUBWA NI. NIDHAMU KAZINI,WENGI. WANAISHIA UFISADI,KIBURI,KULIDHIKA, BARIKIWA SANA MAMAANGU,

  • @eliasbufula6290
    @eliasbufula6290 Před 4 lety +34

    UNAPOTUKANWA USIRUDISHE, VERY GOOD OUR MOTHER SAMIA, Martha Mwaipaja aliimba:- nifundishe kunyamaza nisijejibu nikakukosea MUNGU.

  • @Expedito2512
    @Expedito2512 Před 4 lety +38

    Huyu mama mnyenyekevu sana

  • @musakalijuma
    @musakalijuma Před 3 lety +10

    Wow! I like her. A good storyteller with a very good sense of humour.

  • @malha999
    @malha999 Před 3 lety +4

    Nimejifunza vingi. Ahsante kwa Story halisi.

  • @maidasaid9449
    @maidasaid9449 Před 4 lety +24

    Dakika 22 zimetosha kabisa kuelezea historia na ikafahamika... hongera mama samia suluhu Hassan.

    • @vonialiune9668
      @vonialiune9668 Před 3 lety

      Women power I salute you Mama let God guide you while doing the job that God has given you. I salute you again mum.

  • @nicewatson6264
    @nicewatson6264 Před 3 lety +6

    Mungu yupo wa sote na ss Mama tunakupenda sanaaa komaaaa Mama etu ivyo ivyo jembe letu na Mwenyezi Mungu akusimamie 🙇🙏

  • @tabuseleman8389
    @tabuseleman8389 Před 4 lety +26

    masha Allah, nakupenda mama jinsi ulivyo na ukarimu wako Allah Akupe umri mrefe na barka Tele Amiin

  • @marhaban2012
    @marhaban2012 Před 3 lety +3

    Ma shaa Allah, May Allah protect you and guide bless you Mama Samia .

  • @mahingilasambichuma1369
    @mahingilasambichuma1369 Před 3 lety +9

    Wewe ni ishara sahihi ya mwanamke wa kiislam.
    Kwana mnyenyekevu
    Pili mtii
    Tatu msikifu
    NNE mpole
    Tano mcha mungu
    Sita mpenda haki
    Saba huna majivuno
    Nakupenda sana mama Samia Suluhu Hassan

  • @samwelhechei8537
    @samwelhechei8537 Před 4 lety +14

    Ahsante kwa stori nzuri ya kuongeza nguvu.

  • @jumasaidi8157
    @jumasaidi8157 Před 4 lety +8

    Makamu wa Rais hongera sana kwa historia hii .ila kwa kilio ndio nimecheka sana.

  • @ramadhanbm7356
    @ramadhanbm7356 Před 4 lety +33

    Nakupenda bure mama yetu mzuri.

  • @burundishallsmile1day109
    @burundishallsmile1day109 Před 4 lety +7

    Asante kwa story ya Safari ya Maisha yako Mama!
    ✊🏾🇧🇮

  • @zuwenahamoud2701
    @zuwenahamoud2701 Před 4 lety +22

    Mama samya uko active.
    Mungu akusaidie zaidi,hongera sana.Cheti hakiongozi, bali busara na vitendo.👌🤲💚💙

  • @mako331
    @mako331 Před 3 lety +5

    We love you Mama, We the young people of Tanzania tunakupenda sana kwa hekima zako

  • @narryjohn5275
    @narryjohn5275 Před 4 lety +9

    Hongera mama. Tumejifunza vitu vingi sana🤗

  • @neyviva5539
    @neyviva5539 Před 4 lety +6

    Nimekuelewa mama u inspired me alot

  • @yegeramaria6170
    @yegeramaria6170 Před 4 lety +23

    Nakupenda sana mama samia,una sura ya upole sauti nzuri unaongea maneno yananyoooka sana.hongera mama uko vizuri.

  • @zainabkassim4291
    @zainabkassim4291 Před 4 lety +17

    Congrats mama na hiyo ni bahati umepewa na Allah

    • @hindumuhamed3254
      @hindumuhamed3254 Před 3 lety

      MaashaAllahu Mwenyezi Mungu akubariki mama samia ..kutoka lamu .

  • @ElisiaMakundi
    @ElisiaMakundi Před 2 měsíci +1

    Hongera sana Rais wetu,kazi Iendelee

  • @ahmeidyoung2410
    @ahmeidyoung2410 Před 4 lety +13

    Kiswahili safi cha unguja mjini ......kama unataka kujua kiswahili karibu Zanzibar...

  • @gabrielaniseti1537
    @gabrielaniseti1537 Před 4 lety +14

    KIONGOZI BORA
    STAY BLESSES MAMA

  • @MAFUNDISHO1
    @MAFUNDISHO1 Před 4 lety +12

    Nimependa historia ya huyu mama...ni matured kuhandle stress za siasa

    • @jabilishekusa2202
      @jabilishekusa2202 Před 4 lety +3

      Mungu akuongoze kila lenye uzito aKufanyie wepesi kikubwa uvumilivu tunakutakia khery ue rais WA jamhuri ya tanzania

  • @jacklinethomas110
    @jacklinethomas110 Před 4 lety +16

    Nilichokiqundua hapo,nikujituma ,mama kajituma namunqu hakumuacha honqera mama yetu.

  • @paulemmanuel8865
    @paulemmanuel8865 Před 4 lety +26

    Wewe ni mama, hakika Tanzania inajivunia weledi na uchapakazi wako.

    • @jemissmollel2339
      @jemissmollel2339 Před 3 lety

      Mama Samia sulushu shika tanzania musuri jali wafanya kazi wnakutegemea ww

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi3899 Před 4 lety +22

    Naomba kuuliza hivi bod gad wa kiongozi haruhusiwi kucheka?? maana nahisi atapasuka koo kwa maneno matam ya mama samia halafu yy hacheki muwaruhusu japo kidogo kukenuwa angalau watoe pumzi nzito zinazowabana kwa cheko la kimoyoni.

    • @erickphilipo4163
      @erickphilipo4163 Před 4 lety +1

      Mbona wa jpm huwa anacheka tu

    • @radhiambwana8787
      @radhiambwana8787 Před 4 lety

      @@erickphilipo4163 anaruhusiwa lkn kutokana naasikar tu mwnyew alivyo mwngine hapendi kufurah.

    • @mwafrikahalisi2549
      @mwafrikahalisi2549 Před 3 lety +1

      Kwani hukumwona akitabasamu mara kwa mara wakati woteo huo?

    • @namirihamisi3899
      @namirihamisi3899 Před 3 lety

      @@mwafrikahalisi2549 Hahahahahaaaa sijamuona

    • @mwafrikahalisi2549
      @mwafrikahalisi2549 Před 3 lety +1

      @@namirihamisi3899 Yaani alikuwa akitabasamu kimoyomoyo. Huoni kama macho yake yanatabasamu? 😅

  • @user-nj1jd6zy8e
    @user-nj1jd6zy8e Před 4 lety +15

    Allah akupe umri mrefu wenye mafanikio mama yetu kipenz

  • @jafabanda6382
    @jafabanda6382 Před 4 lety +13

    Mama samia kweli hongera kumbe ww jembe kabisa. Kazi ya JPM haitakusumbuwa.

  • @hamisidale2704
    @hamisidale2704 Před 4 lety +14

    Mungu akutunze Mkuu, lisilowezekana na binadam kwa mungu hakuna kinachoshindikana, Sote tu mashahidi kufanya kazi na Afande Magufuli ni lazima ujitambue Sana, Hilo umepasi Mama, Mungu akupe afya njema wewe na Mumeo na watoto wenu, kila la kheri katika uchaguzi ujao"Mungu ibariki Tanzania' Hamisi Dale former TISS employee 1984 USA'

    • @filimonjuma9957
      @filimonjuma9957 Před 4 lety

      Mimi namkubali Sana huyu mama mkweli mcha mungu hongela mama Samia mungu akubaliki sana

    • @nicewatson6264
      @nicewatson6264 Před 3 lety

      Komaaa mama kama mlivyokuwa na baba etu Magufuli wembe ni ile ule ule Mama Mwenyezi Mungu akusimamie Komma ivyo ivyo. Na ni kwer tumueshimu Mungu na tumuogope kwakwer Mungu ni Mungu 🙇

  • @naimasaid7763
    @naimasaid7763 Před 4 lety +10

    Watu wanatokea mbali sana, mungu azidi kukuongoza mama yetu

  • @githinji44
    @githinji44 Před 3 lety +3

    All the best Madam President

  • @muhayeyezubertin2000
    @muhayeyezubertin2000 Před měsícem +1

    Hongera sana mama Samia na hapa nchini Rwanda tunakupenda sana

  • @zachariahtomemba9070
    @zachariahtomemba9070 Před 3 lety +2

    May God bless you Mama Samia
    Pamoja na mungu utafanya ishara kuu, mtangulize mungu mbele atakupigania, usiogobe kamwe

  • @amransayeed3380
    @amransayeed3380 Před 4 lety +11

    I really admire this woman, kila ninapomuona najifunza vitu ving
    Allah akufanyie wepec kila hatua

  • @nelibaba
    @nelibaba Před 4 lety +17

    ahsante sana makamu wa Rais,nimekuelewa.

    • @evamazi3644
      @evamazi3644 Před 3 lety

      Nakukubali sana mama.

    • @evamazi3644
      @evamazi3644 Před 3 lety

      Mkweli ni mpenzi wa mungu,asante sana nimekuelewa.

  • @naamohamed9964
    @naamohamed9964 Před 4 lety +17

    Nakupenda mama😍😍😍

  • @user-zy4sx6xm4t
    @user-zy4sx6xm4t Před 3 měsíci

    Mama Samia Barak allahfi mungu akupee umri mrefu hakika umefanya kazi❤❤❤Love Frm Kenya

  • @juliuskaleshu5636
    @juliuskaleshu5636 Před 4 lety +21

    Motivation speech

  • @hassannasir4561
    @hassannasir4561 Před 4 lety +51

    Maneno ya menyooka kabisa yakitawaliwa na ukweli watoto wakike wanatakiwa waisikilize sana hotuba hii wajifunze kuongea ukweli allah zaidi kukuongoza mama yetu mama wataifa

  • @mariamibrahim5467
    @mariamibrahim5467 Před 3 lety +1

    You are a beautiful story..see God..God uplifts the humble.

  • @zainabumtubwi263
    @zainabumtubwi263 Před 4 lety +6

    Hii doctor kumbuka igemfaa kusoma kitu. Kunyamaza ni dawa kubwa. Shukuran. Mkono wa mungu upo.

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri Před rokem

    Hongera sana Mhe Dr Samia Suluhu Hasani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mafanikio hayo makubwa yenye milima mirefu na mabonde makubwa ya kisiasa Mungu akubariki sana akupe umri mrefu akujinge na mabaya yote Aamina yarabi aamina.

  • @charlessamba9244
    @charlessamba9244 Před 4 lety +6

    What i can say for you mama good people smart mind i wish you could be my president soon

  • @amsiabbas3809
    @amsiabbas3809 Před 3 lety +2

    Allah akujalie Mwisho Mwema Mama yetu Hakika wewe nimfano wakuigwa kwa viongozi wengine Historia yako yatufundisha kila safari ya maisha haikosi Changamoto nadawa ya Changomoto nikuzindisha tu na kutakia kilalakher Mama

  • @mr.tonyjr1345
    @mr.tonyjr1345 Před 4 lety +14

    Mama samiaa..i love you bireeee..mungu..akusaidiee..unajua kushaur mashallah

  • @amonbwanakunu910
    @amonbwanakunu910 Před 3 lety +4

    "Mheshimiwa Rais wetu Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan,
    Wewe Ni Kiongozi Mzuri Sana
    Na pia Historia Yako nayo Ni nzuri Sana na inaonesha uzoefu wako Ni mkubwa Sana Katika kuongoza Nchi yetu,kuanzia nafasi ulizohudumia ZANZIBAR na
    Mpaka kwa Sasa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
    Mimi kijana wako ,
    Nakuombea kwa Mwenyezi Mungu, akusimamie na akupe Baraka zake Katika Uongozi wako wa kuongoza Nchi yetu.
    Wewe Ni sehemu ya historia kubwa Sana Katika nchi yetu kwa sababu ya kipekee,
    Wewe Ni Rais wa kwanza Mwanamke kuiongoza nchi yetu( Hii Ni Historia kubwa Sana)
    "Mimi kijana wako Niko Upande wako ,
    Katika Uongozi wako.
    Mengi sana yote niliyoyasema Ni kutoka moyoni mwangu,
    Na sikusema unafiki au Uongo.

    • @yukizhang2520
      @yukizhang2520 Před 2 lety

      Shikamoo. Mimi ni mwanafunzi kujifunza Kiswahili. Nimepata shida kuelewa hotuba ya Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan. Nitakushukuru ikiwa unielezee kwa fupi ( kwa mfano 6:14 kwa nini alikata shauri kuingia kwenye siasa; na tofauti baina ya special seat and mwakilishi wa jimbo ) Asante sana!!

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri Před rokem

    Hongera sana Mungu akubariki sana Mhe Dr Samia Suluhu Hasani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mafanikio hayo makubwa yaliyobebwa na mabonde na milima yaliyokufikisha mbali kiasi hicho jamani Mungu akubariki sana akupe umri mrefu akujinge na mabaya yote Aamina yarabi aamina.

  • @anawa4326
    @anawa4326 Před 4 lety +12

    very impressive MashaAllah

  • @mahfoudhngar1006
    @mahfoudhngar1006 Před 5 měsíci +1

    Mashallah Mungu akulinde mama Samia

  • @raymondkaswaga5055
    @raymondkaswaga5055 Před 4 lety +6

    Nampenda huyu mama sana ametufaa taifa hili amekuwa bold na mwenye ukweli daima

  • @husseinadnanhussein5948
    @husseinadnanhussein5948 Před 3 lety +2

    Hii historia imeniliza saana Mungu atakuwezesha Mama hongera saana tunakuombea saana

  • @elizabethkjemtrup1565
    @elizabethkjemtrup1565 Před 3 lety

    Big Up muheshiwa, Nime soma historia ya maisha yako Leo. Pole kwa yaliyo kukuta. Nina muomba mwenyezi mungu Milima at kutani lakini Bina hadamu ukutana. Nina I mani kama uhai upo kuna siku Nita pasta Bahati ya kukutana nawe , Wana wake Hoyeee 😍

  • @henriettechantale4787
    @henriettechantale4787 Před 3 lety

    Mes félicitations et encouragements à vous madame, une brave femme, vous avez des bons exemples à suivre !

  • @raymondkipipi516
    @raymondkipipi516 Před 4 lety +13

    Upo vizuri mama

  • @halfanmkonde3022
    @halfanmkonde3022 Před 4 lety +8

    Mama umepatikana kihalali huo ndio mpango wa mungu

  • @halfanmkonde3022
    @halfanmkonde3022 Před 4 lety +34

    Mama we ni kipenzi cha dunia sijaona coment mbaya juu yako

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm Před měsícem

      Watu wa Naogopa tu kusema ukweli. Uhuru wa mitandao haupo na Ndo maana wote ni machawa

  • @harithwhite589
    @harithwhite589 Před 4 lety +20

    Kiswahili cha Kizanzibar moooooooto

  • @anoldjefsta177
    @anoldjefsta177 Před 3 lety +10

    Kwa mara ya kwanza nmesoma comment za wabongo cjakutana na kejeri yoyote nipeni na like xx

  • @chesconkwera2005
    @chesconkwera2005 Před 4 lety +7

    Mama Samia Mpe hizo Busara Fatuma Karume Shangazi

  • @saidbare1961
    @saidbare1961 Před 4 lety +5

    Keep going mama samia Inshalla kheri

  • @evaomondi8218
    @evaomondi8218 Před 2 měsíci

    Mama Samia oyeee!🎉🎉🎉
    Nasisi tunakuombea uzima na kusupport uongozi wako!

  • @faithatieno40
    @faithatieno40 Před 3 lety +1

    I just love this woman..ujasiri wake hali ya juu

  • @tumainimwanyonga4195
    @tumainimwanyonga4195 Před 3 lety +1

    Mmmmm ushuhuda huu mzuri ubarikiwe uliandaliwa na Mungu . Akutangulie kwenye Uraisi Tunakuombea .

  • @sheilammbaga9666
    @sheilammbaga9666 Před 4 lety +3

    So nice mumy I love you so much

  • @anisiamedard3775
    @anisiamedard3775 Před 4 lety +11

    Asante Mama yetu

  • @hussenimlimati9592
    @hussenimlimati9592 Před 3 lety +2

    Mungu msaidie uyu mama nimpole na mnyenyekevu sana

  • @kassimtanda7321
    @kassimtanda7321 Před 4 lety +9

    Sitaki kuamini makali ya JPM ushauli wako😅😅😅😅 keep it mama

  • @chesconkwera2005
    @chesconkwera2005 Před 4 lety +6

    Mama Samia Wewe ni Mama wa Kiafrika

  • @vincemanila1432
    @vincemanila1432 Před 4 lety +6

    Very inspiration to young leaders

  • @musamasanga2975
    @musamasanga2975 Před 4 lety +8

    Daah..!!!🤗 Hadi raha 👏👏

  • @fatmamohd8647
    @fatmamohd8647 Před 3 lety +2

    Mashaallah👌hongera sana bint suluhu.

  • @jumasaid7695
    @jumasaid7695 Před 4 lety +8

    Unapotukanwa usirejeshe.
    Asante Bi Samia

  • @veem3912
    @veem3912 Před 3 lety +2

    Wow, just wow! We love u Mama Samia

  • @zumbaabiyah3184
    @zumbaabiyah3184 Před 4 lety +10

    😷.....shikamoo mama Samiah.!😱

  • @ngulathfundikira4205
    @ngulathfundikira4205 Před 3 lety +2

    Hongera sana Mama nimejifunza kitu kutoka kwako

  • @emmanuelmambarera141
    @emmanuelmambarera141 Před 3 lety +1

    Hongera sana Mama unastahiri hapo ulipofika kwa sababu ya kujituma kwako

  • @lewisb.mwanjoka7234
    @lewisb.mwanjoka7234 Před 4 lety +7

    Your the best one.

  • @ummyyusuph1311
    @ummyyusuph1311 Před 4 lety +8

    Madam hero

  • @lucysitta5013
    @lucysitta5013 Před 4 lety +7

    😍😍Good mama

  • @josphatgitau2019
    @josphatgitau2019 Před 3 lety

    Good advice.... God bless you.

  • @Zubaiba
    @Zubaiba Před měsícem +1

    Allah akulipe kila lakher mama yng

  • @jumamwadhin2195
    @jumamwadhin2195 Před 4 lety +7

    Ndo maana wa Tanzania tunakupenda na tutazid kukupenda

  • @hamidafundi5890
    @hamidafundi5890 Před 3 lety +1

    Inapendeza sana! 👏 Ubarikiwe Samia.

  • @fadhilhimid2776
    @fadhilhimid2776 Před rokem +1

    Well done mama!!.

  • @johnmwalingo5218
    @johnmwalingo5218 Před 4 lety +6

    Nimejifunza kitu kikubwa Mama kutoka kwako

  • @saidadibwe3323
    @saidadibwe3323 Před 3 lety +3

    Hongera mama kwa historia yako fupi na yenyekuleta matumaini kwa kila mwanamke

  • @lewisb.mwanjoka7234
    @lewisb.mwanjoka7234 Před 4 lety +8

    Point ya msingi usilipize baya kwa baya Bali lipa baya kwa jema....

  • @wemakalamu3538
    @wemakalamu3538 Před 3 lety

    Be blessed mama samia suluhu may the almighty God be with you inshaallah

  • @SomaliFlashNews
    @SomaliFlashNews Před 3 lety

    keep going mum ad may almight GOD protect u!