Mama Samia, you really make me want to study Kiswahili. I can tell that you are a great story teller and inspirator. May God bless you and Tanzania abundantly.
Hongera Mh.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Tanzania,Umetufunza vijana,pia umetufungua kuhusu kuwa na kasi ya sanaa katika kazi,umekuwa Jasiri na mwenye kusikiliza kuliko kuongea zaidi. MUNGU ATAKUFUNGULIA BARAKA ZAIDI YA HAPO.
Wewe ni ishara sahihi ya mwanamke wa kiislam. Kwana mnyenyekevu Pili mtii Tatu msikifu NNE mpole Tano mcha mungu Sita mpenda haki Saba huna majivuno Nakupenda sana mama Samia Suluhu Hassan
Naomba kuuliza hivi bod gad wa kiongozi haruhusiwi kucheka?? maana nahisi atapasuka koo kwa maneno matam ya mama samia halafu yy hacheki muwaruhusu japo kidogo kukenuwa angalau watoe pumzi nzito zinazowabana kwa cheko la kimoyoni.
Mungu akutunze Mkuu, lisilowezekana na binadam kwa mungu hakuna kinachoshindikana, Sote tu mashahidi kufanya kazi na Afande Magufuli ni lazima ujitambue Sana, Hilo umepasi Mama, Mungu akupe afya njema wewe na Mumeo na watoto wenu, kila la kheri katika uchaguzi ujao"Mungu ibariki Tanzania' Hamisi Dale former TISS employee 1984 USA'
Komaaa mama kama mlivyokuwa na baba etu Magufuli wembe ni ile ule ule Mama Mwenyezi Mungu akusimamie Komma ivyo ivyo. Na ni kwer tumueshimu Mungu na tumuogope kwakwer Mungu ni Mungu 🙇
Maneno ya menyooka kabisa yakitawaliwa na ukweli watoto wakike wanatakiwa waisikilize sana hotuba hii wajifunze kuongea ukweli allah zaidi kukuongoza mama yetu mama wataifa
Hongera sana Mhe Dr Samia Suluhu Hasani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mafanikio hayo makubwa yenye milima mirefu na mabonde makubwa ya kisiasa Mungu akubariki sana akupe umri mrefu akujinge na mabaya yote Aamina yarabi aamina.
Allah akujalie Mwisho Mwema Mama yetu Hakika wewe nimfano wakuigwa kwa viongozi wengine Historia yako yatufundisha kila safari ya maisha haikosi Changamoto nadawa ya Changomoto nikuzindisha tu na kutakia kilalakher Mama
"Mheshimiwa Rais wetu Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan, Wewe Ni Kiongozi Mzuri Sana Na pia Historia Yako nayo Ni nzuri Sana na inaonesha uzoefu wako Ni mkubwa Sana Katika kuongoza Nchi yetu,kuanzia nafasi ulizohudumia ZANZIBAR na Mpaka kwa Sasa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mimi kijana wako , Nakuombea kwa Mwenyezi Mungu, akusimamie na akupe Baraka zake Katika Uongozi wako wa kuongoza Nchi yetu. Wewe Ni sehemu ya historia kubwa Sana Katika nchi yetu kwa sababu ya kipekee, Wewe Ni Rais wa kwanza Mwanamke kuiongoza nchi yetu( Hii Ni Historia kubwa Sana) "Mimi kijana wako Niko Upande wako , Katika Uongozi wako. Mengi sana yote niliyoyasema Ni kutoka moyoni mwangu, Na sikusema unafiki au Uongo.
Shikamoo. Mimi ni mwanafunzi kujifunza Kiswahili. Nimepata shida kuelewa hotuba ya Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan. Nitakushukuru ikiwa unielezee kwa fupi ( kwa mfano 6:14 kwa nini alikata shauri kuingia kwenye siasa; na tofauti baina ya special seat and mwakilishi wa jimbo ) Asante sana!!
Hongera sana Mungu akubariki sana Mhe Dr Samia Suluhu Hasani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mafanikio hayo makubwa yaliyobebwa na mabonde na milima yaliyokufikisha mbali kiasi hicho jamani Mungu akubariki sana akupe umri mrefu akujinge na mabaya yote Aamina yarabi aamina.
Big Up muheshiwa, Nime soma historia ya maisha yako Leo. Pole kwa yaliyo kukuta. Nina muomba mwenyezi mungu Milima at kutani lakini Bina hadamu ukutana. Nina I mani kama uhai upo kuna siku Nita pasta Bahati ya kukutana nawe , Wana wake Hoyeee 😍
What an inspiration... Love this woman. May the almighty God bless her to lead the country well. Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Ulikuwa wakati mwema Sana kujifunza kutoka kwa Mama Samia Suluhu Hassan tunamshukuru kwa Upendo wake na nafasi aliyotupa ya kutupa somo lile 🤲🏽
Mama Samia, you really make me want to study Kiswahili. I can tell that you are a great story teller and inspirator. May God bless you and Tanzania abundantly.
That''s a story of determination and resilience..very inspiring to young girls
Sasa mbna naenda kusutwa mie,,Kama umependa hiki kipande Cha mama LIKE it
Really learn something from mom love u God bless u
Be blessed mom
hahah nimekirudia rudia kama mara tano hivi
Huyu ndie mwanasiasa aliyeishi na wananchi akajua maisha ya watu akawapigania watu, bila makuu...
Hongera sana MAMA Tunakupenda sana na busara zako tumejifunza kitu na watoto wetu watajifunza kupitia kwako. Mwenyezimungu akulinde ajalie Afya njema.
Hongera sana mama kwa busara zako nasi tuige mawazo yako nasii tuyaweke ktk familia zetu
Hongera Mh.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Tanzania,Umetufunza vijana,pia umetufungua kuhusu kuwa na kasi ya sanaa katika kazi,umekuwa Jasiri na mwenye kusikiliza kuliko kuongea zaidi.
MUNGU ATAKUFUNGULIA BARAKA ZAIDI YA HAPO.
Hongera mamy mwanamje jasiri apingwi hupewa motisha ili afikie Marengo mashallah ♥️ ❤️ 😍 💖 🎉😂😢
Asante MAMA kwangu nimejifunza vingi MUNGU akutunze nashukuru sana
Nani ako hapa baada ya Hon Mama Samia kuapishwa rais wa Tanzania?
Tupoooo
Nenda mbele mama, tuko pamoja
Nipo
Hhhh tupo
🙋♀️🙋♀️
HONGERA MAMA ANGU KUTUJULIA YOYE HAYO, KUBWA NI. NIDHAMU KAZINI,WENGI. WANAISHIA UFISADI,KIBURI,KULIDHIKA, BARIKIWA SANA MAMAANGU,
UNAPOTUKANWA USIRUDISHE, VERY GOOD OUR MOTHER SAMIA, Martha Mwaipaja aliimba:- nifundishe kunyamaza nisijejibu nikakukosea MUNGU.
Huyu mama mnyenyekevu sana
Wow! I like her. A good storyteller with a very good sense of humour.
Nimejifunza vingi. Ahsante kwa Story halisi.
Dakika 22 zimetosha kabisa kuelezea historia na ikafahamika... hongera mama samia suluhu Hassan.
Women power I salute you Mama let God guide you while doing the job that God has given you. I salute you again mum.
Mungu yupo wa sote na ss Mama tunakupenda sanaaa komaaaa Mama etu ivyo ivyo jembe letu na Mwenyezi Mungu akusimamie 🙇🙏
masha Allah, nakupenda mama jinsi ulivyo na ukarimu wako Allah Akupe umri mrefe na barka Tele Amiin
Ma shaa Allah, May Allah protect you and guide bless you Mama Samia .
Wewe ni ishara sahihi ya mwanamke wa kiislam.
Kwana mnyenyekevu
Pili mtii
Tatu msikifu
NNE mpole
Tano mcha mungu
Sita mpenda haki
Saba huna majivuno
Nakupenda sana mama Samia Suluhu Hassan
Ahsante kwa stori nzuri ya kuongeza nguvu.
Makamu wa Rais hongera sana kwa historia hii .ila kwa kilio ndio nimecheka sana.
Nakupenda bure mama yetu mzuri.
Asante kwa story ya Safari ya Maisha yako Mama!
✊🏾🇧🇮
Mama samya uko active.
Mungu akusaidie zaidi,hongera sana.Cheti hakiongozi, bali busara na vitendo.👌🤲💚💙
Wanyama
AF
Yanh umenena nilikuwa natafuta comments Kama hii God bless you
We love you Mama, We the young people of Tanzania tunakupenda sana kwa hekima zako
Hongera mama. Tumejifunza vitu vingi sana🤗
Nimekuelewa mama u inspired me alot
Nakupenda sana mama samia,una sura ya upole sauti nzuri unaongea maneno yananyoooka sana.hongera mama uko vizuri.
Congrats mama na hiyo ni bahati umepewa na Allah
MaashaAllahu Mwenyezi Mungu akubariki mama samia ..kutoka lamu .
Hongera sana Rais wetu,kazi Iendelee
Kiswahili safi cha unguja mjini ......kama unataka kujua kiswahili karibu Zanzibar...
KIONGOZI BORA
STAY BLESSES MAMA
Nimependa historia ya huyu mama...ni matured kuhandle stress za siasa
Mungu akuongoze kila lenye uzito aKufanyie wepesi kikubwa uvumilivu tunakutakia khery ue rais WA jamhuri ya tanzania
Nilichokiqundua hapo,nikujituma ,mama kajituma namunqu hakumuacha honqera mama yetu.
Wewe ni mama, hakika Tanzania inajivunia weledi na uchapakazi wako.
Mama Samia sulushu shika tanzania musuri jali wafanya kazi wnakutegemea ww
Naomba kuuliza hivi bod gad wa kiongozi haruhusiwi kucheka?? maana nahisi atapasuka koo kwa maneno matam ya mama samia halafu yy hacheki muwaruhusu japo kidogo kukenuwa angalau watoe pumzi nzito zinazowabana kwa cheko la kimoyoni.
Mbona wa jpm huwa anacheka tu
@@erickphilipo4163 anaruhusiwa lkn kutokana naasikar tu mwnyew alivyo mwngine hapendi kufurah.
Kwani hukumwona akitabasamu mara kwa mara wakati woteo huo?
@@mwafrikahalisi2549 Hahahahahaaaa sijamuona
@@namirihamisi3899 Yaani alikuwa akitabasamu kimoyomoyo. Huoni kama macho yake yanatabasamu? 😅
Allah akupe umri mrefu wenye mafanikio mama yetu kipenz
Mama samia kweli hongera kumbe ww jembe kabisa. Kazi ya JPM haitakusumbuwa.
Mungu akutunze Mkuu, lisilowezekana na binadam kwa mungu hakuna kinachoshindikana, Sote tu mashahidi kufanya kazi na Afande Magufuli ni lazima ujitambue Sana, Hilo umepasi Mama, Mungu akupe afya njema wewe na Mumeo na watoto wenu, kila la kheri katika uchaguzi ujao"Mungu ibariki Tanzania' Hamisi Dale former TISS employee 1984 USA'
Mimi namkubali Sana huyu mama mkweli mcha mungu hongela mama Samia mungu akubaliki sana
Komaaa mama kama mlivyokuwa na baba etu Magufuli wembe ni ile ule ule Mama Mwenyezi Mungu akusimamie Komma ivyo ivyo. Na ni kwer tumueshimu Mungu na tumuogope kwakwer Mungu ni Mungu 🙇
Watu wanatokea mbali sana, mungu azidi kukuongoza mama yetu
Nimeipenda historia yako mama samia mashaallah imenijenga
Mama samia suluhu historia tamu
All the best Madam President
Hongera sana mama Samia na hapa nchini Rwanda tunakupenda sana
May God bless you Mama Samia
Pamoja na mungu utafanya ishara kuu, mtangulize mungu mbele atakupigania, usiogobe kamwe
I really admire this woman, kila ninapomuona najifunza vitu ving
Allah akufanyie wepec kila hatua
Amran Sayeed .Ammin ia
ahsante sana makamu wa Rais,nimekuelewa.
Nakukubali sana mama.
Mkweli ni mpenzi wa mungu,asante sana nimekuelewa.
Nakupenda mama😍😍😍
Mama Samia Barak allahfi mungu akupee umri mrefu hakika umefanya kazi❤❤❤Love Frm Kenya
Motivation speech
Maneno ya menyooka kabisa yakitawaliwa na ukweli watoto wakike wanatakiwa waisikilize sana hotuba hii wajifunze kuongea ukweli allah zaidi kukuongoza mama yetu mama wataifa
You are a beautiful story..see God..God uplifts the humble.
Hii doctor kumbuka igemfaa kusoma kitu. Kunyamaza ni dawa kubwa. Shukuran. Mkono wa mungu upo.
Hongera sana Mhe Dr Samia Suluhu Hasani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mafanikio hayo makubwa yenye milima mirefu na mabonde makubwa ya kisiasa Mungu akubariki sana akupe umri mrefu akujinge na mabaya yote Aamina yarabi aamina.
What i can say for you mama good people smart mind i wish you could be my president soon
Your dream will be true soon
Allah akujalie Mwisho Mwema Mama yetu Hakika wewe nimfano wakuigwa kwa viongozi wengine Historia yako yatufundisha kila safari ya maisha haikosi Changamoto nadawa ya Changomoto nikuzindisha tu na kutakia kilalakher Mama
Mama samiaa..i love you bireeee..mungu..akusaidiee..unajua kushaur mashallah
Unasifa nzuri sana mama Samia
@@lucykatimakamu8672
.
. b
"Mheshimiwa Rais wetu Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan,
Wewe Ni Kiongozi Mzuri Sana
Na pia Historia Yako nayo Ni nzuri Sana na inaonesha uzoefu wako Ni mkubwa Sana Katika kuongoza Nchi yetu,kuanzia nafasi ulizohudumia ZANZIBAR na
Mpaka kwa Sasa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Mimi kijana wako ,
Nakuombea kwa Mwenyezi Mungu, akusimamie na akupe Baraka zake Katika Uongozi wako wa kuongoza Nchi yetu.
Wewe Ni sehemu ya historia kubwa Sana Katika nchi yetu kwa sababu ya kipekee,
Wewe Ni Rais wa kwanza Mwanamke kuiongoza nchi yetu( Hii Ni Historia kubwa Sana)
"Mimi kijana wako Niko Upande wako ,
Katika Uongozi wako.
Mengi sana yote niliyoyasema Ni kutoka moyoni mwangu,
Na sikusema unafiki au Uongo.
Shikamoo. Mimi ni mwanafunzi kujifunza Kiswahili. Nimepata shida kuelewa hotuba ya Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan. Nitakushukuru ikiwa unielezee kwa fupi ( kwa mfano 6:14 kwa nini alikata shauri kuingia kwenye siasa; na tofauti baina ya special seat and mwakilishi wa jimbo ) Asante sana!!
Hongera sana Mungu akubariki sana Mhe Dr Samia Suluhu Hasani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mafanikio hayo makubwa yaliyobebwa na mabonde na milima yaliyokufikisha mbali kiasi hicho jamani Mungu akubariki sana akupe umri mrefu akujinge na mabaya yote Aamina yarabi aamina.
very impressive MashaAllah
Mashallah Mungu akulinde mama Samia
Nampenda huyu mama sana ametufaa taifa hili amekuwa bold na mwenye ukweli daima
Kweli kabisa
Hii historia imeniliza saana Mungu atakuwezesha Mama hongera saana tunakuombea saana
Big Up muheshiwa, Nime soma historia ya maisha yako Leo. Pole kwa yaliyo kukuta. Nina muomba mwenyezi mungu Milima at kutani lakini Bina hadamu ukutana. Nina I mani kama uhai upo kuna siku Nita pasta Bahati ya kukutana nawe , Wana wake Hoyeee 😍
Mes félicitations et encouragements à vous madame, une brave femme, vous avez des bons exemples à suivre !
Upo vizuri mama
Mama umepatikana kihalali huo ndio mpango wa mungu
Kweli kabisa
Mama we ni kipenzi cha dunia sijaona coment mbaya juu yako
Watu wa Naogopa tu kusema ukweli. Uhuru wa mitandao haupo na Ndo maana wote ni machawa
Kiswahili cha Kizanzibar moooooooto
Nice
Ni kama cha Mombasa.
Kwa mara ya kwanza nmesoma comment za wabongo cjakutana na kejeri yoyote nipeni na like xx
Mama Samia Mpe hizo Busara Fatuma Karume Shangazi
Keep going mama samia Inshalla kheri
Mama Samia oyeee!🎉🎉🎉
Nasisi tunakuombea uzima na kusupport uongozi wako!
I just love this woman..ujasiri wake hali ya juu
Mmmmm ushuhuda huu mzuri ubarikiwe uliandaliwa na Mungu . Akutangulie kwenye Uraisi Tunakuombea .
So nice mumy I love you so much
Asante Mama yetu
Mungu msaidie uyu mama nimpole na mnyenyekevu sana
Sitaki kuamini makali ya JPM ushauli wako😅😅😅😅 keep it mama
Mama Samia Wewe ni Mama wa Kiafrika
Very inspiration to young leaders
Daah..!!!🤗 Hadi raha 👏👏
Mashaallah👌hongera sana bint suluhu.
Unapotukanwa usirejeshe.
Asante Bi Samia
Wow, just wow! We love u Mama Samia
😷.....shikamoo mama Samiah.!😱
Hongera sana Mama nimejifunza kitu kutoka kwako
Hongera sana Mama unastahiri hapo ulipofika kwa sababu ya kujituma kwako
Your the best one.
Hongera sana mama wa Taifa letu la Tanzania
Madam hero
😍😍Good mama
Good advice.... God bless you.
Allah akulipe kila lakher mama yng
Ndo maana wa Tanzania tunakupenda na tutazid kukupenda
Inapendeza sana! 👏 Ubarikiwe Samia.
Well done mama!!.
Nimejifunza kitu kikubwa Mama kutoka kwako
Hongera mama kwa historia yako fupi na yenyekuleta matumaini kwa kila mwanamke
Point ya msingi usilipize baya kwa baya Bali lipa baya kwa jema....
Grt
Be blessed mama samia suluhu may the almighty God be with you inshaallah
keep going mum ad may almight GOD protect u!