AIBU YANGU |3| Love story❤️😘
Vložit
- čas přidán 24. 08. 2024
- AIBU YANGU |3| Love story❤️😘
Ni filamu inayoelezea maisha ya mwanadada Hidaya ambaye anakata kuolewa na mpenzi wake wa muda mrefu Adam, kitu kinachopelekea shoga yake Zai kuona mwanya huo na kuutumia kumnasa shemeji yake kimapenzi
Fuatilia kisa hiki kizuri na usiache ku subscribe, ni filamu yenye mafunzo mazuri sana.
#film #bongomovie #2024movies #swahilimovies #aibuyangu3
AIBU YANGU |4| FINAL | Love story❤️😘
czcams.com/video/EsNgMRN4bCE/video.html
To have fun sio funny. But kaz nzuri sana. Endeleeni kutuelimisha na kutuburudisha.
Asantee
Love yu guys from kenya nlikuwa nmesahau hii movies mbna Adam unachelewesha sana broo naombeni likes bana wana Adam tv❤❤❤❤
Nilikuwa naumwaa
Hzo like zinakuingizia shingap?
Heeee ulikuwa unaumwa pole kaka adam nakuombea MWENYEZI MUNGU aendelee kukutuza@@AdamLeoStudios
Pole kwa kuumwa kaka adam😮@@AdamLeoStudios
❤❤❤❤❤
huyu zai wa sasa namkubal sana anajuaa snaa piah adam broo upo sahihi mtu aliyekufanyia ubaya huna haja ya kumleta kwa maish yako tena ukiamua ku move on imeish hiyo mana akirudi kwa maish yako ujue umekwisha good job kwa tim ya adam
Thanks
Kaka unajua na unatufundisha mwentez mungu akupe maisha marefu ishahaallh ❤❤❤❤❤
Jaman me leo ndo wa mwisho naombeni like zangu mtu wa mwisho
Enjoy
Kazi nzuri mnayoifanya nawapenda nyote Jamani 🎉🎉🎉
Asante
Zai nomaaa
Nima
Hyu zai Kawa tena wamorogoro mwingine alikuwa wa shy (v) na alikuwa Hana mambo mengi unge enjoy Adam
Hahaha we wasema tu
Oya eee wananguuu njooni uku kwa adamu tu enjoy😂😂
Endeleeni kufurahi
God is good. Adamu yupo vizuri sasa. Alhamdulillah. Nakupenda
Asante nakupenda pia!
Mbona Zai asha badilishwa mwingine hata kama nikunenepa ila mmetuchora sana🥰🥰😂😂😂😂
Polee
Nimechelewa leo dah....... ila tuko pa1 InshaAllah hongera Adam⚘️✔️
Enjoy
Jamani Adam Sina budi kukwambia 👏 congrats maana unatuburudisha saana Wllh MUNGU akulinde Adam wetu
Amen
Mmezingua kumbadilisha mhusika Zai
Tusamehe! Ila hujui kilichotokea! Tuliona ni vema kubadilisha kuliko kutoiweka kabisa hiyo filamu yenyewe!
One Love From Burund Team Adam Leo ❤❤❤❤🇧🇮🇧🇮
Thanks
Zay wa mwanzo alipendezea sana
Ni kweli
Napenda move zako Adam mpaka ntazitizama zote nazilizo pita isha Allah ❤
Asante
Nimechekaaaa ety dawa ikiishaaa utamani mungu ashuke akuchukue mzima mzimaaa duhhh godbless
Hahah acha kabisa🤣
@@AdamLeoStudios nacheka nakufurahii maana duuh
Mapenzi shikamooo kama kweli IPO hivyooo
On time🎉🎉
Thanks
Tulimiss hizi mambo jaman,,,Mungu azidi kukupa afya njema Adam tuzid kuinjoy
Amen
Mimi nioneeeni huruma 😢kah sijui like maana yak nn em nipeni hap kdg😢
Enjoy
Idaya mchezi sana duuh sija penda k ukweli maskini mkem WA Adam Léo aibu EP 4
Keshi
Sana mshenzi hidaya
Simpend idaya
Move ni nzuli sana na zinamafunzo
Asante
Love you guys from Kenya send chesawdui chesa thesa Love❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
❤️❤️
Bro natamani cku 1 tufanye kazi pamoja nakukubali san. Na mm pia ni msanii
Karibu Hemed 0652393960 whatsapp
Fire🎉🎉🎉❤❤❤
Thanks
Bro bro pole kwanza kwa kuugua ahsee and thanks kwa kuzidi kutuburudisha MUNGU akutie more powerful ❤❤
Asante sana sana
Kusema ukweli sijui kama kuna movie ya Adam leo sijakiangalia more love sana kaka
Endelea ku enjoy
Kazi nzuri sana 🥰🥰 nawapenda nyote
Asante
Pole na kuumwa Adam Mungu aendelee kukutia nguvu zaidi na zaid
Amen
Watching from 254 kenya mr adam nakukubali xna bruh hawakuwezi sema huyo mtoto hidaya mzuri ila roho mbaya😂😂😂😂😂
Shukrani
Mbona huyu sio yule zai ninae mjua mmetubadilishia zai wetu ehhh!
Ndiyooo
🎉🎉kazi nzuri Adamu lakini mbona leo ni fupi hivyio❤❤❤
Ya 4 ipo tayari
Nice brooo 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Thanks 🔥
Kaz nzur
Asante
Wew zay hicho kiburi umejifunxia wapi Morogoro 😂😂😂 adamu wa Morogoro na makande😂😂😂😂
Hahaha morogoro nawapenda
Nice job
Thanks!
Mnatudanganya uyo c sainab
Ni kweli
May the Almighty Allah bless your work Adam leo
Thanks
Haunaga kazi mbovu bro nakukubali sana kazi zako zote ni 🔥 bro 👏👏👏🙌🙌🙌
Shukrani
@@AdamLeoStudios 🙏🙏
Napenda kazi ya huyu kaka kwakweli much ❤from 🇰🇪
Shukrani
I can relate, amazing plot
Thanks
Mpenda makandeeee😂😂😂 Adam leooo napenda kazi yenu
Asante
Kenya Watching
🙏🙏
Am here the first
Thanks
Katika maisha yangu sitaki kuwa na rafiki Lucy Mimi,..kazi nzuri 🤝
Shukrani sana
Naelimika mno hongera sana mdogo wngu ❤
Asante dada
Filamu nzuri from Kenya
Adam naomba Janina ya anaeimba background please 😊
Safelon
@@AdamLeoStudios asante
Kazi nzuri Adam ❤ tunakuombea kwa mungu magonjwa yakae mbali na wewe aki
Amen
Punguza makis mimate yawatu Ina maradh 😅
Kazi nzuri ❤❤🇧🇮
Shukrani
Kweli cy yu
Okay
Ila sasa yule dada mbona wa mala ya kwanza mbona sio yeye au mm nimeona tofauti😮
Ni tofauti
@@AdamLeoStudios 𝙆𝙒𝘼𝙉𝙄𝙉𝙄 𝙏𝙊𝙁𝘼𝙐𝙏𝙄 𝘼𝘿𝘼𝙈𝙐
kazi nzuri.mulee from Nrb kenya
Thanks
Wawooooo ❤❤Asante broo nmeisubr kwa ham saan mung akubarik
Asante
Kazi nzuri ❤❤
Asante
Pole sana Adam kwa ugonjwa ila natumai umepona kabisa🎉❤
Namshukuru Mungu
Ndugu Adam chunga ao wanawake wa Morogoro 😂😂 hizo ni kunguru two, 🎉🎉🎉🎉
Jamani
Come feel me.. Ntumie iyo nyimbo Whatsapp
Ok
Dah 🤔 mtihan sasa kwa zai 🔥🔥🔥
Achabkabisa
@@AdamLeoStudios zai bandia🤣🤣🤭
Hidaya anajua wala hatumii nguvu. Love yew Hidaya ❤
🤝🤝🤝♥️♥️
Shukran beb
Mbona zai umembadilisha Adam
Muda
❤❤❤ kaka adamu upo juu
Asante
Jamani imekaa sana hadi nilijua n mwisho
Walaa
kazi nzuri 💯
Asante
Bora umepona mana tulikumiss sana 🎉🎉❤❤❤
Naam
That's why sinaga marafiki😢😢😢
Noma
Jamn mbona zai si yeye
Ya
Love from Kenya
Asante
Good job adam
Thanks
Yan ningevuja cm
Jmn
Zai huyu yuko sawa kabsa ❤
Asante
Kweli maneno yako Adam mtu adui hawezi kua rafiki
Naam
❤❤🎉🎉
♥️♥️
Mrongoro kweli itakuwa mahali pa kukosa heshima
Jamani
Hapana. Ni kuchangamsha movie tu. Hakua na maana hio Adam jamani.❤
Uyu idaya ni shetani kweli
Jamanii
Kazi nzuri sana i'm from🇧🇮🇧🇮
🫶🫶
❤❤
🙏🙏🙏
🎉🎉🎉
🤝
Kwa kubadilisha tu yule Dada nimekata tamaa kufatilia hii story acha nipite ivi 🤔😏
Sasa huyu ndo kaweza yule happana
hii part 3 ni ya mwisho kaka adam au kuna part 4 kama ipo part 4 tuangushie kaka
Kesho
Mbona huyu si zInabu jaman
Tumembadilisha
Wa mwisho mie hapa😂
Enjoy
Kuwapenda ndio zngu mie ❤❤❤mbarikiwe zaidi adam
Asante
@@AdamLeoStudios karibu mno
Mabinti wa morogoro😅😅 msi mchanganyee adam
Kabisaa😂😂
Zai huyu sijampenda
Pole
Idaya wewe hay mungu anakuona kwa ulimfanyia zai akhi sio poa😢
Sio kabisaa
Au sio 😢@@AdamLeoStudios
alikuwa anaumwa, MPE pole kwanza
Asante
❤❤❤
😍😍
Napenda Adam ufike huku kwetu Butembo 🇨🇩
One day nitakuja
Mbona sijamuelewa huyu mbona Zai cyo huyu wa mwanzo
X wa adam atakuwa ni mtu wa morogoro😂😂😂
Wala jamani
😂😂😂
Safiiiii
Asante
Ulikuwa lakini hufayi mwanga wewe mwanamke
Yaani
Wa 13 jmn, movie nzur mno ina mafunzo.... Haya naomben like zangu😊❤
Thanks
Mhh jaman wamemtowa yule dada mhh kweli wa bongo hatujuwi kuweti
Kuweti ndiyo nini
@AdamLeoStudios atupe maana yake
Mke wa adamu kilaza wa dunia kabisa
Jamani
Filam zenu nzr xaan
Asante sana
Kazi nzuri sana lakin msicheleweshe tena
Nilikuwa naumwa
@@AdamLeoStudios pole sana
Pole sana babaaa
Mumetishaa unyama mwingi
Shukrani
❤❤❤❤❤from Kenya jameni
Thanks