😢😢😢Kweli unaempenda Ana wake anapendana nae... Mapenzi shikamoo 😢😢😢mkipata mahali Kuna mapenzi ya kweli mnikumbuke na mm 😢😢😢.....Asant sana kaka Kevin Allah bariq🙏
Kazi nzuri Kelvin wanawake wa ckuizi atujali utu Bali pesa tu ni bora mtu uwaze nae chini haya ni mapenz ya Dhati ❤❤ ur the best Kelvin khan ina mahudhui Mazur sana
Aakiiiii movie 🎥 zako ni nzuri sana nimependa sana movie 🎥 zako kelvin i love you bro lakini mtakavingi huko vyote ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️ from 🇰🇪 Asante sana nafurahia sana nikiangalia 🌹🌹🌹🌹🌹❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Calvin kijana mwenye ubunif saana wa kuugiza movie i want your like❤❤ big up calvin
Tangu nianze kufatilia movie zenu nilijifunza mengi sana ...good job team Kelvin khadija from kenya
Tunayo funzo lakini kelvin tutoleange part two we needed to see how Irene ended up 😢mob love from Kenya
😢😢😢Kweli unaempenda Ana wake anapendana nae... Mapenzi shikamoo 😢😢😢mkipata mahali Kuna mapenzi ya kweli mnikumbuke na mm 😢😢😢.....Asant sana kaka Kevin Allah bariq🙏
Kuja nmeyaona
@@elishaochami aaah nije wap sasa sitaki 😂😂😂😂
@@jamillahngala9087 nipo Kenya njoo nitakupenda
My dear hakun mapenzi siku hizi 😢
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Blazaa hii story ulifkiria nn mana kiukwl wadada wa saiv karibia wote wapo ivi bg up sanaaaaa good job
kenya is always locked.giving us life ideas and reality.kazi kuntu bladha kelvin
Kelvin nazipenda sana movie zenu mnajitahidi kufanya kazi nzur❤❤❤
Umenikumbusha mbali sana aky Kelvin,saa zote turidhike na mapungufu yetu sio Kila mwanaume ako na true love 😢😢
Kazi nzuri Kelvin wanawake wa ckuizi atujali utu Bali pesa tu ni bora mtu uwaze nae chini haya ni mapenz ya Dhati ❤❤ ur the best Kelvin khan ina mahudhui Mazur sana
Onyexho la pili tafadhali lrene akijuta❤❤❤❤
Mihogo ina sura nzuri hiyo
Thats the realty i love you guys ❤❤ we are watching u worldwide...
Duuuu jamn hili n funzo natamn ata ingeendelea kidogo 🤩🙏🙏🙌🙌🙌🙌 Kaz nzuriiii Mungu aendelee kuwapa vya kutufunza
😢😢😢😢😢kwer mapenzi shikamoo irene ipo siku utamkumbuka kelvin iyo ni tamaa ya fisi dada
Inauma sana tamaa tuache umekosa vyote dadangu 😢😢😢
Tujifuze kitu hapo Asanteni sana keven pamoja na walio shirirki❤❤
Mwanaume hafanyi hivyo dada utaachwa ndoa niuvimilivu mwisho utakula mbivu nawapend sana❤❤❤💯💯🙏🙏💋
Dada usifanye mapenz ya ujiga samaria penzi lako😅😢😂❤
Kelvb unamoyo ndug yangu huyo mwanamke ndo aneye kupenda
❤❤❤ big up Kelvin kazi nzuri 🎉🎉🎉
🍎💖
New follower for real inauma aki mapenzi wewe😢😢
Daaa Mungu aturehem wanawake kweliiii mapenz jotojoto usipime moyo sukuma dam sivingine😭😭🔥
Daah! Mwenye mapenzi ya dhat ni yule anaekuvumilia Kwa kila hal, mob love from Kenya ❤
Kelvin ww kila saa ni machozi 😢😢tu kwa mapenzi maskini pole 😮😮sana hiii❤ kitu inauma sanaa kam hauna pesa
love you
from the US you always teach me thanks
Mapenzi shikamoo 😢😢😢😢😢 acha ni kae tu😢😢😢😢
Marhabaaa 😊
Kaz nzur 🙏 mwenye upendo wa dhat niyule anae kuvumilia hasa kwenye ugumu wa maisha . ♥️♥️♥️
Waaah kelvin nimeipenda sana movie yako good job❤❤❤❤
Since I start watching you people I learned alot from you thanks
Good job kaka angu toka meaza kufatilia movie zenu mejifuz mengi sana kitoka kweni
Kuanziaaa leoo mimi ni shabikiii wakooo Calvin😢😢😢😢
Da hii imeniumiza sana namwonea huruma sana kev utazan kwel kha
😮pole sana kelvin
Kwanii kuachana sh.ngapiiiii😂😂😂😂😂mbonaaa nayaweza ayooo jamaniii naweza kuishi vovote na mwanamke wala haipingwiiii mbonaaa wahuni tunaishii tuuuu😮😮😮😮😮
Mob love to you people watching from Kenya next part please
You touch every one brother , keep it up but try also to use Eng subtitles so that every one can understand
Duuu kako poa sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
🌹🌹♥️♥️♥️good job kelven
Unae mpenda kampenda mwengine😢
Kazi nzuri kelvin
Nazikubali Sana kazi zako ety broooo
Duu pesa siyo kila kitu namshukuru Allah nalizika na hali yangu Alhamndullah
Mapezi shikamoo pole sana Kelvin
Nakubali sn kk Movie inatufundisha sn hasa ya dada wakazi
Movie zako ni nzuri kelvin
Aakiiiii movie 🎥 zako ni nzuri sana nimependa sana movie 🎥 zako kelvin i love you bro lakini mtakavingi huko vyote ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️ from 🇰🇪 Asante sana nafurahia sana nikiangalia 🌹🌹🌹🌹🌹❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Nimeipenda sana
Unae mpenda nae kampenda mwengine ni mara chache sana kupendwa ulipo penda
Hongela San upew maua yak kelvin❤❤❤🎉
Napenda sana filamu zako Calvin
Mbn ntamu Sana'a,,big up
Njamani tujifunze basi kupenda mutu kutoka moyoni tusi pende mtu kwaanjili ya kutu😎🤔💓💓kelven pole sana
Napenda sana muvizenu
😢😢
Tafadhali leteni kila movie na sehemu ya pili 2one vile irine anateseka sehemu ya pili bt u guys much ❤❤❤❤❤❤❤❤
Mmmmmh!kweli jmn juu ya ilo
Aise hii move kali🔥🔥 n hii nyimbo y nani , ???
Ama kwel mapenz shkamoo
Wawoooo hapo ndiyo nilikuwa natamani nione aki ya mungu nimejifunza mengi katika maisha tuache tamaas😢
Awayz 👌🔥 keep going guys 🥰 mob love from 🇰🇪
😭😭 kaka ujakosea kitu yani mpaka jina haya uliyo yatoa wapi coz ndicho kilicho nitokea mimi nasiyo mbali ni mwakajuz tuu kaka
Nzuri
Jaman Kevin kumbe ulikua mwembamba hivi😂anyways hongereni sana😊
Wow nice lesson usidharau mwingine kwasababu unaona kunao wengi wanapenda mwesho wake yanakukuta kama yalivyo mkuta huyu.
Unakaaa kwa demuuu unafukuzwa kama kolooo 😅😅😅jamaaa anafurahiii hukooo ndanii😅😅😅😅 nyieeee majiraniiiiii😂😂😂😂😂😂😂
Nmeipenda sana kaka
Mko vizuri sana jamani mnafanya kazi kwa bidii na nawapenda sana ❤❤❤
Naipenda saana u ubunifu wenue,nimejifunza mengi
Jamani hiyi siyo mapenzii,tafuta,anaye kupenda achana n'a yule asiye kupenda,courage
Tamaa mby tena san aisee tuwen n subira ss wanawk kevo anatufunz kwaiy atakaeshik aya mafunz atakuw mke bora sana❤❤❤
Hamna kazi mbaya mnafanya vizuri sana 🥰🥰🥰
😢daah hii move imenitoa machoz yn sn dah😢😓
kaz zako nzul San mungu akuongoze vyema
Daah aisee 😢😢😢😢😢 had nimelia asanteni San kwa kaz nzr ❤❤❤❤
Uwezo upoo congregation🎉🎉🎉🇰🇪🇰🇪
❤❤❤much love from kenya
Sema nini mnajitahidi sana ila kity ambacho kinakosekana nikwamba mna anzia katikati mana hatuelewi mwanzo wamapenzi yao paka alikubali muuza maji
😮haya madharau jamani pesa🙆🙆🙆 asanteni wausika nawapenda sanaa
Kazi zuli kev🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Move zuri kabisaa 💕💕💕
Kazi safiiiiiii🎉🎉🎉🎉
Aksante sana kwa somooo🎉❤
good move broo
Moja bunge l funzo umewez kalvn kazi nzur😢😢😢
Natamani nfnye kaznawe ningefurahia sana kelvin mng akupe maisha marefu
Nimejifunza kitu kizuli sana l love you kevv❤❤❤❤
Good job
miminimetok bulund napendasan kufatilia kevlen namupendasan❤
Bro kazi safi sana
mashallh Kwa movie lkn mapenz bana asikuambie mtu pole ❤❤
movie nzuri inafundisha nimeipenda bure
Tamaa mbaya jmn...na mtaka yote moja humponyoka...Pole yako dadaa...ushaur mzr tu njoo gulf upambane utafute vya kwako
Waaah hiii moto🔥🔥🔥
Broo napenda sana move zako
Irene ww wenzako huku gulf tunataman kupendwa ili tuekwe km wanawake wengine ww umemdharau mtu mwenye mapenzi ya kweli kwako...
Unaye mu ita baby kumbe naye baby👉👉👉 one ❤️ from South Africa 🇿🇦🇿🇦
Dada waongea ukwel mungu akupe kipaji zaidi Cha kuelimisha waume wanaougua mapenzi km kelvin
Nmependa sana❤❤❤
Yes, muv nzuri🎉
Nifundisho kubwa sana kwa madada wa Leo tufundishie wake zetu jamani nyumba hazilaliki
Naelewa kitu. Siku zote mutu mwenye kumupenda mutu hujitowa kwake piya humuvumiliya
Waaaaahhh mapenzi wewe una mambo😭😭😭😭😭😭😭hata mapenzi sitaki
Mwanaume km uyu mm ningevumilia kbs kuliko niliopitia 😢😢😢😢😢😢
Coul I be with you love 🍎💖💞🤦
Movie nzuri n yenye mafunzo ila inahuzunisha😢😢😢
Kazi njema kelvin...
Kaka kelvin uko vizuri sana lakini jaribuni kuwa mnaanzia mwanzo kelvin