MBOWE AMBANA WAZIRI MKUU BUNGENI - "UNANIPA MAJIBU MEPESI SANA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 02. 2020
  • MBOWE AMBANA WAZIRI MKUU BUNGENI - "UNANIPA MAJIBU MEPESI SANA"
    Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni ambaye pia ni mbunge wa Hai, Freeman Mbowe, amemuuliza waziri mkuu Bungeni kuhusiana na madai ya serikali kupiga marufuku mikutano ya vyama vya siasa vya upinzani nchini..
    #BUNGENIDODOMA
    UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE
    ( +255 784 888982)
    ( +255 676 229628)
    HABARI MPYA DAILY:
    czcams.com/users/playlist?list...
    HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
    czcams.com/users/playlist?list...
    GLOBAL RADIO TV:
    czcams.com/users/playlist?list...
    EXCLUSIVE INTERVIEW:
    czcams.com/users/playlist?list...
    Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania
    Subscribe bit.ly/globaltvonline

Komentáře • 96

  • @user-lg6dd2qn2k
    @user-lg6dd2qn2k Před 4 měsíci +2

    Mungu akawape uwongozi boraa 🤝💯

  • @AnorldBelton
    @AnorldBelton Před 6 měsíci +3

    Mda ukifika hakuna nafasi yakuuliza maswali mungu hafanyi vitu kwakubahatidha Mimi naamin mda haujafika Wa Tz kuwa na uhulu huo tuutakao hawa watu wachache wanao pambana kwaajili yetu watatuacha sisi nasisi tutawaacha wengine kikubea nikuomba mungu2 mipango yake juu yataifa hili yawe

  • @christophertarimo5047
    @christophertarimo5047 Před 3 lety +2

    Mbowe Alkaeli Freeman the Legend

  • @jahrean-tc8561
    @jahrean-tc8561 Před 4 lety +5

    Uenezi na kazi tufanye SAA ngapi

  • @kennyrogers4734
    @kennyrogers4734 Před 3 lety +3

    Mh Waziri mkuu tunakupenda sana tena sana ila muogope mungu kwa kutudanganya kua tume tulionayo sasa ni huru hapana sio kweli maana tume huru gani inayoteuliwa na Raisi?iyo danganya toto Mh Waziri Mkuu

  • @MwitaTv
    @MwitaTv Před 22 dny

    Majibu hayo, ya Waziri Mkuu Hayaridhshi hata kidogo.

  • @ceciliajimmy5652
    @ceciliajimmy5652 Před 4 lety +4

    Hivi wanaoshangilia wanajielewa kweli!!!! Mungu tunusuru waja wako.

  • @user-tn5ym5gd6s
    @user-tn5ym5gd6s Před měsícem

    Kweli kamanda mbowe tunaongozwa kibabe ila yatapita ipo siku itakula kwao kiukweli chini ni kugumu tumepgika sanat Mungu ndo anajuwa kesho yetu

  • @kapingageorge7635
    @kapingageorge7635 Před 4 lety +6

    Tume ipoo huru makada wenu wakina Nape walikujaa na maneno ya jukwaan na kwa kejeli na majigamboo kuwa wamepigaa bao la mkono leo unasema kuna Tume huru sasa kama ww Wazir mkuu unajibu hv ki wepes wepes hao wakuu wa mikoa na mawazr inakuajee duuu kazi tunayooo

  • @kapingageorge7635
    @kapingageorge7635 Před 4 lety +7

    Maswal mazito na ya msingi ww unajibu kiwepesi wepesi kazi tunayooo

  • @shahabdallah9407
    @shahabdallah9407 Před rokem

    Nafurahishwa sana na nidham ya Mh. Warizi Mkuu wetu Kassim Majaliwa

  • @user-zs9kb7ev5f
    @user-zs9kb7ev5f Před 5 měsíci +1

    Asante sana wazilimkuu majibu yako yameiva vizuli sana awasikii

  • @johnnisilenisile1990
    @johnnisilenisile1990 Před 4 lety +7

    Hana majibu sahihi yaan majibu yake mepesi Sana hy

  • @adventureguidertanzania2331

    Kweli mbowe Ni kichwa,maswali yako Ni mazito Sana,

  • @user-us3fn6bj4d
    @user-us3fn6bj4d Před 2 měsíci

    Mungu utupe uongozi bora jamni

  • @BoniphacePeter-ih2st
    @BoniphacePeter-ih2st Před 4 měsíci

    Swali lililojaa mitego ya Hali ya juu na liliulizwa kwa ufanisi mkubwa xn hongera mzee mbowe

  • @WilliamAbraham-xb2or
    @WilliamAbraham-xb2or Před 2 měsíci

    Mungu ibarki Tanzania

  • @shedyjr3227
    @shedyjr3227 Před 4 lety +4

    11.03 WEWEEE

  • @emmanuelymushy1924
    @emmanuelymushy1924 Před 4 lety +6

    Waziri mku nae ana tetea nafasi yake na atetei haki

  • @echuku9905
    @echuku9905 Před rokem

    Hiyo kweli mbowe

  • @shulestuff
    @shulestuff Před 4 lety +3

    Serikali ya TZ)zinanikumbusha Kenya ya Moi - 1990s, upinzani ikinyanyaswa

  • @Grandpamotivator
    @Grandpamotivator Před 4 lety +3

    Yaani ccm hamuonagi hata Aibu, Katiba iliyotungwa mwaka 1977 Kipindi kulikua na chama kimoja ndio itumike leo kuunda tume kwa miaka hii ya 2020 kipindi kuna vyama vingi. RUBBISH, Kipindi katiba iliyopo sasa mwaka 1977 kulikua na chama kimoja so tume ni huru kama kungekua na chama kimoja, Bali kwa sasa Hii tume sio Huru kwasababu kwa sasa kuna vyama vingi inahitajika Katiba mpya ambayo itaunda tume huru kwasababu kwasasa kuna vyama vingi kwahio katiba iliyopo imepitwa na wakati na tume si huru.

  • @chugawoodpictures2587
    @chugawoodpictures2587 Před 4 lety +2

    Fire 🔥

  • @davidsonstevenson2653
    @davidsonstevenson2653 Před 4 lety +3

    huyo waziri alivyosisimama sasa kama yupo kaunta ya BAA

  • @KulwaAmran
    @KulwaAmran Před měsícem

    Waw

  • @Jonathan95311
    @Jonathan95311 Před 4 lety +4

    Kumbe neno "huru" linaweza likawa na maana tofauti eeeh 😧😧😧

  • @Obedy-er8ih
    @Obedy-er8ih Před měsícem

    It's break time 😄😄

  • @abdulrahimmohamed7066
    @abdulrahimmohamed7066 Před 4 lety +2

    waziri mkuu ameonda OP

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 Před 4 lety +2

    Nakumbuka Mkurugenzi wa tume ya Uchaguzi 2015 aliondolewa dakika za mwisho kabisa jeee iyo imekaaje labda Kama sio kuingiliwa?

  • @ramadhanmanko4614
    @ramadhanmanko4614 Před 4 lety +2

    Siokweli mzee muogopemungu

  • @georgeswai7248
    @georgeswai7248 Před 4 lety +4

    Weweee

  • @josephnchunga1247
    @josephnchunga1247 Před 4 lety +4

    Wanataka kuzulula, huku wakichangisha fedha kwa watu eti wanaimalisha chama kumbe wanaibia pesa zetu hata ofissi ya maana miaka yote hiyo hakuna hao ndio tuwachague ,watatuzia inchi Yetu hao kwa mabeberu .

  • @davidsonstevenson2653
    @davidsonstevenson2653 Před 4 lety +3

    waziri mwnyw anjibu kwa mapoziii alafu mbona ajasisima kwa adabu

  • @tonganekwizayo9642
    @tonganekwizayo9642 Před 4 lety +18

    Kama na wewe umeona waziri mkuu kajichanganya kasema nchi inaongozwa kibabe like hapa👇🏻👇🏻

  • @yusufkechbow8153
    @yusufkechbow8153 Před 4 lety +3

    Maswali ya chuot kikuu, majibu ya nursery

  • @RAHAARTISTGROUP
    @RAHAARTISTGROUP Před měsícem

    Hawa chadema busara ni kidogo na mwaka watachukua nchi ndo itakuwa mwanzo wa machafuko huongea kwa unafikiunafiki

  • @JohnManyilizu-rl5bm
    @JohnManyilizu-rl5bm Před měsícem

    Kumbe hata wakubwa huwa wapo waking katika maeneo fulani nilifikili huwa Managua kila jambo au huwa wanajizima data siyo vizuri Hill nitaifa letu sote tusahihisheni tulips Korea tusonge mbele

  • @zayanasudi3731
    @zayanasudi3731 Před 4 lety +1

    Mxeeeeeew hadi kichefuchefu

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 Před 4 lety +2

    Walakini mkubwa huu Majaliwa

  • @paulosonda8995
    @paulosonda8995 Před 4 lety +2

    Kwahiyo mweshiwa wazir mkuu sehem ambazo hazina wabunge wa upinzani zenyewe inakuwaje

  • @ishmaelsimon6617
    @ishmaelsimon6617 Před 4 lety +2

    Shida ni kwamba tumejivuruga kikatiba! Ni huru yes kimaandishi but huo uhuru wake unaendeshwa vp na unasimamiwaje! For what we have seen kwa serikali za mitaa, hatuchagui viongozi, tunachaguliwa viongozi!

  • @amosaruta22
    @amosaruta22 Před 4 lety +3

    Mimi naona kama Magufuri nachukua nchi jana muongezeni mda Magufuri jamani wabunge nyie ili nchi hisonge mbele

  • @moseskyaman9323
    @moseskyaman9323 Před rokem

    Wazir Hana majibu lakin tusimlaumu alikuwa anamtumikia farao na kwa kuwa farao hayupo naamini waziri atafanya kazi na nchi itasonga mbele Dr.Samia S.H atatuvusha

  • @peterhayuma6401
    @peterhayuma6401 Před 3 lety +1

    mbowe mbane jamaa

  • @mwidiniharuna9618
    @mwidiniharuna9618 Před 4 lety +2

    tutaelelewana tu

  • @BoniphacePeter-ih2st
    @BoniphacePeter-ih2st Před 4 měsíci

    Mbowe ni kichwa xn majariwa amna ulichojibu

  • @gideonelias5379
    @gideonelias5379 Před 4 lety +4

    Swali na majibu hayaendani

  • @josephmsanga6751
    @josephmsanga6751 Před 4 lety +2

    Mwandishi sikuelewi Eet Waziri Mkuu kabanwa! Kwani Uliona Hapumui!? Najua Aliulizwa Maswali na Akayajibu papo!: Acha izo.

  • @receptionzanbluu3656
    @receptionzanbluu3656 Před 4 lety +1

    Hawa wabunge wanapiga meza kiushabiki tu hawajui lolote wababaishaji tu

  • @haipo8949
    @haipo8949 Před 4 lety +3

    Waziri Mkuu hana namna nyingine ya kujibu,nkutokana na Katiba iliyopo. Ndo maana amekwenda ktk vifungu. Mngepambania Katiba mpya LAKINI mkienda na Katiba iliyopo mambo ni yale yale.

    • @magesachacha602
      @magesachacha602 Před 4 lety

      Mpanda Kuna shida ya kuzuiwa mikutano ya MBUNGE RODA KUNCHERA na wakati taarifa wanao na kibali wametoa tatizo Viongozi wa MKOA

    • @adenmayala9298
      @adenmayala9298 Před 4 lety

      Endeleen kujibu majibu mepesi kwa maswali magumu ipo siku mtalipa hii gharama ya mzaha mnao ufanya

    • @adenmayala9298
      @adenmayala9298 Před 4 lety

      Endeleen kujibu majibu mepesi kwa maswali magumu ipo siku mtalipa hii gharama ya mzaha mnao ufanya

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 Před 4 lety +1

    Video hii inachefua

  • @ricksonmrema1693
    @ricksonmrema1693 Před 4 lety +5

    Upumbavu mtupu akuna tume huru

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 Před 4 lety +1

    Kila kitizama video hii nauwona uwepesi wa majibu ya mtendaji mkuu wa shughuli za serikali bungeni.

  • @aishashabani2980
    @aishashabani2980 Před 3 lety

    Sijakuelewa we waziri

  • @justinejohn7724
    @justinejohn7724 Před 4 lety +2

    Una uhakika??

  • @kitunidawooddaulani4185
    @kitunidawooddaulani4185 Před 4 lety +3

    mepesi arafu yana kele hayo......N

  • @batistutacharles9146
    @batistutacharles9146 Před 4 lety +2

    Acheni kushiriki tena muuone ?ccm tunapaa kama kaw

  • @GeofreySanga-zo2lg
    @GeofreySanga-zo2lg Před měsícem

    Ccm wanazingua😅

  • @aldoba2826
    @aldoba2826 Před 4 lety +2

    Hatuna tume huru. Sio huru

  • @user-ti8fn1wn1w
    @user-ti8fn1wn1w Před 2 měsíci

    Miaka 61 ccm madarakan na wanainchi maixha bado magum

  • @hamiskengwa6250
    @hamiskengwa6250 Před 4 lety +2

    🤣🤣🤣🤣 majibu mepes hayo

  • @abdulazizi2875
    @abdulazizi2875 Před 4 lety +2

    Hahah majibu mepec sanaaa

    • @kitunidawooddaulani4185
      @kitunidawooddaulani4185 Před 4 lety

      ana ongea nae sio mbulula ni mtu anaye tumia akili nyingi......Ndio mana ana majibu yake shot😄😄😄

    • @bakarilubeleje1167
      @bakarilubeleje1167 Před 4 lety

      Mbowe yuko sahihi ase

    • @kitunidawooddaulani4185
      @kitunidawooddaulani4185 Před 4 lety

      @@bakarilubeleje1167 anatumia hasira arafu mwenzake anatumia akili xaxa hapo unaonekana bwege wakati upo sahihi.....😄😄😄

  • @AhmedSeif-il1xx
    @AhmedSeif-il1xx Před 7 měsíci

    Majaaliwa muongo

  • @hapickymedia8616
    @hapickymedia8616 Před 4 lety +3

    Majibu mapesi kweli ?

  • @ramadhanmanko4614
    @ramadhanmanko4614 Před 4 lety +3

    Weweeeee

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 Před 4 lety +2

    Tume iko huru???????? Hehehe

    • @Grandpamotivator
      @Grandpamotivator Před 4 lety

      Amesema tume huru kwa mujibu wa katiba ya mwaka 1977 kipindi cha chama kumoja, ila kajisahau kwamba sasa kuna mfumo wa vyama vingi so katiba iliyotungwa 1977 kwasasa imepitwa na wakati, so tume sio Huru tena coz kwa sasa kuna vyama vingi

    • @simonrusigwa3024
      @simonrusigwa3024 Před 2 lety

      Cheeky hajajisahau. Makusudi

  • @GrestaKayange
    @GrestaKayange Před 22 dny

    Skwani lazma mpige makofi

  • @luvangaluvanga2322
    @luvangaluvanga2322 Před 4 lety +2

    Polepole anaridhaa ya nani ?

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jc Před 2 měsíci

    User wewe ni mjinga sana

  • @isacktarimo8917
    @isacktarimo8917 Před 4 lety +2

    Kama nawew umesikiliza robo ukaona haku cha maan gong like

  • @lwitikomwakibete7525
    @lwitikomwakibete7525 Před 4 lety +2

    Kama majibu mepesi ongeza mchanga yawe mazito

  • @LukandaLukata
    @LukandaLukata Před 4 měsíci

    Lukanda Lukata

  • @josephnchunga1247
    @josephnchunga1247 Před 4 lety +2

    Waziri Mkuu yuko yy anajibu kulingana na swali limevyo ulizwa ,tume huru ipi kama si kutuhadaa tu, swali la nyongeza kama si tume Huru wao walishindaje? Wa upinzani wafie mbele wahuni hao.

  • @danielmwanga5231
    @danielmwanga5231 Před 4 lety +1

    Hawa jmaa wanajiamini cjui kwa nn wanajibu majibu kirahis rahis kwel inauma sana utawala huu Mambo yanavyoenda