WAZEE UJIJI ''Hatutaki Guest wala bar, zilikuwepo zikabomoka kama Uarabuni"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 09. 2024
  • Ujiji ni kati ya Miji ya kale zaidi Tanzania, Leo AyoTV na millardayo.com imetembelea katika Mji huo ulioko Mkoani Kigoma baada ya kusikia sifa zake mbalimbali mojawapo ni kutokuwepo kwa nyumba za kulala wageni.

Komentáře • 210

  • @barakamoya430
    @barakamoya430 Před 6 lety +6

    kama umemuelewa sana mzee wa mwisho kama mimi gonga like

  • @mkongomanidrc849
    @mkongomanidrc849 Před 2 lety +1

    Mash'Allah Allah awaongoze mwisho mwema na msimamo wenu Insha'Allah

  • @ashleykipuge1246
    @ashleykipuge1246 Před 6 lety +16

    Huyo mzee wa mwisho kaongea point sana 👍

    • @fransiskahaule3343
      @fransiskahaule3343 Před 6 lety

      Wazeee hawa wanauelewa kushinda vijana..kwani vijana wa ujiji mnanini lakini hahahaaa adi wazeee wanawashinda mitazamo daaah..vijana wanawaza guest kwa ngono kumbe guest inamatumizi mengi zaidi ya mtazamo wao awa vijana ndio waharibifu wa ujiji

    • @ashleykipuge1246
      @ashleykipuge1246 Před 6 lety

      Hahaaa yan wanamawazo mgando sana

    • @f.a6043
      @f.a6043 Před 5 lety

      @@fransiskahaule3343 kweli kabisa

    • @f.a6043
      @f.a6043 Před 5 lety

      @@ashleykipuge1246 🤣🤣🤣

  • @NiniOman-lx5lg
    @NiniOman-lx5lg Před 8 měsíci

    Masha Allh

  • @jasminomary2225
    @jasminomary2225 Před 6 lety +11

    Uyu mzee wa mwisho kaongea point sana wengine wameongea pumbaaa

  • @mrsliverpool4235
    @mrsliverpool4235 Před 6 lety +5

    Hongerenii sanaaaaaaa

  • @leonardmrope9528
    @leonardmrope9528 Před 6 lety +5

    Uyo Mzee wamwisho nimemuelewa vzuli sana ao wengine wanabwabwaja tu,,

  • @aminaabdallah7702
    @aminaabdallah7702 Před 3 lety

    Mzee nendeleeni nahao kwasababu mabaa.namagesti yinaharimu vijana sana wanakunywa pombe nauvutaji wambange kwahio msikubali hongereni wazee kwa kuihifadhi dini nayusilamu inchallah mbarikiwe

  • @erastomazela8962
    @erastomazela8962 Před 6 lety +3

    Guest ni kwaajili ya wageni wanaokuja kutalii au safari za kikazi sasa ninyi mnawaza kuwa guest watu wakienda ni ngono tu. Mbona hamkatazi watu waache uchawi

  • @khadijaally5233
    @khadijaally5233 Před 4 lety +1

    Mashaallah

  • @wilonjahatua2067
    @wilonjahatua2067 Před 6 lety +11

    Nawatoto wa ujiji ndio wanaongoza kwa umalaya na midomo mixer umbea sasa kuzuia guest kuna maana gani subirin miaka mitano mbele mtaona uchawi sio dili

  • @kitonekantasha1687
    @kitonekantasha1687 Před 6 lety +3

    Hawa wazee walijua kitakacho wakuta vijana wa sasa 😪😪😪🤗👍🏽

  • @rashidbusanya7166
    @rashidbusanya7166 Před 6 lety

    Safi sana nimepapenda Allah azidi kuwalinden

  • @zeanamohamed4072
    @zeanamohamed4072 Před 4 lety

    Mashaalla mwenyezi mungu. Awabarki

    • @allyanyingisemalabeja6551
      @allyanyingisemalabeja6551 Před 4 lety

      Nivizuli lakini tatizo kwa wAgeni ambao hawana ndugu mnazani watafikia wapi.nawatalala wapi mfano wakija

  • @jamessilwamba2862
    @jamessilwamba2862 Před 6 lety +4

    Jamani Guest Na dini wapi na wapi guest kama lilivyo neno lake ni nyumba ya wageni

  • @amananassor524
    @amananassor524 Před 6 lety

    Sawa sawa mzee mungu awa baliki

  • @moyolameck555
    @moyolameck555 Před 6 lety +2

    Mtaishi kwa shida sana maendeleo mtayasikia kwenye redio maana gesti sio tu kwa ngono bali hata wageni wanaotoka sehemu mbali mbali wanafikia shubaaaamitttiiiii

    • @moyolameck555
      @moyolameck555 Před 6 lety

      Nyie ndio mkija dar mnapata ukimwi mapema sana

    • @man.lule.585
      @man.lule.585 Před 6 lety

      Maendeleo ni Peponi Firdaus sio Duniani, hapa Duniani kila Nafasi itaonja Umaut.

  • @uwimanaraoul6824
    @uwimanaraoul6824 Před 6 lety

    Safi sana kabisa

  • @masoudzanzibarali9994
    @masoudzanzibarali9994 Před 6 lety

    Safi sana 👍🏿👍🏿

  • @gemkachar
    @gemkachar Před 6 lety +4

    Mimi mtalii wa ndani. Sasa Kigoma ujiji siji. Hasara kwenu

  • @february2866
    @february2866 Před 6 lety +2

    Niliwahi kufika hapo,eneo la kumbukumbu hilo Ujiji!Ila mnatakiwa kuadilika!Gest siyo kwaajili ya ngono tu!

  • @zwinsalhabsu264
    @zwinsalhabsu264 Před 6 lety

    Safi sana

  • @halimaramadhanimwevi2472
    @halimaramadhanimwevi2472 Před 6 lety +3

    Huyo wa mwisho ndio kaongea ukweli pamoja na Kintu Buhoro.

  • @ukhtyashurasakinamnyoti1786

    Geust house maana yake nyumba ya wageni sasa wageni wakifika hapo watalala wapi watu ndio hutumia kwa kufanya mambo machafu wanaenda wenyeji wa humohumo kufanya zinaa neno nyumba ya wageni inageuka kuwa nyumba ya wenyeji

  • @leiratykisura6718
    @leiratykisura6718 Před rokem

    Mji wa kiarabu hup husiokuwa na gest uku wapo ma hotel kila kona na watu wanafanya hufusuka zaman ndio kurikua hakuna lkn sasaiv we usipime kunasitare wara huwamin kama upo huwarabun

  • @francismadoshi8529
    @francismadoshi8529 Před rokem

    Wafanye Kimarekani, hapa Maarekani ukitaka kutumia guests, lazima ulipe karo ya 24 hours! Hakuna kulipa saa chache maana hiyo ni kama unataka kufanya dhambi ya ngono tu!

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 Před 6 lety

    Mzee umeongea vizuri kwa ufafanuzi zaidi

  • @emanuelmoshama1747
    @emanuelmoshama1747 Před 6 lety +4

    uchawi tuu mmmekalia na hakuna maendeleo ukooo

  • @mohamedkazema6381
    @mohamedkazema6381 Před 6 lety +2

    Swadaqta kaka Abdallah Muhuza, umeongea vyema.
    Vilabu vya pombe msikubali kabisa viwepo katika mji wetu, lakini nyumba za wageni sio haramu kuwepo, sababu sio wageni wote ni waovu.

  • @jamessilwamba2862
    @jamessilwamba2862 Před 6 lety +5

    ukiwa mgeni unalala wapi? mbona mtihani sana

    • @vedastusnestory6060
      @vedastusnestory6060 Před 3 lety

      Kigoma mjini zipo .Maana Manispaa imeundwa na miji ya Kigoma na Ujiji.

  • @hamzamwilaphy2902
    @hamzamwilaphy2902 Před 4 lety

    Daaah mbadilike! Guest ni kwaajili ya wageni sijui kwanini mnatafsiri vinginevyo

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 Před 6 lety

    Kigoma yetu naipenda sana

  • @Saniamunguatujaliyemwishomwema

    Allah awajarie muzipige vita vikari zipotee kabisaa

  • @esterkarine5780
    @esterkarine5780 Před 6 lety

    Wow mila azitupwi kweli 🙌🙌

  • @ludwickernest3588
    @ludwickernest3588 Před 6 lety +3

    huyu mzee wa mwisho anajielewa na naamini amewahi kaa sehemu nje na ujiji au kigoma

  • @kassimuramadhani6615
    @kassimuramadhani6615 Před 5 lety +1

    hata bangi kali inasemekana inaptikana ujiji

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Před 6 lety

    Maamuz sahihi 💯

  • @ramadhanzmlay1331
    @ramadhanzmlay1331 Před 6 lety +5

    we jamaa tunaomba hii makala iendelee,,,

  • @galayagalaya48
    @galayagalaya48 Před 6 lety +1

    Mzee uko vzr

  • @joshuac.mashida1378
    @joshuac.mashida1378 Před 6 měsíci +1

    Kama hamtaki ivo vitu kwa nn mnaenda uko kwingine sheria na malufuku ifate mkondo wake msiende ata kwingine hapo ndo uislamu uislamu wakwenda kwingine co kabisa

  • @smaihsmaih2815
    @smaihsmaih2815 Před 6 lety

    busara nzuri

  • @janesuma2193
    @janesuma2193 Před 6 lety +4

    kwaiyo uko ujiji wanaishi waislam tu pumbavu zenu piteni kushuto na tabia zenu za udini

  • @rwandaafrika6173
    @rwandaafrika6173 Před 3 lety

    Ni hatari yani hiyo ndiyo umaskini kwakweli

  • @rutashubanyuma4546
    @rutashubanyuma4546 Před 6 lety +2

    Kwani nn maana ya Guest house,, watu wakisikia Guest wanafikiria ujinga! Kwani huko huwa hawapati wageni ? Hamuezi kuwa na maendeleo, tafuta hao wazee wafyekeni!

  • @soudabdulrahman9359
    @soudabdulrahman9359 Před 2 lety

    Guest house si danguro kwa kiswahili ni nyumba ya wageni

  • @kbmhd
    @kbmhd Před 5 lety +1

    Daah hawa ma babu kamwaga point ila yule kijana bwege wa kwanza anaongea shudu.......

  • @hervemani9600
    @hervemani9600 Před 6 lety +3

    Huyo jamaa wa kwanza Anaongea kama Baba Level

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 Před 6 lety +3

    ndo maana hamuendelei gesti ni nyumba ya wageni so wageni walale kwenye vbanda vyenu?

  • @zalfaoman9799
    @zalfaoman9799 Před 3 lety

    Omani zipo nyumba za wageni bwana hiyo sijui nyinyi mawazoyenu

  • @ramadhanmahongole5663
    @ramadhanmahongole5663 Před 2 lety

    Ndio maana pamedumaa mnamambo ya kizamani sana inaonekana hata mzunguko wa pesa apo hakuna...kazi ya kuiga warabu wakati wenzenu huko uarabuni kwenyewe gest zipo. nyie mnajifanya kuiga warabu wakati wenzenu wanaishi kwa kutegemea mafuta?!... mimi hapo siwezi kuishi pana maisha ya kikoloni sana

  • @mahsenabbasss4079
    @mahsenabbasss4079 Před 6 lety

    Ni shidaaa

  • @nkatakulimamkuwa4872
    @nkatakulimamkuwa4872 Před 6 lety +1

    Ndio maana hata maendeleo maeneo hayo hakuna mnakaa Kama kijiji

  • @shindanopapaya2084
    @shindanopapaya2084 Před 6 lety +2

    Hahaha hiyo ujiji yenyewe choka mbaya mbadilike ndugu zangu

  • @abdulnondo1146
    @abdulnondo1146 Před 6 lety

    Mbona mnapashambulia kwetu bhna !

  • @tewenjohn5343
    @tewenjohn5343 Před 4 lety +1

    Dini ya kieslamu ndo itaki maendeleo ya Kigoma Ujiji. Tume kuwa paskistan sisi?

  • @AizackWay
    @AizackWay Před 6 lety

    Nomaa sana

    • @zenomnali5784
      @zenomnali5784 Před 6 lety

      Aizack Wa:10:y94

    • @AizackWay
      @AizackWay Před 6 lety

      @@zenomnali5784 napaelewa huko home

    • @marygaspar6429
      @marygaspar6429 Před 6 lety +2

      Ndiyo maana kumechoka mbaya!

    • @marygaspar6429
      @marygaspar6429 Před 6 lety

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @marygaspar6429
      @marygaspar6429 Před 6 lety

      Huyu mzee aliyesema dunia inavyokwenda yupo sahihi! acheni uzamani Gest cyo usinzi tuu zina kazi nyingi ikiwemo wapumzike waleta maendeleo!

  • @jumafandey707
    @jumafandey707 Před 6 lety +5

    Tukalale wapi Wageni!

    • @munamuna414
      @munamuna414 Před 6 lety

      Kwa mjumbe ha ha ha

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 Před 6 lety

      Muna muna daadeki..

    • @hatibuahmadi7237
      @hatibuahmadi7237 Před 4 lety

      Sio kwamba kigoma nzima hakuna gest hapana Bali Kuna sehem maalum ambayo ukienda unapata huduma zote kuanzia gest avingi nevyo yaani mjini hapo Pana itwa mwanga nakuendelea

  • @amospetro8789
    @amospetro8789 Před 2 lety

    Nyiee wasengee

  • @fantsonmpango7502
    @fantsonmpango7502 Před 3 lety

    Uislam unakuwa rohoni siyo kulazimishana

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 Před 6 lety +1

    Munafunga guest kwenu lakini maasi munaenda kufanyia Mwanga kweli Mungu anachezewa kweli kweli.

  • @frankfrank2600
    @frankfrank2600 Před 3 lety

    Acheni ushamba pia uchawi ndomana amuendelei mimi nakuja naweka tuone sasa kama mtaweza kuiwaingia

  • @bwizayasini2153
    @bwizayasini2153 Před 6 lety

    Sio kweli matunda gest

  • @raphaelgadau2783
    @raphaelgadau2783 Před 6 lety +1

    Kumbe huko wachawi sana kuliko sumba wanga

  • @hasanshaf2323
    @hasanshaf2323 Před 5 lety +1

    nimefurahi kuiona ujiji yetu nisiku nyingi sijaiona

  • @fredjoel1350
    @fredjoel1350 Před 2 lety

    Mbona uchawi umetamalaki au nao ni utamaduni wa kiislamu?

  • @salehjambo4075
    @salehjambo4075 Před 6 lety

    Wanaopenda pombe na uzinzi lazima watawatusi wazee kwa kuwaita wachawi ,lakini lengo la wazee ilikua kulinda maadili ya vijana wao na imaniyao ya kiisimu

  • @magdalenatunguhole3284

    Huyo mzee wa koti la Jinse Mkongomani

  • @imanmwakalinga410
    @imanmwakalinga410 Před 5 lety

    Kwahio wao wanafikiri ni sifa,hajui wanajikomoa wenyewe mfano wageni katika mji huo watalala kwenye hizohizo nyumba zao.

  • @WJShadrack
    @WJShadrack Před 6 lety

    Ndio maana mji wa ujiji hauendelei kwa sababu watu bado wanawazo ya kizamani sana. Guest House ni nyumba ya wageni. Ujiji is supposed to be a historic town but hata watalii wakifika hapo hawana pa kufikia.

  • @kibilawazebanga7455
    @kibilawazebanga7455 Před 6 lety +3

    Sasa hamtaki guest ila uchawi/ushirikina mnaukubali ndoo kitu gani ?

  • @sundaystanley5459
    @sundaystanley5459 Před 6 lety +8

    lkn wazinzi na walevi wengi wanatoka ujiji,kwendeni zenu na uchawi wenu

    • @ashwajeshi1558
      @ashwajeshi1558 Před 6 lety

      😂😂😂😂

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 Před 6 lety

      ss c ni wanakuwa watu waliofichwa hivyo wakija oneshwa mambo pahala yalipo, hulipuka na ndo huitwa malimbukeni

  • @zainabubakari5963
    @zainabubakari5963 Před 4 lety

    Kweli wa so uongo

  • @denniskiango6901
    @denniskiango6901 Před 6 lety +6

    Wapili ila hapo hakuna gesti vijana wanaenda kufanya uchafu kwingine nn mezuia?

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 Před 6 lety +1

      Dennis Kiango utawaweza!

    • @denniskiango6901
      @denniskiango6901 Před 6 lety

      @@mnzavachris5423 nauliza wamezuia nn kwan vijana waeleza wanaenda kwingine kufanya starehe,hawaoni wananyima maendeleo tu ya eneo lao

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 Před 6 lety +1

      Dennis Kiango ndo akwambia twarudishana nyuma kwa sababu zisizokuwa na maufaa

    • @denniskiango6901
      @denniskiango6901 Před 6 lety

      @@mnzavachris5423 weachatu

  • @aminamikidadi7754
    @aminamikidadi7754 Před 4 lety

    Ile gest ipo jirani na posta ..mtaa wa rusimbi ..imekuwa ikihudumu kwa miaka mingi na yenyewe ilifungwa? Msizingizie gest zipo mwanga na ujiji zipo tunazijuwa ..tena za wazawa wa hapo hapo ujiji..ongeeni haki...

  • @subiralema
    @subiralema Před 4 měsíci

    Washirikina ata maendeleo akuna

  • @paulmkhoi8144
    @paulmkhoi8144 Před 2 lety

    Mzee wa mwisho kanena aisee!!! Ninachokiona hao wengine hawajui maana ya GUESTHOUSE wanadhani ni sehemu ya kufanyia maovu.

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 Před 6 lety +1

    Mnapinga haramu kwa haramu...ati ukifungua bar usubui unakuta vyungu...ss hapo ni 1-1=0

  • @ndegeyaernest3101
    @ndegeyaernest3101 Před 6 lety

    Hii ni Tanzania endeleeni na yenu

  • @toshirohitsugaya6421
    @toshirohitsugaya6421 Před 5 lety

    Ila uchawi

  • @christmasmachele5589
    @christmasmachele5589 Před 6 lety +4

    Uarabuni hakuna guest house na mnavuoendaga kuhiji hua mnashukia kwa ndugu zenu huko Uarabuni? Akili kama tikiti

    • @motherland2279
      @motherland2279 Před 6 lety +1

      makha kunaoteli na sio gesti mnazo zini kila siku

    • @christmasmachele5589
      @christmasmachele5589 Před 6 lety +2

      Mother Land mmh peleka ulimbukeni huko na kama hujui English sema ufundishwe, guest house na hotel hakuna tofauti yoyote kwani huko Uarabuni mwanamke na mwanaume hawaruhusiwi kuingia kwenye hizi guest rooms? Na wakiingia huwa mnawakagua wanafanya kitu gani? Mnawakagua kama ni wana ndoa? Dubai kuna mpaka madanguro na malaya wanajiuza kabisa

    • @hassanmirambo5671
      @hassanmirambo5671 Před 6 lety +1

      christmas machele wewe kwa namna yeyote ni mtoto uliyepatikana kwa njia ya zinaa na mimba yako ilipatikana guest ndio maana unaathari kubwa na utetezi wa guest endelea kushabikia nyumbani kwenu guest

    • @christmasmachele5589
      @christmasmachele5589 Před 6 lety +1

      Hassan Mirambo mimi ni msafiri na ni mfanyabiashara nusu ya maisha yangu naishi lodge zaidi kuliko nyumbani kwetu so nawashangaa sana nyie mapoyoyo of course hata huko kigoma kwenu nshafika tena nilikaa lodge flani karibu na stand mpya na wala sikulala na mtu, tatizo nyie business hamjui mmekalia uzinzi na ushirikina

    • @hassanmirambo5671
      @hassanmirambo5671 Před 6 lety

      christmas machele eti nusu ya maisha yangu nalala lodge wewe nusu ya maisha yako unaijua au unaropoka tu

  • @jumannejumanne2258
    @jumannejumanne2258 Před 6 lety

    Ujiji ni wachawi na ndio Mana wageni hawakai mgeni akiingia Ana hela wanamuua au anafukuzwa acwazid uwezo kwa gest hawezi kuwepo

  • @desderyassenga6883
    @desderyassenga6883 Před 2 lety

    Hamtaki nyumba za kulala wakifika kwenu walale wapi

  • @deustutu1162
    @deustutu1162 Před 6 lety +1

    imuhila nyumban ni nyumban

  • @michaelmika3844
    @michaelmika3844 Před 6 lety +4

    Dada zangu wamezalia nyumbani nipo ujji comment

  • @drtobias_
    @drtobias_ Před 6 lety

    Mtangazaji anauliza maswali ya kitoto

  • @venstonvedasto
    @venstonvedasto Před 6 lety

    Asa tour za ujiji kumbe ni ufala ulale wapi sasa kama hamna guest

  • @abdulkarimkarume6813
    @abdulkarimkarume6813 Před 5 lety

    wabuhoro Ohaaaa kamanaiona mrumbani

  • @thedeo472
    @thedeo472 Před 6 lety +2

    Sababu ya kutokuwa na Guest House Ujiji ni kukosa wateja!!!!!!

  • @hadija846
    @hadija846 Před 6 lety

    Wageni watafikia wapi?

  • @rashidabeid172
    @rashidabeid172 Před 4 lety

    Duuu! Wageni mnawalaza wapi? Guest sio nyumba za kufanyia umalaza. Vinginevyo wageni waonyeshe vyeti vya ndoa.

  • @allykhatibu2359
    @allykhatibu2359 Před 4 lety

    Sasa wageni wanalala wapi.

  • @lucypeter6662
    @lucypeter6662 Před 6 lety

    Aki wa mwisho ameongea point na ako na maono

  • @christianmarijani104
    @christianmarijani104 Před 6 lety

    Eti uislam...uislam au uchawi..hiyo dini yenu inanitiaga mashaka sana..

    • @brotherjab7773
      @brotherjab7773 Před 5 lety

      uislamu upo mbali na uchawi ukiosoma utaelewa na ndio dini pekee yenye maandiko makali kuhusiana na ushirikina lakini cha kusikitisha wanaojinasibisha nayo hawaisomi matokeo yake ndo hayo unayoyasikia Kwa vijana hao

    • @jumaalmasy4336
      @jumaalmasy4336 Před 5 lety

      Acha ubwege dini yetu ni dini ya ustarabu huwezi Kuingia mchafu km we.

  • @starvista823
    @starvista823 Před 6 lety +3

    Tatizo watu wa kigoma mmejaa ushamba mtu mnawaza tu ngono KWAN NANI KASEMA GUEST NI KWAAJIRI YA NGONO nyie wawapi

  • @goldmansun5859
    @goldmansun5859 Před 5 lety

    na uchawi plus ushirikina vipi

  • @emmanueltarimo892
    @emmanueltarimo892 Před 6 lety +1

    Kwani gesti ni za watu kuzini tu?je kwa wageni wanaokuja hapo ujiji watalala wapi?..na kuna Sheria ipi ya nchi inayozuia biashara ya gesti?acheni kujitungia kanuni ambazo ni kinyume na sheria za nchi

    • @fransiskahaule3343
      @fransiskahaule3343 Před 6 lety

      Ivi mbunge wao ni nani kwani mbona haelimishi watu wake

    • @fredmushendwa357
      @fredmushendwa357 Před 3 lety

      Nimecheka sana,Ujinga tu ,ni vituko vitupu.maana kama ni dini haizuii nyumba za wageni ila wao wametafsiri vibaya maana ya guest house au nyumba ya wageni.
      Sasa dini isiopenda wageni sijawai kusikia,uisilamu unapenda wageni.
      Dubai imejegwa ili kuvutia wageni,na ni mji wa kiislam pia.
      Hao wana ajenda nyingine,kwanza elimu pili uchawi lakini wasisingizie dini. Dunia inavyoenda hizo nyumba za wageni zitajengwa tu ila watakuwa wamejichelewesha tu sana.Hawana ubavu wa kuzuia maendeleo,ujinga utawatoka muda sio mrefu. Na wachawi wengi watakua wamekufa.
      Zamani baadhi ya maeneo ya Tanga ukijenga nyumba ya bati unakufa.Sasa hivi watu wameelimika , wazee wa zamani wachawi wamekufa kaone sasa hiyo mijumba ya mabati ya msauz yanavyoshushwa hapo Tanza.
      Ndio maana nimeangalia nikachwka sana maana najua ni ujinga tu umewajaa.

  • @DIweni
    @DIweni Před 5 lety

    Sasa kama hakuna guest naendaje ujiji kwa mfano! c watanilaza juu ya mti hawa,siendi ujiji mm.

  • @benardmartine244
    @benardmartine244 Před 6 lety

    Nyumba Ya Wageni?

  • @ramadhanimussa882
    @ramadhanimussa882 Před 6 lety

    "Ukiweka Kahawa Baba Utatoboa"

  • @wrghkjdghklljg3819
    @wrghkjdghklljg3819 Před 6 lety +1

    ushamba tu umewajaa