WAZEE UJIJI ''Hatutaki Guest wala bar, zilikuwepo zikabomoka kama Uarabuni"
Vložit
- čas přidán 5. 09. 2024
- Ujiji ni kati ya Miji ya kale zaidi Tanzania, Leo AyoTV na millardayo.com imetembelea katika Mji huo ulioko Mkoani Kigoma baada ya kusikia sifa zake mbalimbali mojawapo ni kutokuwepo kwa nyumba za kulala wageni.
kama umemuelewa sana mzee wa mwisho kama mimi gonga like
Mash'Allah Allah awaongoze mwisho mwema na msimamo wenu Insha'Allah
Huyo mzee wa mwisho kaongea point sana 👍
Wazeee hawa wanauelewa kushinda vijana..kwani vijana wa ujiji mnanini lakini hahahaaa adi wazeee wanawashinda mitazamo daaah..vijana wanawaza guest kwa ngono kumbe guest inamatumizi mengi zaidi ya mtazamo wao awa vijana ndio waharibifu wa ujiji
Hahaaa yan wanamawazo mgando sana
@@fransiskahaule3343 kweli kabisa
@@ashleykipuge1246 🤣🤣🤣
Masha Allh
Uyu mzee wa mwisho kaongea point sana wengine wameongea pumbaaa
Hongerenii sanaaaaaaa
Uyo Mzee wamwisho nimemuelewa vzuli sana ao wengine wanabwabwaja tu,,
Mzee nendeleeni nahao kwasababu mabaa.namagesti yinaharimu vijana sana wanakunywa pombe nauvutaji wambange kwahio msikubali hongereni wazee kwa kuihifadhi dini nayusilamu inchallah mbarikiwe
Guest ni kwaajili ya wageni wanaokuja kutalii au safari za kikazi sasa ninyi mnawaza kuwa guest watu wakienda ni ngono tu. Mbona hamkatazi watu waache uchawi
Si watalii kisha waludi kulala sehemu zenye ma guest kulala.
@@vivianlenard3618 try to be logical
Mashaallah
Nawatoto wa ujiji ndio wanaongoza kwa umalaya na midomo mixer umbea sasa kuzuia guest kuna maana gani subirin miaka mitano mbele mtaona uchawi sio dili
Wee acha umama ww huna mdomo unalia nn usitutusi
kila sehemu na utamaduni wake we shoga unafosi au msenge wewe
Hawa wazee walijua kitakacho wakuta vijana wa sasa 😪😪😪🤗👍🏽
Safi sana nimepapenda Allah azidi kuwalinden
Guest ni dhambi?
Mashaalla mwenyezi mungu. Awabarki
Nivizuli lakini tatizo kwa wAgeni ambao hawana ndugu mnazani watafikia wapi.nawatalala wapi mfano wakija
Jamani Guest Na dini wapi na wapi guest kama lilivyo neno lake ni nyumba ya wageni
Sawa sawa mzee mungu awa baliki
Mtaishi kwa shida sana maendeleo mtayasikia kwenye redio maana gesti sio tu kwa ngono bali hata wageni wanaotoka sehemu mbali mbali wanafikia shubaaaamitttiiiii
Nyie ndio mkija dar mnapata ukimwi mapema sana
Maendeleo ni Peponi Firdaus sio Duniani, hapa Duniani kila Nafasi itaonja Umaut.
Safi sana kabisa
Safi sana 👍🏿👍🏿
Mimi mtalii wa ndani. Sasa Kigoma ujiji siji. Hasara kwenu
Hahahaaaaaaaaaa
Wewe si bure, ulikuwa unataka kufanya utalii wa ngono.
Niliwahi kufika hapo,eneo la kumbukumbu hilo Ujiji!Ila mnatakiwa kuadilika!Gest siyo kwaajili ya ngono tu!
Kajenge kwenu kama unajali
Safi sana
Huyo wa mwisho ndio kaongea ukweli pamoja na Kintu Buhoro.
Geust house maana yake nyumba ya wageni sasa wageni wakifika hapo watalala wapi watu ndio hutumia kwa kufanya mambo machafu wanaenda wenyeji wa humohumo kufanya zinaa neno nyumba ya wageni inageuka kuwa nyumba ya wenyeji
Mji wa kiarabu hup husiokuwa na gest uku wapo ma hotel kila kona na watu wanafanya hufusuka zaman ndio kurikua hakuna lkn sasaiv we usipime kunasitare wara huwamin kama upo huwarabun
Wafanye Kimarekani, hapa Maarekani ukitaka kutumia guests, lazima ulipe karo ya 24 hours! Hakuna kulipa saa chache maana hiyo ni kama unataka kufanya dhambi ya ngono tu!
Mzee umeongea vizuri kwa ufafanuzi zaidi
uchawi tuu mmmekalia na hakuna maendeleo ukooo
Swadaqta kaka Abdallah Muhuza, umeongea vyema.
Vilabu vya pombe msikubali kabisa viwepo katika mji wetu, lakini nyumba za wageni sio haramu kuwepo, sababu sio wageni wote ni waovu.
Mohamed Kazema
ukiwa mgeni unalala wapi? mbona mtihani sana
Kigoma mjini zipo .Maana Manispaa imeundwa na miji ya Kigoma na Ujiji.
Daaah mbadilike! Guest ni kwaajili ya wageni sijui kwanini mnatafsiri vinginevyo
Kigoma yetu naipenda sana
Allah awajarie muzipige vita vikari zipotee kabisaa
Wow mila azitupwi kweli 🙌🙌
huyu mzee wa mwisho anajielewa na naamini amewahi kaa sehemu nje na ujiji au kigoma
hata bangi kali inasemekana inaptikana ujiji
Maamuz sahihi 💯
we jamaa tunaomba hii makala iendelee,,,
Mzee uko vzr
Kama hamtaki ivo vitu kwa nn mnaenda uko kwingine sheria na malufuku ifate mkondo wake msiende ata kwingine hapo ndo uislamu uislamu wakwenda kwingine co kabisa
busara nzuri
kwaiyo uko ujiji wanaishi waislam tu pumbavu zenu piteni kushuto na tabia zenu za udini
Ni hatari yani hiyo ndiyo umaskini kwakweli
Kwani nn maana ya Guest house,, watu wakisikia Guest wanafikiria ujinga! Kwani huko huwa hawapati wageni ? Hamuezi kuwa na maendeleo, tafuta hao wazee wafyekeni!
Guest house si danguro kwa kiswahili ni nyumba ya wageni
Daah hawa ma babu kamwaga point ila yule kijana bwege wa kwanza anaongea shudu.......
Huyo jamaa wa kwanza Anaongea kama Baba Level
ndo maana hamuendelei gesti ni nyumba ya wageni so wageni walale kwenye vbanda vyenu?
wewe unanini??
Omani zipo nyumba za wageni bwana hiyo sijui nyinyi mawazoyenu
Ndio maana pamedumaa mnamambo ya kizamani sana inaonekana hata mzunguko wa pesa apo hakuna...kazi ya kuiga warabu wakati wenzenu huko uarabuni kwenyewe gest zipo. nyie mnajifanya kuiga warabu wakati wenzenu wanaishi kwa kutegemea mafuta?!... mimi hapo siwezi kuishi pana maisha ya kikoloni sana
Ni shidaaa
Ndio maana hata maendeleo maeneo hayo hakuna mnakaa Kama kijiji
Hahaha hiyo ujiji yenyewe choka mbaya mbadilike ndugu zangu
Mbona mnapashambulia kwetu bhna !
Dini ya kieslamu ndo itaki maendeleo ya Kigoma Ujiji. Tume kuwa paskistan sisi?
Nomaa sana
Aizack Wa:10:y94
@@zenomnali5784 napaelewa huko home
Ndiyo maana kumechoka mbaya!
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Huyu mzee aliyesema dunia inavyokwenda yupo sahihi! acheni uzamani Gest cyo usinzi tuu zina kazi nyingi ikiwemo wapumzike waleta maendeleo!
Tukalale wapi Wageni!
Kwa mjumbe ha ha ha
Muna muna daadeki..
Sio kwamba kigoma nzima hakuna gest hapana Bali Kuna sehem maalum ambayo ukienda unapata huduma zote kuanzia gest avingi nevyo yaani mjini hapo Pana itwa mwanga nakuendelea
Nyiee wasengee
Uislam unakuwa rohoni siyo kulazimishana
Munafunga guest kwenu lakini maasi munaenda kufanyia Mwanga kweli Mungu anachezewa kweli kweli.
Acheni ushamba pia uchawi ndomana amuendelei mimi nakuja naweka tuone sasa kama mtaweza kuiwaingia
Sio kweli matunda gest
Kumbe huko wachawi sana kuliko sumba wanga
nimefurahi kuiona ujiji yetu nisiku nyingi sijaiona
Mbona uchawi umetamalaki au nao ni utamaduni wa kiislamu?
Wanaopenda pombe na uzinzi lazima watawatusi wazee kwa kuwaita wachawi ,lakini lengo la wazee ilikua kulinda maadili ya vijana wao na imaniyao ya kiisimu
Huyo mzee wa koti la Jinse Mkongomani
Kwahio wao wanafikiri ni sifa,hajui wanajikomoa wenyewe mfano wageni katika mji huo watalala kwenye hizohizo nyumba zao.
Ndio maana mji wa ujiji hauendelei kwa sababu watu bado wanawazo ya kizamani sana. Guest House ni nyumba ya wageni. Ujiji is supposed to be a historic town but hata watalii wakifika hapo hawana pa kufikia.
Kwa mtazamo wako uzinzi na ulevi ndio maendeleo!!
Sasa hamtaki guest ila uchawi/ushirikina mnaukubali ndoo kitu gani ?
Kibila Wazebanga utawaweza hao!
uchawi kwenu mpuuzi wee
lkn wazinzi na walevi wengi wanatoka ujiji,kwendeni zenu na uchawi wenu
😂😂😂😂
ss c ni wanakuwa watu waliofichwa hivyo wakija oneshwa mambo pahala yalipo, hulipuka na ndo huitwa malimbukeni
Kweli wa so uongo
Wapili ila hapo hakuna gesti vijana wanaenda kufanya uchafu kwingine nn mezuia?
Dennis Kiango utawaweza!
@@mnzavachris5423 nauliza wamezuia nn kwan vijana waeleza wanaenda kwingine kufanya starehe,hawaoni wananyima maendeleo tu ya eneo lao
Dennis Kiango ndo akwambia twarudishana nyuma kwa sababu zisizokuwa na maufaa
@@mnzavachris5423 weachatu
Ile gest ipo jirani na posta ..mtaa wa rusimbi ..imekuwa ikihudumu kwa miaka mingi na yenyewe ilifungwa? Msizingizie gest zipo mwanga na ujiji zipo tunazijuwa ..tena za wazawa wa hapo hapo ujiji..ongeeni haki...
Washirikina ata maendeleo akuna
Mzee wa mwisho kanena aisee!!! Ninachokiona hao wengine hawajui maana ya GUESTHOUSE wanadhani ni sehemu ya kufanyia maovu.
Mnapinga haramu kwa haramu...ati ukifungua bar usubui unakuta vyungu...ss hapo ni 1-1=0
Hii ni Tanzania endeleeni na yenu
Ila uchawi
Uarabuni hakuna guest house na mnavuoendaga kuhiji hua mnashukia kwa ndugu zenu huko Uarabuni? Akili kama tikiti
makha kunaoteli na sio gesti mnazo zini kila siku
Mother Land mmh peleka ulimbukeni huko na kama hujui English sema ufundishwe, guest house na hotel hakuna tofauti yoyote kwani huko Uarabuni mwanamke na mwanaume hawaruhusiwi kuingia kwenye hizi guest rooms? Na wakiingia huwa mnawakagua wanafanya kitu gani? Mnawakagua kama ni wana ndoa? Dubai kuna mpaka madanguro na malaya wanajiuza kabisa
christmas machele wewe kwa namna yeyote ni mtoto uliyepatikana kwa njia ya zinaa na mimba yako ilipatikana guest ndio maana unaathari kubwa na utetezi wa guest endelea kushabikia nyumbani kwenu guest
Hassan Mirambo mimi ni msafiri na ni mfanyabiashara nusu ya maisha yangu naishi lodge zaidi kuliko nyumbani kwetu so nawashangaa sana nyie mapoyoyo of course hata huko kigoma kwenu nshafika tena nilikaa lodge flani karibu na stand mpya na wala sikulala na mtu, tatizo nyie business hamjui mmekalia uzinzi na ushirikina
christmas machele eti nusu ya maisha yangu nalala lodge wewe nusu ya maisha yako unaijua au unaropoka tu
Ujiji ni wachawi na ndio Mana wageni hawakai mgeni akiingia Ana hela wanamuua au anafukuzwa acwazid uwezo kwa gest hawezi kuwepo
Hamtaki nyumba za kulala wakifika kwenu walale wapi
imuhila nyumban ni nyumban
Dada zangu wamezalia nyumbani nipo ujji comment
Mtangazaji anauliza maswali ya kitoto
Asa tour za ujiji kumbe ni ufala ulale wapi sasa kama hamna guest
wabuhoro Ohaaaa kamanaiona mrumbani
Sababu ya kutokuwa na Guest House Ujiji ni kukosa wateja!!!!!!
Wageni watafikia wapi?
Duuu! Wageni mnawalaza wapi? Guest sio nyumba za kufanyia umalaza. Vinginevyo wageni waonyeshe vyeti vya ndoa.
Sasa wageni wanalala wapi.
Aki wa mwisho ameongea point na ako na maono
Eti uislam...uislam au uchawi..hiyo dini yenu inanitiaga mashaka sana..
uislamu upo mbali na uchawi ukiosoma utaelewa na ndio dini pekee yenye maandiko makali kuhusiana na ushirikina lakini cha kusikitisha wanaojinasibisha nayo hawaisomi matokeo yake ndo hayo unayoyasikia Kwa vijana hao
Acha ubwege dini yetu ni dini ya ustarabu huwezi Kuingia mchafu km we.
Tatizo watu wa kigoma mmejaa ushamba mtu mnawaza tu ngono KWAN NANI KASEMA GUEST NI KWAAJIRI YA NGONO nyie wawapi
Wakigoma
na uchawi plus ushirikina vipi
Kwani gesti ni za watu kuzini tu?je kwa wageni wanaokuja hapo ujiji watalala wapi?..na kuna Sheria ipi ya nchi inayozuia biashara ya gesti?acheni kujitungia kanuni ambazo ni kinyume na sheria za nchi
Ivi mbunge wao ni nani kwani mbona haelimishi watu wake
Nimecheka sana,Ujinga tu ,ni vituko vitupu.maana kama ni dini haizuii nyumba za wageni ila wao wametafsiri vibaya maana ya guest house au nyumba ya wageni.
Sasa dini isiopenda wageni sijawai kusikia,uisilamu unapenda wageni.
Dubai imejegwa ili kuvutia wageni,na ni mji wa kiislam pia.
Hao wana ajenda nyingine,kwanza elimu pili uchawi lakini wasisingizie dini. Dunia inavyoenda hizo nyumba za wageni zitajengwa tu ila watakuwa wamejichelewesha tu sana.Hawana ubavu wa kuzuia maendeleo,ujinga utawatoka muda sio mrefu. Na wachawi wengi watakua wamekufa.
Zamani baadhi ya maeneo ya Tanga ukijenga nyumba ya bati unakufa.Sasa hivi watu wameelimika , wazee wa zamani wachawi wamekufa kaone sasa hiyo mijumba ya mabati ya msauz yanavyoshushwa hapo Tanza.
Ndio maana nimeangalia nikachwka sana maana najua ni ujinga tu umewajaa.
Sasa kama hakuna guest naendaje ujiji kwa mfano! c watanilaza juu ya mti hawa,siendi ujiji mm.
Nyumba Ya Wageni?
"Ukiweka Kahawa Baba Utatoboa"
ushamba tu umewajaa