Yanga SC 5-1 ASAS FC | Highlights | CAF CL | 26/08/2023
Vložit
- čas přidán 25. 08. 2023
- YANGA VS AS AL SABIEH: Yanga SC imefuzu raundi ya pili ya hatua za awali katika michuano ya Ligi ya Mabingwa barani Afrika kwa kishindo ikiipa kipigo cha jumla cha mabao 7-1 ASAS ya Djibouti kufuatia ushindi wa 5-1 iliyoupata leo katika mchezo wa marudiano.
Waliotikisa nyavu kwenye game ya leo iliyopewa jina la #MaxDay ni Max Nzengeli dakika ya 7 na 90+2, Hafidh Konkoni dakika ya 45, Pacome Zouzoua dakika ya 55 na Clement Mzize dakika ya 69 huku ASAS nao wakipata bao kwa penati dakika ya 85 kupitia kwa Tito Mayor
Mechi zote mbili zimepigwa hapa Azam Complex, Chamazi, Yanga wakiwa wamshinda 2-0 katika mchezo wa kwanza…..
Tazama highlights.... - Sport
Waoooh hawakukosea kusema max day, yanga tamu 💚💛💚💛💚
Yanga naipenda sana
Asante chama langu yanga oyeee mambo kama hayo nawaombea wachezaji myafanye mwezi wa kumi na Moja,
Dakika ya 7, jezi namba 7 na mpira mboga 7 🔥
Daima mbele, nyuma mwiko 💛💚
Dakika ya 7 namba 7 max huyoo😊😊❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤yangaaaas
Kibabage mtu sana 🙌💪
Kuna siku atakula mtu 10 c kwa kasi hii ya yanga❤
Max Mpia, Jezi No. 7 anafunga goli dakika ya 7 na sekunde 17 what a coincidence😊😊😊
Yani Azam kwenye Highlights bado hamko serious. Kweli mechi hii ya kutuletea dakika 7?
Iyoo. Ndo .yanga. Bwanaa. Injinia. Herrss. Ni. Bora. Kuliko. Like. Boya. La. Ugari. Sukari
Hv mmegundua kitu leo MAXDAY goli la kwanza limefungwa dkk ya 7 na mwenye jersey no.7
Yani hapo bado hujasema mpaka useme😅😅😅😅😅
💛💛💚💚💛
Kazi kazi
Azam tv Mbona Sikuhizi Munazingua
Sanaa...!! sasa dkk mbili na nusu ndio nini?
Yani hawa jamaa wa Azam wamekuwa wa hovyo sana Kuna haha gani ya kuweka highlight ya dk 7 no Bora msiwe mnaweka.
Nzengeli
Yani hawa jamaa wa Azam tv wamekuwa wa hovyo sana Kuna haja gani ya kuweka highlight ya dk 7 yani ni Bora msiwe mnaweka.
ongezeni dakika mnatunyima raha
Azam highlight za msimu huu mnatubania sana sana sisi ambao tunategemea highlight kuangalia mechi hamtutendei haki kabisa na sisi ni wateja jamann mtujali.
Azm wivu uwo dakk 7 mamaee zenu ❤❤
Daima mbele nyuma mwiko❤
Sasa dakika saba ndo nini si bora mngeacha tu
Yanga inatisha mazee
Jamani jamani jamani
Bao la kufutia machoz kwa zalan
Yaan had rahaaa
Hii imeenda
Nilichokigundua nikwamba Hadi sisi Mashabiki wa Yanga tumeanza kuiogopa Yanga 😅😅Sasa sjui hio club zenu vp??
😅😅😅😅😅😂😂😂 umenifurahisha
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣jamn jamn
DADA AOLEWA NA NDONDOCHA BAADA YA MAMA YAKE KUMLAZIMISHA KUOLEWA KWENYE FAMILIA YA MATAJIRI MOSHI
czcams.com/video/jdmLWp5HWFg/video.html
Sema ww ndugu yangu nkisema mimi ntaonekana mbaya
Yanga ipi ww? Mnajisifu kwa kibonde huyo jbouti? Subiri mkutane na wanaume ww
Jamani MAX ZENGELI Ndio habari yanga anatisha Santee ,tunawaombea uzime,siku ya Simba na yanga kwenye uzima nitakuwepo taifa naomba iwe Raha kama hii nawapenda kaka zangu nawaombea ushindi Kila mara
Simba siyo vibonde ucje ukazimia tu taifa
Azam tv kwakweli mnazingua sasa hii ni highlight au mmeonyesha magoli tu? Au ndo mnabania bundle 😢😢
Ongezeni dakika maana Kuna matukio mengine muhim yanakosekana kutokana na uchache wa dakika, highlight iwe na angalau dadika 18 adi 20
Nasemaje Fa'Mchezo ni Fa'Masihara Kama kutolewa tutolewe hukuhuku kwenye hatua za awal na yakwanza tukiingia tu Group stage wametukosa watatushikia Sem Final au Final yenyewe
Hv Hawa Asas na Zalan wanatoka nchi moja au?
Yani mpaka waseme
🙌
Yan Yanga asaiv inakomoa so kwa magoli ayo
Mashine
Azzk kawa mtam 😮😮
Yaani hapo mpaka useme mbn badoo hujasema
Me ni yanga😂😂🎉
Yaaaaaanga
😮😮😮😮 hii imeeendaaaa
Pp
to infinite and beyond💛💚💛💚💛😄
Mpenja inaogea sana kuchambua Mpira hiwezi😂😂😂
Yangaaaaaaaaaa kiboko tunawataka wavaa vijuba
Yaani mpenja mpaka umesahau jina la timu eti zalani hao sio zalani ni asasi mabingwa wa kutengeneza maziwa😅😅😅
Nitafuten tuongee vzr
😂😂😂😂yanga pambeeeeee
Tuleteeni ata DKK 40
.
Mtuongezee muda kwenye highlight matukio mengne mnayaacha
Sijuwi Tuendeleze Au VIP?..
Yanga wakifuna vibonde dah hasira zote zinaishia kwa vibonde
Hapo hakuna magoli ya maana
Hata mama yako akilalwa wakimkojolea tuuu anaona sio wa maana
Ya maan unataka wafunge kwa mikono?
Nabado Utasema tu Hii Ndio Yanga
Ila mnatupunja udabwi,udabwi hatuoni kama misim mingine tunaona matukio mengi
Kwa yanga hii wakikutana na simba tena naona kama wanapiwa 4 au 5
Kwampira mzur unaochezwa nayang hamtakuja kuamin highlit zitatushwa had za dakika mbili wivu tu
Mpenja bhana et wandewa wameanza kazi yao😂😂😂
Mh !!!!!!
Pacome
Goli la kufutia machozi kwa zalan😁😁😁😁
Where is king mayele
Et yuleee na blich yake😂😂😂
Pacome😂
Max😂
jaman kwan mmechez nanan
mpenja mwenyew anawaita zalan
Hii highlight ni very poor quality
simu yako kimeo tu, nawatch kwenye pc hapa HD safi
Kweli kabisa.Huwezi kuweka highlights harafu unaruhusu muvu ya goli isionekani unatuonyesha marudio ya goli.
Basi apo Nzige wanajikuta arsenal 😩🐸🐸 Fyuuu
Unateseka ukiwa wapi dunduka ww😂😂
@@alicenice1711 hiyo ni kama kmc iliyo jichokeaa 🐸😩😩
😂😂😂😂😂😂
Kolo bata ziwa
Utakufa mapema mbwa wewe..punguza makasiriko😂😂😂😂
Yanga bhana yani wanapiga bomu mochwari afu wanajisifu wameua😄😄
Kweli hata wewe uko mochwari
Acha wivu marehemu ww
Tim kibonde wanasimba walishapiga mtu 8 sembuse tano
TUNA BAHATI YA KUCHEZA NA VIBONDE KUDADADEKI
Nabado Mutasema tu
Yanga ni watu na nuxu
Ppp
Yanga maneno mengi sana lkn mpira bado uko chini mno
Mnakata migomba tu,, timu haina kwao,, CHEVU,,
Nabado Mutasema tu
Bado hamjasema tukiwachoma kidole MATAKONI ndo mtasema vizuri😃
Nilichogundua yang wamecheza na timu ndogo sanaaaa
😂😂aya
Ndomana kuna mwanamke na mwnaume
Wivu mwingi
We waache Tu, huu mwaka mbona watu watatubu
Hata wewe unavoinamishwa na wanaume wenzako wanakuona mdogo sana ndio maana wanakupiga makalioni
kwel yanga ni wajinga, mnapiga kilema ara mnajisifu mnanguv, timu ambayo hain hata kwao, barak mpenja ndoomaan amewaita ``ZALAAN
Wajinga Wazazi Wako Walio Kuzaa Yani Babayako Na Mamayako Mzazi Wote Wajinga
Tunataka Kizalan kingine
Tuleteee huyo unaye muona wewe ni mzima tumnyosheee😊😊😊
Wakati tumemfunga 5G Kmc mlisema hanakitu mbona asas mmeshidwa kumfuga goli 5 mmemfunga 2 tu, sasa tumewajibu nao wemepigwa 5G naunaumiiiiia😂😂😂😂😂 yamani acheni wivu ,husda ni mbaya sana ivi Asas wenge cheza na Azam,Singinda na timu nyingi mngeyasema hayo kweli? Kubari tu kunaligusa boli, wewe na wenzio nuna nuneni sana ndio kwanza tumeanza.😛😛😛
Hamjasema vizuri tutafanya hivi hivi mpaka mseme