Al Merrikh SC 0-2 Yanga SC | Highlights | CAF CL 16/09/2023

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 15. 09. 2023
  • Magoli mawili yote yakifungwa kipindi cha pili, kutoka kwa Kennedy Musonda dakika ya 60 na Clement Mzize dakika ya 79 yameipa Yanga ushindi muhimu ugenini, wakiicha Al Merrikh 2-0 kwenye Uwanja wa Pele, Kigali Rwanda.
  • Sport

Komentáře • 171

  • @baraka8347
    @baraka8347 Před 9 měsíci +115

    Nipeni na mimi likeeeeee jaman

  • @moshielfesty7992
    @moshielfesty7992 Před 9 měsíci +9

    Mechi za yanga ukiziangalia zinavutia hata km nimarudio ni km live tuu 🎉🎉

    • @lainacemmmwasote1862
      @lainacemmmwasote1862 Před 9 měsíci

      Sanaaaa🔥🔥🔥hizo movement za pacome aisee.🔥🔥,Ki,Musonda,Aucho,Max,yaan wooote jmn uwiiii🔥🔥🔥🔥Yangaaaa

  • @aminahkhuzwayo-iv1wl
    @aminahkhuzwayo-iv1wl Před 9 měsíci +8

    Kama unamkubali PACOME.. usisahau kulike jaman leo wa sita!!from 🇿🇦💚💚💚💚💚🔥🔥🔥🔥💛💛💛💛💛💛💛💛

  • @amanmalima940
    @amanmalima940 Před 9 měsíci +14

    Yesu ndiye njia ya KWELI na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini YESU na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende mbinguni.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

  • @AyubuAyubu-iq2oo
    @AyubuAyubu-iq2oo Před 9 měsíci +6

    Wa kwanz mm naomben like million 2

  • @NasriAbdillah-pj1jx
    @NasriAbdillah-pj1jx Před 9 měsíci +4

    Maboya Sana Azam media. Mnacheleweshaje highlights za game ya Yanga

  • @KalangaLoiyolengai
    @KalangaLoiyolengai Před 9 měsíci +7

    Yanga bingwa

  • @omega-gl9wt
    @omega-gl9wt Před 9 měsíci +8

    Tunaomba wachezaji wote waliosajiliwa wacheze ili viwango vyao vieleweke 😊😊

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 Před 9 měsíci +5

    Me ni yangaa🎉🎉

  • @EltonMmari
    @EltonMmari Před 9 měsíci +5

    Kwa mara ya kwanza leo ndio nimeona uzalendo 👊🏼👊🏼 big up simba and yanga fans

  • @TithoYusuph-jm1ke
    @TithoYusuph-jm1ke Před 9 měsíci +3

    Sisi ndo yanga 💚💚💚

  • @salihalash4111
    @salihalash4111 Před 9 měsíci +4

    This is yanga first ever win vs Almerrikh
    Almerrikh will always be giant of east african club football

  • @user-st3xj3dr8q
    @user-st3xj3dr8q Před 9 měsíci +2

    daaah! kwa yanga hii hatuna nenoo!

  • @sheysarahnjeno5207
    @sheysarahnjeno5207 Před 9 měsíci +3

    Yangaaaaa yanguuuu

  • @doneeplus9290
    @doneeplus9290 Před 9 měsíci +4

    Mzize apewe nafasi zaid ameanza kulomaa ajitahid zaidi kwenye kuzijua njia za pasi na jinsi ya kupokea pasi za mwisho na kuzigeuza kuwa magili sio kila position yeye ni offside au akutane na kipa adhibitiwe

  • @user-wz2ew4qw2w
    @user-wz2ew4qw2w Před 9 měsíci +1

    Nawapongeza sana wananchi daimambele nyumamwiko tutafika mbali❤

  • @AHMADA515
    @AHMADA515 Před 3 měsíci +2

    Nani kaona ..eti kocha wa yanga nj bakari malima!!! Azam wameandika

  • @Gaudencia-wc8jc
    @Gaudencia-wc8jc Před 9 měsíci +3

    Yanga tam💚💚💚💚💚💛

  • @mkata_umeme_kante
    @mkata_umeme_kante Před 9 měsíci +10

    Mbona highlights za Yanga mmechelewesha nyie wasenge?? , kisa timu lenu la azam lilikandwa hatua za awali na lile chezaji lenu kubwa kama pawa mabula😡

    • @WitnesKephas
      @WitnesKephas Před 9 měsíci +1

      😂😂😂😂

    • @ngorshermelody2021
      @ngorshermelody2021 Před 9 měsíci +1

      Wasenge wanatamn hata waspost kabisa mech yayamga imeisha kabla yasimb lakn simb imepostowa samoja yamga wanasubl had walale

    • @wardah-mb6kb
      @wardah-mb6kb Před 9 měsíci +1

      Ndo walivyo wapuuz hawa lakn timu nyingn ikicheza mapema tu wanarusha

  • @bahatirashid6964
    @bahatirashid6964 Před 9 měsíci +2

    Leo highlight imekaa sawa laki iongenzwe hadi dk15 itakuwa iko poa sana hata za Nbc league.

  • @stephanocornely130
    @stephanocornely130 Před 9 měsíci +3

    Ila huyu Aziz Mafunguo n noma sana jmn. Anasumbua sana kumkaba

  • @omega-gl9wt
    @omega-gl9wt Před 9 měsíci +1

    Striker wa yanga mchezo wa pili wajitahidi kuoiga mipira mbali na keeper sababu keeper ni mrefu😊😊😊.

  • @beatbyrich2891
    @beatbyrich2891 Před 9 měsíci +3

    Poor Pitch, high risk of injuries. No more Plastic in football.

  • @zaniamohammed2258
    @zaniamohammed2258 Před 9 měsíci +4

    Tatizo watanzania niwavivu kushangilia tubasubir mpaka goli liingie ndo tushangilie ona wenzetu hawapoi !!

  • @mnyakitz2007
    @mnyakitz2007 Před 9 měsíci +3

    Duuh nimeisubiri hii afu nimeidaka juu kwa juuu 😂😂😂

  • @sifauseni6900
    @sifauseni6900 Před 9 měsíci +1

    Wanainchi mpoooooo 🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @timcee2670
    @timcee2670 Před 9 měsíci +5

    Yani hii Yanga sio ya kukariri kikosi wala kukariri wa kumkaba, Kikosi chochote kinakanda na mchezaji yeyote anakanda

  • @richardmichael7523
    @richardmichael7523 Před 9 měsíci +3

    Matangazo hayakuwa na ubora tuliouzoea haswa kwenye wide camera.

  • @fra9873
    @fra9873 Před 9 měsíci +2

    These fields are dangerous for players

  • @kafumutv.6082
    @kafumutv.6082 Před 9 měsíci +2

    Azam ndio mnatuma saiv Yan ad MB zangu ad zmeishaaa mnzingua sana

  • @user-mq1zq7kb7n
    @user-mq1zq7kb7n Před 9 měsíci +3

    Waoooo

  • @hamisimkima-un3jk
    @hamisimkima-un3jk Před 9 měsíci +1

    Wananchiiiiiiiii🎉❤🔥🔥🔥

  • @husseinmassawa7186
    @husseinmassawa7186 Před 9 měsíci +2

    Sijui kolo tulimwaachaje kwenye ngao😅😅, nawaonea huruma sana power dynamo nao watakuja kukutana na mvua sizizoeleweka, mkono utawahusu😂😂😂😂

  • @user-sd4hl7yh9n
    @user-sd4hl7yh9n Před 9 měsíci +2

    Namimi.watatu

  • @G.r.e.a.t.I.Q
    @G.r.e.a.t.I.Q Před 9 měsíci +3

    Ahsante sana Yanga! Endeleeni kututamusha!

  • @user-il3bu7ib8m
    @user-il3bu7ib8m Před 9 měsíci +2

    Tumcfie kwa shukuran niyonzima

  • @monicasimbamwene2776
    @monicasimbamwene2776 Před 9 měsíci +6

    Yaani uwanja ni vumbi la mkaa tupu

    • @saidrajab3808
      @saidrajab3808 Před 9 měsíci

      Ndo uwanja wa nyasi bandia unavyokuwa

  • @baraka911
    @baraka911 Před 9 měsíci +3

    Yanga Bingwa

  • @MkaliZuberi-rt3gb
    @MkaliZuberi-rt3gb Před 9 měsíci +4

    Mwenye kuelewa ameelewa na wasenge hawaelewi

  • @fra9873
    @fra9873 Před 9 měsíci +3

    🇹🇿💪🏼

  • @omega-gl9wt
    @omega-gl9wt Před 9 měsíci +1

    Tunaomba yanga wafanyie mazoezi mengi ya kufunga magoal nje ya 18 ndani ya box,through ball na v-pass also penalty 😅😅😅

  • @pmall8867
    @pmall8867 Před 9 měsíci +2

    Video quality ✋

  • @slimmuhabesh2400
    @slimmuhabesh2400 Před 9 měsíci +1

    Mimi Ni Yangaaaa

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Před 9 měsíci +4

    Wakati sisi tunacheza SOKA, Kule MAKOLO wanacheza YOPE...🤣🤣🤣

  • @chakuboyofficial9720
    @chakuboyofficial9720 Před 9 měsíci +4

    Mzize ana zinguwa

    • @mohamedmagongo9348
      @mohamedmagongo9348 Před 9 měsíci +3

      Kwa kweli Mzize anakera sana, kila mechi anakosa magoli ya wazi kabisa!

    • @chakuboyofficial9720
      @chakuboyofficial9720 Před 9 měsíci +4

      @@mohamedmagongo9348 kumbe una ona niambie sasa zile mechi Ngumu ambazo akuna nafasi nyingi mbona tuta liya ana kosa nafasi nyingi sanaa

    • @petermayala2790
      @petermayala2790 Před 9 měsíci +1

      Kweli Kuna nafasi aliwekewa na maxi nzengeli mpaka Sasa naifikilia ila mzize alipoteza

    • @chakuboyofficial9720
      @chakuboyofficial9720 Před 9 měsíci

      @@petermayala2790 wala sio iyo tuu tuta ona nyingi sanaa acha tufurahi lakini ipo siku tuta laumu

    • @rogersiddy
      @rogersiddy Před 9 měsíci +2

      Hili walifanyie kazi sasa maana huu sasa usiwe wimbo Selemani anapewa nafasi hazitumii afunge aache utoto bhana akipatikana foward mzuri atachezea benchi we muache tu

  • @slimmuhabesh2400
    @slimmuhabesh2400 Před 9 měsíci +2

    Yanga Bingwaaaa

  • @RoseMunisi-fy1sq
    @RoseMunisi-fy1sq Před 9 měsíci +3

    Kiwanja kibovu sanaa...utdhan vumbi la mkaa limejaa

  • @donatusmsike4671
    @donatusmsike4671 Před 9 měsíci +4

    Kama gari linaenda kuzimia fainali

    • @sadatamal3655
      @sadatamal3655 Před 9 měsíci +1

      Umeonaeee yaani hapa gari linazima final kabisa

  • @omega-gl9wt
    @omega-gl9wt Před 9 měsíci +1

    Yanga walikosa ushirikiano na umakini😂 wangefunga hata goal nne😅 Kigali

  • @SifaeliMelita
    @SifaeliMelita Před 9 měsíci +1

    Kwahiyo kocha wa yanga anaitwa Bakari malima

  • @stephanocornely130
    @stephanocornely130 Před 9 měsíci +3

    Dah huu mpira wa yanga n nyonya damu aisee.. Ngoja tuone mie nipo paleeeeeeee

    • @EltonMmari
      @EltonMmari Před 9 měsíci

      Una maanisha nn kaka👀

    • @EltonMmari
      @EltonMmari Před 9 měsíci

      Bado haujakuridhisha ama

    • @stephanocornely130
      @stephanocornely130 Před 9 měsíci

      @@EltonMmari kwa mpira wao n vigumu timu pinzani kumiliki mpira. Naona timu nyingi zitapata tabu sana kwa hawa utopolo

    • @stephanocornely130
      @stephanocornely130 Před 9 měsíci

      @@EltonMmari noo nawasifia, jamaa wanakukimbiza mpaka utaachia tu

  • @ngorshermelody2021
    @ngorshermelody2021 Před 9 měsíci +7

    Azam wanataman hata highlight zayanga wasirushe just imagine mech yayanga imetamguliwa kuisha ndonikaisha yasimba lakn yasimba imepostiwa samoja hiohio lakn yanga imekuja kupostiwa satano watu wameshall 😂😂😂 Duh

    • @wardah-mb6kb
      @wardah-mb6kb Před 9 měsíci +3

      Azam wapuuzi sana wanawachukiia yanga ila timu nyingin ikicheza mapema tu wamerusha

    • @ngorshermelody2021
      @ngorshermelody2021 Před 9 měsíci +3

      @@wardah-mb6kb Shenziii zao kabisa

    • @rogersiddy
      @rogersiddy Před 9 měsíci +1

      Nakubali siroho mbaya zimewajaa kunamawasiliano hapo kati watendaji wa Azam Football club na warusha matangazo ujinga tu ndiomana nchi yetu haipigi hatua kimaendeleo kiuchumi wa kimpila sababu yaubinafsi tu

    • @slimmuhabesh2400
      @slimmuhabesh2400 Před 9 měsíci

      Azam wanazingua sana hii sio mara ya kwanza ...mara zote hua wanafanya hivi hivi

    • @ngorshermelody2021
      @ngorshermelody2021 Před 9 měsíci

      @@slimmuhabesh2400 😂hawajasem mpk wasem watake wastake lazm wapost

  • @christianjohnmwalugaja8090
    @christianjohnmwalugaja8090 Před 9 měsíci +1

    Eti waandishi uchwara walikuwa wanaitisha Yanga kuwa El Merrekh wamelidai watapigana Vita vitakatifu. Hawa waandishi watu wa ajabu sana.

  • @JamesJacob-pm4rm
    @JamesJacob-pm4rm Před 9 měsíci +1

  • @omega-gl9wt
    @omega-gl9wt Před 9 měsíci +1

    Tunaomba kocha amuweka max nafasi ya mzize na mzize acheze namba 7

  • @boscojmseso7072
    @boscojmseso7072 Před 9 měsíci +1

    Hiv bakressa umeshidwa kwel kumuomba injinia ukae nae japo kidogo japo lisaa limoja akushaul maana ya timu jins inavyoendeswa kwel umeshidwa siamin Kama umeshidwa

  • @user-ny7sk8pv3x
    @user-ny7sk8pv3x Před 9 měsíci +1

    👏👏👏👏👏

  • @AbuuAbdilRahmaan
    @AbuuAbdilRahmaan Před 9 měsíci +2

    WANAOTAKIWA KUTANGAZA MECHI ZA YANGA NI KABOMBE NA MZINGA TU.

    • @lainacemmmwasote1862
      @lainacemmmwasote1862 Před 9 měsíci

      Baraka Mpenja,Ghalib Mizinga,Aluatan Ramadhan Ngoda,cjui na wengine huko...pira linakua fireeeee🔥🔥🔥lkn hata hawa watafikia huko.

  • @EliasHassani
    @EliasHassani Před 9 měsíci +2

    Kwa nn mmechelewsha hv

  • @user-ob1wq4oc9c
    @user-ob1wq4oc9c Před 9 měsíci

    Apo sawaaa

  • @Kimweri_tz
    @Kimweri_tz Před 9 měsíci +2

    Hii ndo timu ya kushabikia

  • @user-nn5sq8ol4g
    @user-nn5sq8ol4g Před 9 měsíci +2

    Yao nikiberenge

  • @user-ru7np8ji9p
    @user-ru7np8ji9p Před 9 měsíci +2

    Mbona mme chelewa sana azam

  • @AgilipinaMashaka
    @AgilipinaMashaka Před 9 měsíci

    Wako safi

  • @robertoluomba1268
    @robertoluomba1268 Před 9 měsíci +1

    Nmahhhhh

  • @tilltheland5956
    @tilltheland5956 Před 9 měsíci +1

    sisi wa thinba tunakomenti wapi😅😅😅

  • @jumaribakare5069
    @jumaribakare5069 Před 9 měsíci

    Images zenu siku hizi haziko clear

  • @jamessilwamba2862
    @jamessilwamba2862 Před 9 měsíci +2

    Coach wa Yanga ameandikwa Bakari Malima hapo juu baada ya kutajwa kikosi mmekosea

  • @user-ob1wq4oc9c
    @user-ob1wq4oc9c Před 9 měsíci

    😮

  • @omega-gl9wt
    @omega-gl9wt Před 9 měsíci +2

    Tunaomba Mzize asianze kipindi cha kwanza

  • @ernestsinje-ng8hm
    @ernestsinje-ng8hm Před 9 měsíci +1

    YANGA Utamu tu

  • @Julitha-vs9ee
    @Julitha-vs9ee Před 9 měsíci +2

    Hili goli la Musonda, nimeona umuhimu wa vile walivyokuwa wanafanya mazoezi kwa mikono ila kufunga kwa kichwa kweli Yale ni mazoezi na sio mchezo kama watu walivyokuwa wanaona.......

  • @user-bj3ep5kc1u
    @user-bj3ep5kc1u Před 9 měsíci +1

    Mpaka waseme bado awajasema

  • @aishabakari8040
    @aishabakari8040 Před 9 měsíci +2

    Ndio mutume sai waone vile 🙄🙄

  • @user-yk6tj7yj5v
    @user-yk6tj7yj5v Před 9 měsíci +1

    Skudu Yuko wapi

  • @minhokid
    @minhokid Před 9 měsíci +1

    Ndio ndio

  • @hashimumwinyi2239
    @hashimumwinyi2239 Před 9 měsíci

    Hawa pale complex watakula tanoo

  • @user-ru4fe4cj2k
    @user-ru4fe4cj2k Před 9 měsíci +2

    Diara wewe ni nyan ama maan unanikoxha xana

  • @sankaadeo
    @sankaadeo Před 9 měsíci +1

    Yangaa Rahaa tupu

  • @jimmymasaki286
    @jimmymasaki286 Před 9 měsíci

    Yanga 🎉🎉🎉 ipewe mau yake😅😅

  • @samuelmiryango3524
    @samuelmiryango3524 Před 9 měsíci +4

    Uwanja wa pumba jamani

  • @MpalestinaYahaya-kf7iq
    @MpalestinaYahaya-kf7iq Před 9 měsíci +1

    Files

  • @RBSMABATI
    @RBSMABATI Před 9 měsíci +3

    Yanga anapangiwaga na timu za Vita vita Kama wale Zalan😅😅😅😅😅 hadi leo hawajafika kwao😊😅😅😅😅😅

  • @user-ub4mc1zh5u
    @user-ub4mc1zh5u Před 9 měsíci +1

    Boc Jana kaongea kauli mbili tu za uhakika tusubiri vitendo

  • @simonmjema7352
    @simonmjema7352 Před 9 měsíci

    Mtangazaji ni mtu wa pwani😅

  • @fargakoigip6029
    @fargakoigip6029 Před 9 měsíci

    Azam TV hua hamkosi baya kwa YANGA yaani Kocha wa YANGA ni Bakari Malima? jina la Kocha wa El Merrekh mnalipatia kuliandika jina lake tena nirefu kweli hila la Miguel Gamondi linawshinda mpaka mumwite Bakari Malima?

    • @mkude
      @mkude Před 9 měsíci

      Hayo ni mambo ya kimakosa tu.wanaubaya gani Kwa yanga? Sisi wanayanga tunajua Azam wapo haki kabisa

    • @fargakoigip6029
      @fargakoigip6029 Před 9 měsíci

      @@mkude ukiwa mwanaYANGA haujitangazi km hivi, Azam wanatumia fedha wanazozipata kwa mkataba wa kibatili wa miaka 10 na TFF kuibomoa YANGA leo wanae Djuma Shaaban, Bangala na Feisal na wote hawakuondoka vizuri YANGA,....

    • @mkude
      @mkude Před 9 měsíci

      @@fargakoigip6029 ninachoangalia mimi Azam anamchango mkubwa sanaaa kwenye soka.tuache fitina na maneno maneno kama wanawake

  • @ValerianaMgani
    @ValerianaMgani Před 9 měsíci +1

    Kula chuma hicho

  • @habisnasalum-nz4zo
    @habisnasalum-nz4zo Před 9 měsíci +1

    Zamareki wabovu sana

    • @piliMuhammed-so3pg
      @piliMuhammed-so3pg Před 9 měsíci +2

      Tulishakubaliana kua ligi ya mabingwa hakuna timu mbovu au mambo yamebadilika saiv

    • @happynessowani6098
      @happynessowani6098 Před 9 měsíci +3

      Amesahau huyo 😂😂😂😂 mkumbushe walisema ligi ya mabingwa haina wabovu

    • @alicenice1711
      @alicenice1711 Před 9 měsíci

      ​@@piliMuhammed-so3pg😂😂😂😂😂😂

    • @mkude
      @mkude Před 9 měsíci

      😂😂😂😂😂 wamesahau tulivyofika fainali wakasema time zote tulizo pangiwa nazo nyepesi hata wale wa algeri.matokea yake wa algeri wamempiga Al Ahli na kuchukua kombe Kwa Yanga hii kila timu tutakayokutana nayo mtasema wabovu😂😂😂😂

  • @MkaliZuberi-rt3gb
    @MkaliZuberi-rt3gb Před 9 měsíci

    Yanga mpaka sasa ajacheza mech yoyote ya maana anacheza na timu ambazo ni kama yeye mwenyewe yanga

    • @husseinmejja8041
      @husseinmejja8041 Před 9 měsíci +2

      Yanga iko bora hata ukibisha

    • @laurencematitah7046
      @laurencematitah7046 Před 9 měsíci +4

      Wewe Fala Sana, hata mpira hujui, kwanza wewe sio shabiki ni mshangiliaji unaongea kisa droo ya kubahatisha, kwa hili Simba la kikuzi cjui utafika wapi, kama sio kujinyonga cjuiii!

    • @Fransiskongara-kc3cv
      @Fransiskongara-kc3cv Před 9 měsíci +3

      Hata Simba bwana, timu ya kushinda wanatoa sare

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 Před 9 měsíci +6

      Kiufupi Kila Timu inaonekana nyanya kutokana na UBORA wa YANGA...mtasema wote manyanya mpk FAINALI.!

    • @christapapollo5737
      @christapapollo5737 Před 9 měsíci +3

      Kama ile simba ya ngao ya Jamii,mkashinda kwa penalty,yanga walikuwa wepesi mkashindwa kuwafunga dk 90.

  • @mbugetv
    @mbugetv Před 9 měsíci

    Wamenunuw mechi tu hao yanga

  • @GODLOVEDANIEL-gq1jv
    @GODLOVEDANIEL-gq1jv Před 9 měsíci

  • @ephremmtuya3094
    @ephremmtuya3094 Před 9 měsíci +3

    Lomalisa alifanya uchoyo wenzako walikuwa wanasubiri uwape pasi

  • @user-hs2fb3co7w
    @user-hs2fb3co7w Před 9 měsíci +4

    Pakomee Zuzuwa atalisana

  • @hashimumwinyi2239
    @hashimumwinyi2239 Před 9 měsíci

    Hawa pale complex watakula tanoo

  • @GODLOVEDANIEL-gq1jv
    @GODLOVEDANIEL-gq1jv Před 9 měsíci