Al Merrikh SC 0-2 Yanga SC | Highlights | CAF CL 16/09/2023
Vložit
- čas přidán 15. 09. 2023
- Magoli mawili yote yakifungwa kipindi cha pili, kutoka kwa Kennedy Musonda dakika ya 60 na Clement Mzize dakika ya 79 yameipa Yanga ushindi muhimu ugenini, wakiicha Al Merrikh 2-0 kwenye Uwanja wa Pele, Kigali Rwanda.
- Sport
Nipeni na mimi likeeeeee jaman
Asa like ndo utashiba au ufanyie nin
Hizi apa!
@@petermayala2790😊😊😊😊😊😊😊😊⁰
Kijana wa marungu 🙌🙌😂
Mwanaume umekaa kabsa serious unaomba like. Useless sperm
Mechi za yanga ukiziangalia zinavutia hata km nimarudio ni km live tuu 🎉🎉
Sanaaaa🔥🔥🔥hizo movement za pacome aisee.🔥🔥,Ki,Musonda,Aucho,Max,yaan wooote jmn uwiiii🔥🔥🔥🔥Yangaaaa
Kama unamkubali PACOME.. usisahau kulike jaman leo wa sita!!from 🇿🇦💚💚💚💚💚🔥🔥🔥🔥💛💛💛💛💛💛💛💛
Yesu ndiye njia ya KWELI na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini YESU na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende mbinguni.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
😂😂😂😂,nmependa Mungu akubariki sana
Amen
Wa kwanz mm naomben like million 2
Maboya Sana Azam media. Mnacheleweshaje highlights za game ya Yanga
Yanga bingwa
Tunaomba wachezaji wote waliosajiliwa wacheze ili viwango vyao vieleweke 😊😊
Me ni yangaa🎉🎉
Kwa mara ya kwanza leo ndio nimeona uzalendo 👊🏼👊🏼 big up simba and yanga fans
Sisi ndo yanga 💚💚💚
This is yanga first ever win vs Almerrikh
Almerrikh will always be giant of east african club football
Copium
You are trying to lie yourself!!
Cry more😂😂
Giant my foot 😏😏😏
Check the rank who is bigger😂
daaah! kwa yanga hii hatuna nenoo!
Yangaaaaa yanguuuu
Mzize apewe nafasi zaid ameanza kulomaa ajitahid zaidi kwenye kuzijua njia za pasi na jinsi ya kupokea pasi za mwisho na kuzigeuza kuwa magili sio kila position yeye ni offside au akutane na kipa adhibitiwe
Nawapongeza sana wananchi daimambele nyumamwiko tutafika mbali❤
Nani kaona ..eti kocha wa yanga nj bakari malima!!! Azam wameandika
Yanga tam💚💚💚💚💚💛
Mbona highlights za Yanga mmechelewesha nyie wasenge?? , kisa timu lenu la azam lilikandwa hatua za awali na lile chezaji lenu kubwa kama pawa mabula😡
😂😂😂😂
Wasenge wanatamn hata waspost kabisa mech yayamga imeisha kabla yasimb lakn simb imepostowa samoja yamga wanasubl had walale
Ndo walivyo wapuuz hawa lakn timu nyingn ikicheza mapema tu wanarusha
Leo highlight imekaa sawa laki iongenzwe hadi dk15 itakuwa iko poa sana hata za Nbc league.
Ila huyu Aziz Mafunguo n noma sana jmn. Anasumbua sana kumkaba
Striker wa yanga mchezo wa pili wajitahidi kuoiga mipira mbali na keeper sababu keeper ni mrefu😊😊😊.
Poor Pitch, high risk of injuries. No more Plastic in football.
Tatizo watanzania niwavivu kushangilia tubasubir mpaka goli liingie ndo tushangilie ona wenzetu hawapoi !!
Duuh nimeisubiri hii afu nimeidaka juu kwa juuu 😂😂😂
Wanainchi mpoooooo 🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Yani hii Yanga sio ya kukariri kikosi wala kukariri wa kumkaba, Kikosi chochote kinakanda na mchezaji yeyote anakanda
Matangazo hayakuwa na ubora tuliouzoea haswa kwenye wide camera.
These fields are dangerous for players
Azam ndio mnatuma saiv Yan ad MB zangu ad zmeishaaa mnzingua sana
Waoooo
Wananchiiiiiiiii🎉❤🔥🔥🔥
Sijui kolo tulimwaachaje kwenye ngao😅😅, nawaonea huruma sana power dynamo nao watakuja kukutana na mvua sizizoeleweka, mkono utawahusu😂😂😂😂
Namimi.watatu
Ahsante sana Yanga! Endeleeni kututamusha!
Tumcfie kwa shukuran niyonzima
Yaani uwanja ni vumbi la mkaa tupu
Ndo uwanja wa nyasi bandia unavyokuwa
Yanga Bingwa
Mwenye kuelewa ameelewa na wasenge hawaelewi
🇹🇿💪🏼
Tunaomba yanga wafanyie mazoezi mengi ya kufunga magoal nje ya 18 ndani ya box,through ball na v-pass also penalty 😅😅😅
Video quality ✋
Mimi Ni Yangaaaa
Wakati sisi tunacheza SOKA, Kule MAKOLO wanacheza YOPE...🤣🤣🤣
😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🙌🙌
Mzize ana zinguwa
Kwa kweli Mzize anakera sana, kila mechi anakosa magoli ya wazi kabisa!
@@mohamedmagongo9348 kumbe una ona niambie sasa zile mechi Ngumu ambazo akuna nafasi nyingi mbona tuta liya ana kosa nafasi nyingi sanaa
Kweli Kuna nafasi aliwekewa na maxi nzengeli mpaka Sasa naifikilia ila mzize alipoteza
@@petermayala2790 wala sio iyo tuu tuta ona nyingi sanaa acha tufurahi lakini ipo siku tuta laumu
Hili walifanyie kazi sasa maana huu sasa usiwe wimbo Selemani anapewa nafasi hazitumii afunge aache utoto bhana akipatikana foward mzuri atachezea benchi we muache tu
Yanga Bingwaaaa
Kiwanja kibovu sanaa...utdhan vumbi la mkaa limejaa
Kapeti hiyo
@@sao4028kapeti iliyo choka
Kama gari linaenda kuzimia fainali
Umeonaeee yaani hapa gari linazima final kabisa
Yanga walikosa ushirikiano na umakini😂 wangefunga hata goal nne😅 Kigali
Kwahiyo kocha wa yanga anaitwa Bakari malima
Dah huu mpira wa yanga n nyonya damu aisee.. Ngoja tuone mie nipo paleeeeeeee
Una maanisha nn kaka👀
Bado haujakuridhisha ama
@@EltonMmari kwa mpira wao n vigumu timu pinzani kumiliki mpira. Naona timu nyingi zitapata tabu sana kwa hawa utopolo
@@EltonMmari noo nawasifia, jamaa wanakukimbiza mpaka utaachia tu
Azam wanataman hata highlight zayanga wasirushe just imagine mech yayanga imetamguliwa kuisha ndonikaisha yasimba lakn yasimba imepostiwa samoja hiohio lakn yanga imekuja kupostiwa satano watu wameshall 😂😂😂 Duh
Azam wapuuzi sana wanawachukiia yanga ila timu nyingin ikicheza mapema tu wamerusha
@@wardah-mb6kb Shenziii zao kabisa
Nakubali siroho mbaya zimewajaa kunamawasiliano hapo kati watendaji wa Azam Football club na warusha matangazo ujinga tu ndiomana nchi yetu haipigi hatua kimaendeleo kiuchumi wa kimpila sababu yaubinafsi tu
Azam wanazingua sana hii sio mara ya kwanza ...mara zote hua wanafanya hivi hivi
@@slimmuhabesh2400 😂hawajasem mpk wasem watake wastake lazm wapost
Eti waandishi uchwara walikuwa wanaitisha Yanga kuwa El Merrekh wamelidai watapigana Vita vitakatifu. Hawa waandishi watu wa ajabu sana.
❤
Tunaomba kocha amuweka max nafasi ya mzize na mzize acheze namba 7
Hiv bakressa umeshidwa kwel kumuomba injinia ukae nae japo kidogo japo lisaa limoja akushaul maana ya timu jins inavyoendeswa kwel umeshidwa siamin Kama umeshidwa
👏👏👏👏👏
WANAOTAKIWA KUTANGAZA MECHI ZA YANGA NI KABOMBE NA MZINGA TU.
Baraka Mpenja,Ghalib Mizinga,Aluatan Ramadhan Ngoda,cjui na wengine huko...pira linakua fireeeee🔥🔥🔥lkn hata hawa watafikia huko.
Kwa nn mmechelewsha hv
Apo sawaaa
Hii ndo timu ya kushabikia
Yao nikiberenge
Mbona mme chelewa sana azam
Wako safi
Nmahhhhh
sisi wa thinba tunakomenti wapi😅😅😅
😂😂😂 jiulizee
Images zenu siku hizi haziko clear
Coach wa Yanga ameandikwa Bakari Malima hapo juu baada ya kutajwa kikosi mmekosea
😮
Tunaomba Mzize asianze kipindi cha kwanza
YANGA Utamu tu
Hili goli la Musonda, nimeona umuhimu wa vile walivyokuwa wanafanya mazoezi kwa mikono ila kufunga kwa kichwa kweli Yale ni mazoezi na sio mchezo kama watu walivyokuwa wanaona.......
Mpaka waseme bado awajasema
Ndio mutume sai waone vile 🙄🙄
Skudu Yuko wapi
Ndio ndio
Hawa pale complex watakula tanoo
Diara wewe ni nyan ama maan unanikoxha xana
Yangaa Rahaa tupu
Yanga 🎉🎉🎉 ipewe mau yake😅😅
Uwanja wa pumba jamani
Tena pumba za mpunga
Files
Yanga anapangiwaga na timu za Vita vita Kama wale Zalan😅😅😅😅😅 hadi leo hawajafika kwao😊😅😅😅😅😅
Kwan unaumia😀
😂😂😂😂
Kwahiyo unataka kusema waliendelea kucheza na timu zinazotoka vitani mpaka final ya shirikisho
Yaan hujitambui vizuri we
Boc Jana kaongea kauli mbili tu za uhakika tusubiri vitendo
Mtangazaji ni mtu wa pwani😅
Watu Wa pwan wapoje
Azam TV hua hamkosi baya kwa YANGA yaani Kocha wa YANGA ni Bakari Malima? jina la Kocha wa El Merrekh mnalipatia kuliandika jina lake tena nirefu kweli hila la Miguel Gamondi linawshinda mpaka mumwite Bakari Malima?
Hayo ni mambo ya kimakosa tu.wanaubaya gani Kwa yanga? Sisi wanayanga tunajua Azam wapo haki kabisa
@@mkude ukiwa mwanaYANGA haujitangazi km hivi, Azam wanatumia fedha wanazozipata kwa mkataba wa kibatili wa miaka 10 na TFF kuibomoa YANGA leo wanae Djuma Shaaban, Bangala na Feisal na wote hawakuondoka vizuri YANGA,....
@@fargakoigip6029 ninachoangalia mimi Azam anamchango mkubwa sanaaa kwenye soka.tuache fitina na maneno maneno kama wanawake
Kula chuma hicho
Zamareki wabovu sana
Tulishakubaliana kua ligi ya mabingwa hakuna timu mbovu au mambo yamebadilika saiv
Amesahau huyo 😂😂😂😂 mkumbushe walisema ligi ya mabingwa haina wabovu
@@piliMuhammed-so3pg😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂 wamesahau tulivyofika fainali wakasema time zote tulizo pangiwa nazo nyepesi hata wale wa algeri.matokea yake wa algeri wamempiga Al Ahli na kuchukua kombe Kwa Yanga hii kila timu tutakayokutana nayo mtasema wabovu😂😂😂😂
Yanga mpaka sasa ajacheza mech yoyote ya maana anacheza na timu ambazo ni kama yeye mwenyewe yanga
Yanga iko bora hata ukibisha
Wewe Fala Sana, hata mpira hujui, kwanza wewe sio shabiki ni mshangiliaji unaongea kisa droo ya kubahatisha, kwa hili Simba la kikuzi cjui utafika wapi, kama sio kujinyonga cjuiii!
Hata Simba bwana, timu ya kushinda wanatoa sare
Kiufupi Kila Timu inaonekana nyanya kutokana na UBORA wa YANGA...mtasema wote manyanya mpk FAINALI.!
Kama ile simba ya ngao ya Jamii,mkashinda kwa penalty,yanga walikuwa wepesi mkashindwa kuwafunga dk 90.
Wamenunuw mechi tu hao yanga
Oh umejuaje na ulikuwa bize na mechi yako
Utasem saan na badooooo
Nawe pia umenunua ndiyo maana ukapata sare aibu tupu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Lomalisa alifanya uchoyo wenzako walikuwa wanasubiri uwape pasi
Pakomee Zuzuwa atalisana
Hawa pale complex watakula tanoo