Tumpe sapoti mwalimu wetu wakati tuna pata haya madini usi skip tangazo liache angalau liishe nadhani hii itampa faida sana kulipwa Na CZcams nawaomba sana wa Joel hatuna chakumlipa Ila tufanye hivi ili akipata kingi atakua Na nguvu ya kutupa madini kila siku asanteâ€â€đđ€Č
Cc wengne tupo mbali kidg navitabu vyko kaka mi nipo Zanzibar Pemba cc wengne vikwazo vyetu vikubwa niwaume zetu tuliokuepo kwenye ndoa aisee wanaume wengne baba nishida mungu atusaidie nashkuru pia napata mafundisho kutoka kwako yananisaidia pia mungu akubarik sana kaka
Nikiwa wa MWANZO kutoka Zanzibar -UNGUJA hakika tunakupat vyema sana MWAMBA Joel Arthur Nanauka ahsante Kwa SoMo Zuri
Tumpe sapoti mwalimu wetu wakati tuna pata haya madini usi skip tangazo liache angalau liishe nadhani hii itampa faida sana kulipwa Na CZcams nawaomba sana wa Joel hatuna chakumlipa Ila tufanye hivi ili akipata kingi atakua Na nguvu ya kutupa madini kila siku asanteâ€â€đđ€Č
Nikiwa UDOM dodoma tunakusikiliza zaidi niweweka sauti kubwa kabisa nashiriki pamoja na roommates wangu life wisdom ya leo
Kutoka SUA đ
Shukrani sana, wasalimie roomamates zako piađ
@@Adevitutvshukrani sana, tuendelee kujifunzađ
Ahsante mwalimu, Mungu akuzidishie maarifa ili uzidi kutufundisha.
Kikwazo,,,tabia,,, mabadiliko âđ
Asante sana kaka joel nimejikuta mwenye furaha sana kwenye maisha yangu kwa xababu yako na masomo yako mazur mungu akubariki sana
đđđ
ASANTE SANA MENTOR ARTHUR NANAUKA JOEL MASTER..UBARIKIWE đđđ
Shukrana sana kaka joel kwa maarifa yako mungu akubariki zaid
Sauti...Leo kaka.. Joel imekua chini kidogo bt ..nimekupa vizuri nimejifunza kitu mungu azidi kukubariki
Vizuri Sana master,,,kitabu Cha art of laziness
Ahsante sana brother joel Nanauka mungu akubariki sana
Asante iyi itatusaidia sana
Asant sana
Asante sana kaka Joel Nanauka nakupata vyema kutoka Nairobi
Asante kaka Mungu akubariki sana
Treauser of the country
Nakupata vema kabisa
Asante Sana kaka Joe Arthur nanauka
Here with you
"See you at the top"
Nataka kupata kitabu chako,timiza malengo yak na kingine kitanifundisha njinsi yakufanya biashara,nipo Oman
See you At the top â€
Amen
Asante kaka mkubwa
Asant
â€
Cc wengne tupo mbali kidg navitabu vyko kaka mi nipo Zanzibar Pemba cc wengne vikwazo vyetu vikubwa niwaume zetu tuliokuepo kwenye ndoa aisee wanaume wengne baba nishida mungu atusaidie nashkuru pia napata mafundisho kutoka kwako yananisaidia pia mungu akubarik sana kaka
Kaka nilianza mazoezi na kusoma kitabu đą ila siijui hata Nini kilitokea sijamaliza hata Wiki nimeacha na nilikuwa nafurahia sana
Ila kaka comment yangu hujawahi kuigusa
Kupitia masomo yako nimeanza kuwa na mtazamo chanya kabisa.
Nahitaji kitabu cha timiza malengo Niko Dodoma namba za wakala tafadhari.
Mawasiliano yako tafadhari
Nataka kupata kitabu chako,timiza malengo yak na kingine kitanifundisha njinsi yakufanya biashara,nipo Oman