LIFE WISDOM:MAMBO 3 YA KUFANYA KWENYE WIKI MPYA - JOEL NANAUKA

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 6. 07. 2024
  • đŸ”„đŸ”„đŸ”„ Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co đŸ”„đŸ”„đŸ”„

Komentáƙe • 37

  • @khalidhaji-ls2or
    @khalidhaji-ls2or Pƙed 18 dny +12

    Nikiwa wa MWANZO kutoka Zanzibar -UNGUJA hakika tunakupat vyema sana MWAMBA Joel Arthur Nanauka ahsante Kwa SoMo Zuri

  • @user-gb1hn5ml8y
    @user-gb1hn5ml8y Pƙed 17 dny +8

    Tumpe sapoti mwalimu wetu wakati tuna pata haya madini usi skip tangazo liache angalau liishe nadhani hii itampa faida sana kulipwa Na CZcams nawaomba sana wa Joel hatuna chakumlipa Ila tufanye hivi ili akipata kingi atakua Na nguvu ya kutupa madini kila siku asanteâ€â€đŸ™đŸ€Č

  • @MrSamejy
    @MrSamejy Pƙed 18 dny +8

    Nikiwa UDOM dodoma tunakusikiliza zaidi niweweka sauti kubwa kabisa nashiriki pamoja na roommates wangu life wisdom ya leo

    • @Adevitutv
      @Adevitutv Pƙed 18 dny +1

      Kutoka SUA 👋

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 17 dny +2

      Shukrani sana, wasalimie roomamates zako pia🙏

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 17 dny +2

      @@Adevitutvshukrani sana, tuendelee kujifunza🙏

  • @method1314
    @method1314 Pƙed 18 dny +6

    Ahsante mwalimu, Mungu akuzidishie maarifa ili uzidi kutufundisha.

  • @goldiegranted5501
    @goldiegranted5501 Pƙed 18 dny +4

    Kikwazo,,,tabia,,, mabadiliko ✊🏆

  • @SaadaKhamis-d1s
    @SaadaKhamis-d1s Pƙed 18 dny +4

    Asante sana kaka joel nimejikuta mwenye furaha sana kwenye maisha yangu kwa xababu yako na masomo yako mazur mungu akubariki sana

  • @dativerdionese8099
    @dativerdionese8099 Pƙed 18 dny +5

    🙏🙏👏

  • @NickGamba-ft8tl
    @NickGamba-ft8tl Pƙed 18 dny +3

    ASANTE SANA MENTOR ARTHUR NANAUKA JOEL MASTER..UBARIKIWE 🙏🙏🙏

  • @FarajaMkumbo-pc3ft
    @FarajaMkumbo-pc3ft Pƙed 18 dny +3

    Shukrana sana kaka joel kwa maarifa yako mungu akubariki zaid

  • @brackskinyozi3280
    @brackskinyozi3280 Pƙed 17 dny +3

    Sauti...Leo kaka.. Joel imekua chini kidogo bt ..nimekupa vizuri nimejifunza kitu mungu azidi kukubariki

  • @johnkapandila8760
    @johnkapandila8760 Pƙed 18 dny +4

    Vizuri Sana master,,,kitabu Cha art of laziness

  • @petermunuo1657
    @petermunuo1657 Pƙed 13 dny

    Ahsante sana brother joel Nanauka mungu akubariki sana

  • @olivier6600
    @olivier6600 Pƙed 18 dny +3

    Asante iyi itatusaidia sana

  • @LucyHabibu-x6w
    @LucyHabibu-x6w Pƙed 18 dny +1

    Asant sana

  • @bina2557
    @bina2557 Pƙed 17 dny

    Asante sana kaka Joel Nanauka nakupata vyema kutoka Nairobi

  • @PETERSAMWEL-c5s
    @PETERSAMWEL-c5s Pƙed 15 dny

    Asante kaka Mungu akubariki sana

  • @youngtone4333
    @youngtone4333 Pƙed 17 dny

    Treauser of the country

  • @ErickGadson-yg2xj
    @ErickGadson-yg2xj Pƙed 18 dny +2

    Nakupata vema kabisa

  • @aminalumbi7031
    @aminalumbi7031 Pƙed 17 dny

    Asante Sana kaka Joe Arthur nanauka

  • @TajoAsaba
    @TajoAsaba Pƙed 17 dny

    Here with you

  • @danielmlwafu4380
    @danielmlwafu4380 Pƙed 17 dny

    "See you at the top"

  • @Maria-bo1fy
    @Maria-bo1fy Pƙed 17 dny

    Nataka kupata kitabu chako,timiza malengo yak na kingine kitanifundisha njinsi yakufanya biashara,nipo Oman

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Pƙed 17 dny

    See you At the top ❀

  • @YunusMgunga
    @YunusMgunga Pƙed 18 dny +1

    Amen

  • @LusajoMboli-ef2xx
    @LusajoMboli-ef2xx Pƙed 16 dny

    Asante kaka mkubwa

  • @GraceSteven-qq5hn
    @GraceSteven-qq5hn Pƙed 18 dny +2

    Asant

  • @danielmlwafu4380
    @danielmlwafu4380 Pƙed 17 dny

    ❀

  • @FATHIAABDI-j7e
    @FATHIAABDI-j7e Pƙed 14 dny

    Cc wengne tupo mbali kidg navitabu vyko kaka mi nipo Zanzibar Pemba cc wengne vikwazo vyetu vikubwa niwaume zetu tuliokuepo kwenye ndoa aisee wanaume wengne baba nishida mungu atusaidie nashkuru pia napata mafundisho kutoka kwako yananisaidia pia mungu akubarik sana kaka

  • @DanielaSanka
    @DanielaSanka Pƙed 17 dny

    Kaka nilianza mazoezi na kusoma kitabu 😱 ila siijui hata Nini kilitokea sijamaliza hata Wiki nimeacha na nilikuwa nafurahia sana

  • @JamesIzra
    @JamesIzra Pƙed 17 dny

    Ila kaka comment yangu hujawahi kuigusa

  • @user-nr5bo8yd8f
    @user-nr5bo8yd8f Pƙed 17 dny

    Kupitia masomo yako nimeanza kuwa na mtazamo chanya kabisa.

  • @YoderyKichaka
    @YoderyKichaka Pƙed 18 dny +3

    Nahitaji kitabu cha timiza malengo Niko Dodoma namba za wakala tafadhari.

  • @Maria-bo1fy
    @Maria-bo1fy Pƙed 17 dny

    Nataka kupata kitabu chako,timiza malengo yak na kingine kitanifundisha njinsi yakufanya biashara,nipo Oman