AIC Changombe Choir Iweni Safi Official Video
Vložit
- čas přidán 12. 06. 2017
- AIC Changombe Choir Iweni Safi Official Video
Subscribe to Africha Entertainment: bit.ly/AfichaSubs
The Best Of African Music: Kadogo Kamu: New Ugandan Music: New Zambian Music: New Rwanda Music: New Kenyan Music: New Taarab Music: New Gospel Music: New Tanzania Music: New Zanzibar Music: Kenya gospel music: Tanzania Gospel Music: Zambia Gospel Music: ugandan Music
naomba kujiunga AICT chang'ombe 😭😭😭
What a song!, if you like this song please don't forget to like this comment.
Amen
waimbaji kazi nzuri sana mungu aweteteee kila saaa damu yke iwafiche kutoka mabaya yte God bless cvc
Mimi huu wimbo naurudia mara kwa mara.. naupenda sana
Anaonyaa Isayaaaaa duuuu Bahati uko vizuriii
Mungu awabariki sana,wimbo mzuri huwa unanibariki mno.
Nabarikiwa sana Nyimbo zenu,BWANA awabariki.
I just love 💕 this song Mungu azidi kuwabariki
Oh my God, what a wonderful song, Repentance and Holiness, we are God's instruments, who is listening with me this an amazing message
The 3 women soloists, God bless you all changombe family
Mbarkiwe kwa kaz nzur
Heavenly Tone! ❤
Wimbo huu unanibariki sana
Aict tunabarikiwa sanaaa
I wish hii nyimbo ingefanyika on live on stage with full of Instruments like drums. Ni fire sana. Bass guiter Malaika wakulinde popote ulipo. You made justice to this song, transition ya wimbo kutoka bila beat, kuja 1/4, then 4/4 💫. Huu ufundi wote ungefanyika kwenye live stage ingekuwa balaa sana
Tuweni safi waumini
Umetulia saana unapoimbisha kwaya
Mbalikiwe sana watumishi
This is the best song to my side that I have ever heard from you Servants of God. Christ Jesus be with you all there you're
MUNGU Atukuzwe kwa sauti zenu waimbishaji (muimbishaji wa Kwanza nakupenda bure, )
Nawapenda sana watumish
Mungu wa mbinguni awabariki xn
Nawapenda sana, tuwe safi na wasikilizaji, asanten sana
Mko vizur dada zangu mungu kawapa sauti nzur za kumwmbia
Huu wimbo ni ibada kamili mbele za Mungu. Leo siku ya pili kila nikitulia naingia CZcams kuusikiliza upya, hii itakuwa mara ya nane kwa leo tu. Nahisi uwepo wa Mungu kila nikiusikiliza. Mungu aendelee kuwatumia na kuwabariki ktk utumishi wenu wapendwa.
Utukufu kwa Yesu,jamani mbarikiwee mnatuponya kupitia uimbaji.Mungu aendelee kuwainua saidi na zaidi
God bless you changombe choir you are really blessing to me I'm from Kenya.
Still listening and watching 2022...be blessed 🙏
Nawapenda sana changombe vijana..tangu zama za vunja,.Gusa..mpinga Kristo,usiku was manane..sasa pazia..Mungu azidi kuwapa nguvu,.
Nawapenda sana hua munifanya niyaone maisha kua mepesi sana kila nigusapo hapa aaaa ni upako tupu
Hakika kwaya hii ina vipaji jman ad raha ❣️ Mungu awatunze muendlee kumtumikia yeye.
Hongereni waimbaji wote wa Chang'ombe choir (CVC)
u touch my heart...the 1st sololist be blessed
Your songs are good
My lovery song
Mungu awa bariki
I love this woman ,God bless you
Iweni safi
Iweni Safi,unanibariki sana huu wimbo,God awabarik kwa kazi yenu
mungu wa mbinguni awatunze wote, duuh!! mbarikiwe sana.
Heart touching message!!! iweni safi watu Mungu - tunaonywa
dada wa kwanza amenibariki,,,nawapenda sana hawa masololist,,mbarikiwe sana na penda kuwaangali kila saa
I really blessed
Mungu awabarik kwa kaz kubwa mnayoifanya🙏🙏nawapenda mnooo mkaimbe mpaka mbingun
wimbo mzuri Sana'a wapendwa mungu akubariki
Mungu awe nanyi nimeupenda wimbo huu asanteni Sana
Asanteni sana naam, Kitakatifu! Wellcom back our proud choir. Iweni saaaafi!
Kutoka Kenya, ukwel wimbo mzuri
iweni safi,unanibariki Sana huu wimbo
How I love you people of God. I wish one you serve with us here in Mwanza at Nyamhongolo EAGT Christian Centre.
God bless you much.
daaaaa very nice ukijuaa sauti aliyekupaa ni anaepaswa kusifiwa hvy huna budi kupaza sauti yako nakumsifuuu be blessed all
Am blessed with this song may u God of heavens bless chang'ombe choir and be a bodily parts of God
Heko soloist. You are in a higher level. Allow Christ to use you
Yaani hapa nawapata huwa waimbaji wanaonibariki sana hakika kila anachokichagua Mungu ni kitakatifu Mungu awabariki sana.
Hongereni sana watumishi wa Mungu nyimbo zenu zinanigusa mno,Wilkins Muhoroni Kenya
Good song
Bwana atakutangulia kisha atakufuata nyuma.....ahadi za Mungu ni kweli.
nili skiza ule wimbo "hakuna " na nikampokea yesu. mungu awa bless sana. kitakatifu kila anacho chagua
Amen kitakatifu
Sifa na utukufu apewe Bwana.. Mungu awajalie wazidi mtukuza Mungu
Kwa kweli nafarijika sana na uinjiristi wenu wa nyimbo.Mungu awabariki sana na tena sana
Am blessed by uour ministry of preaching through music.Hod bless you
Mungu aendelee kuwabariki kila iitwapo leo, nabarikiwa sana na kazi zenu
Amina.....iweni safi safi kweli,kila mtu.inabariki sana wangu
namuona marehemu mariam,Mungu akulaze pema peponi
Mariam ni yupi hapo nisaidie mpendwa, kifo chake cha kikatili kiliniumaa!
Endeleeni kuitenda kazi ya bwana maana kwa kufanya hivyo wengi tunabarikiwa .mungu awatie nguvu
Mungu awe nanyi kwa kutangaza Nina la BWANA
Mungu wetu yu mtakatifu milele. Wimbo unabariki kweli. Neema yake Mungu izidi kutulia ndani yenu siku zote wapendwa wa Kwaya ya Chang'ombe A.I.C.
Wimbo mzuri saaanaaaa Na ujumbe mzuri
FROM NAIROBI, LOVE YOUR SONGS, BIG UP...KEEP ON BLESSING US.
naitwa PASTOR PAUL, niliposikiliza wimbo huu nimesikia MUNGU akinijaza mafuta mapya, kweli MUNGU anawatumia.
uyu mamaa ananibarikigi saana jehovaa nisii barikiwa mamaa
nabarikiwa Sana na wimbo huu, Mungu awabarik cvc
I real like the song, Mungu awatangulie pia katika kazi hii aliyowaitia ili watu wengi waendelee kumjua Mungu
Nice sanaaaaaaaaa
Mungu awabariki sana huwa napenda huduma yenu tangia enzi za mpinga kristo, gusa ucku wa manane n.k mungu awape kuinuka zaid ya hapo
God bless you changombe choir😘🙌🙏
Amazing song .God bless you
Barkiwa sana, na uimbaji wa aic Chang' ombe
barikiwa san wapendwa hakik mnatend moj y karam tulizopewa mwenyez mung azid kuwaongza msongee mbele zaid
Safi sana wana chang'ombe mnabark watakatifu sana sana aisee!
Powerful song for Jesus
"songa mbele "hakika nimejifunza sana kupitia nyimbo zenu mbarikiwe
Mungu awabariki sana ila wanaolichafua kanisa la Mungu kwa sifa mbaya basi watubu dhambi zao ili kanisa la Mungu liendelee kuwa safi maana sisi ni nuru ya ulimwengu na watu wanataka wajifunze kupitia imani zetu.
Bety lucas
I am blessed by Aic Changombe choir.
nampenda sana huyu mama mweusi please naomba namba zake nampenda mnoooo naomba niongee nae hata neno moja tuuuu. basi naomba mwambieni kua kuna binti anampenda natamani nije kua kama yeye sio kiumbaji bali kama mama mwema wa nyumba yangu atayonibariki Mungu
One thing I may say is that before u soloist get older and older, have at least one mentee and God shall bless u
Tafadhali weka ule wimbo wa halleluya iko kwa hii album
mungu azidi kuwabariki sana wana wa mungu kwa kuipeleja injili ya mungu ila kila mtu aaminie asipotee
Naizipendaga sana nyimbooo zenuu munguu awabarikii sana
changombe has always been a blessing and my best choir this century
Naaaam,anaonya isaya anaonya....
Huwa napendezwa sana na ujasiri wake was kufikisha ujumbe kwa viungo vya mwili
huu wimbo unanitia nguvu jaman mbarikiwe sana
Mungu awabariki sana wana CVC
uko vzur sana mama sololist ubarikiwe.....pia kwaya nzima kaz yenu ni njema saana
Mungu aendelee kuibariki Huduma yenu wanangu.
Mungu awabariki sana CVC
Naipenda sana chang'ombe mungu awabariki
nahisi kuzimia kwa kufuraia nyimbo hii hasa sololist ya pili huwa mwli unasheki kwa saut ya pangoni aseee Balikiweni mpka mchaganyikiwe
Mie pia mchina ndio chaguo langu, japokuwa wote wanaimba jamani huwa wananikumbusha uwepo wa Mungu. Soloist wote ni wazuri, kwaya nzima ina mvuto nawapenda kuliko!
amen
Huu wimbo naupenda.
Ata mbinguni malaika wanasujudu na kuabudu kwa imani nyimbo zimejaa upako tele