AIC Changombe Choir Iweni Safi Official Video

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 06. 2017
  • AIC Changombe Choir Iweni Safi Official Video
    Subscribe to Africha Entertainment: bit.ly/AfichaSubs
    The Best Of African Music: Kadogo Kamu: New Ugandan Music: New Zambian Music: New Rwanda Music: New Kenyan Music: New Taarab Music: New Gospel Music: New Tanzania Music: New Zanzibar Music: Kenya gospel music: Tanzania Gospel Music: Zambia Gospel Music: ugandan Music

Komentáře • 188

  • @boniphacepaulo4604
    @boniphacepaulo4604 Před 9 měsíci +4

    naomba kujiunga AICT chang'ombe 😭😭😭

  • @user-hc9fd8ny3l
    @user-hc9fd8ny3l Před 8 měsíci +2

    What a song!, if you like this song please don't forget to like this comment.

  • @meshkerson3817
    @meshkerson3817 Před 9 měsíci

    waimbaji kazi nzuri sana mungu aweteteee kila saaa damu yke iwafiche kutoka mabaya yte God bless cvc

  • @pastorlupi1457
    @pastorlupi1457 Před 4 měsíci

    Mimi huu wimbo naurudia mara kwa mara.. naupenda sana

  • @jefredyfrednandy5880
    @jefredyfrednandy5880 Před 3 lety

    Anaonyaa Isayaaaaa duuuu Bahati uko vizuriii

  • @monicamtenga
    @monicamtenga Před 11 měsíci

    Mungu awabariki sana,wimbo mzuri huwa unanibariki mno.

  • @godfreymgolozi7540
    @godfreymgolozi7540 Před rokem

    Nabarikiwa sana Nyimbo zenu,BWANA awabariki.

  • @user-qh8yz6et9y
    @user-qh8yz6et9y Před 4 měsíci

    I just love 💕 this song Mungu azidi kuwabariki

  • @joshwakaunda5052
    @joshwakaunda5052 Před 6 lety +10

    Oh my God, what a wonderful song, Repentance and Holiness, we are God's instruments, who is listening with me this an amazing message

  • @clivemuseveni7786
    @clivemuseveni7786 Před 4 lety +6

    The 3 women soloists, God bless you all changombe family

  • @greckalumbete6212
    @greckalumbete6212 Před 4 lety +1

    Mbarkiwe kwa kaz nzur

  • @majaliwasikabenga2536
    @majaliwasikabenga2536 Před 9 měsíci

    Heavenly Tone! ❤

  • @julianabudigila6023
    @julianabudigila6023 Před měsícem

    Wimbo huu unanibariki sana

  • @elizabethkatani2892
    @elizabethkatani2892 Před 3 lety

    Aict tunabarikiwa sanaaa

  • @shadymoses5813
    @shadymoses5813 Před rokem +1

    I wish hii nyimbo ingefanyika on live on stage with full of Instruments like drums. Ni fire sana. Bass guiter Malaika wakulinde popote ulipo. You made justice to this song, transition ya wimbo kutoka bila beat, kuja 1/4, then 4/4 💫. Huu ufundi wote ungefanyika kwenye live stage ingekuwa balaa sana

  • @julianabudigila6023
    @julianabudigila6023 Před 25 dny

    Tuweni safi waumini

  • @agnessgombanila7278
    @agnessgombanila7278 Před 2 lety

    Umetulia saana unapoimbisha kwaya

  • @meshackmarwa2016
    @meshackmarwa2016 Před 4 lety

    Mbalikiwe sana watumishi

  • @johnsonjulius7832
    @johnsonjulius7832 Před 4 lety +8

    This is the best song to my side that I have ever heard from you Servants of God. Christ Jesus be with you all there you're

  • @carolinelengwa3628
    @carolinelengwa3628 Před 5 lety +5

    MUNGU Atukuzwe kwa sauti zenu waimbishaji (muimbishaji wa Kwanza nakupenda bure, )

  • @JoysDotto-un3sz
    @JoysDotto-un3sz Před rokem

    Nawapenda sana watumish

  • @ahimidiwepallangyo3229

    Mungu wa mbinguni awabariki xn

  • @graceantony7711
    @graceantony7711 Před 6 lety +5

    Nawapenda sana, tuwe safi na wasikilizaji, asanten sana

  • @fatmaupovizrnapendactoryza5245

    Mko vizur dada zangu mungu kawapa sauti nzur za kumwmbia

  • @jonathanbitababaje4966
    @jonathanbitababaje4966 Před 6 lety +1

    Huu wimbo ni ibada kamili mbele za Mungu. Leo siku ya pili kila nikitulia naingia CZcams kuusikiliza upya, hii itakuwa mara ya nane kwa leo tu. Nahisi uwepo wa Mungu kila nikiusikiliza. Mungu aendelee kuwatumia na kuwabariki ktk utumishi wenu wapendwa.

  • @ennymboya9479
    @ennymboya9479 Před 3 lety

    Utukufu kwa Yesu,jamani mbarikiwee mnatuponya kupitia uimbaji.Mungu aendelee kuwainua saidi na zaidi

  • @DennisBettHoreb
    @DennisBettHoreb Před 5 lety +6

    God bless you changombe choir you are really blessing to me I'm from Kenya.

  • @Danny-px1bh
    @Danny-px1bh Před rokem +1

    Still listening and watching 2022...be blessed 🙏

  • @christinemoraa6740
    @christinemoraa6740 Před 4 lety

    Nawapenda sana changombe vijana..tangu zama za vunja,.Gusa..mpinga Kristo,usiku was manane..sasa pazia..Mungu azidi kuwapa nguvu,.

  • @fredrickmiano2001
    @fredrickmiano2001 Před 6 lety +1

    Nawapenda sana hua munifanya niyaone maisha kua mepesi sana kila nigusapo hapa aaaa ni upako tupu

  • @tujambwambo606
    @tujambwambo606 Před 2 lety

    Hakika kwaya hii ina vipaji jman ad raha ❣️ Mungu awatunze muendlee kumtumikia yeye.

  • @mpawenayocyrille6954
    @mpawenayocyrille6954 Před 5 lety +3

    Hongereni waimbaji wote wa Chang'ombe choir (CVC)

  • @vailethmbano7766
    @vailethmbano7766 Před 7 lety +11

    u touch my heart...the 1st sololist be blessed

  • @gloryjoshua5763
    @gloryjoshua5763 Před 2 lety

    Your songs are good

  • @SifaMathayo
    @SifaMathayo Před 20 dny

    My lovery song

  • @wlliamisaya9111
    @wlliamisaya9111 Před 3 lety

    Mungu awa bariki

  • @daviskyalo7780
    @daviskyalo7780 Před 5 lety +6

    I love this woman ,God bless you

  • @stephenmashimba2696
    @stephenmashimba2696 Před rokem

    Iweni safi

  • @annastaziadaniel6538
    @annastaziadaniel6538 Před 5 lety +1

    Iweni Safi,unanibariki sana huu wimbo,God awabarik kwa kazi yenu

  • @rachelezekiel1158
    @rachelezekiel1158 Před 7 lety +5

    mungu wa mbinguni awatunze wote, duuh!! mbarikiwe sana.

  • @amonmwenda8074
    @amonmwenda8074 Před 6 lety +4

    Heart touching message!!! iweni safi watu Mungu - tunaonywa

  • @eleciathesametome7304
    @eleciathesametome7304 Před 5 lety +1

    dada wa kwanza amenibariki,,,nawapenda sana hawa masololist,,mbarikiwe sana na penda kuwaangali kila saa

  • @jameskoech3565
    @jameskoech3565 Před rokem

    I really blessed

  • @josephinajosephu6859
    @josephinajosephu6859 Před 2 lety

    Mungu awabarik kwa kaz kubwa mnayoifanya🙏🙏nawapenda mnooo mkaimbe mpaka mbingun

  • @ezekielnyolobi3278
    @ezekielnyolobi3278 Před 5 lety +3

    wimbo mzuri Sana'a wapendwa mungu akubariki

  • @robertmwanakaya4233
    @robertmwanakaya4233 Před 4 lety +1

    Mungu awe nanyi nimeupenda wimbo huu asanteni Sana

  • @emmanuelcharlesmakwaya2550

    Asanteni sana naam, Kitakatifu! Wellcom back our proud choir. Iweni saaaafi!

  • @justusmutuku8303
    @justusmutuku8303 Před rokem

    Kutoka Kenya, ukwel wimbo mzuri

  • @boazphilipo3641
    @boazphilipo3641 Před 6 lety +5

    iweni safi,unanibariki Sana huu wimbo

  • @isacksamwel9488
    @isacksamwel9488 Před rokem

    How I love you people of God. I wish one you serve with us here in Mwanza at Nyamhongolo EAGT Christian Centre.
    God bless you much.

  • @faridamahenge6405
    @faridamahenge6405 Před 6 lety +1

    daaaaa very nice ukijuaa sauti aliyekupaa ni anaepaswa kusifiwa hvy huna budi kupaza sauti yako nakumsifuuu be blessed all

  • @jeremiahdeus1127
    @jeremiahdeus1127 Před 3 lety +1

    Am blessed with this song may u God of heavens bless chang'ombe choir and be a bodily parts of God

  • @samuelnzioki3496
    @samuelnzioki3496 Před 6 lety +1

    Heko soloist. You are in a higher level. Allow Christ to use you

  • @msyanituntufye3441
    @msyanituntufye3441 Před 5 lety

    Yaani hapa nawapata huwa waimbaji wanaonibariki sana hakika kila anachokichagua Mungu ni kitakatifu Mungu awabariki sana.

  • @wilkinsomwago1806
    @wilkinsomwago1806 Před 5 lety

    Hongereni sana watumishi wa Mungu nyimbo zenu zinanigusa mno,Wilkins Muhoroni Kenya

  • @mutuajackson7710
    @mutuajackson7710 Před 3 lety

    Good song

  • @derickmdoe5487
    @derickmdoe5487 Před 6 lety

    Bwana atakutangulia kisha atakufuata nyuma.....ahadi za Mungu ni kweli.

  • @latifar.kichuna-kwamboka
    @latifar.kichuna-kwamboka Před 7 lety +1

    nili skiza ule wimbo "hakuna " na nikampokea yesu. mungu awa bless sana. kitakatifu kila anacho chagua

  • @abduelymsemwa9193
    @abduelymsemwa9193 Před 5 lety +2

    Amen kitakatifu

  • @ensemokaconvivia1509
    @ensemokaconvivia1509 Před 5 lety

    Sifa na utukufu apewe Bwana.. Mungu awajalie wazidi mtukuza Mungu

  • @beatriceboazy5215
    @beatriceboazy5215 Před 5 lety

    Kwa kweli nafarijika sana na uinjiristi wenu wa nyimbo.Mungu awabariki sana na tena sana

  • @elizamulolo4138
    @elizamulolo4138 Před rokem

    Am blessed by uour ministry of preaching through music.Hod bless you

  • @tupokigwemwangoka2649
    @tupokigwemwangoka2649 Před 7 lety +2

    Mungu aendelee kuwabariki kila iitwapo leo, nabarikiwa sana na kazi zenu

  • @naomosiemo7593
    @naomosiemo7593 Před 5 lety

    Amina.....iweni safi safi kweli,kila mtu.inabariki sana wangu

  • @dinakidai4118
    @dinakidai4118 Před 5 lety +1

    namuona marehemu mariam,Mungu akulaze pema peponi

    • @hojangweshemi7005
      @hojangweshemi7005 Před 5 lety

      Mariam ni yupi hapo nisaidie mpendwa, kifo chake cha kikatili kiliniumaa!

    • @daurdwambuto1877
      @daurdwambuto1877 Před 5 lety

      Endeleeni kuitenda kazi ya bwana maana kwa kufanya hivyo wengi tunabarikiwa .mungu awatie nguvu

  • @sarandansopela9051
    @sarandansopela9051 Před 5 lety

    Mungu awe nanyi kwa kutangaza Nina la BWANA

  • @danielorango5875
    @danielorango5875 Před 6 lety +1

    Mungu wetu yu mtakatifu milele. Wimbo unabariki kweli. Neema yake Mungu izidi kutulia ndani yenu siku zote wapendwa wa Kwaya ya Chang'ombe A.I.C.

  • @anordprotas1976
    @anordprotas1976 Před 4 lety

    Wimbo mzuri saaanaaaa Na ujumbe mzuri

  • @pemixeemix3227
    @pemixeemix3227 Před 7 lety +5

    FROM NAIROBI, LOVE YOUR SONGS, BIG UP...KEEP ON BLESSING US.

    • @paulisrael9345
      @paulisrael9345 Před 6 lety

      naitwa PASTOR PAUL, niliposikiliza wimbo huu nimesikia MUNGU akinijaza mafuta mapya, kweli MUNGU anawatumia.

  • @elizabetjmillel3351
    @elizabetjmillel3351 Před 5 lety

    uyu mamaa ananibarikigi saana jehovaa nisii barikiwa mamaa

  • @boazphilipo3641
    @boazphilipo3641 Před 7 lety +4

    nabarikiwa Sana na wimbo huu, Mungu awabarik cvc

  • @fadhilifesto2784
    @fadhilifesto2784 Před 5 lety

    I real like the song, Mungu awatangulie pia katika kazi hii aliyowaitia ili watu wengi waendelee kumjua Mungu

  • @abduelymsemwa9193
    @abduelymsemwa9193 Před 5 lety +1

    Nice sanaaaaaaaaa

  • @thobiasedward7177
    @thobiasedward7177 Před 6 lety

    Mungu awabariki sana huwa napenda huduma yenu tangia enzi za mpinga kristo, gusa ucku wa manane n.k mungu awape kuinuka zaid ya hapo

  • @pendoernest9444
    @pendoernest9444 Před 5 lety +1

    God bless you changombe choir😘🙌🙏

  • @lucycharles4338
    @lucycharles4338 Před 6 lety +2

    Amazing song .God bless you

  • @lucassimeo6393
    @lucassimeo6393 Před 6 lety

    Barkiwa sana, na uimbaji wa aic Chang' ombe

  • @jeremiahndelembi9592
    @jeremiahndelembi9592 Před 5 lety

    barikiwa san wapendwa hakik mnatend moj y karam tulizopewa mwenyez mung azid kuwaongza msongee mbele zaid

  • @davidlubango222
    @davidlubango222 Před 5 lety

    Safi sana wana chang'ombe mnabark watakatifu sana sana aisee!

  • @evansmutuva23
    @evansmutuva23 Před rokem

    Powerful song for Jesus

  • @marymbwinga7027
    @marymbwinga7027 Před 7 lety

    "songa mbele "hakika nimejifunza sana kupitia nyimbo zenu mbarikiwe

  • @gabrielisack7786
    @gabrielisack7786 Před 5 lety

    Mungu awabariki sana ila wanaolichafua kanisa la Mungu kwa sifa mbaya basi watubu dhambi zao ili kanisa la Mungu liendelee kuwa safi maana sisi ni nuru ya ulimwengu na watu wanataka wajifunze kupitia imani zetu.

  • @hellenmaiyo2516
    @hellenmaiyo2516 Před 3 lety

    I am blessed by Aic Changombe choir.

  • @floranyefwe3464
    @floranyefwe3464 Před 6 lety

    nampenda sana huyu mama mweusi please naomba namba zake nampenda mnoooo naomba niongee nae hata neno moja tuuuu. basi naomba mwambieni kua kuna binti anampenda natamani nije kua kama yeye sio kiumbaji bali kama mama mwema wa nyumba yangu atayonibariki Mungu

  • @samuelnzioki3496
    @samuelnzioki3496 Před 6 lety

    One thing I may say is that before u soloist get older and older, have at least one mentee and God shall bless u

  • @chebetbrown3053
    @chebetbrown3053 Před 5 lety

    Tafadhali weka ule wimbo wa halleluya iko kwa hii album

  • @masalumalando9010
    @masalumalando9010 Před 6 lety

    mungu azidi kuwabariki sana wana wa mungu kwa kuipeleja injili ya mungu ila kila mtu aaminie asipotee

  • @rizielmoleli9434
    @rizielmoleli9434 Před 5 lety

    Naizipendaga sana nyimbooo zenuu munguu awabarikii sana

  • @churchillmutyanziu1625
    @churchillmutyanziu1625 Před 5 lety +3

    changombe has always been a blessing and my best choir this century

  • @meshackkwigize9848
    @meshackkwigize9848 Před 4 lety

    Naaaam,anaonya isaya anaonya....

  • @munuoisaack418
    @munuoisaack418 Před 5 lety

    Huwa napendezwa sana na ujasiri wake was kufikisha ujumbe kwa viungo vya mwili

  • @julianabenjamin2929
    @julianabenjamin2929 Před 6 lety

    huu wimbo unanitia nguvu jaman mbarikiwe sana

  • @micahmutinda3755
    @micahmutinda3755 Před 6 lety

    Mungu awabariki sana wana CVC

  • @vailethmbano7766
    @vailethmbano7766 Před 7 lety +1

    uko vzur sana mama sololist ubarikiwe.....pia kwaya nzima kaz yenu ni njema saana

  • @lilianescalion2110
    @lilianescalion2110 Před 6 lety +1

    Mungu awabariki sana CVC

  • @oliverkaboje3735
    @oliverkaboje3735 Před 5 lety

    Naipenda sana chang'ombe mungu awabariki

  • @nsikanyigwinshimpinga9132

    nahisi kuzimia kwa kufuraia nyimbo hii hasa sololist ya pili huwa mwli unasheki kwa saut ya pangoni aseee Balikiweni mpka mchaganyikiwe

    • @hojangweshemi7005
      @hojangweshemi7005 Před 5 lety

      Mie pia mchina ndio chaguo langu, japokuwa wote wanaimba jamani huwa wananikumbusha uwepo wa Mungu. Soloist wote ni wazuri, kwaya nzima ina mvuto nawapenda kuliko!

  • @merianamakamba4944
    @merianamakamba4944 Před 7 lety +4

    amen

  • @fredrickmtangoo5071
    @fredrickmtangoo5071 Před 4 lety

    Huu wimbo naupenda.

  • @marthamasanja7726
    @marthamasanja7726 Před 5 lety +1

    Ata mbinguni malaika wanasujudu na kuabudu kwa imani nyimbo zimejaa upako tele