AIC Changombe Choir Wasamehe Official Video
Vložit
- čas přidán 13. 06. 2017
- AIC Changombe Choir Wasamehe Official Video
Subscribe to Africha Entertainment: bit.ly/AfichaSubs
The Best Of African Music: Kadogo Kamu: New Ugandan Music: New Zambian Music: New Rwanda Music: New Kenyan Music: New Taarab Music: New Gospel Music: New Tanzania Music: New Zanzibar Music: Kenya gospel music: Tanzania Gospel Music: Zambia Gospel Music: ugandan Music
Mmemuwa wa baraka Kwangu.may the lord bless you.
Huyu Dada kwa kweli huwa namkubali sana anavyoimba nakuombea uwe tu mnyenyekevu
Huu wimbo umenitoa machoziiiiiiiii,,, Mung naomba unipe Roho ya kusamehe
Dada mungu atakubariki kwa wimbo zako
Nabarikiwa sana na nyimbo zenu mungu azidi kuwainua kwa viwango vya juu muendelee kmtangaza
Yesu uwasamehe kweli, hata mimi pia mkosaji naomba msamaha. Unifindishe kuwasamehe wanitendeao maovu
I am blessed with your singing Blessed be the name of Jesus
wimbo wa raha ya furaha endelea na huo moyo wa tabibu penda nyinyi sana chongombe choir kwa nyimbo za kuelimisha na kuburudisha sana
daah unagusa moyo wangu ww mama sololist....Mungu awabariki nyote
Amina.nabalikiwa sanaaa Kupitianyimbo hii Mungu awabariki sanaaa.UPENDO WAYESU UNASHANGAZA SANA.
Amen. Upendo wa Yesu unashangaza. Hachukii. God bless CVC choir
Amen we have to forgive,mum May the lord continue to lift you higher and higher
Huyu solo nihatari sana! sijawahi patakuona mtu anakipaji cha aina hii kabisa!
Mungu awzidishie neema mnanikumbusha mbali
Ameen nimewasamehe maana hawajui waltendalo😪 barkiwa sana CVC😇😇😇
Nabarikiwa saaaaaan yesu pamoj nakutendew mambo mazito hakutamka baya
Mungu awabariki sana.
mmenibariki AIC Wapendwa Saa hii nimefarijika
Nabarikiwa sana,mungu na azidi kuwainua mzidi kuwa juu utukufu hadi utukufu.
Baba Yangu wasamehee . huu wimbo unanibariki sana nikiusikiliza
wa baraka sana
Wasamehe
Nabarikiwa sana na uimbaji wenu CVC.
niwakubali sana cvc
Kweli upendo wa yesu unatisha sana barikiwa sana cvc
Nawapenda sana mungu nisamehe pia na mimi
Jaman asanten sana kwaya hii ninaipenda wanauujumbe mzito mzur unaeleweka
mungu awabariki sana watumishi wamungu
Oooh Yesu tusamee maana hatujui yale tuyatendayo
amina
Mungu azidi kuwabaliki ktk huduma yauimbajii nawapenda sanaaa
Since I was a kid I've been listening to your music from Vunja to Pazia. And I love the fact that each and every song has a different meaning.i miss you guys so much. Planning to come again. Lots of love ❤❤❤💓
mnaimb kweli mwenyez awe nanyi
upendoo wa yesu ni wa namna nyinginee emeen
Kwel ni mengi twamuuz bwana yesu lakn tukiomba msamah anatusameh 😪😪😪
you real bless me with your songs.from AIC ziwani stll waiting for you to come and bless us
Wimbo mzuri,nabarikiwa sana na nyimbo
The best song of my all days
#mezzah
Tusamee Mungu wetu
Wimbo mtam sana barikiwa sana
Nawapenda sana CVC
Nawapenda sana jina LA yesu
Pendaga sana nyie jamani mungu azidi kuwatumia
mungu awabariki sana tena sana
Thank you for your message,
Ni mengi tunamkosea Mungu na wenzetu Mungu nisaidie kuwa na moyo was kusamehe kabisa nisaidie baba peke yangu siwezi kwa msaada wako nitaweza
Namba Yangu 0783305731 naomba nirushiwe kwe bye whaspp naupenda sana huo win wimbo msamaha au audio take mungu awabariki sana
Love you Chang,ombe choir
Jaman mbarikiwe sana
Mungu awabariki sana
my favorite choir blessed
Ni ukweli upendowa yesu ni waajabu sana
I'm blessing
Nabarikiwa sana
Hongera mungu awabarki sana sana
amina
We solorist unakonga nyoyo barikiwa sana
Nikweli tunapasa kusamehe
Nyimbo nzuri mungu awabariki
I forgive them
amen amen nice song
Tres significative chanson
Nawapenda sana
Be blessed
Kola siku lazy a nisikilize hug wimbo, barikiweni sana
hongora cvc
Kwa kwel cvc mnanibariki mno MUNGU awatunze
mama uko vzur sana be blaced
aminaa
Nice
Kiukweli ww Dada unaendana nahiyo kwy kuimbisha kwako
ni kweli
mkovizuri.sana
nmebarikiwa. sanaa
Yan ww Dada kwa kipaj umejariwa
Vvvvvvvvv
kwaya ya Taifa hatakama sisali Aic lkn naamini hakuna choir inayozidi hii tanzania kama unaamini hivi kama ninavyo amini mimi tupia comments yako kwenye account yangu tuwe pamoja.