Video není dostupné.
Omlouváme se.

SHEIKH MZIWANDA AWARIPUA MAASKOFU NA WARAKA WAO, KWANINI UWE KANISANI? NA KWANINI KATOLIKI?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 08. 2023
  • Follow Us On:
    INSTAGRAM: / miladu_tv
    FACEBOOK: / babdeo miladu/
    TIKTOK: www.tiktok.com...
    CZcams: / @babdeomiladu

Komentáře • 2,3K

  • @ramadhanmwandambotuntufye5972

    Innalillah wainna ilayhi rajiun, waislam wa Tanzania hatujitambui wengi miongoni mwetu ni waislamu wa kurithi, hatujitambui hata kidogo tumetawaliwa na hofu tunawahofu makafiri kuliko Allah. Tubadilike waislamu.

  • @beddaathanas3150
    @beddaathanas3150 Před rokem +9

    Muogope mwenyezi Mungu, mtume hakuyaishi haya unayoyahubili.itukuze misingi ya mtume kwa kueleza yaliyo mema kiongozi wangu

    • @user-tn8jn2kh3d
      @user-tn8jn2kh3d Před 11 měsíci

      Tulia mwache aseme

    • @Salum85
      @Salum85 Před 11 měsíci

      Kwenye dunia iliyobadilika kunahaja ya kuendana na mabadiliko mema na sio maovu. Leo ukisema mtume hakuzungumzia hayo unakosea sana na utapotea ndg yetu.

  • @clethbarnaba923
    @clethbarnaba923 Před rokem +1

    Shehe asante kwa mawaidha yako, ila yanakarosoro kidogo. Sisi sote ni wana wa Mungu.
    Chukua Muda kidogo ujaribu kuusoma waraka wa Maaskofu bila kuweka mawazo udini. Ukiweza kuondoa udini utakuwa unamuhubiri Mungu wetu sote aliyetuumba. Mungu ni mmoja tu. Mungu/ Allah atusaidie tuweze kudumisha umoja na undugu wetu.

  • @sadicksince2008
    @sadicksince2008 Před rokem

    Marhum ustadh Iman Petro, Mwenyezi Mungu amrehemu, aliweka wazi kuhusu kanisa katoliki. Wanapiga vita uislamu.

  • @boniphace.mark.2033
    @boniphace.mark.2033 Před rokem +3

    Maaskofu level nyingine, wanaelimu ya kuchambua mambo na hakurupuki katika mambo yao. Yesu Kristo ndiyo mwenye nguvu. Imeenda hiyo.

    • @mohamedmanga8391
      @mohamedmanga8391 Před 10 měsíci

      😂😂😂 imeenda wapi??? Nini maana ya Pauline church.

    • @user-xd2tg8eq1h
      @user-xd2tg8eq1h Před 10 měsíci

      Wapi wewe yesu kwetu sisi waislam ni nabii hana zaidi ya cheo icho ipo siku mtaenda kueleza kwanini mlikuwa mnamwita mungu inshaalwah wakristo hawana elimu zaidi ya waislamu waislamu ndiyo bunadamu wenye hekma zaidi duni8

    • @TukhiAlfalakh
      @TukhiAlfalakh Před 5 měsíci

      Ngoja Sasa tukianza kuwachinja ndo mtajua

  • @user-qx4dz5kx3g
    @user-qx4dz5kx3g Před rokem +13

    Mashee wangu wakati wote mpaka mnamaliza kutoa dawa hamtaji hata robo ya kifungu chochote chamkataba, lkn niwakumbushe uwe udini au siasa chanzo ni mkataba,.Mwenyezi Mungu awasaidie mkumbuke kunukuu na vifungu.mtatusaidia sana sana.

    • @maftahmusa9513
      @maftahmusa9513 Před rokem +2

      Mashekhe walikwisha taja zamani sana vifungu vinavyo hitajika marekebisho rejea hutuba ya shekh Ponda na hao Maskofu katika waraka wao hawakutaja kifungu hata chochote wao Wamesema uongo eti wataanzania wote wameukataa mkataba huo. Hilo ndilo liloleta tabu wao kama akina nani kuwasemea watanzania eti hawautaki mkataba😢 hapo ndipo kanisa katoliki linapoleta vurugu

    • @edyi9187
      @edyi9187 Před rokem

      Rejea waraka vimetajwa vifungu zaidi ya 8 acha uongo

    • @ernesttomas85
      @ernesttomas85 Před rokem

      Hawana elimu ya darasani

    • @user-ki4sg8yz9j
      @user-ki4sg8yz9j Před rokem

      Hatuna haja ya kifungu. Kwani nyie makafiri hamsemi. Kazi yenu kusema eti bandari imeuzwa basi. Mbona hamtaji bei?

    • @ernesttomas85
      @ernesttomas85 Před rokem +1

      @@user-ki4sg8yz9j basi huo ndio ujinga wenu,maana mnapinga msichokijua,wengi wenu shule hakuna,mnabaki kusema kafiri kafiri kwenye mkataba kuna mambo ya dini yenu pale,washezi Sana mnachojua kufuga majini

  • @aerobicdanceandtaekwondotr371

    Natamani kama ungekuwa na huo mkataba utusomee na sisi Waislam tusiojua kingeleza tupate ufumbuzi ili tukiamka kutoka kwenye huo uoga tuwe na ushahidi wa kupigania uislaam wetu.

  • @faizaannassir2568
    @faizaannassir2568 Před rokem

    Allahuma barik yaa shekh unajitahid waamshe waislamu wamelala unajitahid mungu akupe nguvu tumungeni mkona mashekh amkeni semeni na nyinyi ww kishki na wenzako semeni

  • @nassorntandu4513
    @nassorntandu4513 Před rokem +5

    Nashukuru sana Sheikh unavyowaamsha Waislam, kujitambua , kupigania haki zao na kuongeza uchumi wao! Hili suala na kiuchumi waislamu wetu ni jambo la muhimu sana!

    • @emmanuelbendu6625
      @emmanuelbendu6625 Před rokem

      Kwan hapo umepingwa mkataba au waislamu RC sio Mara moja kutoa waraka ata kipind Cha maguful walishatoa waraka kua nchii iongozwe kwa democracy

  • @user-hd5yl5ej4v
    @user-hd5yl5ej4v Před rokem +7

    MaashaAllah Sheikh Wangu Mungu Akuzidishie Na Akulinde Dhidi Ya Fitna Za Hao Uliowapigilia Misumari

    • @rasnchimbi
      @rasnchimbi Před rokem

      Aje na vifungu vya mkataba siyo story ubwabwa😂😂

    • @cath-ef7wd
      @cath-ef7wd Před rokem

      Hawa makafiri(wakristo) wanaiharibu nchi sana kanisa ndo linajifanya kuisimamia kila serikali inayoshika hatamu kama kwamba hii nchi ni yao peke yao.hawa mbwa sana.Sheikh Mziwanda yupo sahihi sana.hawa waislamu wa leo na hasa wa tanganyika ni wajinga sana hebu amkeni nyinyi hawa makafiri watakulalieni siku moja na ujinga wenu. Kazi kucheka cheka ovyo.

    • @julianamasunga3458
      @julianamasunga3458 Před rokem +1

      Weee jionee huruma kwanza ,kabla yakumpongeza huyo shehe wako soma mkataba huo acheni ujinga naudini wakimasikini ,,,wale maaskofu wamesoma kuliko hao mbuzi wenu wawili samia na kikwete ,,,bandari siyo juzuu wewe niusalama wanchi,,,

    • @isaliisu3408
      @isaliisu3408 Před rokem

      Hapo unaposemema seriki inasaidiwa na kanisa katoliki umekoseya isipokuwa kanisa kstoliki linapendelewa na serikali munapewa zaidi ya bilioni 32 kwa mwaka tokeya mwaka 1992 rudiya gazeti la mwananchi la mwaka1992

    • @aminasaid6555
      @aminasaid6555 Před rokem

      ​@@julianamasunga3458Kama unaweza kutukana viongozi wako wewe wa Nini Sasa hata adabu ya kunywea maji huna

  • @zainabuibrahim4766
    @zainabuibrahim4766 Před rokem +1

    Mashaallah hakika ktk wanaume kuna mume nawewe uko miongoni mwao shukrani sana Shekhe wetu pointi yangu niliyokuelewa zaidi nikwanini(KATOLIKI?)

  • @bozeydayana4920
    @bozeydayana4920 Před 2 dny

    Akili (kwa Kiingereza "intelligence") ni kipawa kinachowezesha kufikiri, kuelewa, kuwasiliana, kujifunza, kupanga na kutatua matatizo. Ni ufahamu uliomo katika ubongo wa binadamu, unaoweza hata kutofautisha jambo kwa wema na ubaya wake na hatimaye kumuongoza katika kufanya maamuzi.

  • @ndimuelias6183
    @ndimuelias6183 Před rokem +4

    Hapa tulipofikia mungu asiposimama Kuna hatari ya nchi hii kuingi kwenye vurugu we mwenyezi mungu tusaidie

  • @fadhililihinda6491
    @fadhililihinda6491 Před rokem +31

    Kwamba pakiuzwa Waislamu mnafaidika na nini or mkataba ukiendelea kama ulivyo, Waislamu watapoteza kitu gani na Wakristo hasa Wakatoliki watafaidika na nini? Bandari haina uhusiano na dini, ni upuuzi uliopitiliza kufikiria kwamba eti ili tuendelee lazima kila kitu kiuzwe, sasa tuligombania uhuru wa kazi gani? Namshukuru Mungu, watu waliokua wakisiliza wala hawakukupa kampani katika hili. Bandari ni ya Watanzania, sio ya Wakatoliki or ya Waislamu, hata wapagani inawahusu

    • @franklinmsamila1347
      @franklinmsamila1347 Před rokem +2

      Fadhili hongera sana kwa comment yako wewe ni mzalendo mwenye mtazamo chanya wa kiakili.
      Hongera sana.

    • @viwehamad
      @viwehamad Před rokem +2

      Usifanye watu wehu katoliki ni walaji wa zamani serekalini

    • @hamzaabdallah8637
      @hamzaabdallah8637 Před rokem +2

      Hujielewi wewe ni fadhili jina tu mlevi usiye Sali

    • @faridamapogolo2892
      @faridamapogolo2892 Před rokem +1

      Kwaiyo nahao waarabu wakiuziwa bandari mtanufaika Nini??nakama Kuna manufaa mbona bandari ya Zanzibar haijatiwa ktk huumkataba nawao ndio bandari yao ipo karibu na bara la huko arabu?na dini yetu ya uislam imeshikwa sana huko makanisa machache lakini mkataba wa mwarabu hawaja husishwa

    • @omarinurdin261
      @omarinurdin261 Před rokem +1

      Nikubaliane na ww kwamba bandari haihusiani na dini, je unawashauri Nini wakristo wenzio walotoa waraka?

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo Před rokem

    We unayesema shkh Hana shule Kwa kigezo kipi nyie ndo ambao mmmekosa akili mnatubu Kwa watawa badala ya mungu , acheni hapa hoja c bandari ni udini tuuuuu!!! Ninyi ndio cku zote mnajiti kimbelembele kwenye Kila jambo Sasa safari hii mmeyakanyaga kongole Kwa shkh salute!!!!!

  • @johnmangula4832
    @johnmangula4832 Před rokem +2

    Ukweli utabaki kuwa ukweli, ni vema kutetea masilahi ya wananchi wote na sio maslahi ya ya dini moja. Hongera sana baraza la maaskofu.

    • @rahushussein1402
      @rahushussein1402 Před 11 měsíci

      Acha uongo wanatetea jambo lao na sio wa Tz wanatumia uchochoro huo kutimiza malengo yao

  • @derickcowly6681
    @derickcowly6681 Před rokem +6

    Imani bila mpango ni bure imani uenda na vitendo ni kuomba duwa sana umoja uwepo na ukweli kwenye mambo ya maendeleo ni bora kutetea maendeleo ya taifa

    • @ahmadmzoa74
      @ahmadmzoa74 Před rokem +2

      Hawa jamaa wanasema Waislamu mazezeta!? Zezeta ni yule anatulazimisha tuamini 1+1+1=1(poor arithmetic).

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 Před rokem +1

      @@ahmadmzoa74 Hivi Kwa nini tunashindwa kutumia wafadhili matajiri tulionao kujijengea Mahospitali ya rufaa vyuo vikuu vitega uchumi na mashule bora kama wenzetu.Huu si uzezeta??!

    • @aminasaid6555
      @aminasaid6555 Před rokem

      ​@@hashimchaoga9566we nae hujielewi,zezeta mwenyewe

  • @winfordmwangonda5375
    @winfordmwangonda5375 Před rokem +11

    "Kama wao wametoa waraka usomwe makanisani ,na sisi sasa tutoe waraka tusome misikitini"... Sheikh Mziwanda.
    Hapo sasa ndio waislamu wanapofeli ,kufanya jambo kama majibu kwa wakiristo wakatoliki ,badala yao kufanya mambo yao.

    • @Hancymtembo
      @Hancymtembo Před rokem +1

      Waislam akili zenu za kupepwa, wale wametoa waraka wa kupinga uwekezaji wa milele usio na mwisho nyinyi mnatoanwalaka wa uislamu na bandali mnaakili kweli?

    • @SebatianKisokola-hy7qs
      @SebatianKisokola-hy7qs Před rokem

      Wengne wanaongea juu ya bandari ww unaongea juu ya uiaslam pumbavu ww mdini mkubwa ww kama hutaki vaa bom

    • @aminasaid6555
      @aminasaid6555 Před rokem

      ​@@Hancymtembowe are conscious

    • @hamidumpiga6283
      @hamidumpiga6283 Před rokem

      Shekh wetu uko sawa kabisa

    • @hamidumpiga6283
      @hamidumpiga6283 Před rokem

      Kabisa shekh uko sawa 13:06 13:07

  • @LucinusTirutangwa-ez8kv
    @LucinusTirutangwa-ez8kv Před rokem +4

    Ndugu zangu wakatoliki mnaotazama video kama hivi msirudishe neno ili kuulinda umoja cha muhimu tuwapende na mwisho wataelewa nia ye maaskofu ilio njema kama tukikaa kimya basi watatuelewa na hakutakuwa na uchochez wa kidini tena ndugu zetu waislam sisi ni ndugu kama walikosea basi nanyi toeni ushauri sisi tunataka lililo bora haijalishi limetoka kwa nani ndugu zetu tunasikitika mmetuelewa vibaya

  • @eliakanyika4921
    @eliakanyika4921 Před rokem +10

    Huyu shehe ana udini sana kuliko uzarendo

    • @asnathmasegenya9890
      @asnathmasegenya9890 Před rokem

      Kachanjwa huyo😂 matokeo hayo

    • @rahushussein1402
      @rahushussein1402 Před 11 měsíci

      Bora huyu msema kweli, kuliko maaskofu wanaojificha kwenye uzalendo kumbe wanafiki wana UDINI na roho mbaya kuliko IBILISI

    • @daudimahede6014
      @daudimahede6014 Před 11 měsíci

      Subiriii ujibiwe

    • @user-hj3gr2lw9o
      @user-hj3gr2lw9o Před 11 měsíci

      Unataka waislam wanyamaze Tu muwapande kichwani hii nchi ya dini zote kwann akandamizwe mmoja tu

    • @user-vt4eq2ho9v
      @user-vt4eq2ho9v Před 11 měsíci

      Uzalindo nininii???

  • @kitosio
    @kitosio Před rokem +8

    Sh. MZIWANDA NI Kipaji ALLAH AKUPE NGUVU KTK ELIMU NA HOJA NA USHINDI.

  • @AliMohd-qc4go
    @AliMohd-qc4go Před rokem +7

    ASANTE SHEIKH ALLAH AZIDI KUKUPA NGUVU ZA KUUTETEA UISLAM TUNAWASIHI NA MASHEKHE WENGINE WAMUUNGE MKONO SHEKHE MZIWANDA WASIMUACHIE KILA KITU ASEME YEYE

  • @kzonealtupela63
    @kzonealtupela63 Před rokem

    Allah akufanyie wepesii sheikh tusichoche itikadii zakidini walaah tusiongele swalaa la kuingiza dinii ongelea swala la mkabaa usiweke uchochezi wakidinii

  • @danielmpaka
    @danielmpaka Před rokem +35

    Waislamu tuweni makini na hawa mashekh kama aina ya mziwanda hawa ni aina ya watu wasiopenda amani ya nchi yetu hata maneno anayotoa ni makali ni vile watanzania tunaustahimilivu wa asili,mtu mwenye maadili ya kiimani na mpenda amani ya nchi yako huwezi ropoka pumba kama hizo,hata hao wakatoliki wenyewe hawakuzungumzia dini ya mtu zaidi ya kukosoa mkataba wenye vipengele vya kuuza nchi hivyo kama maaskofu waliopo tanzania wanaupinga labda ubadilishwe,na hata hao mashekh waliokaa miaka sita jera aliyewaweka ndani ni Kikwete so kwanini hamkumlaumu kikwete,lakin leo baadhi ya mashekh wamekuwa wakitaja sana suala udini,hapa ktk suala la bandari hakuna udini zaidi yakulinda rasilimali zetu,kama bandari kunawezi ndo maana hatufaidiki basi serikali iliyopo madarakani ndo imeshindwa kuzuia uwizi huo na sio kukabidhi wageni ambao hawana faida kwetu😢😢 ❤tanzania nawapenda watu wote waislamu na wakristo,mkataba wa bandari ndio unaendelea kutugawa,tumeishi kwa pamoja na udugu ila mali zetu zisitugawe kamwe kama serikali imashindwa kuongoza nchi bora ikaachia ngazi kuliko kuendelea kutupeleka shimoni,kipindi cha JPM hapajakua na masuala ya kuongela mambo ya udini,alipenda dini zote na kuhimiza kule kwake Chato pia ukajengwe msikiti akijua kuwa dini ni inamarisha amani,shekh mkuu mwenyewe alishangaa Rais mkatoliki anamsihi ajenge msikiti na chato alijua jpm amekuwa muislamu,ila viongozi tulionao sasa hawajui nchi wanaipeleka wapi pindi mashekh kama hawa wanaporopoka masuala ya udini,MUNGU ATUSIMAMIE WATANZANIA WOTE WA DINI ZOTE TUKUMBUKE SOTE NI WATOTO WA BABA NA MAMA MMOJA ADAM NA HAWA.

    • @ahmadamohamed1907
      @ahmadamohamed1907 Před rokem +2

      Anachozungumza kina ukweli na udini umeanza na wengine na vyama vikawashabikia

    • @shwaibukhatibu2838
      @shwaibukhatibu2838 Před rokem +2

      Wewe Hilo jina lenyewe Lina mashaka

    • @MaatumKadhi-dl8xg
      @MaatumKadhi-dl8xg Před rokem +2

      Maneno hayo waambie maaskofu na mapadre ndiyo mada lla cku makanisani mwao cc kaongea shehe mziwanda mmoja mnambwela mbwela

    • @desderiushaule4264
      @desderiushaule4264 Před rokem +1

      Kwa habari ya kuwa na mahakama ya kadhi Tanzania rais kikwete muislamu mwenzako alipinga wazo Hilo alisema hivi, MTU anakamatwa ameiba kuku anahukumiwwa kukatwa viganja vya mikono yote mnamtia umasikini WA maisha yake yote pamoja na familia yake. Kikwete ni muislamu msomi na muelewa kuliko wewe sheikh mziwanda.

    • @cheupemwanga3326
      @cheupemwanga3326 Před rokem +1

      Kwa hiyo kanisa katoliki kutoa waraka sio kuvunja amani???

  • @alhilaltvonline
    @alhilaltvonline Před rokem +11

    Nakukubali Sheikh wangu. Haki isemwe. Waislam bado tunajadili Maulid yanafaa au hayafai - tunatukanana.

    • @htvtanzania3483
      @htvtanzania3483 Před rokem

      maulidi ina kujaje sasa au una leta upuuzi hapa

    • @HabshyawadhiSalimu
      @HabshyawadhiSalimu Před rokem

      Ww nawee maulid Na huku niwap nawap unazungumza nn

    • @htvtanzania3483
      @htvtanzania3483 Před rokem

      @@HabshyawadhiSalimu huyu ana penda ujinga ujinga

    • @user-lk8ws3fz9x
      @user-lk8ws3fz9x Před rokem

      Acha uchochezi

    • @vedastovaleliani8153
      @vedastovaleliani8153 Před rokem

      Samahani jamani Mimi sijaelewa naomben mnisaidie, Masikofu wamepinga, mkataba mbovu, kwanini huyu shehe analalamika kwamba waislam tuamuke tutetee nchi yetu ote tuna haki, kwani kwani mkataba no wadini ya kislam au ni was Dubai.

  • @user-od1et5ii1k
    @user-od1et5ii1k Před rokem +7

    Shehe sema kweli waislamu tumegeuka samaki aina ya pono

  • @neemataris3273
    @neemataris3273 Před 11 měsíci +1

    Maneno haya ni hatari sana kwa mtu wa Mungu, Lakini hakusemwa mwislamu kwenye walaka au nilisikia vibaya

  • @munawwaradam8993
    @munawwaradam8993 Před 11 měsíci

    Mashaallah masheikh watoeni tongotongo waislam ni waoga hawajitambui, sasa umefika wakati wa kujitambua

  • @shabamuhidin634
    @shabamuhidin634 Před rokem +4

    from Kenya,namuelewa sana huyu sheikh,last month nlisoma nakala ya huko kwenu TZ,ati Kanisa la Lutheran wameanzisha Dispensary alafu inalaumu serikali ati wamecheleweshwa mishahara,sasa nkajiuliza hospital ya kanisa lakini wanalipwa na serikali ya tz,inakuaje aje wakati huo ni mpango wa makanisa? watu waamke kweli including us Kenya

    • @oscarakepha8374
      @oscarakepha8374 Před rokem +1

      Huku kwetu kuna mkataba wa serikali kuunga mkono juhudi za mashirika ya Dini kwenye idara ya Afya , kumbuka Hiyo Dispensary iko kwenye eneo ambalo hakuna huduma na Wananchi wote ni wanufaika ,mshahara haiungii kanisani analipwa mtumishi anayehudumia Watanzania wote ,shida iko wapi? Mashirika ya Dini yanaisaidia serikali kufanya majukumu yake ,hayo ni makubaliano yapo tu ,Taasisi yoyote ya Dini ikajenge Hospital vijijini itoe huduma bila ubaguzi kwa watu wote itapata baadhi ya nafuu kama hizo

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz Před rokem +1

      For sure

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz Před rokem

      @@oscarakepha8374 waislam hawakubaliki kufanya ivo kwa ubaguzi wa wakristo

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 Před rokem

      Si Kenya si Tanzania kote Waislam tumelala tena ni aibu. Tunakazania tu kujenga misikiti madrasa na kujengewa visima. Wafadhiliatajiri Wa mafuta tunao na tunashindwa kuwatumia kujijengea mahospitali ya rufaa vyuo vikuu vitega uchumi na mashule bora yanayopasisha kama wenzetu. Afadhali Kenya mnajitahidi sana kutumia nafasi za kiislam katika elimu ya juu kwani nilisikia MNA wanafunzi wengi wamesoma na wanaosoma katika vyuo vikuu vilivyopo katika nchi za kiislam nafasi ambazo hutolewa na has a shirika LA dini likiziomba huku kwetu tuna Bakwata ambayo haina juhudi ya kuomba na kuzitafuta hizo scholarships na kuzitangaza .

    • @clarencebitegeko7079
      @clarencebitegeko7079 Před rokem

      Homeboy ​@@oscarakepha8374 nimekukubali. Nyayooo

  • @masala8099
    @masala8099 Před rokem +4

    Shekhe umeongea vizuri shida humu ktk comments watu vichwa sifuri

    • @hamadsalim5641
      @hamadsalim5641 Před rokem

      Kuna msamaha wa kid hapo ndio maana wanahof WANAFAIDIKA Sana nayo ndio MAANA wanapiga KELELE Sana

    • @aliemdogo
      @aliemdogo Před rokem

      Mkisikia katolik mnasikia hasira ya kutapika,isomen hata misikitin wakina ney wameongea ukweli lakin hamtafut mnataj katolik peleken ujinga huko

    • @aminasaid6555
      @aminasaid6555 Před rokem

      ​@@aliemdogokwahiyo dini yenu ukweli wake upo kupitia wasanii

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid9637 Před rokem +1

    Shehe umesema kwel akikamatwa mkiristo hafiki wiki anaachiwa lakin akikamatwa shehe wataekwa miaka tele na waislam wanakaa kimya kazi yetu mungu yupo waislamu na sisi tuamke tuungane yakitokea mambo Kama hayo #

  • @malulufrank7871
    @malulufrank7871 Před rokem

    Habari za leo
    Hakika Mungu aendelee kulipigania Taifa hili swala hili la Bandari limechukua sura ya dini ya viongozi wanavyolichambua na tumeshindwa kusikiliza hoja za maendeleo ya bandari yetu na tumegeuza mjadala huu juu ya nani kasema nini na je yule ni wa dini yangu au sio.Niwaombe watanzania mjadala huu tuuendee tukiwa na akili zetu na kumuomba mwenyezi mungu juu ya hekima na busara.Leo kuna mambo mapya yataibuka na hata bandari ni sehemu 1 ya nchi yetu lakini Amani yetu , Uzalendo wetu , Utu wetu umejengwa kwa wazee wetu kujitoa na kuiwekea nchi hii misingi ya utulivu.
    Upendo utawale .Amini

  • @helentelemla5623
    @helentelemla5623 Před rokem +35

    Shekhe wetu mpendwa huu mkataba haufungamani na imani yenu maana hata sisi tuna ndugu wa imani ya kiislam.Lkn wapo waislam na wakristo wanaopinga baadhi ya vipengele Tunasikiliza hoja tunafanya maamuzi .Huu waraka ni ujumbe kwa serikali

    • @mohamedlamimu
      @mohamedlamimu Před rokem +3

      Waraka haupingi tu vipengele, unataka mkataba ufutwe kabisa na wala si kurekebishwa hivyo vipengele wanavyodai vina kasoro! Hapa ni wazi kuna chuki dhidi ya wanaopewa mkataba na uongozi wa serikali uliopo kwa sasa!!

    • @yassinhamisi922
      @yassinhamisi922 Před rokem

      Kuhusu huo mkataba wanaopinga uwekezaji wanamaslahi binafsi.
      Kuna baadhi ya mathehebu wanamaslahi binafsi.
      Km kuna vipengele virekebishwe na usifutwe maana kuna upigaji sana bandarini.

    • @yussuph-lx7cu
      @yussuph-lx7cu Před rokem +1

      Hili ni nchi ya ajabu kweli ,,kuna mikataba iliyofungwa kabla ya mkataba huu wa bandari ambayo ilikuwa mibovu na hivi sasa tunatakiwa tulipe penalti kwasababu ya kuivunja na imevunjwa na maccm ,,,kuhusu sheikh anazungumza kuingiza mizigo bila kulipiwa ushuru hilo si kosa LA watanzania ni kosa LA maccm ndio wanaoruhusu kupitisha miziigo bila kulipa ushuru ,,ccm mumeshindwa kuongoza nchi waachilieni wapinzani waongoze nchi ,nchi yote mumewauzia wageni kwa mikataba mibovu na hiii bandari munataka kuikodisha kwa mkataba mbovu sisi wananchi hatutaki,,,sheikh umetumwa na maccm ,usikubali kutumika sisi wananchi tunaakili timamu tushajifunza kwa mikataba iliyopita

    • @patrickmunishi2277
      @patrickmunishi2277 Před rokem +1

      MUNGU AKUBARIKI SANA

    • @davidsamson8204
      @davidsamson8204 Před rokem +1

      Wewe shehe umeramba asali Ludi nyuma wewe si mtanzania ndiomana unaipigania Dpwd

  • @mkude
    @mkude Před rokem +9

    Maashaallah Sheikh mziwanda ALLAH Akuhifadhi. Watu wamepandikizwa chuki sanaa tunaunga mkono uwekezaji wa bandari kutoka kwa dubai

  • @Marjeby
    @Marjeby Před rokem

    Nakupenda sana Sheikh Mziwanda uko Modern sana lakini kikubwa kinachonivutia kwake haogopi kusema as long ni ukweli tu.
    Achana na hao kina Walid tangu zamani wako vuguvugu na sasa hivi ndio amemezwa na mfumo kabisa kucheka cheka tu mbele za watu.
    Basi shule mlibaniwa hata kusema ukweli tu bado mpaka leo mnafundisha kuoga janaba tu

  • @Zanzibar-LandOfBlacks

    Mimi maoni yangu, mama asiwatie waislam lawamani, swala la bandari aliwache, wanaomshauri na kumsukumasukuma hawamshauri vizuri, wanautia lawamani uislam, au kama kuwekeza bandari wangeipa kampuni ya kizungu tu au ya kichina.
    Ukweli ni kwamba, wenzetu wanataka kuifanya tanzania ni ya wakristo, waislamu ni watu wa daraja la pili. Jambo litakalokubaliwa na wakristo ni sawa lifanyike, lakini wakilikataa wao ndio lisiwe. Mahakama ya kadhi kwa kua hawakutaka wao na halikuwa. Wanataka kuifanya tanzania waislamu hawana kauli, na hawataki ionekane hivyo kweny uwanja wa kimataifa. Hili si jambo la sawa.

  • @bernardndemba2253
    @bernardndemba2253 Před rokem +7

    kazi tunayo

  • @Nily-kz3db
    @Nily-kz3db Před rokem +1

    MashaAllah,Shekhe Allah Akupe Kher,Wamezoe Hao Maskofu Kuongea Pumbaa, Tushkamane Waislam Tuwe Ktu kmoja,

  • @omarikessy2339
    @omarikessy2339 Před 11 měsíci

    Mwenyezi Mungu akulinde sheikh mziwanda

  • @magnusraphael9007
    @magnusraphael9007 Před rokem +12

    Knowledge is power ignorance is weakness

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 Před rokem +9

    Allah akuhifadhi shehe wetu

    • @ozilismail7604
      @ozilismail7604 Před rokem

      Kilichoongelewa ni bandali dini limetoka wp shekhe acha ushenzi nanyie nendeni nahoja zenu kwanza ww umesomea ndini sioshelia 😊😊 12:48

  • @saidPeace-xq1ld
    @saidPeace-xq1ld Před rokem

    Kwa hili waislam Hawa wezi kusema kwani Kwa sasa robo3 ya viongozi walioko mdarakani Kwa sasa niwaislam Sasa wakristo wamegundua mtego wenu waislam, tuwaache wakristo waongee mungu awape njia zaidi 🙏

  • @HezronSiwingwa-ny1gd
    @HezronSiwingwa-ny1gd Před 11 měsíci

    MashaAllah,Alhamundulillah,SEMA shehe wangu😎😎😎💚💚💚💚💚💚💚

  • @mohammedhimba1647
    @mohammedhimba1647 Před rokem +5

    Pamoja shekh watajua hawajui pamoja sana

    • @leonardgalila3032
      @leonardgalila3032 Před rokem

      Kwenyi hili tusilete udini tujadili mkataba na tujibu hoja za mkataba huu udini tunataka tuhamishwe kwenye leri

    • @aminasaid6555
      @aminasaid6555 Před rokem

      ​@@leonardgalila3032nyie ndio mmeanza

  • @iddmwendotanzaniteexp5050

    Hongera sana shekh...tunakuombea kila la kheri shekh...!!!

  • @sharifajosia879
    @sharifajosia879 Před rokem

    Allah akutangulie kwa kila hatua Bwana mziwanda Akupe mwisho mwema Akupe umri mrefu uzidi kutuzindua maana hawa wakatoliki wanataka kutupeleka pabaya lakini inshaallah wataangamia waowa

    • @angelsulle7177
      @angelsulle7177 Před rokem

      Wewe ni fala wa mwisho Kanisa Katoliki juuuu???? Washambaaaa!!!!!!!

    • @aminasaid6555
      @aminasaid6555 Před rokem

      ​@@angelsulle7177acha matusi

  • @mahmoudhamisi673
    @mahmoudhamisi673 Před rokem

    Maashallah Allah akulinde udini wameuanza kina tundulisu na wenzake

  • @NassirMansour-zx2jd
    @NassirMansour-zx2jd Před rokem +3

    Amani iwe juu yako sheikh mziwanda Allaah akuteremshie jeshi la ulinzi, yaarabbi tunakuomba umlinde huyu sheikh

  • @user-xf4cu3st5z
    @user-xf4cu3st5z Před rokem +6

    Mnachanganya mambo haya na dini.mkataba huu unapingwa na wananchi kwa mapungufu yake na maslai makuu ya wananchi ya Tanzania.hapa hakuna dini.😊

    • @ibrahimsaad617
      @ibrahimsaad617 Před rokem

      Wwe unapambana na waisilamu ?

    • @salehkhamis-ob8ln
      @salehkhamis-ob8ln Před rokem +1

      Ukiacha serikali Kwani walioanza kuongea huu mkataba ni nani. Maaskofu. Wakiongea mashehe mnadai wanaleta udini na wao wanyamaze basi hao maskafu na masheh watanyamaza tuachie serikali ifanya kazi yake msiipangie

    • @aminasaid6555
      @aminasaid6555 Před rokem +1

      Wameanza katoriki

    • @abuumuhammad7133
      @abuumuhammad7133 Před rokem +1

      Unae ushahidi wengi ndio wanaepinga tatizo ni udini na wakatolliki baadhi yao viongozi wanapitishaga makontena bila ushuru sasa wanaona DP WORD anachukuwa bandari hakuna tena kupitisha makontena bure na nakuhakikishia DP WORD anachukuwa Bandari na huo ukiritimba wakupitisha makontena bure umeisha

    • @user-xf4cu3st5z
      @user-xf4cu3st5z Před rokem

      Wanapitishaje bila mamlaka.nani msimamizi hapo? Kosa ni la Wananchi au mamlaka inayohusika? Ni hatua gani zilizochukuliwa na mamlaka kukomesha hali hii? Ni wananchi tena.inaonekana kosa ni la mamlaka husika.ebu tufikiri tu

  • @shabanilijoka199
    @shabanilijoka199 Před rokem

    Masha Allah bab Allah akuhifadhi

  • @juliusbosqual2848
    @juliusbosqual2848 Před rokem +1

    Shekhe alitamani kuongea , lkn hakuwa na chakuongea , kichwa hakina elimu Ila kimejaa maji na vumbi !! Aangelea udini wakt wtu wanaangalia mustakali wa maisha yawatanzania, shekhe nenda shule acha kuropoka utumbo

  • @alexchamy2289
    @alexchamy2289 Před rokem +16

    Kwani waraka umepinga dini yako, sijakuelewa unapigia kelele Nini!!. Waraka ule ni juu ya kuhoji, kukosa na kushauri serikali juu ya mkataba unaoingiwa kati ya serikali na mwekezaji Sasa wewe unaumia na Nini. Labda kama unahoja za kujibu huo waraka basi zitoe sio kuleta udini. In short kama uwekezaji utakuwa na maslahi basi yatawahusu aidha watanzania wote pasipo kujali dini na wawekazaji na haitakuwa na maslahi kwenu peke yenu. Na kama utakuwa na hasara zitawahusu watz pasipo kujali dini na sio RC pekee. Hivyo ni vyema na busara waraka uliotolewa ukasikilizwa, ukajibiwa au ukatumika katika kujitahadharisha. Udini tuweke pembeni yanapokuja mambo ya kitaifa. Mie Sina dini kwanza mkileta udini mnanichanganya

    • @rahushussein1402
      @rahushussein1402 Před 11 měsíci

      Bado hujasema

    • @user-zd3ds6vt7u
      @user-zd3ds6vt7u Před 11 měsíci

      Yo anasababu naislamu wenziye siunaona anavyo waambia alishambuliwa sijui alishambuliwa nanini anajua yeye anasema waislamu hawakumsaidia kama hawakukusadia wakatoliki wanaingiaje hapo kama unata misaada yakatoliki mbona ikowazi wakatoliki siyo wachoyo sema usaidiwe siyo kuongea maneno hata hayaeleweki katoliki wamachungu nataifa wewenae unaleta udini hata wenzako wanakushangaa hawakuelewi unakuwa kama unampigia mbuzi kirtaa acheze haya weebwabwaja sasa labda hauna kaziyakufanya

  • @roggoyacny
    @roggoyacny Před rokem +1

    Walio muombea Dua Nyerere,,Mkapa na MAGUFULI hao wanatakiwa kufanya Toba kwa ALLAH 🙏

    • @flova7022
      @flova7022 Před rokem

      Duuu kazi IPO ..shida ni kuwa mjinga na mshamba...hivi mkristu kumwombea muislam ni dhambi..kaz ipo

  • @HenryAnatoly-jg3df
    @HenryAnatoly-jg3df Před rokem +1

    Mzee sema faida za mwekezaji uctoke nje ya maada. Kutaja kanisa katolk hiyo sio point bal ndo uchochezi halis

  • @ShimboPastory
    @ShimboPastory Před rokem +17

    Kuna shekhe huko msikitini anafundisha watu kufanya mapenz, sijui kuwafikisha wanawake kileleni, mambo ya ovyo kabisa. Hapa maaskofu wanatetea maslahi ya watu. Kanisa linasimamia kitu tunaita INTEGRAL CARE OF THE HUMAN PERSON. hiyo ni principle. Yaani kuhakikisha kwamba maisha ya mwanadamu yanaendelea katika nyanja zote, kielimu, kiafya, kimaendeleo, kiuelewa, kiuchumi, na kijamii. Angalieni mchango wa kanisa kwenye jamii ya Tanzania kabla ya kuongea chochote.

    • @malikihemfaume3906
      @malikihemfaume3906 Před rokem

      Wana mchango mkubwa sana ambao idadi ya walimu mashuleni kubwa ni wakristo na muda wa shule watoto kurudi mpaka saa nne usiku ili wasipate muda wa kwenda madrasa nayo ni mazuri kwa waislam sio.....

    • @maximillianmayani5119
      @maximillianmayani5119 Před rokem

      ​@@malikihemfaume3906kaka mie nimesoma Saint Marys mihayo tabora hakuna ujinga unaotaka kusema usipotoshe wengine tumesoma shule za kikristo acha uongo

    • @nasrimohamed7556
      @nasrimohamed7556 Před rokem

      Muhimu c kuzini

    • @Osmanbey01
      @Osmanbey01 Před rokem +3

      mchango wa kanisa kufungisha ndoa za mashoga hio n integral care ya kanisa pia

    • @Osmanbey01
      @Osmanbey01 Před rokem

      Kanisa katoliki limezowea kuogoza nchi kupitia kanisa,,sasa kanisa limebanwa wanapanua midomo

  • @hajisaid3024
    @hajisaid3024 Před rokem +16

    Shekh wape ukweli wameila sana nchi nchi yetu wote

    • @AliMahmoud-tj2jb
      @AliMahmoud-tj2jb Před rokem +1

      Kweli sheikh ,kilichobakia ss na sisi waislamu tuwe na msimamo mmoja tuckubali Hawa makafiri kuharibu nchi💪💪💪

    • @elishakayagwa9371
      @elishakayagwa9371 Před rokem +3

      Nyie mnanchi gani wapuuzi nyie? Tena msilete ujinga na kama hamtaki nendeni Zanzibar.

    • @daudimichael7338
      @daudimichael7338 Před rokem +1

      ​@@AliMahmoud-tj2jbMakafiri ni wale wanaouza bandari yetu

    • @heritier5119
      @heritier5119 Před rokem

      Madalali wa kuuza bandari Sasa uislam na bandari vina uhusiano gani

    • @heritier5119
      @heritier5119 Před rokem

      Chuki hizo wamekulaje ni awamu ipi ya dini zinaliwa

  • @hamidumpiga6283
    @hamidumpiga6283 Před rokem +1

    Inalilah wainailah rajiiun,uko sawa shekh

  • @hamisiramadhani3538
    @hamisiramadhani3538 Před rokem +2

    Allah akuongoze sheikh mziwanda

    • @Bikhafija
      @Bikhafija Před rokem

      Watoleeni wakala miskitini watu au hamna elimu.kama tunavyo ambiwa

  • @sativaamandus9281
    @sativaamandus9281 Před rokem +7

    Wewe mwenyewe umekashifu. Aisee, kweli wewe kichwani hamnazo

  • @ondieckotoyo1143
    @ondieckotoyo1143 Před rokem +22

    Ni wakati pia ya kuoji muungano wa Tanganyika na zanzibar Kama ni muungano tuwe na rais moja wa Tanzania bendera moja nchi moja katiba moja Zanzibar ilishajitenga, lina katiba yake, rais wake, bendera yake , mipaka yake na majeshi yake, na bado wananufaika na kumiliki ardhi ya bara ambayo siyo sehemu ya muungano huku watanganyika hawaruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar hivyo wazibari wasiongeleh ubaguzi pale watanganyika wanapoibua hoja ya kero ya muungano hoja za watanganyika zisibezwe hata kidogo au kuzikejeli tunaitaji Tanganyika yenye katiba yake, bendera yake, nembo yake, mipaka yake, rais wake, bunge lake na serekali yake itayosimamia maswala yasiyo ya muungano kama ilivyo kwa Serekali ya mapinduzi ili muungano uwe wa usawa kwa pande mbili siyo sawa rais wa muungano ndiye rais watanganyika

    • @salumbaa7378
      @salumbaa7378 Před rokem +8

      sie wazanzibar tunataka hata kesho mjitenge watanganyika, sijui nani aliemshikilia mwenzake😂

    • @saiddaud3855
      @saiddaud3855 Před rokem +6

      Watupatie Zanzibar yetu tufanye mambo yetu

    • @najaributest
      @najaributest Před rokem +5

      Mbona wazanzibar miaka yote wanadai znz yao au ww umeacha kunyonya juzi nyie ndo mudai tanganyika sio wazanzibar wadai znz yao mzanzibar akizaliwa leo kesho akiulizwa atasema hataki huu muungano

    • @suleymandachi782
      @suleymandachi782 Před rokem +2

      Tusiwe viziwi,kama wewe ni muislaam huwezi kuandika mambo ya kujitenga,shekh anahimiza waislaam tushikamane nyie mnaanzisha mjadala wakutengana, Tanzania visiwani,mombasa na Tanzania bara ni sehemu yenye waislaam wengi,kwanini tubaguane?

    • @ahmadamohamed1907
      @ahmadamohamed1907 Před rokem +3

      Watanganyika wapo wengi wanaomiliki ardhi wengi Sana usiseme jambo usilolijuwa

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Před rokem +1

    Tunahitaji hospital ya Kanda ya kaskazin ijengwe Arusha tuachane na KCMC na hospital ya Kanda ya ziwa ijengwe mwanza tuachane na Bugando zilipe Kodi

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo Před rokem

    Safi sana shekh Hawa maaskofu wanahisi nchi ni Yao wameshaona upole wa waislam kama magoigoi.

  • @placidiakambuga3508
    @placidiakambuga3508 Před rokem +7

    Shule ni muhimu sana aisee, watu wanaongelea partmanent sovereignty ndio haitakiwa kwenye mkatana ww unaleta udini.

    • @rahushussein1402
      @rahushussein1402 Před 11 měsíci +1

      Mnatafuta pa kujifichia yaliyo ndani ya mioyo yenu ni makubwa sana kuliko mnayotuonesha muache Sheikh aseme

    • @daudimahede6014
      @daudimahede6014 Před 11 měsíci

      Fikiria kutumia utumbo

  • @kulwamiyonjo968
    @kulwamiyonjo968 Před rokem +75

    Hakuna mahusiano yeyote hapa kati ya udini na siasa,kanisa katoliki limetoa tamko kuhusu Mkataba wa bandari hakuna siasa ya aina yeyote hapo,kanisa katoliki siyo mara ya kwanza kutoa matamko ya namna hii,Wakati wa utawala wa Magufuli kanisa lilishatoa Waraka zaidi ya mara moja kupinga utawala usiokuwa wa kidemokrasia dhidi ya serikali ya C.C.M bila kujali ukatoliki wa Magufuli,Mbona hatukumuona Rais mstaafu akitoa tamko la udini wakati huo.

    • @philemornmutta1597
      @philemornmutta1597 Před rokem +6

      Hawa ndg zetu nahis km hawajuhi kuwa si Kila mzungu ni padri au si kila mwenye kanzu ni shehe Hawa Wana mambo Yao kiuchumi hawaji kidin Huku wanakuja kupga pesa

    • @hamissantanga8849
      @hamissantanga8849 Před rokem +10

      Sawa lakini mahakama ya kadhi walipinga, hata Tz kujiunga na oic walipinga na sasa Dubai kuwekeza Tanzania wanapinga haoao.

    • @mohamedichande-eb6jh
      @mohamedichande-eb6jh Před rokem +10

      Kwa Nini waraka unatoka wakati wa utawala wa baadhi ya viongozi,acha uongo

    • @salumkatunda9694
      @salumkatunda9694 Před rokem +3

      Hata kama hujui kusoma kuelewa je? Fursa iliyotolewa na serekali ni kuishauri kwa ambacho anaona kitafaa, Leo hii umekuja na tamko na umekwepa wajibu. Tayari Bunge limeishauri serekali mtazamo wa maaskofu wabunge wamewakataa wananchi! Nikuulize hao wananchi ni kina nani! Kama sio udini kipi kilicho lisukuma kanisa katika jambo hili? Kwanini huo uwe mtazamo wao taasisi yao nasi mtazamo padri au askofu mmoja mmoja? Kanisa Lina ham ya kuongoza ndio maana ya hata wanayofanya. Vinginevyo itambue kuwa taasisi yao so Muhimbili ktk mihimili ya kuongoza nchi yetu

    • @clememallya4257
      @clememallya4257 Před rokem +2

      Jinga kubwa afanywe wewe mtumwa wa waarabu ukalishwe tende huko siyo watz tuachie nchi tuiendeleze km yamemshinda huyo aachie ngazi akale haluwa si hapa kz tu hatuhitaji za kupewa tunajitegemea tujifunie vyetu

  • @benedictkihombo348
    @benedictkihombo348 Před 11 měsíci +2

    Shule ni muhimu sana kwa kweli.

    • @allyjuma2574
      @allyjuma2574 Před 11 měsíci

      Msingi wa elimu za wazungu ni wizi,unyonyaji, ubaguzi,ubinafsi...na kauli zenu zinafanana hivohivo

  • @dimothunderitikeri9140

    Mtego wa bandari umefikka kwenye dini, Waislam msisahau kua kama tukiwapa waarabu bandari zetu Uislam utatawala muanze kuwanyanyasa Imani nyingine, ilo tunalijua vizuri na Waislam wazalendo na nchi yao hawawezi kwenda na mawazo yako

  • @salehemohamed2937
    @salehemohamed2937 Před rokem +3

    MashAllah, umesema kweli,hakika ukweli unauma

  • @mwangajilemwangajile-hd9vj

    Narrow knowledge is a very dangerous knowledge.

    • @shukurukoll7269
      @shukurukoll7269 Před rokem +2

      Who is having narrow knowledge. The time has come really Muslims should wake up.

    • @ototek8037
      @ototek8037 Před rokem

      @@shukurukoll7269 ni sawa kubadili sheria za nchi ili ziendane na mkataba? Ni sawa kusain mkataba usio na vipengere vya kuuvunja?
      Waislamu anzeni kupeleka watoto shule sio madrasa, mnapishana na dunia, mzungu sio ndugu wa mkristo wala mwarabu sio ndugu wa muislamu.
      Bandari zikibaki mikononi mwetu zitawasaidia watoto wetu sote, ila tunakoelekea zitawasaidia watoto wa waarabu na vizazi vyao kwa maana mkataba utaisha bahari ikikauka.

    • @mohamedjuma9517
      @mohamedjuma9517 Před rokem

      Sheikh muharram umeongea jambo la msingi sana hii dawa TEC itakuwa imewaingia vizuri sana

    • @bakarithegeoinformatician7406
      @bakarithegeoinformatician7406 Před rokem

      Who has the mandate to count it! Stupid

    • @jumabeja956
      @jumabeja956 Před rokem

      We ndo una elimu ndogo

  • @khalfanmakoyo
    @khalfanmakoyo Před rokem +1

    MashaAllah shekh Allah akupe afya njema. kumbusha maake sisi waislaim tunajifanya hutana haja nasiasa kwenye inchi hii.

  • @mrishojuma4695
    @mrishojuma4695 Před rokem

    Sheikhe uko sawa kabisa yaani hayo makristo yanataka mikataba iwe Kwa wazungu tu lakini Kwa mwarabu hafai ni wakuda saana

  • @user-oe1qc6wr6c
    @user-oe1qc6wr6c Před rokem +4

    mama samia piga kazi umewakomesha majambazi

    • @godsonishengoma5378
      @godsonishengoma5378 Před rokem

      Walewale wezi wa mali za taifa..
      Usiwatetee waovu.. Amin dunian hapa s kwe2 n njia tu ya kmrdia Muumba we2..

  • @quwwangaemanuel7360
    @quwwangaemanuel7360 Před rokem +3

    Shekh hujitambui hata kidogo 😢

  • @nicolausminja689
    @nicolausminja689 Před rokem

    Kwani huu mkataba unahusiana na uislam!? Maana waraka ni ushauri kwa serikali kuhusu huo mkataba kwa lengo la kulinda amani ya nchi. Ushauri waweza upuuza au kuzingatia.uwekezaji sio mbaya ishu vipengele vinavyo lalamikiwa virekenishwe visikinzane na katiba.wakristu na waislam sisi ni ndugu msitugombanishe.Mungu ibariki Tanzania,🕌❤⛪🇹🇿

  • @eladymwakanyamale
    @eladymwakanyamale Před rokem

    Wamezungumzia mkataba,, Mkristo na Muislam ni ndugu,, hizi ni Imani TU Kila mtu anayake.

  • @saidkipalo4427
    @saidkipalo4427 Před rokem +3

    Shukrani kaka Mziwanda Hakika Umesema Maneno Leo

  • @mawiluomari3975
    @mawiluomari3975 Před rokem +13

    Tuko pamoja waislamu tuamke tushikamane ndivyo dini inavyotutaka
    هؤلاء يحبونهم ولا يحبونكم.....
    Hii ni Qur'ani inatuongoza hivi tukowapi sisi na kitabu chetu
    فالنجعل القرءان أمامنا لنهتدي به ولا نجعله في ظهورنا
    Tuijaalie Qur'ani mbele yetu ili tuongoke tuone tunapotakiwa kuhitajika kua
    Na tusiieke nyuma ya migongo yetu.
    Tutapotea

    • @CharlesLeoMgaya
      @CharlesLeoMgaya Před rokem

      Mshikamane kuwasaport wanasiasa kuhusu uchafu wa mkataba au kusema ukweli juu ya udhaifu wa mkataba???

    • @RamadhanMwijage-ul2kj
      @RamadhanMwijage-ul2kj Před rokem

      Shekh ongelea mkataba unasemaje?umeusoma na kujua mapungufu yaliyomo?

    • @aminasaid6555
      @aminasaid6555 Před rokem

      ​@@CharlesLeoMgayakupinga udini

    • @aminasaid6555
      @aminasaid6555 Před rokem

      ​@@RamadhanMwijage-ul2kjsio kazi yake

  • @robertmayeji141
    @robertmayeji141 Před rokem +1

    Hakuna shekhe yoyote anaeweza kuusemea huu mkataba maana umeandikwa kwa kingereza hakuna shekhe alie enda Shule kabisa

  • @EmmanuelThomass
    @EmmanuelThomass Před rokem +1

    wengine tukisema mtatuona tuanawabagua acha ninyamaze lakin tambuweni ninyi ndio mnaanza kutubagua sawa

  • @nicholasmhina8705
    @nicholasmhina8705 Před rokem +11

    I'm Christian hakika unachoongea nakuelewa sana unasema ukweli suala la bandari linapotoshwa sana

    • @godwinmbwambo3316
      @godwinmbwambo3316 Před rokem

      Upotoshaji ipi?

    • @swafiirbulbul819
      @swafiirbulbul819 Před rokem +2

      nicholasmhina8705 .... Mkristo wa kwanza mwenye akili ❤🎉

    • @josephwilliammnyune5464
      @josephwilliammnyune5464 Před rokem

      Hapa swali ni moja. Mkataba unafaa au haufai. Haufai kwa nini, unafaa kwa lipi. Zilizobaki ni porojo tu.

    • @swafiirbulbul819
      @swafiirbulbul819 Před rokem +1

      Kama Mkataba haufai.. Ingieni barabarani muandamane 😄😅 Zamu yenu sasa

    • @Chiombola85
      @Chiombola85 Před rokem

      Uwekezaji sio issue, issue ni mkataba bana, na masheihk toeni maamuzi yenu sio kujadili wenzenu hii sio simba na yanga

  • @justusjulius9279
    @justusjulius9279 Před rokem +7

    Toeni na nyie tamko sio kudiscuss matamko ya watu wengine

    • @najaributest
      @najaributest Před rokem +1

      Usitufundishe jinsi ya kusema

    • @sheikhwalidalhadtv2950
      @sheikhwalidalhadtv2950 Před rokem +1

      Mnatujua vyema msijisahau sisi tushadiscus sanaaaa kuhusu mustakbala wa nchi hii na ndio wenye damu ya machafuko Ohoooo! Wenzunu sie HATUOGOPI KUFA sie kifo kwa ajili ya dini yetu ni IBADA

    • @ibrahimmakasi4690
      @ibrahimmakasi4690 Před rokem

      ​@@sheikhwalidalhadtv2950wewe mjinga kweli yaani umwage damu kwa ajili ya waarabu? Dini yenu imekaa kiwizi Sana..

    • @user-oz1pp1ck2m
      @user-oz1pp1ck2m Před rokem

      Hapo sasa wangenyoka na Yao wanautaka mkataba au hawautaki na sababu zao wao kudakia ya watu

    • @muhsinsasamalo987
      @muhsinsasamalo987 Před rokem

      Ndio Hilo tamko lishatolewa😂😂😂

  • @jumaali8083
    @jumaali8083 Před rokem +2

    Nakuombea Dua Sana shehe wangu mungu akulinde na kila aina ya baya mashehe pekee yake ndio wanaomtetea raisi pamoja wazanzibar Kwa sbb imana ya kiislam inaonekana inavyo kuwa na usawa ktk nchi yetu wanachchotetea mashehe ni usawa mtu hawana ubaguz Kwa kweli uislam ndio dini ya haki

  • @user-xi7wh3dr4o
    @user-xi7wh3dr4o Před 11 měsíci +2

    ربنا لا تجعلنا فتنة للقوم الظالمين ونجنا برحمتك من القوم الكافرين

    • @user-xd2tg8eq1h
      @user-xd2tg8eq1h Před 10 měsíci

      Safi Islamic is power wald

    • @philipjoseph5931
      @philipjoseph5931 Před 5 měsíci

      ومن هم الكفار وبمن يكفرون؟ الكافر هو معارض وأكبر المدافعين عن يسوع المسيح هم الذين يرفضون ألوهيته وموته على الصليب وقيامته وصعوده إلى السماء. أولئك هم الكفار، أعاذنا الله منهم

  • @shersaid7988
    @shersaid7988 Před rokem +6

    Shekhe umeongea maneno ya maana.Shukran.

    • @user-hp1im5ek4r
      @user-hp1im5ek4r Před rokem

      W hujitambuli wengine wanapigania inchi nyie mnaleta udini au kwa vile anayepingwa ni mwarabu huwezi binafisha bandali za ziwani na inchi kavu nyie marofa wakubwa

  • @derickcowly6681
    @derickcowly6681 Před rokem +6

    Tuombe duwa jamani nyakati za mwisho tuombe rehema Tanzania

    • @myself4128
      @myself4128 Před rokem

      tumeomba sana ni kuamka na kupambana

  • @aleyidukury8333
    @aleyidukury8333 Před rokem +1

    Shida kubwa ni bakwata shekh mziwanda

  • @adeliusvedasto7214
    @adeliusvedasto7214 Před rokem +1

    MAASKOFU WAPO SAHIHI, HATA ENZI ZA MANABII MUNGU ALIWATUMIA KUFIKISHA UJUMBE KWA WAFALME, rejea MUSSA na FARAO.N.K

  • @swafiirbulbul819
    @swafiirbulbul819 Před rokem +7

    Well said ❤ Maashaa Allah

    • @shabanipanya1033
      @shabanipanya1033 Před rokem

      No is not well said,,,mimi ni muislamu nimesikiliza waraka wa wakatoliki hauna makosa wameongea vizuri tatizo la shekhe wetu ni chuki mbele na shule ndogo

    • @swafiirbulbul819
      @swafiirbulbul819 Před rokem +2

      @@shabanipanya1033 sawa shule nyingi.. hongera yako

    • @aminasaid6555
      @aminasaid6555 Před rokem +2

      ​@@shabanipanya1033Yani ukisikia mtu anaanza na neno Mimi ni muislam, hakuna kitu hapo,mchongo mtupu

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 Před rokem +25

    Mimi ninacho Amin waisilam pia Kuna Wana Sheria waiteni wapeni mkataba huo wakupeni udadavuzi utagundua mkataba una ukakasi tatizo siyo nani anapewa mkataba tatizo anapewa mkataba Kwa mda gani Kwann mKataba mkataba uzuie uendelezaji wa bandari zingine kwahiyo tusifany maboresho Sehem nyingine mpaka wao waseme kwani wao ni nani hapa kwetu.lkn wanatakaje Sheria zetu zisitumike tutumie Sheria za Waingereza Kwan hapa ni Uingereza au Tanzania. Khehe ondoa udin kwenye maswala ya uchumi wa nchi.

    • @Kan332
      @Kan332 Před rokem +1

      Ilibidi tutake ukakasi utolewe sio usitishwe.

    • @abuuyaasiriibrahimkyone.2911
      @abuuyaasiriibrahimkyone.2911 Před rokem +2

      Jinga kweli wewe jamaa yangu, hilo kanisa halijaingilia maswala ya kiuchumi hapo?.

    • @mobilespecialschool4216
      @mobilespecialschool4216 Před rokem +4

      Wakristo wanaudini

    • @philemornmutta1597
      @philemornmutta1597 Před rokem

      @@abuuyaasiriibrahimkyone.2911 ndg yangu matusi ni Sehem ya ibada Yako kweli au umetenda dhambi

    • @hemedbamja3197
      @hemedbamja3197 Před rokem +3

      Unaweza kututajia hicho kifungu kinachozuia bandari zingine kutokuendelezwa?

  • @WileTowo-jl5ke
    @WileTowo-jl5ke Před 11 měsíci

    Pole sana kwa ushauli wako ujatupata pole sana ulitaka uwalaka uwo usommwe msikini

    • @mkude
      @mkude Před 11 měsíci

      Wala hakuwa na shida isomwe misikitini lakini maaskofu kuusoma makanisani wamekosea, wangewaachiwa wanasiasa tu

  • @salihinashamaghana513

    Waislamu sisi sote mwongozo wetu ni Quran tukufu na Kiongozi wetu mkuu ni mtume Mohamed ,tuishi Kwa amani. na majirani zetu wa madhehrbu mbalimbali tuepuke aina yeyote ya uchochezi

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 Před rokem +4

    Uko sawa sheikh ,tunalilia Amani hatutaki ushoga ,wakatoliki ndio wamehalisha ndoa za jinsia moja duniani ,wakianzia Roma ...Yani hata tukirudi enzi za machief hivyo vitu havikuwepo...

    • @Expedito2512
      @Expedito2512 Před rokem +1

      Unachoongea ni kweli?

    • @timeofjesusministries9611
      @timeofjesusministries9611 Před rokem

      Yule askari wa zanzibar ni mkatoliki?

    • @ukuvukiland2387
      @ukuvukiland2387 Před rokem

      @@timeofjesusministries9611 hembu angalia habari za duniani papa ndio mtu wa Kwanza kuidhinisha ndoa za jinsia moja,ndio mana hatutaki kiongozi yoyote bongo atuletee huo ujinga,watalii wakija huko wanaharibu vijana wetu na wadogo zetu na vijana wetu ,kiongozi atakaepitisha hilo atatuharibia taifa kwa ujumla ,ndio point yangu ya msingi..

    • @aminasaid6555
      @aminasaid6555 Před rokem

      ​@@timeofjesusministries9611amefuata propaganda za kikatoriki(lgbtq)

    • @clethbarnaba923
      @clethbarnaba923 Před rokem

      Mungu akusamehe kwa kuwa haujui usemalo.

  • @musachongowe1695
    @musachongowe1695 Před rokem +4

    Huo sio waraka wa kwanza kwa maaskofu,maskofu wanatoa waraka kilalinapo tokea jambo la kutatanisha,watu wameuwawa hapa waislamu hawajaongea wataongea nini kwa unafiki

    • @milcahkapan7932
      @milcahkapan7932 Před rokem

      Yaan hawa huwa wanakurupuka,hivi hawajui TEC walikosoa kila kiongozi aliyekuwa madarakani wao wakiwa kimya tu,Magufuli kwenye kutokuvaa barakoa TEC walimkosoa,Mkapa kwenye ubinafsishaji wa airport TEC walimkosoa,Kikwete pia,Leo wameongea tena kwa data na facts kumkosoa Samia napo ni baada ya kuona serikali inaminya uhuru wa watu kuongea mnalalamika.TEC waliita waandishi wa habari muda wa kutoa Tamko lakini hakuna media yoyote kubwa iliyopost habari hizo ndo wakaamua tusomewe tamko nchi nzima makanisani of which is very right kabisaa na Taarifa imepenyaa Hadi huko vijijini chap na litasomwa kwa wiki nne mfululizo ili Kila muumini awe na taarifa

    • @maulidkhamis4442
      @maulidkhamis4442 Před rokem +1

      Hakuna hata waraka mmoja uliotoka ukasomwa nchi nzima baada ya huu ni udini wa wazi wazi

    • @musachongowe1695
      @musachongowe1695 Před rokem

      Hakuna udini waislam tuamke acheni fikra mbovu hakuna Alie taja uislam vitahii ni ya ukoloni mamboleo

    • @maulidkhamis4442
      @maulidkhamis4442 Před rokem +1

      @@musachongowe1695 wewe huwajui hawa jamaa wadini mno aliyepita aliua democrs ila haukutoka waraka ulioambowa usomwe makanisa yote

    • @musachongowe1695
      @musachongowe1695 Před rokem

      @@maulidkhamis4442 shida waislam hata wakipewa tende basi wanaridhika hawaangalii mbele.ccmwalivyo ona mambo magumu 2015 wakaweka kwenye ilani tutafanyia kazi mahakama ya kadhi baada ya hapo wali geuka Bado tunaurafiki na hii serikali tunajiongeza kweli,waislam wanatumika kwenye mapambano baada ya hapo wanakula wajanja sisi tunahubiri amani

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 Před rokem +2

    Sheikh wangu Allah akulipe kwakweli 🇧🇮

    • @shabanipanya1033
      @shabanipanya1033 Před rokem

      Mimi ni muislamu waraka wa wakatoliki hauna makosa wameongea vizuri shekhe tatizo lake ni chuki mbele na shule ndogo

    • @aminasaid6555
      @aminasaid6555 Před rokem

      ​@@shabanipanya1033kwendraaa, muislam huwa Hana haja ya kujitambulisha

    • @shabanipanya1033
      @shabanipanya1033 Před rokem

      @@aminasaid6555 nashukuru kwa kunijulisha mimi nilikuwa sijui kama muislamu kakatazwa kujitambulisha

  • @SelemaniDowile-mk1wm
    @SelemaniDowile-mk1wm Před rokem +1

    Waislamu tuamke haya mambo yanaumiza sana ila wapo waislamu wengine hawapo huku wala kule

  • @abdallaahabdallaahibrahim6719

    Tunausubir tamko la barazakuu la waislam TZ

  • @alawibalozi2122
    @alawibalozi2122 Před rokem +4

    Katika mashekhe ambao nawapenda kutoka moyon mwangu ni shekhe mziwanda japo mimi answari lakin mziwanda wewe ndo shekhe namuomba Allah anipe umri nijenisome kwako japo herufi moja basi nafsi yangu itafurai sana

    • @zumbeshauri8114
      @zumbeshauri8114 Před rokem

      Kabisa yani huyu wallah mtu nanusu

    • @user-me3cr7fl1q
      @user-me3cr7fl1q Před rokem

      Mim ponda hissa ponda

    • @user-me3cr7fl1q
      @user-me3cr7fl1q Před rokem

      Shekhe anaeshimika tanzania na anae simamia haki ni ponda hissa ponda tu na huyo ndo muislamu wa kweli

  • @lucasndaganiwe5764
    @lucasndaganiwe5764 Před 11 měsíci

    Damu ya YESU iku oshe dhambi zako za uchochezi

  • @kenedyamani5041
    @kenedyamani5041 Před 11 měsíci

    Shehe umekosea sana sana,maaskofu wametoa walaka baada ya kukaa,ww toa walaka sio kutangaza udini,nan katukana,

  • @kitutujuma9602
    @kitutujuma9602 Před rokem +3

    Shekh huku mtaani kwa sasa tumegubikwa na wimbi la bandari.
    Kutaka kufafanuliwa zaidi ili kujua tunanufaika vp na mkataba huo na ukomo wa mkataba huo.
    Tena ni vyema ungekua na mkataba huo utuchambulie.
    Viongozi wa dini wa kiisalamu toeni walaka inapobidi kuhusiana na hili ili tujue umelizika na hili la bandari au laah.
    Maslahi ya taifa kwanza.
    Dini ni njia tu yenye muongozo kutokana na matakwa ya mungu kwa imani zetu.
    Please musituletee kutaka kutugawa kupitiaudini ktk hili.
    Tuambieni misimamo yenu ktk shwala la bandari.

    • @dickaugustino8238
      @dickaugustino8238 Před 11 měsíci

      Very good ideas, udini tupakule ,wasome MIKATABA 36 yote iliosainiwa baada tu ya JPM kufa,majizi sio poa

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Před rokem +3

    We support Madame President, we support Dar Port investment by DP world for a better future of our country!! Kazi iendelee!!