Pesa ina siri kubwa sana ndugu zangu....tujitahidi kufanya kazi kwa bidii...Tuache makasiriko na wenye pesa na mafanikio...Tumtegemee sana Mwenyezi Mungu...Hakuna Tajiri yoyote duniani atakayekuambia ni namna gani ametengeneza utajiri,njia alizopita kuupata huo utajiri...au mganga wake basi aliyempa utajiri😂....ng'ombe anayenipa maziwa siwezi kukuonyesha elewa hapo ...ni ngumu sana kuelewa Milioni moja hadi kuwa bilioni moja. Ndiyo uchawi upo..ndumba zipo nyingi sana..lakini pia Mwenyezi Mungu pia yupo ni wewe uchaguwe upande gani wakuelekea lakini PESA INA SIRI NZITO SANA...ukiambiwa vitu walivyofanya matajiri ili kuwa hapo walipo hutaweza kuvifanya ..pambana na hali yako tu yakimaisha uliyonayo kama una moyo mwepesi...
Wahindi hawarithi pesa tu, wanarithi maarifa ya biashara, connections, elimu ya fedha, kuwaza mbali (wenzetu kwenye mipango yao huwa wanawazia mpaka vizazi vyao vijavyo)... Hapo kasema MFANO angerithi kiasi hicho, sio kwamba ndicho kiasi alichorithi (aliyeandaa content ndio kapotosha kwa makusudi, ili comment ziwe nyingi)... Nishawahi kumsikia kwenye interview moja anasema alirithi kama 30 mil (USD) hivi, ila hata uachiwe kiasi gani kama huna sifa za ziada utapoteana tu... Hawa huwa hawarithi hela tu, huwa wanarithi na sifa nyingine
working hard, seving money, nenda kwa malengo yako ndo siri ya mafanikio mnataka siri gani kama ni uganga, uchawi na majini yeyote anaweza kuyafanya hayo hayo ili atajirike! lakin bado watu hawatajiriki
Kweli kabisa mali ya kurithi wanaorithi wengi hawawezagi kuendesha hivyo ukiona umerithi na zinaendelea jua aliyerithi ana akili ya kuendesha maisha na pesa
Hadithi njoo, uongo njoo, utamu kolea... Hapo zamani za kale palikuwa na Simba mmoja alitumiwa kufikisha bidhaa sokoni na kuahidiwa Ufalme... bidha zikafika sokoni na Mtajiri akaendelea kutajirika ila yule Simba alipodai Ufalme alipewa taji ya umalaya na kreti moja ya eneji 🤣🤣🤣
Kama kweli anaweza kufanya hayo maajabu mbona hatuoni hayo matokeo kwa club yake ya simba?😅 Nakumbuka kuna interview alisema alikuwa anafamya kazi manhatan marekani ila mzazi wake akamwambia arudi bongo waendeleze biashara zao. Hii story ya kurithi 1 mil mbona kama haviendani kabisa.
Mmmmhhh hivi mwenye pesa aweza kujitapa hivi au anatafuta kuitafuna simba tu? Huyu anajisifu mno ili simba imuogope na aendelee kuitafuna tu! Mmmmhhh huyu mjamaa majigambo yake yanapita kiasi
WEWE TAFTA WA KUMDANGANYA HUWEZI UKARITHI MIL.1 UKAPATA HELA HIZO HUYO MENGI HAJARITHI LAKINI HAJAFIKIA HELA ZAKO,INAWEZEKANA HUKURITHI PESA LAKINI URILITHI UCHAWI NA MAJINI YA KIHINDI MAANA NDIO ZENU, AU ULIIBIA SERIKALI KWA KUKWEPA KODI NA KUUZA MADAWA WACHA UWONGO WEWE UTAWADANGANYA HAO HAO
D15355 we jamaa una akili sana waache ma ndondocha haya yaamini sasa iyo m1 ya 1998 ilikua na thamani ya m10 tukiongelea kwa kipindi hiko na hata kwa sasa lakini uyo ni muongo mungo mnadanganywa sana na huyu muhindi juzi anakwambia kanunua bugati ya £4.5m alafu eti kaenda kuliangalia akasema nipesa nyingi kwa nini alikua ajui kuwa £4.5m nipesa nyingi yani kuna vitu anaongea kwa mtu ambae hana elimu kama nyie mnaobisha ndio waliwao wenywe
inawezekana mzee shida waafrica wengi wana rithi pesa nyingi ila wanaashia kugombana na kuuwana . Ila mi nakwambia Vya kurithi vinazidi sana tu mkiweka UPENDO NA UMOJA pamoja na USHIRIKIANO namna ya kuendeleza pesa hizo
wewe jamaa ni mbumbumbu ndiomaana ufanikiwi yan million 1 ushaipigia esabu kuwa ni ndogo ila mwenzio kaifanyia kazi atakam alishikwa mkono na watu tofaut tofaut ila kianzio chake kilikua iko
Kuna interview alisema alikuta biashara ya baba ake ina mapato ya dola 300M na ilikuwa imeajiri watu 400. Zaidi ya hayo aliomba mkopo bank ya Barclays na walikuwa wanauwezo wa kumpa Milioni 800 tu. Ikabidi aende south maana alikuwa anataka bilioni of money. Million 1😂😂😂😂😂😂
Millard huyu mwandishi wako asoma between the lines huo ulikuwa mfano em kuweni mnasoma na kuskiza hizo headlines za kick zinapoteza views not news worthy
haupo peke yako kwenye familia yenu pia kampuni sio yako ni ya familia pia kama uli rithi mil 1 bas hiyo ni ya $ pia leo unasema mil 1 wakati ulikuta kampuni ina $30m ebwana usitake kudanganye ndio mana huwezi nunua kitu chochote cha gharama bila kukaa na familia yako nilicheka sana ulivosema kuwa ulinunua bugati alafu uka cancel sawa unapesa lakini unachekesha sana😂 na hivi ndivo unavoifanya simba ndio maana haina muelekeo
wewe kinacho kuuma nini?? Au na wewe ni family ya dewji? Sasa sijui unataka watu tuache kumwamini aliyosema mo halaf tukuamini comment yako au unatakaje??? 😂 Mali yake.. historia yake.. wewe eti unaumia!!!!😂😂😂
Kinachoniuma ni kwamba Tanzania mnapenda kumuamini mtu aliyependeza akisema kitu mnaamini haraka uyo muhindi muongo muongo sanabkitu kingine najua tu kutaja ilo neno simba limewauma basi wacha niseme paka
MJUE PESA ZA MO NYIE HAZIWAHUSU😊😊,,KIVYOVYOTE VILE HAMNA KINACHOWAHUSU,,,ATA ANGERITHI UTAJIRI MZIMA HAITAWAHUSU
Me mwenyewe nilianza na nguzo 1 saizi namiliki tanesco
Iludiwe hii
Mmmh
🙌 salute kaka 🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂
Ongera 😅
Kuna siku utakuja sema uliokota mia 500 ndy imekutajilisha 😂😂😂😂 una Asili ya uchekeshaji wew jamaa😂
Alitolea mfano tu sio kama alirithi milioni moja muwe mnasikiliza kwa umakini mtu pale anavyozungumza alisema kabisa kwa mfano
Millard naww jifunze kunukuu jamaa kasema mfano nilirithi milioni 1 sio kuwa ndyo ela aliyorith
Pesa ina siri kubwa sana ndugu zangu....tujitahidi kufanya kazi kwa bidii...Tuache makasiriko na wenye pesa na mafanikio...Tumtegemee sana Mwenyezi Mungu...Hakuna Tajiri yoyote duniani atakayekuambia ni namna gani ametengeneza utajiri,njia alizopita kuupata huo utajiri...au mganga wake basi aliyempa utajiri😂....ng'ombe anayenipa maziwa siwezi kukuonyesha elewa hapo ...ni ngumu sana kuelewa Milioni moja hadi kuwa bilioni moja. Ndiyo uchawi upo..ndumba zipo nyingi sana..lakini pia Mwenyezi Mungu pia yupo ni wewe uchaguwe upande gani wakuelekea lakini PESA INA SIRI NZITO SANA...ukiambiwa vitu walivyofanya matajiri ili kuwa hapo walipo hutaweza kuvifanya ..pambana na hali yako tu yakimaisha uliyonayo kama una moyo mwepesi...
umenena hap waach majungu
Wahindi hawarithi pesa tu, wanarithi maarifa ya biashara, connections, elimu ya fedha, kuwaza mbali (wenzetu kwenye mipango yao huwa wanawazia mpaka vizazi vyao vijavyo)... Hapo kasema MFANO angerithi kiasi hicho, sio kwamba ndicho kiasi alichorithi (aliyeandaa content ndio kapotosha kwa makusudi, ili comment ziwe nyingi)... Nishawahi kumsikia kwenye interview moja anasema alirithi kama 30 mil (USD) hivi, ila hata uachiwe kiasi gani kama huna sifa za ziada utapoteana tu... Hawa huwa hawarithi hela tu, huwa wanarithi na sifa nyingine
Nimesikia motivation nyingi ila hii 🤸🙌
Hamasa za baiskeli kuvuta treni😅
Anazinguwa sana
Ebu tuacheni tuko bize na daby 😊😊
Hakuna tajiri anayesema siri ya utajiri wake. Wongo mtupu.
Mtu hakupi siri ya mafanikio yake
working hard, seving money, nenda kwa malengo yako ndo siri ya mafanikio mnataka siri gani kama ni uganga, uchawi na majini yeyote anaweza kuyafanya hayo hayo ili atajirike! lakin bado watu hawatajiriki
Mwizi mukubwa wew achia timu yetu hatukutaki wanasimba unaturetea wezi ndani ya simba wew ndiyo chanzo cha timu yetu kutofanya vinzuri
Kweli kabisa mali ya kurithi wanaorithi wengi hawawezagi kuendesha hivyo ukiona umerithi na zinaendelea jua aliyerithi ana akili ya kuendesha maisha na pesa
Simba inaangamia ukowapi tajiri
Bidhaa zimeshafikishwa sokoni na Simba.... sasa Simba analiona kama Ngedere tu hahaha
Ulirithi Dola Milioni 1 = 2.6 Billion TZS
Kuna interview anasema alichukua kampuni ya mshua ikiwa na mapato ya USD 300 na wafanyakazi zaidi ya 400. Boss huyu 😁😁😁😁😁
sitilibuku
KISWAHILI KIGUMUU! YAANI MFANO WATU WANACHUKUA KUWA UHALISIA
1998 kipindi hicho shilingi million 1 izo nyingi ww usifanye muchezo
😅😅 Matajiri bhana wanatuchukuliaje sisi wajasiriama tunaoshika ML 1 kila siku ? Hatuna maarifa au ni nini?
Sawa mo nitumie buku basi,
Nawakumbusha tu Milioni 1 ya Mwaka 1998 ni Millioni 100 ya Sasa. Sasa endeleeni Kusema Alianza na Pesa ndogo.
Milion anaoyesemea mo sio ya tsh n usd ndg
@@editorfrank7471 amesema shilingi ya kitanzania million moja sio dollar million moja
Milioni 1 ya mwaka 1998 ni sawa na 160,000,0000 ya sasa
Amesema kwa mfano alirithi milioni 1 na Sasa Anamiliki bi 1
Inawezekana ila ulishakuw kweny mfumo wa pesa
Dah huyu mjamaa anajisifu kupita kiasi mpaka anatuboa dah tunachoka na majisifu yake
Watanzania
Tajiri.anazungumzia Milioni kwa DOLLAR
Bora wew umeelew ndg
BAKI NA HELA ZAKO HATUZITAKI TUACHIE SIMBA YETU
Wewe umechangia nini hapo simba
Wewe unazo hizo Pesa kaka
ata jezi huna fala wewe😂
Basii tukuwekee ww mwenye pesa na mwenye uwezo wa kuisimamia Simba kikamilifu😒
You are not talking about the assets. Utajiri ni assets sio Pesa.
Hasara imo Simba Tu😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hadithi njoo, uongo njoo, utamu kolea...
Hapo zamani za kale palikuwa na Simba mmoja alitumiwa kufikisha bidhaa sokoni na kuahidiwa Ufalme... bidha zikafika sokoni na Mtajiri akaendelea kutajirika ila yule Simba alipodai Ufalme alipewa taji ya umalaya na kreti moja ya eneji 🤣🤣🤣
Kiyongo hichi😂😂😂
Kama kweli anaweza kufanya hayo maajabu mbona hatuoni hayo matokeo kwa club yake ya simba?😅
Nakumbuka kuna interview alisema alikuwa anafamya kazi manhatan marekani ila mzazi wake akamwambia arudi bongo waendeleze biashara zao. Hii story ya kurithi 1 mil mbona kama haviendani kabisa.
Tujitah idi kutumia bando kwafaida 🤣🤣🤣🤣
Ametngul mfano mcklz vzr
Mmmmhhh hivi mwenye pesa aweza kujitapa hivi au anatafuta kuitafuna simba tu? Huyu anajisifu mno ili simba imuogope na aendelee kuitafuna tu! Mmmmhhh huyu mjamaa majigambo yake yanapita kiasi
WEWE TAFTA WA KUMDANGANYA HUWEZI UKARITHI MIL.1 UKAPATA HELA HIZO HUYO MENGI HAJARITHI LAKINI HAJAFIKIA HELA ZAKO,INAWEZEKANA HUKURITHI PESA LAKINI URILITHI UCHAWI NA MAJINI YA KIHINDI MAANA NDIO ZENU, AU ULIIBIA SERIKALI KWA KUKWEPA KODI NA KUUZA MADAWA WACHA UWONGO WEWE UTAWADANGANYA HAO HAO
Wewe ndo huwezi. Piga mahesabu milioni 1 ya mwaka 1998 ilikua Na dhamani ya sh ngapi
Ujafahamu katoa kama mfano tu kurithi milioni moja na kaweza kukuza zaidi ya hapo sikiliza vizur
D15355 we jamaa una akili sana waache ma ndondocha haya yaamini sasa iyo m1 ya 1998 ilikua na thamani ya m10 tukiongelea kwa kipindi hiko na hata kwa sasa lakini uyo ni muongo mungo mnadanganywa sana na huyu muhindi juzi anakwambia kanunua bugati ya £4.5m alafu eti kaenda kuliangalia akasema nipesa nyingi kwa nini alikua ajui kuwa £4.5m nipesa nyingi yani kuna vitu anaongea kwa mtu ambae hana elimu kama nyie mnaobisha ndio waliwao wenywe
inawezekana mzee
shida waafrica wengi wana rithi pesa nyingi ila wanaashia kugombana na kuuwana . Ila mi nakwambia Vya kurithi vinazidi sana tu mkiweka UPENDO NA UMOJA pamoja na USHIRIKIANO namna ya kuendeleza pesa hizo
wewe jamaa ni mbumbumbu ndiomaana ufanikiwi yan million 1 ushaipigia esabu kuwa ni ndogo ila mwenzio kaifanyia kazi atakam alishikwa mkono na watu tofaut tofaut ila kianzio chake kilikua iko
Ila km mdhamini wa Simba tunaomba wachezaji wa maana na sio bora wachezaji,tunataka Simba iwe km mwanzo alipokuwa kocha mzee wa uchebe.
Mbona umeanza kubwabwaja dawa imeingia?????
Tajiri muongo muongo sana😂
Yaani tuonyeshe wale wakweli
Hana uhakika kwanza analazimisha watu wamuamin
Kuna interview alisema alikuta biashara ya baba ake ina mapato ya dola 300M na ilikuwa imeajiri watu 400. Zaidi ya hayo aliomba mkopo bank ya Barclays na walikuwa wanauwezo wa kumpa Milioni 800 tu. Ikabidi aende south maana alikuwa anataka bilioni of money. Million 1😂😂😂😂😂😂
Huyu jamaa muongo sana kila siku atakuja sema aliachiwa shilingi mia Ile ya kijani na baba yake
Ila mkumbuke amesema KWAMFANO NIMERITHI MILIONI 1 ... Hajasema kwamba ame rithi milioni 1
@@gracemkami1343 Yani we acha tu😁
@@reubendidas Okay labda hivyo naweza kumuelewa..
Millard huyu mwandishi wako asoma between the lines huo ulikuwa mfano em kuweni mnasoma na kuskiza hizo headlines za kick zinapoteza views not news worthy
Kabisa watu wanatokwa na mapovu akati kasema ni kwa mfano
Milard anazingua
haupo peke yako kwenye familia yenu pia kampuni sio yako ni ya familia pia kama uli rithi mil 1 bas hiyo ni ya $ pia leo unasema mil 1 wakati ulikuta kampuni ina $30m ebwana usitake kudanganye ndio mana huwezi nunua kitu chochote cha gharama bila kukaa na familia yako nilicheka sana ulivosema kuwa ulinunua bugati alafu uka cancel sawa unapesa lakini unachekesha sana😂 na hivi ndivo unavoifanya simba ndio maana haina muelekeo
Bas tufanye hana ata mia kinacho kuumiza nikipi
wewe kinacho kuuma nini?? Au na wewe ni family ya dewji? Sasa sijui unataka watu tuache kumwamini aliyosema mo halaf tukuamini comment yako au unatakaje??? 😂 Mali yake.. historia yake.. wewe eti unaumia!!!!😂😂😂
Kinachoniuma ni kwamba Tanzania mnapenda kumuamini mtu aliyependeza akisema kitu mnaamini haraka uyo muhindi muongo muongo sanabkitu kingine najua tu kutaja ilo neno simba limewauma basi wacha niseme paka
@@redtk2971 Sasa ata akidanganya si nivyake au naww niukoo wa Mo
@@jimmydizonga1335 ukoo wangu wa kenyatta unanitosha boss