MO DEWJI AFUNGUKA "NILIRITHI TSH MIL 1, NIMEIFANYA BIL 1 YA SASA, METL ILIANZISHWA NA BIBI YANGU”

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 04. 2024

Komentáře • 103

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z Před měsícem +5

    MJUE PESA ZA MO NYIE HAZIWAHUSU😊😊,,KIVYOVYOTE VILE HAMNA KINACHOWAHUSU,,,ATA ANGERITHI UTAJIRI MZIMA HAITAWAHUSU

  • @gigoyrn4394
    @gigoyrn4394 Před měsícem +10

    Me mwenyewe nilianza na nguzo 1 saizi namiliki tanesco

  • @gracemkami1343
    @gracemkami1343 Před měsícem +7

    Kuna siku utakuja sema uliokota mia 500 ndy imekutajilisha 😂😂😂😂 una Asili ya uchekeshaji wew jamaa😂

  • @mushtaqakram9843
    @mushtaqakram9843 Před měsícem +4

    Alitolea mfano tu sio kama alirithi milioni moja muwe mnasikiliza kwa umakini mtu pale anavyozungumza alisema kabisa kwa mfano

  • @LoytonWorldman
    @LoytonWorldman Před měsícem +3

    Millard naww jifunze kunukuu jamaa kasema mfano nilirithi milioni 1 sio kuwa ndyo ela aliyorith

  • @pantaleomcha1795
    @pantaleomcha1795 Před měsícem +4

    Pesa ina siri kubwa sana ndugu zangu....tujitahidi kufanya kazi kwa bidii...Tuache makasiriko na wenye pesa na mafanikio...Tumtegemee sana Mwenyezi Mungu...Hakuna Tajiri yoyote duniani atakayekuambia ni namna gani ametengeneza utajiri,njia alizopita kuupata huo utajiri...au mganga wake basi aliyempa utajiri😂....ng'ombe anayenipa maziwa siwezi kukuonyesha elewa hapo ...ni ngumu sana kuelewa Milioni moja hadi kuwa bilioni moja. Ndiyo uchawi upo..ndumba zipo nyingi sana..lakini pia Mwenyezi Mungu pia yupo ni wewe uchaguwe upande gani wakuelekea lakini PESA INA SIRI NZITO SANA...ukiambiwa vitu walivyofanya matajiri ili kuwa hapo walipo hutaweza kuvifanya ..pambana na hali yako tu yakimaisha uliyonayo kama una moyo mwepesi...

  • @verbalverbal2019
    @verbalverbal2019 Před měsícem +1

    Wahindi hawarithi pesa tu, wanarithi maarifa ya biashara, connections, elimu ya fedha, kuwaza mbali (wenzetu kwenye mipango yao huwa wanawazia mpaka vizazi vyao vijavyo)... Hapo kasema MFANO angerithi kiasi hicho, sio kwamba ndicho kiasi alichorithi (aliyeandaa content ndio kapotosha kwa makusudi, ili comment ziwe nyingi)... Nishawahi kumsikia kwenye interview moja anasema alirithi kama 30 mil (USD) hivi, ila hata uachiwe kiasi gani kama huna sifa za ziada utapoteana tu... Hawa huwa hawarithi hela tu, huwa wanarithi na sifa nyingine

  • @user-ny7oq2oy8r
    @user-ny7oq2oy8r Před měsícem

    Nimesikia motivation nyingi ila hii 🤸🙌
    Hamasa za baiskeli kuvuta treni😅

  • @shaviercharvinho18
    @shaviercharvinho18 Před měsícem

    Anazinguwa sana

  • @vi3ayo1622
    @vi3ayo1622 Před měsícem +1

    Ebu tuacheni tuko bize na daby 😊😊

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 Před měsícem +3

    Hakuna tajiri anayesema siri ya utajiri wake. Wongo mtupu.

    • @shaviercharvinho18
      @shaviercharvinho18 Před měsícem

      Mtu hakupi siri ya mafanikio yake

    • @user-sy4ir9ep2g
      @user-sy4ir9ep2g Před měsícem

      working hard, seving money, nenda kwa malengo yako ndo siri ya mafanikio mnataka siri gani kama ni uganga, uchawi na majini yeyote anaweza kuyafanya hayo hayo ili atajirike! lakin bado watu hawatajiriki

  • @BarakaSiliakus
    @BarakaSiliakus Před měsícem

    Mwizi mukubwa wew achia timu yetu hatukutaki wanasimba unaturetea wezi ndani ya simba wew ndiyo chanzo cha timu yetu kutofanya vinzuri

  • @user-ew4qf9ud4v
    @user-ew4qf9ud4v Před měsícem +2

    Kweli kabisa mali ya kurithi wanaorithi wengi hawawezagi kuendesha hivyo ukiona umerithi na zinaendelea jua aliyerithi ana akili ya kuendesha maisha na pesa

  • @EddySempay-qf1on
    @EddySempay-qf1on Před měsícem +2

    Simba inaangamia ukowapi tajiri

    • @mohammedkhimji7505
      @mohammedkhimji7505 Před měsícem

      Bidhaa zimeshafikishwa sokoni na Simba.... sasa Simba analiona kama Ngedere tu hahaha

  • @samuelseverua3715
    @samuelseverua3715 Před měsícem +1

    Ulirithi Dola Milioni 1 = 2.6 Billion TZS

    • @thomasardoph
      @thomasardoph Před měsícem

      Kuna interview anasema alichukua kampuni ya mshua ikiwa na mapato ya USD 300 na wafanyakazi zaidi ya 400. Boss huyu 😁😁😁😁😁

  • @JastiniBulayimani
    @JastiniBulayimani Před 23 dny

    sitilibuku

  • @KefaFaraja
    @KefaFaraja Před měsícem

    KISWAHILI KIGUMUU! YAANI MFANO WATU WANACHUKUA KUWA UHALISIA

  • @sergebaleke695
    @sergebaleke695 Před měsícem

    1998 kipindi hicho shilingi million 1 izo nyingi ww usifanye muchezo

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 Před měsícem

    😅😅 Matajiri bhana wanatuchukuliaje sisi wajasiriama tunaoshika ML 1 kila siku ? Hatuna maarifa au ni nini?

  • @user-kk3ke6nv3p
    @user-kk3ke6nv3p Před měsícem

    Sawa mo nitumie buku basi,

  • @lyrics_forum
    @lyrics_forum Před měsícem +1

    Nawakumbusha tu Milioni 1 ya Mwaka 1998 ni Millioni 100 ya Sasa. Sasa endeleeni Kusema Alianza na Pesa ndogo.

    • @editorfrank7471
      @editorfrank7471 Před měsícem

      Milion anaoyesemea mo sio ya tsh n usd ndg

    • @lakasid3860
      @lakasid3860 Před měsícem

      ​@@editorfrank7471 amesema shilingi ya kitanzania million moja sio dollar million moja

    • @phiniasphilemon6514
      @phiniasphilemon6514 Před měsícem

      Milioni 1 ya mwaka 1998 ni sawa na 160,000,0000 ya sasa

  • @kipinguseif9945
    @kipinguseif9945 Před měsícem

    Amesema kwa mfano alirithi milioni 1 na Sasa Anamiliki bi 1

  • @godwinmwakibibi274
    @godwinmwakibibi274 Před měsícem

    Inawezekana ila ulishakuw kweny mfumo wa pesa

  • @maase2023
    @maase2023 Před měsícem

    Dah huyu mjamaa anajisifu kupita kiasi mpaka anatuboa dah tunachoka na majisifu yake

  • @emmansabu9300
    @emmansabu9300 Před měsícem

    Watanzania
    Tajiri.anazungumzia Milioni kwa DOLLAR

  • @d15355
    @d15355 Před měsícem +2

    BAKI NA HELA ZAKO HATUZITAKI TUACHIE SIMBA YETU

  • @HomeboyTZ19
    @HomeboyTZ19 Před měsícem

    You are not talking about the assets. Utajiri ni assets sio Pesa.

  • @jeremialyati6092
    @jeremialyati6092 Před měsícem

    Hasara imo Simba Tu😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mohammedkhimji7505
    @mohammedkhimji7505 Před měsícem

    Hadithi njoo, uongo njoo, utamu kolea...
    Hapo zamani za kale palikuwa na Simba mmoja alitumiwa kufikisha bidhaa sokoni na kuahidiwa Ufalme... bidha zikafika sokoni na Mtajiri akaendelea kutajirika ila yule Simba alipodai Ufalme alipewa taji ya umalaya na kreti moja ya eneji 🤣🤣🤣

  • @user-jq7dd6jo3y
    @user-jq7dd6jo3y Před měsícem

    Kiyongo hichi😂😂😂

  • @abdangembe4339
    @abdangembe4339 Před měsícem

    Kama kweli anaweza kufanya hayo maajabu mbona hatuoni hayo matokeo kwa club yake ya simba?😅
    Nakumbuka kuna interview alisema alikuwa anafamya kazi manhatan marekani ila mzazi wake akamwambia arudi bongo waendeleze biashara zao. Hii story ya kurithi 1 mil mbona kama haviendani kabisa.

  • @zawadimpayo3839
    @zawadimpayo3839 Před měsícem

    Tujitah idi kutumia bando kwafaida 🤣🤣🤣🤣

  • @user-nn2it7le4y
    @user-nn2it7le4y Před měsícem

    Ametngul mfano mcklz vzr

  • @maase2023
    @maase2023 Před měsícem

    Mmmmhhh hivi mwenye pesa aweza kujitapa hivi au anatafuta kuitafuna simba tu? Huyu anajisifu mno ili simba imuogope na aendelee kuitafuna tu! Mmmmhhh huyu mjamaa majigambo yake yanapita kiasi

  • @d15355
    @d15355 Před měsícem +11

    WEWE TAFTA WA KUMDANGANYA HUWEZI UKARITHI MIL.1 UKAPATA HELA HIZO HUYO MENGI HAJARITHI LAKINI HAJAFIKIA HELA ZAKO,INAWEZEKANA HUKURITHI PESA LAKINI URILITHI UCHAWI NA MAJINI YA KIHINDI MAANA NDIO ZENU, AU ULIIBIA SERIKALI KWA KUKWEPA KODI NA KUUZA MADAWA WACHA UWONGO WEWE UTAWADANGANYA HAO HAO

    • @BusinessOne-mf5dj
      @BusinessOne-mf5dj Před měsícem +5

      Wewe ndo huwezi. Piga mahesabu milioni 1 ya mwaka 1998 ilikua Na dhamani ya sh ngapi

    • @ShebbyTheparadiso-hf6fz
      @ShebbyTheparadiso-hf6fz Před měsícem +2

      Ujafahamu katoa kama mfano tu kurithi milioni moja na kaweza kukuza zaidi ya hapo sikiliza vizur

    • @redtk2971
      @redtk2971 Před měsícem

      D15355 we jamaa una akili sana waache ma ndondocha haya yaamini sasa iyo m1 ya 1998 ilikua na thamani ya m10 tukiongelea kwa kipindi hiko na hata kwa sasa lakini uyo ni muongo mungo mnadanganywa sana na huyu muhindi juzi anakwambia kanunua bugati ya £4.5m alafu eti kaenda kuliangalia akasema nipesa nyingi kwa nini alikua ajui kuwa £4.5m nipesa nyingi yani kuna vitu anaongea kwa mtu ambae hana elimu kama nyie mnaobisha ndio waliwao wenywe

    • @fadhilifredrick4115
      @fadhilifredrick4115 Před měsícem +1

      inawezekana mzee
      shida waafrica wengi wana rithi pesa nyingi ila wanaashia kugombana na kuuwana . Ila mi nakwambia Vya kurithi vinazidi sana tu mkiweka UPENDO NA UMOJA pamoja na USHIRIKIANO namna ya kuendeleza pesa hizo

    • @sunwizy608
      @sunwizy608 Před měsícem +2

      wewe jamaa ni mbumbumbu ndiomaana ufanikiwi yan million 1 ushaipigia esabu kuwa ni ndogo ila mwenzio kaifanyia kazi atakam alishikwa mkono na watu tofaut tofaut ila kianzio chake kilikua iko

  • @Kimjongun4996
    @Kimjongun4996 Před měsícem

    Ila km mdhamini wa Simba tunaomba wachezaji wa maana na sio bora wachezaji,tunataka Simba iwe km mwanzo alipokuwa kocha mzee wa uchebe.

  • @aidankakulu398
    @aidankakulu398 Před měsícem

    Mbona umeanza kubwabwaja dawa imeingia?????

  • @frankmsaki62
    @frankmsaki62 Před měsícem

    Tajiri muongo muongo sana😂

  • @thomasardoph
    @thomasardoph Před měsícem

    Kuna interview alisema alikuta biashara ya baba ake ina mapato ya dola 300M na ilikuwa imeajiri watu 400. Zaidi ya hayo aliomba mkopo bank ya Barclays na walikuwa wanauwezo wa kumpa Milioni 800 tu. Ikabidi aende south maana alikuwa anataka bilioni of money. Million 1😂😂😂😂😂😂

    • @gracemkami1343
      @gracemkami1343 Před měsícem +1

      Huyu jamaa muongo sana kila siku atakuja sema aliachiwa shilingi mia Ile ya kijani na baba yake

    • @reubendidas
      @reubendidas Před měsícem +1

      Ila mkumbuke amesema KWAMFANO NIMERITHI MILIONI 1 ... Hajasema kwamba ame rithi milioni 1

    • @thomasardoph
      @thomasardoph Před měsícem

      @@gracemkami1343 Yani we acha tu😁

    • @thomasardoph
      @thomasardoph Před měsícem

      @@reubendidas Okay labda hivyo naweza kumuelewa..

  • @alextarimo4972
    @alextarimo4972 Před měsícem

    Millard huyu mwandishi wako asoma between the lines huo ulikuwa mfano em kuweni mnasoma na kuskiza hizo headlines za kick zinapoteza views not news worthy

  • @redtk2971
    @redtk2971 Před měsícem +1

    haupo peke yako kwenye familia yenu pia kampuni sio yako ni ya familia pia kama uli rithi mil 1 bas hiyo ni ya $ pia leo unasema mil 1 wakati ulikuta kampuni ina $30m ebwana usitake kudanganye ndio mana huwezi nunua kitu chochote cha gharama bila kukaa na familia yako nilicheka sana ulivosema kuwa ulinunua bugati alafu uka cancel sawa unapesa lakini unachekesha sana😂 na hivi ndivo unavoifanya simba ndio maana haina muelekeo

    • @jimmydizonga1335
      @jimmydizonga1335 Před měsícem

      Bas tufanye hana ata mia kinacho kuumiza nikipi

    • @ibrahimally8073
      @ibrahimally8073 Před měsícem

      wewe kinacho kuuma nini?? Au na wewe ni family ya dewji? Sasa sijui unataka watu tuache kumwamini aliyosema mo halaf tukuamini comment yako au unatakaje??? 😂 Mali yake.. historia yake.. wewe eti unaumia!!!!😂😂😂

    • @redtk2971
      @redtk2971 Před měsícem

      Kinachoniuma ni kwamba Tanzania mnapenda kumuamini mtu aliyependeza akisema kitu mnaamini haraka uyo muhindi muongo muongo sanabkitu kingine najua tu kutaja ilo neno simba limewauma basi wacha niseme paka

    • @jimmydizonga1335
      @jimmydizonga1335 Před měsícem +1

      @@redtk2971 Sasa ata akidanganya si nivyake au naww niukoo wa Mo

    • @redtk2971
      @redtk2971 Před měsícem

      @@jimmydizonga1335 ukoo wangu wa kenyatta unanitosha boss