ZAMBIA KUTAJIRIKA RAHISI/ANAPATA LAKI SITA KWA SIKU KWA GUNIA MOJA LA MCHELE/MWENGINE MILIONI MBILI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #zambia #Dar24tanzania #waswahili

Komentáře • 30

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 Před 4 měsíci +1

    Sio kweli hapo kwenye thamani ya pesa Tsh/Zk

  • @richardchijana9665
    @richardchijana9665 Před 3 měsíci

    Zambia kunauhaba sana wa mchele hata uwo unaouzwa nimchele ambao hauko poa sana ila wanaupenda ivoivo wenyewe

  • @ernestgervas7021
    @ernestgervas7021 Před 11 měsíci +5

    Mzee mwongo eti anauza laki, hivi laki anaijua huyu mzee? laki ya zambia ni zaidi ya milioni 12 ya tz, pesa kubwa kwa zambia ni 100 ambayo ni sawa na 12000

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před 11 měsíci

      mbona huyo mama ameshika milioni mbili na hapo wanasema milioni mbili ni sawa na laki mbili mbina sijamuelewa kabisa huyo bimkubwa

    • @ernestgervas7021
      @ernestgervas7021 Před 11 měsíci

      @@Mpakauseme Milioni mbili ya kizambia ni zaidi ya Milioni 24.

    • @user-po8hz7xw9j
      @user-po8hz7xw9j Před 11 měsíci

      Mimi ndio bado kabisa sijaijua vizr pesa ya zambia

    • @ommietrendz7175
      @ommietrendz7175 Před 11 měsíci

      Hela ya zambia ipo chini ya Tanzania
      Hela za zambia zina K maana yake 1000.
      100K ni laki 1 kule bongo ndio kama 12000

    • @azadinzunda4327
      @azadinzunda4327 Před 11 měsíci

      Anaposema laki ya Zambia kwa Tanzania ni sawa na elfu kumi,

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 Před 11 měsíci +1

    Hizo tamaa zetu watanzania ndo tabia A kufata mkumbo na kutaka utajiri wa haraka ndo unatuponza

  • @charleskuyeko1660
    @charleskuyeko1660 Před 3 měsíci

    Simba mbona huwaulizi hao akina mama wanachukua wapi mchele. Na pia ulipaswa kuwauliza Waume zao wanafanya kazi gani.

  • @gracejulius23
    @gracejulius23 Před 5 měsíci

  • @shijandobehe4953
    @shijandobehe4953 Před 4 měsíci

    Daaaah mchele kwetu hauna soko kabsa kilo 1200

  • @jephtephlon2366
    @jephtephlon2366 Před 11 měsíci +2

    Wazambia wametuacha mbali sana kwa ngelii

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Před 11 měsíci +3

      Inasaidia nini ngeli , mchina hajui ngeli wala mrusi leo wanatisha kiuchumi

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před 11 měsíci

      Wewe kweli bado mshamba sasa ngel ndio kukuacha nyuma je na uko Germany na china ambako hawashughuliki na kingereza je tumewaacha wanyuma wewe kweli upepo

    • @elvisoscar9912
      @elvisoscar9912 Před 11 měsíci

      Roho inaniuma Sana kuona uyo bi mkubwa anapiga ngeri

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Před 11 měsíci

      @@elvisoscar9912 nenda kwa ras simba

  • @hafidhimayunga5615
    @hafidhimayunga5615 Před 11 měsíci +1

    Laki sita ni gunia zima sio faida kaka

  • @user-ez2pf1cm1q
    @user-ez2pf1cm1q Před 4 měsíci

    Sio kweli million ya Zambia mbona mama ulinzi ungekua hulooo hapo

  • @user-tb5bt8lq8j
    @user-tb5bt8lq8j Před 4 měsíci

    Yani 10000 ya Tz ni laki Zambia nani anataka tujioganaz tukale Bata 😂😂😂😂😂😂

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 Před 4 měsíci

    Naskia saut ya Zembwela kwa mbaliiiii.

  • @highhigh7476
    @highhigh7476 Před 4 měsíci

    Mzee amechan'ganyikiwa kwa thamani

  • @smallscaleminingsupplies9670

    Mbona huko mchele unaonekana bei ya kufa mtu

  • @abdallahselemani6423
    @abdallahselemani6423 Před 11 měsíci

    Duh: wako nyuma sana Kwa vipimo

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před 11 měsíci

      vipimo vipi na fedha yao hipo juu , hiyo sehemu ni fulsa mjomba ukiwaunaenda kufanya biashara unapiga ela 😂

  • @komuhsengo9796
    @komuhsengo9796 Před 4 měsíci

    Muongo laki ya zambia ni kubwa

  • @EsauBanda-cw3cf
    @EsauBanda-cw3cf Před 4 měsíci

    Ni miamoja kwacha not laki