HII HAPA NYUMBA YA CLATOUS CHAMA HAPA ZAMBIA/MAJIRANI WAFUNGUKA ANAVYOISHI NAO
Vložit
- čas přidán 25. 08. 2024
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media
Honger sana cham mwamb wa Lusaka
Tunamkibali Chama Cloutus aishi TZ hakuna shida
Wanasimba tunachotaka ni pila biliani maisha binafsi hayatuhusu
Ooh
Bgp Somba
Simba mpenzi Hela chama
Maisha ni haya haya jaman
Yani hata jua alijatokeza nyie mko kwa chama
7:21
Kumbe alikua anaishi hapo nikajua kwake🚶🚶
Safi sana
Ilawewe somba nimtu hatari sana
Sijaona Ila nataka nimuoe demu wa zambia
Kwa hiyo chama hapati hera simba mbona hatengenezi mazingira
Aibu
Mmh
Mpira wa bongo usikoe2
Ni Zambia mji gani huo?
WaTZ kwa kutafuta umbea ni No1
Hivi mbona msingeonyesha tu, Simba mnampa sh. Ngapi? Pabaya
Haiwa husu
Hatari sana Dar24 mnafufudua nyie
Bongo wana enjoy,? Muangalie musonda alivyokuja na sasa hivi , anajifanya bishoo,, man of the match kwao anapewa tray ya mayai huko
@@damianmcba9525SIO VIZURI KUNYANYASA WATU.
Hahaha 😂😂
Mmmmh pabaus
Somba nawe 😅😅
Bonge la eneo na nyumba kibao tu zakutosha
Kwani kwao ni Ndola au Lusaka?
ndola ndo alipotoka phiri ndo wa lusaka
Kwao Chama alikozaliwa na kukulia ni Mansa Luapula Province
Hovyo kabisa
unaamini ana kaa hapo
😂😂😂😂😂😂
Basi mpira haulipi
🧐🙄😳😳😳🤓🤓
😢😢😢😢😢
Hiyo nyumba yake yakwanza unajua ananyumba ngap
Umekalili nyumba tu. Kuna uwekezaji mwingine acha ushamba wewe bwege.
@@gibsonjosephat6352 eeeh haya bhna