Sometimes makonda huwa nakukubali Sana, yani Kati ya vitu nisivyovipenda ni huo upumbavu wa baadhi ya viongozi kujifanya miungu watu. Keep it up Makonda 😮
Hongera sana kwa kaz nzr sema tuu nchi hii ni kubwa halaf watu wa supple hiyo mko wachache,Naomba kwa uwezo wa mnyazi Mungu uendelee na kasi hiyo ili pengine Heshima ya Chama iwe Mantained,,,Tunakushukuru kiongoz kwa kaz nzr
Tunakuomba uje morogoro makonda manyanyaso zidi ya idaraya maji unajaza form mwakamzima uletewi mlejesho mungu amekuteu mtetezi wa wanyonge tunakuoma makonda uje morogoro
Mheshimiwa .hayo yapo tu kila kona nchini kwetu. Inahitaji wizara ya kusimamia madeni ya ndani .hao watendaji wanajifanya miungu watu.wafanyabiashara nao wakipata mchepuko ni wabaya lakini ikiwa wizara itasidia kuwasimamia
Wakurugenzi saa hivi wanakula mnoooo pesa huwaambiii kitu Samia alikosea saaana kurudisha pesa kwa wakurugenzi MAGUFULI alilitambua akapeleka pesa sehemu husika
Sometimes makonda huwa nakukubali Sana, yani Kati ya vitu nisivyovipenda ni huo upumbavu wa baadhi ya viongozi kujifanya miungu watu. Keep it up Makonda 😮
Magufuli alijizaa kabisa hapa hongera sana makonda
Yeah! Kazi nzuri makonda mungu akubariki sana.Ila unafaa kuwa waziri mkuu au waziri wa ujenzi.unauzalendo furani .big up!
Dah nakukubali sana m h makonda
Mimi sina Chama, lkn kwa hili KUDO MAKONDA!!👏🏾👏🏾👍🏾
Kaka makonda nakuelewa sana, njoo na huku kigoma Kuna madudu mengi, njoo utusaidie.
Hongera sana kwa kaz nzr sema tuu nchi hii ni kubwa halaf watu wa supple hiyo mko wachache,Naomba kwa uwezo wa mnyazi Mungu uendelee na kasi hiyo ili pengine Heshima ya Chama iwe Mantained,,,Tunakushukuru kiongoz kwa kaz nzr
Kwa nini hawi raisi uyuu😂😂😂
Tunakupenda sana makonda toka ukiwa mkuu wa mkoa wa dar -es- salaam
Unampenda ww usi2seme sisi wote
Toka lini mwislam akampenda mkristo mna chuki mnoooo sasa kuna upumbavu mwingi mmefyata@@KassimAlly-xp4dz
Dar imekuwa kichaka makonda aliiwezea
Kwa Uweza wa MUNGU uishi miaka mingi Makonda na siku zako zitimie
Tunakuomba uje morogoro makonda manyanyaso zidi ya idaraya maji unajaza form mwakamzima uletewi mlejesho mungu amekuteu mtetezi wa wanyonge tunakuoma makonda uje morogoro
Asante makonda nakupendea kwa Hilo mungu akulinde
Hajamchongea ila ashtakia apate haki yake
Hakika Makonda anaenda vizuri pale panapo tokea mtu kuonewa
Mheshimiwa .hayo yapo tu kila kona nchini kwetu. Inahitaji wizara ya kusimamia madeni ya ndani .hao watendaji wanajifanya miungu watu.wafanyabiashara nao wakipata mchepuko ni wabaya lakini ikiwa wizara itasidia kuwasimamia
Tena walipe na riba ni ushenzi
Kiukweli Chagueni viongozi wanaojielewa huyo mkurugenzi hatoshi kabisa ,furusha tu.
Hata hamishwa ataondokaaa superb statement
Mueshimiwa makonda wafundishe kazi Alha akufanyie wepesi inshallah uwe kiongozi bola
Mkurunguzenz kaishaliwa kichwa 😀😀😀safi sana makonda
Afadhar sasa maana wanajisahau hawa mbwa
Kaka Makonda urais unakuhusu
Mwamba uyuu apaaa
Makonda mauwa yako babaa ilove u buree gombea bc ubunge mtu wangu
Hatar sana
Mtetezi wa wanyonge tunakuomba morogoro
💪💪💪💪💪
Dogo chuma Sana,
Asante Sana makonda
Makonda mauwa yako babaa ilove u buree
uyo mkurugenzi hovyo sans
Safi sana makonda
ni kweli
Wakurugenzi saa hivi wanakula mnoooo pesa huwaambiii kitu Samia alikosea saaana kurudisha pesa kwa wakurugenzi MAGUFULI alilitambua akapeleka pesa sehemu husika
Ok
Hakika kazi ipo
Hhiii ni shida kwakwelii
Pm uko vizur wasaidie watu
Duuu ni shida
Hauna baya katibu wa itikadi,uenezi na mafunzo ccm taifa.dumu kaka dumu milele.
Komesha awo makonda
😭🤲🤲🇧🇮
Makonda sisi tunataka majibu
Asafisana makonda
Makonda ww ndo rais
😂😂
Kwani Makonda ni mkuu wa mkoa au mkuu wa wilaya au ninani mbn anajipa cheo cha km rais
Mbona jibu jepesi tu ndo CHAMA kilicho na dola
MWACHE AMSAIDIE WANANCHI YUKO VIZURI.AU UNAKISAC NAE?MI NAMKUBALI.JEMBE HILO WATU WANADAI HAKI ZAO HAWAPEWI ACHA AWASAIDIE WANANCHI TUNAONYANYASWA.
@@mwashilindicommandos6390 😃😃😃😃
@@user-hd5bg8qw1b hakuna lolote wenye wananyanyasika wanalia wenyewe mafuriko jana tabata yaani acheni tu hii Tanzania yetu hiii aaaaaa basi tu
Uyo ndo Makonda a.k.a zero brain yy hachagui anaongea tu
Ilo ni jembe letu rais ajaee dadikii