"ASIPO KULIPA ANARUDI KWAO "MZEE AMCHONGEA MKURUGENZI KWA MAKONDA ADAI ZAIDI YA MILIONI 60

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024

Komentáře • 57

  • @gewatv
    @gewatv Před 7 měsíci +9

    Sometimes makonda huwa nakukubali Sana, yani Kati ya vitu nisivyovipenda ni huo upumbavu wa baadhi ya viongozi kujifanya miungu watu. Keep it up Makonda 😮

  • @adudeswalehe8724
    @adudeswalehe8724 Před 7 měsíci +10

    Magufuli alijizaa kabisa hapa hongera sana makonda

  • @alfinmbilinyi5985
    @alfinmbilinyi5985 Před 7 měsíci +7

    Yeah! Kazi nzuri makonda mungu akubariki sana.Ila unafaa kuwa waziri mkuu au waziri wa ujenzi.unauzalendo furani .big up!

  • @BilalMuhammad-jt6sq
    @BilalMuhammad-jt6sq Před 7 měsíci +9

    Dah nakukubali sana m h makonda

  • @reenesa
    @reenesa Před 7 měsíci +13

    Mimi sina Chama, lkn kwa hili KUDO MAKONDA!!👏🏾👏🏾👍🏾

  • @ramadhanmwandambotuntufye5972
    @ramadhanmwandambotuntufye5972 Před 7 měsíci +6

    Kaka makonda nakuelewa sana, njoo na huku kigoma Kuna madudu mengi, njoo utusaidie.

  • @biwakambagwa4041
    @biwakambagwa4041 Před 7 měsíci +1

    Hongera sana kwa kaz nzr sema tuu nchi hii ni kubwa halaf watu wa supple hiyo mko wachache,Naomba kwa uwezo wa mnyazi Mungu uendelee na kasi hiyo ili pengine Heshima ya Chama iwe Mantained,,,Tunakushukuru kiongoz kwa kaz nzr

  • @MohdAli-cx7bc
    @MohdAli-cx7bc Před 7 měsíci +6

    Kwa nini hawi raisi uyuu😂😂😂

  • @user-oz1mh4li3q
    @user-oz1mh4li3q Před 7 měsíci +4

    Tunakupenda sana makonda toka ukiwa mkuu wa mkoa wa dar -es- salaam

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz Před 7 měsíci

      Unampenda ww usi2seme sisi wote

    • @florencemeza6540
      @florencemeza6540 Před 7 měsíci

      Toka lini mwislam akampenda mkristo mna chuki mnoooo sasa kuna upumbavu mwingi mmefyata​@@KassimAlly-xp4dz

    • @florencemeza6540
      @florencemeza6540 Před 7 měsíci

      Dar imekuwa kichaka makonda aliiwezea

    • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
      @SmilingBulldogPuppy-nb9ur Před 7 měsíci

      Kwa Uweza wa MUNGU uishi miaka mingi Makonda na siku zako zitimie

  • @user-ch9lp4kn7x
    @user-ch9lp4kn7x Před 6 měsíci

    Tunakuomba uje morogoro makonda manyanyaso zidi ya idaraya maji unajaza form mwakamzima uletewi mlejesho mungu amekuteu mtetezi wa wanyonge tunakuoma makonda uje morogoro

  • @wahidaabeid5712
    @wahidaabeid5712 Před 7 měsíci +1

    Asante makonda nakupendea kwa Hilo mungu akulinde

  • @arafahhh5574
    @arafahhh5574 Před 7 měsíci +4

    Hajamchongea ila ashtakia apate haki yake

  • @baghabaghaingwengwe1750
    @baghabaghaingwengwe1750 Před 7 měsíci +1

    Hakika Makonda anaenda vizuri pale panapo tokea mtu kuonewa

  • @devangandhl2255
    @devangandhl2255 Před 7 měsíci +2

    Mheshimiwa .hayo yapo tu kila kona nchini kwetu. Inahitaji wizara ya kusimamia madeni ya ndani .hao watendaji wanajifanya miungu watu.wafanyabiashara nao wakipata mchepuko ni wabaya lakini ikiwa wizara itasidia kuwasimamia

  • @KiongoziMwandamizi
    @KiongoziMwandamizi Před 7 měsíci +4

    Tena walipe na riba ni ushenzi

  • @mwigambachristopher1976
    @mwigambachristopher1976 Před 7 měsíci +1

    Kiukweli Chagueni viongozi wanaojielewa huyo mkurugenzi hatoshi kabisa ,furusha tu.

  • @user-it6pm4rh8s
    @user-it6pm4rh8s Před 7 měsíci +1

    Hata hamishwa ataondokaaa superb statement

  • @AbdulmalikFedrick-ct7nb
    @AbdulmalikFedrick-ct7nb Před 7 měsíci

    Mueshimiwa makonda wafundishe kazi Alha akufanyie wepesi inshallah uwe kiongozi bola

  • @idanysedrc1200
    @idanysedrc1200 Před 7 měsíci

    Mkurunguzenz kaishaliwa kichwa 😀😀😀safi sana makonda

  • @Gdjn974
    @Gdjn974 Před 6 měsíci

    Afadhar sasa maana wanajisahau hawa mbwa

  • @hawakiza6067
    @hawakiza6067 Před 7 měsíci +1

    Kaka Makonda urais unakuhusu

  • @stephanomgonda3054
    @stephanomgonda3054 Před 7 měsíci +1

    Mwamba uyuu apaaa

  • @user-zi1gp6dc2q
    @user-zi1gp6dc2q Před 7 měsíci

    Makonda mauwa yako babaa ilove u buree gombea bc ubunge mtu wangu

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 Před 6 měsíci

    Hatar sana

  • @user-ch9lp4kn7x
    @user-ch9lp4kn7x Před 6 měsíci

    Mtetezi wa wanyonge tunakuomba morogoro

  • @user-mk1qz1mn7w
    @user-mk1qz1mn7w Před 7 měsíci +1

    💪💪💪💪💪

  • @daslamonline4665
    @daslamonline4665 Před 7 měsíci +3

    Dogo chuma Sana,

  • @joelyngomuo7441
    @joelyngomuo7441 Před 7 měsíci

    Asante Sana makonda

  • @user-zi1gp6dc2q
    @user-zi1gp6dc2q Před 7 měsíci

    Makonda mauwa yako babaa ilove u buree

  • @saidybhoky-lb7hg
    @saidybhoky-lb7hg Před 7 měsíci

    uyo mkurugenzi hovyo sans

  • @gaudencemhagama7216
    @gaudencemhagama7216 Před 7 měsíci

    Safi sana makonda

  • @saidybhoky-lb7hg
    @saidybhoky-lb7hg Před 7 měsíci

    ni kweli

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 Před 7 měsíci

    Wakurugenzi saa hivi wanakula mnoooo pesa huwaambiii kitu Samia alikosea saaana kurudisha pesa kwa wakurugenzi MAGUFULI alilitambua akapeleka pesa sehemu husika

  • @milanzitv1256
    @milanzitv1256 Před 7 měsíci

    Ok

  • @NepporSabith
    @NepporSabith Před 7 měsíci

    Hakika kazi ipo

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Před 7 měsíci

    Hhiii ni shida kwakwelii

  • @raurentkorosso2014
    @raurentkorosso2014 Před 7 měsíci

    Pm uko vizur wasaidie watu

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Před 7 měsíci

    Duuu ni shida

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 Před 7 měsíci

    Hauna baya katibu wa itikadi,uenezi na mafunzo ccm taifa.dumu kaka dumu milele.

  • @user-dw1um8rc2w
    @user-dw1um8rc2w Před 7 měsíci

    Komesha awo makonda

  • @mukeshimanarose1334
    @mukeshimanarose1334 Před 7 měsíci

    😭🤲🤲🇧🇮

  • @kefamwakipesile275
    @kefamwakipesile275 Před 7 měsíci

    Makonda sisi tunataka majibu

  • @user-mk1qz1mn7w
    @user-mk1qz1mn7w Před 7 měsíci

    Asafisana makonda

  • @SamweliMwalyungu-du5ln
    @SamweliMwalyungu-du5ln Před 7 měsíci

    Makonda ww ndo rais

  • @broka_genius3615
    @broka_genius3615 Před 7 měsíci

    😂😂

  • @zuanshimchina2278
    @zuanshimchina2278 Před 7 měsíci +1

    Kwani Makonda ni mkuu wa mkoa au mkuu wa wilaya au ninani mbn anajipa cheo cha km rais

    • @mwashilindicommandos6390
      @mwashilindicommandos6390 Před 7 měsíci +2

      Mbona jibu jepesi tu ndo CHAMA kilicho na dola

    • @user-hd5bg8qw1b
      @user-hd5bg8qw1b Před 7 měsíci

      MWACHE AMSAIDIE WANANCHI YUKO VIZURI.AU UNAKISAC NAE?MI NAMKUBALI.JEMBE HILO WATU WANADAI HAKI ZAO HAWAPEWI ACHA AWASAIDIE WANANCHI TUNAONYANYASWA.

    • @zuanshimchina2278
      @zuanshimchina2278 Před 7 měsíci

      @@mwashilindicommandos6390 😃😃😃😃

    • @zuanshimchina2278
      @zuanshimchina2278 Před 7 měsíci

      @@user-hd5bg8qw1b hakuna lolote wenye wananyanyasika wanalia wenyewe mafuriko jana tabata yaani acheni tu hii Tanzania yetu hiii aaaaaa basi tu

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz Před 7 měsíci

      Uyo ndo Makonda a.k.a zero brain yy hachagui anaongea tu

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Před 7 měsíci

    Ilo ni jembe letu rais ajaee dadikii