MPIGIENI MUNGU KELELE ZA SHANGWE (OFFICIAL VIDEO)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • Wimbo uliotungwa naye Felician Albert Nyundo (FAN) +... Wimbo ulioimbwa na kujulikana na wengi miaka kadhaa iliyopita na hata sasa bado unapendwa na walio wengi. Kwaya ya Mtakatifu Boniface Askofu na Shahidi kutoka Parokia ya Moyo Mtakatifu wa Yesu, Sombetini, Jimbo kuu Katoliki la Arusha, wanatushirikisha wimbo huu na wanatualika tumwimbie Mungu na tumpigie Kelele za shangwe.Ni Maneno Matamu kabisa kwa anayependa kumsifu Mungu. Tumwimbie Mungu wetu, naye ata Mimina neema zake katika maisha yetu. Ni neema ya Mungu inayotufanya tuwe tulivyo hivyo tushiriki kikamilifu katika kumwimbia. Bwana unibadili niweze kuacha yote nikutumikie wewe, niweze kukuimbia wewe wimbo ulio bora, niweze kuwa miongoni mwa wateule wako.Karibuni sasa muweze kusikiliza na kutazama.Kwa watakaopenda kuwasiliana na kwaya hii, tumieni namba +255 754 628 685 au +255 754 759 428#kwayakatoliki #mimina neema #bwanaunibadili #manenomatamu

Komentáře • 663

  • @KarugabaWilson
    @KarugabaWilson Před měsícem +5

    2024 bado tunasikia?

  • @martinmuthuitito4844
    @martinmuthuitito4844 Před 3 měsíci +15

    I put this comment here so after a month or a year when someone likes it it reminds me of this beautiful song

  • @sofialinus8241
    @sofialinus8241 Před 4 lety +159

    Unyenyekevu100%
    Utulivu100%
    Mavazi100%
    Najivunia kuwa Catholic
    Kazi nzuri, ujumbe mzuri nabarikiwa Sana🙏🙏🙏

  • @cleophasomondi5475
    @cleophasomondi5475 Před 4 lety +209

    Likes za Kuwakilisha Kenya zije...

  • @cletusmwanauta9798
    @cletusmwanauta9798 Před 3 dny

    Pumzika kwa amani mtunzi wa wimbo huu Felician Nyundo,umeendelea kutuinjilisha japo haupo ktk uso wa dunia.
    Wimbo bora kabisa

  • @ernestmwanalinze2612
    @ernestmwanalinze2612 Před 3 lety +17

    Mwimbieni Mungu kelele za shangwe nchi yote imbeni utukufu wake,tukuzeni sifa zake Mungu mkuu......matendo yako yanatisha kama niniiiiiiiii tukuzeni sifa zake Mungu Mkuu.Nyimbi hii ukiimbwa kanisani,kanisa lote linalipuka kwa shangwee hasa watu wazima wa miaka ya nyuma lazima waimbe.Naziomba kwaya zijaribu kuimba nyimbo zinazoweza kuibwa na kanisa lote.Mubarikiwe wanakwaya kwa wimbo huu

  • @vckybayyo6671
    @vckybayyo6671 Před 4 lety +15

    Naipenda dini yangu Roman Catholic Jimbo la Arusha,parokia ya sombetini😘😘😘

  • @fr.andrewwerungaflp2910
    @fr.andrewwerungaflp2910 Před 3 lety +89

    I remember attending Mass at St. John the Evangelist Church, Langa'ta Nairobi as a young seminarian. Even in the next life I will still proud to be a Catholic, and a Catholic priest for that matter. God bless your beautiful voices.

  • @JosephineNkumbuku
    @JosephineNkumbuku Před 3 dny

    September 2024 tunasema wewe ni mwamba tu chini yako🙏🙏🙏

  • @geraldinabakalalile5325
    @geraldinabakalalile5325 Před rokem +3

    Hakika hakuna kama Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo

  • @meresinantibakakazi1722
    @meresinantibakakazi1722 Před 3 lety +4

    Wakatoriki wote tumsifu yesu kristo

  • @janet4real.47
    @janet4real.47 Před 3 lety +44

    May God Bless everyone who listens to this beautiful song.Amen🙏

  • @fidelenzambimana6980
    @fidelenzambimana6980 Před 4 lety +8

    Mimi ni murundi .Nabarikiwa sana nanyimbo nzuri kama hizi .Hongereni sana waTanzania.Tumsifu Yesu Kristu

  • @gloriousnp
    @gloriousnp Před 4 lety +72

    Mimi ni msabato naufurahia saana uimbaji huu maana unanibariki na kunifanya ni focus kwenye ujumbe zaidi. Mungu wa mbinguni akawabariki na kuwainua mpaka mshangae 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
    Sauti zote zinasikika
    Grab your earphone , thank me later 🤗
    Mtukuzeni sifa zake Mungu mkuuu🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @holydaykitomary9298
    @holydaykitomary9298 Před 14 dny

    Hakina kupitia huu wimbo nilipata namna nzuri yakuendelea kutukuza ukuu wa Mungu kwa anayonitendea😊

  • @melkiorymarandu1850
    @melkiorymarandu1850 Před 4 lety +4

    Hivi kwa nyimbo kama hizi, nzuri namna hii, hivi bado utaniambia shetani bado yupo, kweli? Atakuwa amekimbilia mbali mno hata hataki kuzisikia hizi sauti. Hakika Mungu ametamalaki. Mr.Tumaini, hai Meku, hongera kwa Kinanda murua.

  • @graceandrew3988
    @graceandrew3988 Před 4 měsíci +2

    TYK Wimbo huu nimeanza kuusikia mwaka 1996 you can imagine nikiwa mdogo sana lakini hadi leo sichoki kuusikiliza...Hakika Mungu wetu ni mkuu na matendo yake yanatisha.

  • @st.camillusspecializedclin8775

    I had never get tired listening to this song... Sometimes I even shed tears, Matendo ya Mungu Ni makuu daima... Mbarikiwe Sana sana

  • @gracewamaitha7382
    @gracewamaitha7382 Před 4 lety +4

    Utukufu wako Mungu n mkuu ,tukuzeni sifa zake Mungu mkuu 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @jacklinedavid1549
    @jacklinedavid1549 Před 3 lety +13

    Was reading the Bible n found out this song is from psalms 66 (zaburi 66) no wonder i love it so much 😇

  • @sophiachaula4825
    @sophiachaula4825 Před 3 lety +3

    Najivunia kuwa mkatholic nawapenda sana waimbaji mko vizuri utulivu asilimia Mia, Mungu awabariki

  • @lawrencesilas3050
    @lawrencesilas3050 Před 4 lety +5

    Hakika kazi nzur hongeren sombetin marafik zangu...hongera rajo production wimbo ni mzur na unanikumbusha mbal sana

  • @victorololo9902
    @victorololo9902 Před 4 měsíci +1

    nostalgic inanirudisha Kanisa la Bikira Mama wa shime Makupa.....naskia harufu tamu ya ubani

  • @annehpascal976
    @annehpascal976 Před 4 lety +20

    Rajo Mungu aendelee kukutumia kueneza injili yake.Ina bariki sana kuona kazi ya mungu inapambwa na kutengenezwa kwa ujuzi mkubwa,hongereni pia familia ya mt. Boniface kwa kazi nzuri hakika mmefanya vizuri mungu awabariki nyote.

  • @AmosiKalunde
    @AmosiKalunde Před 7 měsíci +2

    SIYO NYIMBO ZA MASEBENE, MAJASHO, HIZI NDIZO NYIMBO ZA IBADA BE BLESSED SAAAANA

  • @andrewmsunga9425
    @andrewmsunga9425 Před 4 lety +3

    kila ninapousikia huu wimbo mwili unanisisimka, Mungu amrehemu mtunzi mwalimu F.A NYUNDO

  • @qorropeter1359
    @qorropeter1359 Před 4 lety +12

    Mko juu sana kwaya ya mt boniface sombetini, mungu azidi kuwainua kwenye uimbaji wenu, namwona Hugo akidunda big up, mwambieni Mungu matendo yake yanatisha km nn,
    Rajo ni production ni noma big up

  • @neemabernad4329
    @neemabernad4329 Před 2 lety +3

    Inanibariki sana hii nyimbo najikuta namtukuza Mungu na ukuu wake ni MKUU.🥰🙏

  • @kahwaicatherine3805
    @kahwaicatherine3805 Před rokem

    Wimbo mzuri sana wakumshukuru Mungu. Naupenda sana.

  • @elizabethmwikali7873
    @elizabethmwikali7873 Před 4 lety +4

    Sauti tamu mafazi nzuri unyenyekevu ...utaratibu mzuri.. MUNGU azindi kuwabariki

  • @graceandrew3988
    @graceandrew3988 Před 4 měsíci +1

    Hongereni sana wanakwaya mmeutendea haki na mmependeza sana ❤

  • @victoriamefya6287
    @victoriamefya6287 Před 2 měsíci

    🙏Mwambieni Mungu matendo yake yanatisha Kama nini

  • @ednadaniel3026
    @ednadaniel3026 Před 4 lety +4

    Kazi nzuri waimmbajii wazuri hakii najivunia ukatoliki wangu💥💥💥💥

  • @nicaschuma9652
    @nicaschuma9652 Před 4 lety +5

    Woyooooo..Bonge la production.. Big up kijana Swai kwa kupiga Kinanda kizuri cha kikatoliki.

  • @berthalyimo6216
    @berthalyimo6216 Před 2 lety +1

    Hatimae nimeupata huu wimbo baada ya kuutafuta kwa mda mrefu!!!

  • @vincentmarvin9210
    @vincentmarvin9210 Před 4 lety +10

    Maneno matamu sana na wimbo unabariki sana

  • @dennismlula5019
    @dennismlula5019 Před rokem

    Matendo ya MUNGU wetu kweli ni makuu!

  • @consolatandinda8887
    @consolatandinda8887 Před 9 měsíci +1

    awwww ❤️ ❤️ 💕 🙌👏
    Zaburi 66:1-8
    [1]Mpigie Mungu kelele za shangwe, nchi yote,
    [2]Imbeni utukufu wa jina lake,
    Tukuzeni sifa zake.
    [3]Mwambieni Mungu, Matendo yako yatisha kama nini!
    Kwa ajili ya wingi wa nguvu zako,
    Adui zako watakuja kunyenyekea mbele zako.
    [4]Nchi yote itakusujudia na kukuimbia,
    Naam, italiimbia jina lako.
    [5]Njoni yatazameni matendo ya Mungu;
    Hutisha kwa mambo awatendayo wanadamu;
    [6]Aligeuza bahari ikawa nchi kavu;
    Katika mto walivuka kwa miguu;
    Huko ndiko mlikomfurahia.
    [7]Atawala kwa uweza wake milele;
    Macho yake yanaangalia mataifa;
    Waasio wasijitukuze nafsi zao.
    [8]Enyi mataifa, mtukuzeni Mungu wetu,
    Itangazeni sauti ya sifa zake;

  • @catherinelusasi4988
    @catherinelusasi4988 Před 3 lety +2

    Zaburi tamu sana 66:1

  • @charlesmartine3467
    @charlesmartine3467 Před 3 lety +3

    Munamuimbia Mungu vizuri sana

  • @ijueimanikatoliki980
    @ijueimanikatoliki980 Před 3 lety

    Amen God is greater
    Anaye sema catholic hatuna Prise and worship aendelee kujidanganya hivyohivyo nafsi yake

  • @user-dw1ic8vy2s
    @user-dw1ic8vy2s Před 2 měsíci

    ❤ mungu a wabarik sana naniko namiss maombi nakuimba Kwa eklezia

  • @tempochoir
    @tempochoir Před 8 měsíci

    Nimerudia kuangalia mara nyingi hongereni sana mmefanya vizuri mno.

  • @PeterMshali
    @PeterMshali Před 17 dny

    Nawapata vizuri toka Ngusero, Mungu awabariki

  • @damianjames320
    @damianjames320 Před rokem

    Jamaniii mpiga kinanda ubarkiwe sana pamoja na wanakwaya wote 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @ScholasticaMayomba
    @ScholasticaMayomba Před 28 dny

    Very nice Catholic song listeaning keep it up ❤❤❤❤

  • @yudakitengesondanu808
    @yudakitengesondanu808 Před 4 lety +4

    hongereni sana watoto wangu kazi nzuri mmno Mungu azidi kuwaimarisha siku hadi siku ili injili yake isonge mbele

  • @wilbertinnocent6307
    @wilbertinnocent6307 Před 2 lety

    Bonswa bontravay nan non jezi amen ensemble anfanmi pour jesus Christ passé bont lundi soir à Dieu merci jezi

  • @melkiorymarandu1850
    @melkiorymarandu1850 Před 4 lety +1

    Dah, nimeishiwa maneno ya kusema, ila hongereni mno. Organist kunywa soda nakuja kulipa.

    • @rajopro
      @rajopro  Před 4 lety +1

      Tunamshukuru Mungu... Asante kwa comment yako Ndugu yetu Melkiory Marandu.

  • @emanuelumbe6320
    @emanuelumbe6320 Před 4 lety +5

    Hongereni sanaaaaa, huu wimbo nimeutafuta mda mrefu sana hatimae nimeupata , asanteni mbarikwe

  • @helenasulesule2163
    @helenasulesule2163 Před 4 lety +4

    Hongereni sana kwautume wenu mwenyezi mungu awabariki sana

  • @pianamkai4620
    @pianamkai4620 Před 6 měsíci

    Inanikumbusha xul,, st francis🙏🙏🙏🙏😘😘😍

  • @janethmwacha5208
    @janethmwacha5208 Před 4 lety +4

    jamani kwa kweli mmeimbaaaaa,atukuzwe mungu milele na milele matendo yake yanatisha kama nini hakika ni mkuu

  • @angiegathoni1620
    @angiegathoni1620 Před 3 lety +4

    Ninayoweza sema kwa sasa, mungu nimekuona,nimeuona mkono wako. Mama Maria, asante kwa kuniombea. Nimeiona miujiza. Mungu matendo yako yanatisha,Asante,ndio ipo tu moyoni mwangu.Mungu assante.

  • @susanldohlchodo4589
    @susanldohlchodo4589 Před 3 lety +10

    Matendo Yake yatisha sana..
    I felt the presence of the Holy Spirit when listening to this annointed song..Utukuzwe na Uhimidiwe ee Mungu🙏🏼🙏🏼

  • @faustaseki5350
    @faustaseki5350 Před 4 lety +4

    Kwakweli wimbo mmeutendea haki, Roho wa Mungu awe nanyi daima, na mdumu katika UTUME. Barikiwa nyote

  • @magejuliani5293
    @magejuliani5293 Před 4 lety +3

    Kweli ukifikiria matendo ya Mungu yanatisha sana!

  • @anithakisaka6767
    @anithakisaka6767 Před 4 lety +4

    Hongeren wana Boniface mpo juu sanaaaa

  • @naomimuli474
    @naomimuli474 Před 3 lety +10

    Among my best Catholic hits, God bless your good job&your efforts.

  • @sofiamauwa7146
    @sofiamauwa7146 Před 3 lety +2

    Mungu awabariki kwa wimbo huu nzuri na wenye kumsifu mungu.salamu ziwafikie mlipo.from congo Kinshasa.

  • @alexkaloki3032
    @alexkaloki3032 Před 4 lety +4

    Beautiful voices 👌 Kazi safi Rajo Productions 👏

    • @gracekilasi9909
      @gracekilasi9909 Před 2 lety

      Mungu awabariki sana wimbo unanguvu ya Mungu mliuombea sana hongereniii sana

  • @julianabusera4555
    @julianabusera4555 Před 2 měsíci

    God is good all the days of my life Amen

  • @gervasshepi6351
    @gervasshepi6351 Před 4 lety +2

    Moja ya nyimbo nilizowahi kuzipenda na imedumu kwa muda sana

  • @veronicakioko4520
    @veronicakioko4520 Před 9 měsíci +1

    Huu wimbo hakika unahifadhi amani katika nyoyo zetu.pongezi Sana.

  • @mathiaskulwa7686
    @mathiaskulwa7686 Před 3 lety +1

    Asante Mungu kwa wema wako

  • @marymacharia9627
    @marymacharia9627 Před 2 lety +1

    Waooooo,matendo ya mungu yanatisha kama nini

  • @WanguiAbigael
    @WanguiAbigael Před 17 dny

    Asante Kwa wimbo mzuri👍👍❤❤

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Před 4 lety +1

    Hivi hao wanaosubutu kudslike wimbo mzuri kama huu wanatumwa au hawajui kutofatisha hawa ndo wale tunaambiwa kura zao zimeharibika sio bure

  • @godwinojiambo9764
    @godwinojiambo9764 Před 2 lety +5

    Thank you for leading us in kumwimbia Bwana kelele za shangwe 😍😍🇰🇪🇰🇪

  • @rokizenaufunguo9953
    @rokizenaufunguo9953 Před 4 lety +4

    Hujawahi Fanya makosa Rajo hongera broo

    • @rajopro
      @rajopro  Před 4 lety +2

      Asante sana....

    • @gettoboytz4879
      @gettoboytz4879 Před 4 lety

      KAKA RAJO NAOMBA NAMBA YAKO 0713060003 NAPATIKANA MOSHI ASNTE PLZ

    • @rajopro
      @rajopro  Před 4 lety

      @@gettoboytz4879 0758988827

  • @freddykulwa8190
    @freddykulwa8190 Před rokem +1

    Mungu akubariki sana watumishi wako hawa kwa kulitanganza jina lako kwa nyimbo mama bikira maria yesu kristor wangu uwa simamie katika imani

  • @flipaclipanimationz6790
    @flipaclipanimationz6790 Před 4 lety +2

    Hakika matendo yake Mungu yanatishaa! Hongereni mnooo kwa uimbaji mzuri.Mwalimu Nyundo Mungu akutunze.

  • @esternzumbi1888
    @esternzumbi1888 Před 4 lety +4

    Oyooooo kumekucha 😍😍😍 sauti imetulia uwiiiiii meuwa Sana😘😘😘

    • @jonathankimai8474
      @jonathankimai8474 Před 3 lety

      A very nice,composed thanksgiving song,Ive never and will never get enough of this song.It cools my spirit.

  • @jennifertemba2837
    @jennifertemba2837 Před 4 lety +9

    Hongeren sana mungu awabarki mmeimba vizur mno

  • @fl11737
    @fl11737 Před 4 lety +3

    Wimbo mtamu, sauti nyororo hakika
    Mbarikiwe kwa kazi nzuri munayoifanya🙏🙏

  • @ellumziray2952
    @ellumziray2952 Před 4 lety +5

    Wooow I love this song

  • @carolinechitere6948
    @carolinechitere6948 Před 3 lety +3

    Wimbo mzuri,Sauti tamu na zakupendeza sana.

  • @editamujuni94
    @editamujuni94 Před rokem

    Ukuu wake ni mkuu sana na njia zake ni kuu

  • @deogratiussweke5007
    @deogratiussweke5007 Před 4 lety +2

    Wamenikumbusha Komunio Yangu Ya Kwanza 1988.

  • @bbylai3359
    @bbylai3359 Před 4 lety +2

    Hakika kweli mungu ni mkuu,kazi nzuri sana na nawapenda wote mlioshiriki kwa moyo🥰🥰🥰🥰🥰

  • @raylaurent4389
    @raylaurent4389 Před 4 lety +11

    Hakika matendo yako yanatisha kama nini... Tutakutukuza daima Mungu mkuu..
    Asanteee sana kaka Ray Ufunguo..
    Salaam kutoka Berlin Ujerumani....

  • @remmymuema8871
    @remmymuema8871 Před 3 lety +16

    Best version of this song ever! My mother in Heaven, Tuzidi kumpigia Mungu kelele za shangwe... May you continue rejoicing and singing for the Lord as you enjoy paradise. St Cecilia patron saint of all singers, be our pillar in praise and worship now and forever more... Ahimidiwe sana Mungu Mkuu!!!

    • @KalekyeMaggie
      @KalekyeMaggie Před 3 lety

      Amen..may our mother continue resting with the angels..dearly missed

    • @remmymuema8871
      @remmymuema8871 Před 2 lety

      @@KalekyeMaggie Amen!

  • @fredfidelis1067
    @fredfidelis1067 Před 4 lety +3

    Mimi sio wa dunia hii .... I like this song deadly

  • @bonifacemarwa1162
    @bonifacemarwa1162 Před 3 lety +1

    Wimbo huu unipea matumaini katika Maisha.mtunzi abarikiwe

  • @phoebea8061
    @phoebea8061 Před 4 lety +2

    Matendo yako yanatisha kama nini Mungu mkuu! Halleluhya

  • @catholicchoirseastafrica3101

    Wimbo mtamu ajabu... Studio nazo mnajua mnachofanya Kongole!

  • @fr.Josephat-SharingGodsLove

    Hongereni..tuendelee kumsifu Mungu kwa Shangwe

  • @dennismurage970
    @dennismurage970 Před 4 lety +4

    Wooow wooooow wooow i just like this, nice creativity @Rajo production 👌👌

  • @pascalshiwa8876
    @pascalshiwa8876 Před 4 lety +6

    Ee mungu wangu. Nibariki nawimbo huu mtakatifu. Proud to be catholic

  • @mafurufrancis9150
    @mafurufrancis9150 Před 4 lety +2

    Jamani huu wimbo ni wa motooo!! Kila mtu amefanya sehemu impasayo kwa uzuri. Wimbo unagusa sana huu, Mungu awabariki sana.

    • @olivatheonest9233
      @olivatheonest9233 Před 3 lety

      Mungu awabariki 🌧️🌧️🌧️🌧️🌧️🌧️🌧️🌧️🌧️🌧️

  • @gaufensiakosmas9962
    @gaufensiakosmas9962 Před 4 lety +1

    Hongereni sana kwa kuyatumia vizur maarifa mlio pewa na MNGU ujumbe mzir sana MNGU awazidishie zaid najivunia kuwa mkatorc

  • @sizanyamtokera2919
    @sizanyamtokera2919 Před 3 lety +1

    Wimbo huu alikuwa akiupenda marehemu baba yangu

  • @msokasgallery8323
    @msokasgallery8323 Před 4 lety +12

    Safi sana waimbaji, mmeutendea haki wimbo! Hongera na kwenu RAJO PRODUCTIONS, you always do the best Ray. You are simply the best brother, better than all the rest. God bless you more.

  • @sarafinakigola3980
    @sarafinakigola3980 Před 4 lety +1

    Hakika matendo ya Mungu ni makuu

  • @fabianmpangala4397
    @fabianmpangala4397 Před 4 lety +1

    Raymond hongera sana kwa utendaji wenu hapo RAJO Production,

  • @benjaminwankabaphilipo9762

    Mungu mnae mtumikia awape nguvu muitangaze injili yake kwa bidii

  • @ryanpaul1948
    @ryanpaul1948 Před 4 lety +7

    Am proud to be a catholic

    • @genovevashitsama3831
      @genovevashitsama3831 Před 4 lety

      Am proud to a Catholic nyimbo inanituliza roho yangu asanteni sana sana choir nzima na mtunzi mungu awabariki

  • @enilickmgani1608
    @enilickmgani1608 Před 4 lety +2

    Radhaa ya mzikiiii kaz nzurii utume wa uimbaji hata mbinguni.

    • @emmanuelalute6835
      @emmanuelalute6835 Před 3 lety

      Wimbo wa karne zote.....Hauchuji hata kidogo, pongezi sana Wanakwaya wetu mmeimba vizuri sana....Mbarikiwe kwa kazi njema ya uinjilishaji.👍👍

  • @sopy3055
    @sopy3055 Před 2 lety +1

    Matendo yako kwel yanatisha Mungu. Utukuzwe Mungu mkuu♥️ amina

  • @jastinmbinda5926
    @jastinmbinda5926 Před 4 lety +1

    Rajo mbarikiwe sana kwa kazi zenu zuri sana