Mvutano waibuka kuhusu mipango mipya ya uchukuzi Mombasa

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 08. 2024
  • Baadhi ya wakaazi waelekea kortini kulalamikia kanuni za kaunti
    Wanasema kubadilishwa kwa baadhi ya njia kumeathiri zaidi safari

Komentáře • 24

  • @abdullahsalim698
    @abdullahsalim698 Před 2 lety +1

    plan yao imefail sana warudishe kama mwanzo wakazi wa msa maisha yamewasonga na sasa hii system yao wamefanya nauli zimepanda sana,mwisho wa kwisha wanataka tuwapigie kura.

  • @majidsaid08
    @majidsaid08 Před 2 lety +1

    Kazi kula marungi english point wakija na fikra za mingokaa........ mombasa sio ya watu wawili wala watu wa nyali.....

  • @daisylangat820
    @daisylangat820 Před 2 lety +1

    Mombasa has been thrown into real confusion unless you are here you cannot say we are resisting change

  • @Be-Rean
    @Be-Rean Před 2 lety +1

    As mvitarian this was long overdue. Its an island bana, decongest the island. Introduce bicycle lanes, ama mulete gen Badi huku 😂🤣😂

  • @faizislam2378
    @faizislam2378 Před 2 lety +2

    Waache ujinga hao wafungue hii barabra hii mombasa sio ya family ya taufiq balala

  • @remiomar7154
    @remiomar7154 Před 2 lety +3

    Mombasa siyo y joho n vinasty wake alipaswa ajulishe wachukuzi kabla y kufanya upuuzi alioamua munatakiwa muwe n umoja n wananchi wenu

  • @rosekadzokadzo1401
    @rosekadzokadzo1401 Před 2 lety

    So waliamua tuu kudo that they're jorking with us

  • @salimhassan3369
    @salimhassan3369 Před 2 lety

    Wako hivyo utumia nguvu kila Mahali iyo ni kuonyesha awatambui Raia..

  • @riazjuma84
    @riazjuma84 Před 2 lety +3

    This Ujinga ya Joho wa Pojo kopo la choo hana maana kabisa.....he should resign

  • @dhakomodherooherokoko6037

    Mombasa is growing and such changes are necessary. Acheni ushamba watu wa mombasa

    • @salimdzuya5480
      @salimdzuya5480 Před 2 lety

      Wacha ufala

    • @mwas4299
      @mwas4299 Před 2 lety

      I agree with you Kenyans don’t like change 😢

    • @princehamid2375
      @princehamid2375 Před 2 lety

      Shida si changes, the problem ni hkuna watu wa kuDirect gari hzo new routes na hio new system... Most drivers from other places hawajui ata hzo roads vzuri so inakoroga watu sana

  • @faizbenjega1364
    @faizbenjega1364 Před 2 lety

    Wanao support, wengi mafala hawana kazi kufanya na wewe balala badili ulete sera kwa watu wa mombasa ujitengenezee upate kiti cha Mp . No bure kabisaa

  • @mocua2910
    @mocua2910 Před 2 lety

    Jam itaisha pale nyumba zilizoko kando ya barabara kubomolewa kwa upanuzi wa barabara zilizoko ndani ya jiji wala sio kugeuza taratibu ya sheria za barabarani.
    Ni aibu kubwa sana jiji lina barabara ndogo mno tena lane mbili kila upande. AIBUUUU

  • @SOLOVSOfficial
    @SOLOVSOfficial Před 2 lety

    mbona watu wanharakati zaku blame watu na implementation is not fully operating just give it like 30 days and see if they will have some improvement instead of bashing people without even knowing whats going on. ni kama mtoto azaliwe alafu you expect atembe kabla ya kutambaa the next day that will not bring improvement at all let's give it some times.

  • @MA-ht7po
    @MA-ht7po Před 2 lety +1

    leaders wa mombasa wote n wakora

  • @yusufibrahim3343
    @yusufibrahim3343 Před 2 lety

    Watoe bridge ya allidina watu wa nyali wawe na bridge yao hiyo naona tatizo litaisha

  • @bossluda7717
    @bossluda7717 Před 2 lety +1

    They should ban all Matatu and tuktuk and bring BRT

  • @mr..tsofasam
    @mr..tsofasam Před 2 lety +2

    Kila wakati kulalamika ndio maana hakuna maendeleo,.

  • @joanqueck2902
    @joanqueck2902 Před 2 lety +1

    Wana wa adam amuishi kulalamika kila kukiwa na maendeleo mara hi mara ile