Mwanaume aliyerekodiwa akiteswa Mombasa ajitokeza

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • Mwanaume aliyerekodiwa akiteswa Mombasa ajitokeza
    Mwanaume huyo aliteswa na mfanyakazi wa kampuni ya unga ya Ajab
    Mshukiwa aliteswa kwa madai ya kuiba mali mwezi Septemba, 2020

Komentáře • 179

  • @mavutibenson2231
    @mavutibenson2231 Před 3 lety +17

    It does not matter how long it takes but God is always watching and He is a just Judge

  • @eunicewairimu5015
    @eunicewairimu5015 Před 3 lety +12

    ☠️💀😭😭😭😢People are wicked!! Pole Sana, na siwangempeleka polisi, alafu those who were watching him, their couldn't rescue him 👀

  • @Snager001
    @Snager001 Před 3 lety +19

    Ajab, Kenya should stop buying ajab, am first,as much as loved it, I can't buy something to pay hooligans.

  • @natashachao2862
    @natashachao2862 Před 3 lety +4

    I will never buy ajab unga

  • @zuhurasuleiman434
    @zuhurasuleiman434 Před 3 lety +11

    Ni amlipe Kwa kumpiga alafu achukuliwe Sheria hiyo kampuni.ifungwe

    • @mstevens832
      @mstevens832 Před 3 lety

      Kabisa

    • @muhruzmohamed5818
      @muhruzmohamed5818 Před 3 lety +2

      Wewe una bifu na kampuni hujui stori yote lakini unajijibia

    • @chozilasamaki5473
      @chozilasamaki5473 Před 3 lety

      Hapo kuna kasiasa cha biashara umetumwa na kutia chuki kwa company ya Ajab ili ifungwe haya nenda kachukuwe ulicho ahidiwa kazi unshaifanya lakini kwa uwezo wa mungu Ajab haitafungwa

  • @muhruzmohamed5818
    @muhruzmohamed5818 Před 3 lety +17

    Nyinyi hamujawahi kushikiwa panga na mwizi

  • @assumtajane7820
    @assumtajane7820 Před 3 lety +1

    I'm happy ikiwa ako uhai woiii aki aliteshwa.. na uyo jamaaa achukuliwe hatua

  • @andallaathman3856
    @andallaathman3856 Před 3 lety +14

    Htakama ameiba Kwa nn achukue sheria Kwa mkono wake na serikali iko tena adhabu ya Moto hio ni adhabu ya mwenyezimungu pekeake huyo swabir ashtakiwe apate adhabu mzuri iwe funzo

  • @angelawambui1468
    @angelawambui1468 Před 3 lety +5

    Yes we need social justice for this fellow of little means.

  • @mwenifiona797
    @mwenifiona797 Před 3 lety +14

    Fala yeye Hao watu Wana dharau watu weusi Sana haki kwa kijanaaa

  • @rosekadzokadzo1401
    @rosekadzokadzo1401 Před 3 lety +2

    Ubadhilifu wa binadamu afungwe huyo alimfanyia mwana wa mwenzie. Kitendo kibaya... Na amlipe muda wake aliouguza majeraha... Mshenzi sana huyo.... Punmbavu linavuta bangi haliezani hilooo... 😳🙄🙄🙄👌👌👌

  • @theceefamily7764
    @theceefamily7764 Před 3 lety +3

    We want justice for this MAN,plz Raisi uhuru🌞🙏🇰🇪

  • @faizislam2378
    @faizislam2378 Před 3 lety +7

    Nyinyi munao coment kua waarabu wana roo mbaya.mumesahau waizi wamabunduki mombasa ni kina nani?si ni watu kutoka bara.juzi kuna kesi jamaa amemchinja grandmother wake huko bara.mbona hio hamuongelei?acheni ukabila shenztyp nyinyi

    • @queenbee1588
      @queenbee1588 Před 3 lety

      Sielewi kwa nini wanaingiza swala la kabila hapa. Wezi huuliwa kila mwezi katika sehemu mbalimbali.

    • @Thuon_
      @Thuon_ Před 3 lety

      Huyo chinja unaemsema si yumo ndani ama yuko huru..

    • @tafari988
      @tafari988 Před 3 lety +3

      Kenya sio saudi Arabia wacha ujinga na upuzi 😒

    • @faizislam2378
      @faizislam2378 Před 3 lety

      @@tafari988 wacha nyege wewee.

    • @faizislam2378
      @faizislam2378 Před 3 lety

      @@tafari988 origin ya watu wa coast ni arab.sio mkikuyu wala mkalee wala wewee takataka

  • @franciswarutumo1627
    @franciswarutumo1627 Před 3 lety +2

    whether he is guilty or not, torture is not allowed.

  • @jacksonmutukujacksonmutuku7454

    Unyama huu wa waislamu,,tunawaelewa

    • @Dymitri-Babushka.
      @Dymitri-Babushka. Před 3 lety +2

      Sasa dini nzima unailaume na alie tenda hicho kitendo ni mtu mmoja ,rudi shule ukajifinze kuongea na watu,it shows una tatizo na waislam na ujichunge sana

  • @rodgerthegreat9192
    @rodgerthegreat9192 Před 3 lety +19

    Si jamaa anasema kwa video ni mara yake ya kwanza?

    • @carolynegatere5785
      @carolynegatere5785 Před 3 lety +1

      My question too alisema ni mara ya kwanza

    • @rodgerthegreat9192
      @rodgerthegreat9192 Před 3 lety +3

      @@carolynegatere5785 mi nashuku kuna mtu ana beef na ajab na hii ndio tu weak link anayowezatumia kuwaumiza.

    • @haithamdahillard8746
      @haithamdahillard8746 Před 3 lety +3

      Lazima akubali ili iwr rahisi kuhukumiwa kama ni kichapo. Kika ukikataaa wanakupija.

    • @richardochola6382
      @richardochola6382 Před 3 lety

      Reporters are also in this mix...rotten Kenya. (Zaidi ya mwaka mmoja)

    • @maryannonalo8872
      @maryannonalo8872 Před 3 lety

      Kabisa lakini he has people backing him up

  • @michaelblumer69
    @michaelblumer69 Před 3 lety +6

    Hawa watu huwa na roho ngumu za kishetani ata sijui wale mwaenda Uarabuni huwa mwatoa wapi hizo nguvu 🤧

    • @kassimmwamambeya4489
      @kassimmwamambeya4489 Před 3 lety

      Mimi sio mwarabu lakini nakurekebisha kidogo africa watu wanauana zaidi ya huko uarabuni unakosema.

    • @michaelblumer69
      @michaelblumer69 Před 3 lety

      @@kassimmwamambeya4489 still doesn't change my stand 🖐️

    • @kassimmwamambeya4489
      @kassimmwamambeya4489 Před 3 lety

      @@michaelblumer69 ok...xawa lakini xahii naangalia news tayari afisa wa polisi amedunga mtu kisu ya shingo na amemuua huko baringo

    • @arabianlady6304
      @arabianlady6304 Před 3 lety +1

      Habari zenu twaziona daily kwa t.v mtoto amuuma mamake na babake ama baba amnajisi mwanae ama mama amchinja mume wake mume nae amnyonga mke wake ama jamaa amnajisi mbuzi yani zoooote zafanywa hapa kenya hata kwa waarabu kuna nafuu lakini chuki zenu twazijua

    • @theblessedone7526
      @theblessedone7526 Před 3 lety

      @@arabianlady6304 basi wewe mwarabu au chotara🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 pthoooooooooo

  • @marynyaga4911
    @marynyaga4911 Před 3 lety +1

    What a criminal that is? He should be investigated thoroughly whether he's a sadist murderer. Unless he's used to that kind of violence, there's no way he should have applied such cruelty towards the poor man.
    Justice should be accorded to the victim. Period.

  • @saadiaali5609
    @saadiaali5609 Před 3 lety +6

    Amlipe kwanini anafanya unyama kama waarabu ugaibuni

    • @chozilasamaki5473
      @chozilasamaki5473 Před 3 lety

      Bado hujaibiwa ukisha patikana utajuwa ladha au utamu wa kuibiwa pole mama

  • @dickensojiambo275
    @dickensojiambo275 Před 4 měsíci +1

    Boycott ajab

  • @sallysally9011
    @sallysally9011 Před 3 lety

    Ukoloni. Mwafrica ana fanyia hivi mwenzake

  • @muhruzmohamed5818
    @muhruzmohamed5818 Před 3 lety +15

    Huyo jamaa kwenye video si amesema kuwa ni mara yake ya kwanza kuiba mbona sasa nyasema hakuiba

    • @astolafisto5660
      @astolafisto5660 Před 3 lety +11

      Sababu wame myadhibu ndo maan amesema ivo ili awachwe hapo mm nakubali hakuiba sababu kuna ma CCTV na kuna electric wire kwa ukuta

    • @mwenifiona797
      @mwenifiona797 Před 3 lety +9

      Wacha niwaambie Kuna situation unaeza. Pitia ukitolewa bunduki lazima ukumbali ndio usichomwe

    • @xjxjxnxn2673
      @xjxjxnxn2673 Před 3 lety +1

      @@mwenifiona797 kweli sister

    • @muhruzmohamed5818
      @muhruzmohamed5818 Před 3 lety

      Huyu jamaa alikua ana fanya kazi ya kufagia unga kule kwa hivyo aliiba baada ya kushikwa ndo akakimbia

    • @salminsalimn9115
      @salminsalimn9115 Před 3 lety +2

      @@muhruzmohamed5818 ,Hata kama aliiba that was not the way to go about it...sasa ndio watajua kuna power of Internet

  • @hassanajiruu5128
    @hassanajiruu5128 Před 2 lety

    Mpambe nuksi zenu zako zimewadia unafiki na kujipendekeza kwa matajiri hole wako. wewe wamchoma mfanya kazi mwenzio kwa Mali ya tajiri Linalokushuhulisha lipii...😂😂

  • @janembinya9767
    @janembinya9767 Před 3 lety +2

    Unga hajab bye

  • @rishadmohamed3154
    @rishadmohamed3154 Před 3 lety +1

    He must pay kumamake

  • @richardray2680
    @richardray2680 Před 3 lety +4

    Some guys are just helping this guy so that if he sues the company and gets compensation they can split the money among each other. That's how it always goes. They have even told him to not admit he stole yet in the video he shouts and screams that it's his 1st time to steal. But the security guards can't use that video in court because he was under duress when he said that. 🤷🏽‍♂️.

    • @teresangugi6508
      @teresangugi6508 Před 3 lety

      He meant it's his first time trespassing. He stole nothing

    • @theblessedone7526
      @theblessedone7526 Před 3 lety +2

      @@teresangugi6508 ambia tena hio nugu ikuskue inakaa kiziwi. Hajui tofauti ya trespassing na stealing

  • @judithmakuto3612
    @judithmakuto3612 Před 2 lety

    Mulikuwa hapo Na mkawa mwaangalia tu,Mkingoja3 auwawe!

  • @umma6654
    @umma6654 Před 3 lety

    Mwamtetea wizi labda nynyi wenyewe ni wezi ndio maaana.hamujui uchungu wa kuibiwa washenzi nyny munaotetea wizi

  • @ApostleJasonWinner
    @ApostleJasonWinner Před 3 lety +5

    So do we expect a thief to say, that he has stolen?

    • @qerysir4410
      @qerysir4410 Před 3 lety +1

      He was tortured to a point of accepting any accusation, you could say he has raped and him agree just to save his skin!

    • @muhruzmohamed5818
      @muhruzmohamed5818 Před 3 lety

      @@qerysir4410 ukikubali kuiba unauliwa lakini baada ya kumpiga huyo security guard alimpeleka polisi ambapo polisi walimpiga na wakamwachilia wakisema ni teja

    • @qerysir4410
      @qerysir4410 Před 3 lety

      @@muhruzmohamed5818 hayajakupata, ukasingiziwa kosa kisha ukapigwa hadi ukajiona unakubali tu na kuomba msamaha ili upone!

  • @jarantinekyania2201
    @jarantinekyania2201 Před 3 lety +4

    Haki kidini unaeza torture mtu juu ya Unga so sad indeed hata kama alikua ameiba vituo vya polisi vipo angepelekwa station.

    • @darweshswabir9489
      @darweshswabir9489 Před 3 lety

      Mwizi ni mwizi awe mweusi mweupe ni Mwizi

    • @t.c7915
      @t.c7915 Před 3 lety

      @@darweshswabir9489 alikubali ameiba, msamaha pia iko sio kuchoma mtu..

  • @alicembugua5246
    @alicembugua5246 Před 3 lety +7

    fanyeni uchunguzi kwanza

    • @maurynshicco9224
      @maurynshicco9224 Před 3 lety

      Story kama hii haiwezi letwa kwa news bila kuchunguzwa vizuri,obvious kuna cctv zimetumika kutoa ukweli na zingeonyesha kijana alikuwa ameiba hangeileta wakimtafutia justice. So which is that further uchunguzi you meant?

  • @MercyMazmida
    @MercyMazmida Před 3 lety +13

    Sorry brother ..
    Also people need to stop stealing hustle for yourself stop expecting others to struggle then u come to get it by force

    • @queenbee1588
      @queenbee1588 Před 3 lety

      Very well said my dear

    • @vanhelsing4041
      @vanhelsing4041 Před 3 lety +3

      Stupid- Politicians grab land, embezzlement of public funds- you are judging a poor man

    • @marynjengah2771
      @marynjengah2771 Před 3 lety +1

      @@vanhelsing4041 So you justify taking something that isn't yours 🤔

    • @vanhelsing4041
      @vanhelsing4041 Před 3 lety

      @@marynjengah2771 Is there evidence he was taking what doesn't belong to him.
      The idea coming from a woman is appalling considering that you seem to be justifying what happened to the man.
      Like Feminists state:don't blame the victim

  • @swalehali5042
    @swalehali5042 Před 3 lety

    Mm binafsi nawajua hawa mateja ni wabaya wanaiba mbaya sana

  • @ruthmukuyu725
    @ruthmukuyu725 Před 3 lety +1

    Nivibaya Sana 💔💔💔 haki etendeke

  • @ahmedyussuf9496
    @ahmedyussuf9496 Před 3 lety

    Waizi wana sumbuwa Mombasa junguza kabla ya kufunga hiyo jama hiyo ni hasira wana ebaa kila kito hawa paka wana funja mnyumba tuki anda safari

  • @maggie7makoha414
    @maggie7makoha414 Před 3 lety +1

    Masikini wa .mngu pole uta shgulikiwa

  • @motivatedfitnesscentreyoga

    Sasa huyo ni mukikiyu alishikwa akiiba, kwa bahati mbaya huyo kijana angekuwa mukikiyu ungeona vile hawa wacresto hapa wangeongea mafi sai wajifanya wazuri nonsense

  • @agnesodipo1265
    @agnesodipo1265 Před 3 lety

    Adhibiwe ili iwe funzo kwa mabwenyenye wenye wanakuja inchini mwetu na wanaleta tabia ya kuoza that was very bad

  • @karimabdul3928
    @karimabdul3928 Před 3 lety +1

    Haki ya mnyonge haiwezi potea ,itachelewa tu

  • @sturbbornvideoz8547
    @sturbbornvideoz8547 Před 3 lety +2

    Mbona watu wako ivo

  • @naftalguto5474
    @naftalguto5474 Před 3 lety

    Hawa waharabu ni wabaya sana,

  • @dennismukhebi3434
    @dennismukhebi3434 Před 3 lety +4

    this man I lying to us because in the clip he is heard saying it is just his first time, here this story to have the security guy into jail is a master plan by some people with interest, even look who are complaining on behalf of the person. apa tunachezwa kabisa,

    • @phillipmsamire937
      @phillipmsamire937 Před 3 lety

      Watu wengi wakianza kupigwa na mob watu wengi utapata wanaconfess ili waachwe huru

    • @abdab8466
      @abdab8466 Před 3 lety

      Denis nakubaliana na wewe kuna master plan kabisa tena kama huyu anayetoa ushahidi muarabu walipatana vp na huyo jonalist na huyo kijana

    • @vanhelsing4041
      @vanhelsing4041 Před 3 lety

      Blaming the victim

    • @chozilasamaki5473
      @chozilasamaki5473 Před 3 lety

      @@abdab8466 ukweli kabisa kuna chuki ya kibiashara inaendelea kwa kuwa unga wa Ajab watu wameupenda sana sasa utaona vibaraka wanatumwa kusema hata hiyo company ya Ajab ifungwe na wakijuwa hiyo company haija mtuma mtu kuvunja sheria,tuwache uchochezi na company ya Ajab sababu unga wa Ajab ni wa AJAB

    • @abdab8466
      @abdab8466 Před 3 lety

      @@chozilasamaki5473 dah, si haki Allah ndio atoae rizki na Allah ndio atoae hukumu ya haki

  • @peninahwambua4926
    @peninahwambua4926 Před 3 lety

    Sheria ifanye kazi watu wamezoea kuwa wengine

  • @inahazan9339
    @inahazan9339 Před 3 lety +1

    Meh suali niko nayo ni....... Ni nini alikuwa analia akisema ni Mara yake ya kwanza? 🤔

  • @majidsaid08
    @majidsaid08 Před 3 lety +4

    Sawa amekosea..... jee wale waizi waliopigwa kilifi video zikaenda viral mbona hakushikwa mtu??? Na juzi kisumu yule jamaa aliiba boda boda aliyechomwa hadharani mbona hakujashikwa mtu?? Ama sheria ni tofauti??? N waizi wangapi wanauliwa na wala hakuna kitu chafanyika?? Hebu nielimisheni

    • @queenbee1588
      @queenbee1588 Před 3 lety +1

      Hapa kuna watu wanataka kuangusha kampuni ya ajab. Wezi huuliwa na kuadhibiwa kila mara sehemu mbalimbali za nchi, hii imeangaziwa sababu za kibiashara

    • @arabianlady6304
      @arabianlady6304 Před 3 lety

      Zao hua hawaoni lakini ikiwapata wao mbio washaingiza ukabila wanachuki zao hawa watu

    • @chozilasamaki5473
      @chozilasamaki5473 Před 3 lety

      @@queenbee1588 hapo umeongea ukweli wa mambo kuna siasa ya kibiashara

    • @theblessedone7526
      @theblessedone7526 Před 3 lety

      Waizi wa kilifi walipigwa na mob huyu ni mmoja kajifanya kidume jua kutofautisha mambo

    • @majidsaid08
      @majidsaid08 Před 3 lety

      @@theblessedone7526 kwa hivyo mob yaruhusiwa??

  • @sevenscounty409
    @sevenscounty409 Před 3 lety +2

    Siulisema ni mara yako ya kwanza?

  • @stevekioi2044
    @stevekioi2044 Před 3 lety

    He is supposed to be compensated anything upto. KSH 200,000, 000 . these are the things that happen to a common Mwana inchi kama viongozi wanashughulikia uchaguzi na njia za kuongeza utajiri wao

  • @wauwaupikpok2533
    @wauwaupikpok2533 Před 3 lety +1

    this young man could be lying.but to burn and torture someone is just inhuman.all the security guy had to do was hand him over to the police.see now where his sadist behavior got him into.

  • @angelawanguinjuguna894

    My question is had he stolen or not?

  • @annkimani9434
    @annkimani9434 Před 3 lety

    That lord ju kijana ako hai

  • @aminabashir5843
    @aminabashir5843 Před 3 lety +2

    Afanana na Jamaa mwizi hapa mtaa wetu tuko jirani na Hiyo company na sisi kama wakazi wa hapo hizo company zinatuudhi na moshi zao naona tutafanya madano ya hizo moshi wtto wanaumia na asmatic

    • @junior.k.wambua8792
      @junior.k.wambua8792 Před 3 lety

      How did you reach here??
      Ati anafanana na jamaa mwizi wewe ndio unajua wezi wote😂😂

    • @aminabashir5843
      @aminabashir5843 Před 3 lety

      @@junior.k.wambua8792 😂😂

  • @saadiaali5609
    @saadiaali5609 Před 3 lety +1

    N'gambo vipigo hivyo vipo na serekali hawashuhulikii jee hio iliotokea kenya huo afungwe na pia amlipe tena afungwe kidungo milele musilete tabia za waarabu na wakoloni kutesa wananchi

    • @arabianlady6304
      @arabianlady6304 Před 3 lety

      Na wale waarabu walopigwa kilifi mbona hamusemi kitu wacheni ukabila na chuki zenu

    • @saadiaali5609
      @saadiaali5609 Před 3 lety

      @@arabianlady6304 wanafaa kupigwa lwasababu watu wetu wakienda nchi yao huwatesa

    • @arabianlady6304
      @arabianlady6304 Před 3 lety

      Nani asema wao watoka nchi za huko sisi sote ni wakenya lakini ukabila na chuki ziko ndani ya damu yenu mwafananisha waarabu wa huko na huku mbona basi kama mwateswa huko mpaka leo mwaenda na wengine mpaka kesho wako huko si kila kitu muamini hizo chuki sababu mwaskiza upande mmoja tu wakija kutoka huko arabuni mwadanganywa mwaamini mbona mpaka leo wanaenda kufanya kazi huko si wakae basi

    • @arabianlady6304
      @arabianlady6304 Před 3 lety

      @@saadiaali5609 kama kweli mwateswa huko mbona kila siku mwaenda huko kwa waarabu kutafuta kazi kama kweli mwateswa

    • @saadiaali5609
      @saadiaali5609 Před 3 lety

      @@arabianlady6304 ndio wanaenda kutafuta kazi wakibahatika wengine hupata mahali kwenye afadhali lakini wengi huangukia pabaya na nasema hivyo kuna jirani yangu mtoto wake alisafiri akapewa mateso hata alipopata usaidizi ndio aliponea chupu chupu kurudi na wengi tuu tunawaona kwa habari wengine wanakuja uguza majaraha nchi zao wengine wanaletwa ni maiti hivi nikuambiavyo wengine wako kwa ofisi na hawana chakula video kama ushawahi kuziona zasambaa maana wanasema wamesafirishwa juzijuzi arabuni wameshtukizia viza haikuandikwa kafili wao bali zimeangikwa ni za matembezi na wengine wanalia wameletwa na maboss wao mateso yamezidi wakakimbia sahii hawajui watasafiri vipi ww unayajuwa hao musione wanao enda arabuni wanaraha ni kutia mkono gizani

  • @MwariwaMukurino
    @MwariwaMukurino Před 3 lety +1

    Justice delayed is not just denied

  • @watirim915
    @watirim915 Před 3 lety

    Thats inhuman,achukuliwe hatuwa.

  • @TafariIssack
    @TafariIssack Před 3 lety +3

    ni Mara yangu ya kwanzaaa 😂😂😂😂😂😂

  • @khalidahmed8050
    @khalidahmed8050 Před 3 lety

    wajuluo wapi raila..

  • @omarbachu1074
    @omarbachu1074 Před 3 lety

    Anafaa afungwe 30 yrs behind bars

  • @ApostleJasonWinner
    @ApostleJasonWinner Před 3 lety +1

    When police beat and tortured innocent kenyans nobody spoke

  • @mabyserolouchcraig2431

    This is the reason why watu wanakuwa wezi huyu mtu afungwe kabisa

  • @williamobegi3093
    @williamobegi3093 Před 3 lety

    I can't breath

  • @djishagoldenmaina6608
    @djishagoldenmaina6608 Před 3 lety

    Sad Sana anafaa punishment ya nguvu

  • @phoebemukhwana3058
    @phoebemukhwana3058 Před 3 lety

    God Knows

  • @fly69jamual62
    @fly69jamual62 Před 3 lety

    I saw that video sometimes back but i couldn't finish it was so traumatic, they were burning him with a nylon paper in his body while whipping him, his boss was wither an arab or somali, he either gave those police some money and case was thrown through the window, am happy people and lawyers as well as honest police have decided to step up for him, that boss will pay him handsomely!

  • @ezramuruka7719
    @ezramuruka7719 Před 3 lety

    Very unfortunate

  • @edwinokoth1891
    @edwinokoth1891 Před 3 lety +1

    kama ni mwizi

  • @koechgedeon9581
    @koechgedeon9581 Před 3 lety

    it has taken too long

  • @jamilasalimvilog6752
    @jamilasalimvilog6752 Před 3 lety

    🙏🙏

  • @davidwandera6948
    @davidwandera6948 Před 3 lety

    wacha uongo ww kinjana, , , , , , na bona ulikuwa unasema ni Mara yako yakwanza????

  • @abdallatwaha4884
    @abdallatwaha4884 Před 3 lety

    Nothing makes sense here... All witness accounts are mere PR.
    I think there is more than what meets the eyes... huyo jamaa might have tried to Steal (though I dont support him being tortured)

  • @iminzaiminza5813
    @iminzaiminza5813 Před 3 lety

    Mbona achapwe?

    • @sallysally9011
      @sallysally9011 Před 3 lety +1

      Yap. Adults aren’t supposed to be beaten. Taking law in his hands is wrong

  • @geraldgm1217
    @geraldgm1217 Před 3 lety +1

    😂😂😂😂

  • @SuperMartolo
    @SuperMartolo Před 3 lety

    This is a case dead on arrival

  • @SalmaSalma-sd5we
    @SalmaSalma-sd5we Před 3 lety

    Sorry

  • @farhiyajamaa7717
    @farhiyajamaa7717 Před 3 lety

    Sorry sorry sorry

  • @muhruzmohamed5818
    @muhruzmohamed5818 Před 3 lety

    Wewe hujaiba mbona wakimbia

  • @rehemasalim4590
    @rehemasalim4590 Před 3 lety

    😎😎😎

  • @theceefamily7764
    @theceefamily7764 Před 3 lety +3

    We want justice for this MAN,plz Raisi uhuru🌞🙏🇰🇪

  • @swalehelshabiby5915
    @swalehelshabiby5915 Před 3 lety

    Dhulma mbaya sana.