Ishu ni Wokovu,miujiza hata tv ni miujiza.simu ni miujiza.ndeze ziruka,o ni muujiza. Hakuna miujiza kama aliefanya Yesu.Hskuna mwanasayansi mashuhuri kutoka mwanasayansi kutoka katika Q,rani.Wansayansi mashuhuri wengi ni Wazungu na Wakristo na sio Waarabu na Waislamu.
Umeona wapi umekamatwa uko mahakamani ukose shaidi wewe utahukumiwa tu namanisha korowani kaandika muhamadi nani shahidi wake kama ilivo bibulia daudi kashuudia matendo makuu matayo isaya ayubu manbi wengi wameshuhudia ukuu wa mungu je muhamdi aritowa wapi hayo na huyo nimuchugaji tu
Allah Akibar nakutakiya mahisha marefu shaik
Madini sanaa 🙏🙏🙏🙏🙏🙏♥️shekh 😂😂😂mungu akupe maisha marefu
Allah akuhifadhi
😢😢😢😢😢🙏🙏🙏🙏😭💪mungu nijalie mwisho mwema
allaaahh ,,akulinde zaid maalim popote palee,.
Mashallah allah akubariki daima
Mola akujaliye shekhe ❤
Mashaallh
Tunaomba namba ya shehe sule kwa mawasilia
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mashallah
ALLAHUAKBAR
Mwashallah shekh
Mashaallh Allh akulipe shekh
mashallah
😢😮 0:54 0:57 0:58
Kama unaamini mungu sio mwanadamu basi uezi kusema haiwezekani kua mchana na usiku bila mwezi na jua
Allah waahidu
Naombeni namba ya dk sule jamani anisaidie mm n mtanzania mwenzenu
Dar es salaam. Hospital sehemu gani naomba address. Please
Kuna matendo na maajabu ya roho chafu.Musiamini bilà kuçhuñguza.Mtàwafahamu kwa matendo yao.
Mungu akuhifadhi
Allahumma bariklahu
Kwanza hata hujui kuuliza swali utaweza kuijua quran wewe.
Hata Wachawi wanafanya miujiiza
Ishu ni Wokovu,miujiza hata tv ni miujiza.simu ni miujiza.ndeze ziruka,o ni muujiza. Hakuna miujiza kama aliefanya Yesu.Hskuna mwanasayansi mashuhuri kutoka mwanasayansi kutoka katika Q,rani.Wansayansi mashuhuri wengi ni Wazungu na Wakristo na sio Waarabu na Waislamu.
Zungumzeni kitu mnacho uhakika nacho msitumie ushabiki,iyo Quran ni habari nyengine kabisaaaaa
Wachawi hawafanyi miujiza isipokuwa wanafanya uchawi
Umeona wapi umekamatwa uko mahakamani ukose shaidi wewe utahukumiwa tu namanisha korowani kaandika muhamadi nani shahidi wake kama ilivo bibulia daudi kashuudia matendo makuu matayo isaya ayubu manbi wengi wameshuhudia ukuu wa mungu je muhamdi aritowa wapi hayo na huyo nimuchugaji tu
Kajifunze kuandika kwanza ndio uje tena tukuelewe unazungumza nini
😂😂😂😂zuzu utabaki kua zuzu hata mwizi anamashabiki kwahiyo amini ulicho amini acha sisi tusikilize madini ❤