#live

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 07. 2024
  • Sport

Komentáře • 9

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 Před 8 dny +3

    Ina maana Boka alikua 1st eleven na huyo wa Simba SC alikuwa sub yake

  • @ManyandaJohnPaul
    @ManyandaJohnPaul Před 8 dny +2

    Bukinafaso ip hiyo

  • @AbuuSumaiyah
    @AbuuSumaiyah Před 8 dny +1

    Huyu jamaa ni Mnafiki mno! Hatoshi kabisa kuwa mchambuzi wa michezo wa michezo! Aende akatafute umaarufu sehemu nyingine tu

  • @user-qi3wv8sf5j
    @user-qi3wv8sf5j Před 8 dny +1

    ACHA UJINGA KAMA PALE YANGA UTASEMA KIBWANA NI SAWA NA YAO???ACHA KUSIFIASIFIA SISI TUNATAKA UCHAMBUE BOLI,

  • @paulkatamba2354
    @paulkatamba2354 Před 8 dny +1

    Hii TAKATAKA 😂😂uchambuzi wa kizaramo maneno ya machimbo tu

  • @denizamwanisawa6230
    @denizamwanisawa6230 Před 8 dny

    Yaani wewe ni muongo Aziz ndo ana 26 unaropoka tu, tusubiri mcmu uanze ndpo utajua Nani Bora.

  • @Evance-op4jw
    @Evance-op4jw Před 8 dny +1

    umri mdogo nini bhana? watakao paform ndo wetu badae tutachukua timu ya mafanikio ngoja tuwaone kwanza

  • @crystopherjoenas
    @crystopherjoenas Před 8 dny +1

    𝚂𝚒𝚖𝚋𝚊 𝚗𝚊 𝚜𝚊𝚓𝚒𝚕𝚒 𝚣𝚊𝚔𝚎 𝚠𝚊𝚠𝚎 𝚖𝚊𝚔𝚒𝚗𝚒 𝚜𝚊𝚗𝚊 𝚔𝚠𝚊 𝚔𝚞𝚒𝚊𝚗𝚐𝚊𝚕𝚒𝚊 𝙲𝚑𝚎𝚕𝚜𝚎𝚊