#live

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024

Komentáře • 23

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano7165 Před měsícem +3

    Ndugu yangu wewe usilete mapenzi ya ushabiki kwa kulazimisha kitu kama hujuwi ni hujuwi ni nini kinachoendelea Mo alisha mkataa Chama kumpa mkataba mpya kwa makubaliano mapya na Magoli alimtaka bali Mo alimwambia yeye Magoli akimtaka Chama basi yeye amlipe yeye Magoli sasa kwa nini wanam bania ?

  • @ErastoOmari-ij1zs
    @ErastoOmari-ij1zs Před měsícem +1

    Mchezaji
    Anaruhusiwa Kuanza Mazungumzo na Mchezaji Akiwa Kabakizamiezi 6 Bila Kuzungumza Na Timu Husika

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v Před měsícem

    CHAMA AMESAJIRIWA NA YANGA JULY 1/7/2024

  • @MrishoMatimbwa
    @MrishoMatimbwa Před měsícem

    Na bado mpaka waseme

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v Před měsícem

    WEWE MJINGA KUWAHI KUTOKEA,FIFA ITATOA RELEASE LETTER SIO LAZIMA SIMBA WATOE

  • @NellyWaKidato
    @NellyWaKidato Před měsícem

    Huyu jamaa anaongea ushabiki sio mpira

  • @seydouside4081
    @seydouside4081 Před měsícem

    Morrison..na chama..hivi ni tofauti..nauliza hivi marehemu.na.hayati..kunatofauti..!

  • @KumbaBoy
    @KumbaBoy Před měsícem

    Ayo ni mazungumzo yakibiyashala katika cmba na yanga akuna biyashara ya mauziano

  • @KumbaBoy
    @KumbaBoy Před měsícem

    WW muongo ujui chochote kama ingekuwa Ivyo mdawote wachezaji wangekua wanauzwat uyu ajielew

  • @jacksonsungwana7253
    @jacksonsungwana7253 Před měsícem

    Duuu,kwel Kwan thank you walizotoa waliwapa taarifa kabla ligi hajaisha? Acha kupotosha

  • @HABIBHASSAN-wf5mr
    @HABIBHASSAN-wf5mr Před měsícem

    HICHO KIBALI GANI SI CHAMA ASHAMALIZA MKATABA WAKE SIMBA ? MKATABA UPI CHAMA NI MCHEZAJI HURU

  • @EmmanuelMalangahe
    @EmmanuelMalangahe Před měsícem

    Simba haina haja na chiba snapewa displin tu

  • @salumzambwi8941
    @salumzambwi8941 Před měsícem

    Pia alitoa mfano wa Okwi kuwa alicheza Alhilali ya sudani kitu ambacho siyo kweli, OKwi hajawahi kusajiliwa na timu hiyo!

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v Před měsícem

    HUO SIO UHAMISHO,UKISTAAFU KAZI LAZIMA UPEWE KIBALI CHA KWENDA KWENU????

  • @ErastoOmari-ij1zs
    @ErastoOmari-ij1zs Před měsícem

    Msemaji wasima Kashasema
    Chama Nimchezaji Wa Yanga Hawezi Kumzungumzia

  • @MotibaMashana-hv3tf
    @MotibaMashana-hv3tf Před měsícem

    acha kuongea ujinga ww

  • @MrishoMatimbwa
    @MrishoMatimbwa Před měsícem

    Simba wanaweweseka tu kipigo walichopigwa ni kikali sana Cha kuchukuliwa huyo chama na bado mpaka waseme

  • @ErastoOmari-ij1zs
    @ErastoOmari-ij1zs Před měsícem

    7:10 Kipengele Gani
    Kinasema Mchezaji Akimaliza Mkataba Ananyimwa Hakiyake Yakusajiliwa Timu Nyingine

  • @salumzambwi8941
    @salumzambwi8941 Před měsícem

    Yani huyu jamaa anaongea kishabiki waziwazi, Iko hivi yanga wamemsajili chama taerehe 1/7)2024 asubuhi, wakati mkataba wake na simba uliisha takrinani masaa 6 nyuma. Je shida Iko wapi? Kwani mazungumzo ya kumsajili mchezaji ni lazima yachukue miezi??

  • @AbdulIsrah
    @AbdulIsrah Před měsícem

    Mbape ametangazwa real madrid kabla ya hapo alishawahi kukataa mara mbili kusaini pale psg kuongeza mkataba.Mara ya mwisho mbape na babake waliomekana kwenye viunga vya madrid prpbably ni mazungumzo ya mkataba wa awali kusain pale Madrid mbona hatujasikia Psg wakilalama kuhusu Mbape kwenda Spain ??????
    Israel Lugano unabumba maneno acha kung'ata maneno

  • @user-dz8ex4fk2x
    @user-dz8ex4fk2x Před měsícem

    Acha uongo hujui chochote, vipi kuhusu morisoni kipindi Simba inamchukua walitoa taarifa kwa yanga?

  • @JackKanyigo
    @JackKanyigo Před měsícem

    Yataisha mbona Fei alienda Azam huku ana mkataba na Yanga?..TFF wali😂 fanya nn?

  • @veelmng7746
    @veelmng7746 Před měsícem

    Tupe hicho kifunga namba ngapi? Mchezaji akibaikiza miezi sita hakuna kifungu kina lazimishi timu inayomtaka kuongea na timu. Simba ni wahuni tuu hakuna hoja yoyote