CHAKULA CHA ASUBUHI MIKATE YA BHATURA/BATURA NA DENGU
Vložit
- čas přidán 3. 05. 2023
- Mahita ji
Mkate wa Bhatura
Unga wa ngano kikombe 1 ( gram 125)
Unga wa semolina/suji/farina/rava ( kitu kimoja majina tofauti) 1/4 kikombe ( vijiko 4 vya kulia)
Mtindi mzito kiasi vijiko 3-4 au maziwa ya buttermilk 1/4 kikombe
Mafuta ya kupikia vijk 2 vya kulia
Sukari kjk 1 cha chai
Chumvi1/2 kjk cha chai
Baking soda 1/4 kjk cha chai
Mchuzi wa Channa ( dengu)
Channa kiasi gram 800 mpaka kilo 1 ( roweka kiasi masaa 6 halafu chemsha au tumia za vikopo, nimetumia kopo 2)
Mafuta ya kukangia kiasi vjk 5 vya kulia
Bizari nzima nzima zifuatazo
Mdalasini vjt 2 vya kiasi
Majani ya bay leaf kiasi 2
Pilipili kavu 1 au 2
Hiliki za kijani 4
Hiliki nyeusi 1 ( kama unayo)
Kitunguu maji 1 cha kiasi
Kitunguu thom na tangawizi mbichi ilosangwa kjk 1 cha kulia ( imepotea kwenye video)
Pilipili ya unga kjk 1 cha chai ( punguza au zidisha kiasi chako)
Bizari ya uzile ya unga kjk 1 cha chai
Bizari ya giligilani ya unga kjk 1 cha chai
Maziwa mazito ya mtindi vjk 2 vya kulia ( kama utapenda)
ENGLISH VERSION • DELICIOUS CHANNA BHATU...
Aroma of Zanzibar social media
/ fathiya.ismail
/ aromaofzanzibar
Video intro Zanzibar Spice Market by Farhat Abbas czcams.com/users/results?searc...
Video Intro Mombasa spice market by Chef Farouk Amboka
faroukambok...
Music courtesy / contemplative-middle-e...
This is English and Kiswahili channel where you will find cuisine from around the world
ENGLISH VERSION OF THIS RECIPE
Masha allah
Mashallah it is so delicious and I like this recipe
Maa shaa Allah
Waalykum salaam warahmatullahi wabarakatuh, Shukran Allah bariq in Shaa Allah hii nita Fanya.
Mashallah
Mashaa Allah
Masha Allah 😋.....what I like about this woman is she always gives us unique recipe. Recipe zake ni unique masha Allah, bismillah masha Allah. Allah baarik sister ♥
Mashaallah
Asante kwa mapishi yako, nimeipenda sana
Waalakum msalam Ahsante sana tupo pamoja biidhin Allah
Mashaallah nzri Sana mungu azidi kukuongezea maarifa kwenye safari yako ya mapishi inshaallah hizo chana ndo nini dada angu
Thanks sister
Walikum Salam dear 💕 🌹
Tamu sana😂😂 mimi huwongeza mashrum zile ndogo ndogo ya mashurum yakopo😊
😋😋😋😋😋😋
Mashallah unga wa sunji ni upi? Samahani mum
Malokom msalamu
A Alaikum kama hakuna unga wa suji?
Samahani dada jina lako nini