Video není dostupné.
Omlouváme se.
JINSI YA KUANDAA NA KUGANDISHA KABAB
Vložit
- čas přidán 13. 03. 2023
- Mahitaji
Nyama ya kusaga kilo 1/pound 2.25
Kitunguu thom cha kusanga kjk 1 mpaka 2 vya chai
Mayai ya kuchemsha 2
Vitunguu maji 2
Tomato 2
Majani ya dhania kiasi nusu fungu
Mbegu za komamanga kiasi vjk 3 vya kulia
Yai 1
Pilipili mbichi kama utapenda
Tangawizi mbichi kjk 1 cha kulia
Pilipili manga nzima kiasi ½ kjk cha chai
Bizari ya uzile kjk 1 cha chai
Mbegu za giligilani kjk 1 cha kulia
Hiliki nyeusi kubwa 2
Pilipili nyekundu kavu
Unga wa dengu au wa ngano vjk 2 vya kulia
Aroma of Zanzibar social media
/ fathiya.ismail
/ aromaofzanzibar
Video intro Zanzibar Spice Market by Farhat Abbas czcams.com/users/results?searc...
Video Intro Mombasa spice market by Chef Farouk Amboka
faroukambok...
Music courtesy / contemplative-middle-e...
This is English and Kiswahili channel where you will find cuisine from around the world
THIS RECIPE IN ENGLISH czcams.com/video/XsosyOI51zc/video.html
Asante sana ndio mambo yetu kujiandaa kabla ili tupate muda mwingi kufanya ibada Shukran
Mashaallah. Time nzuri ya hii recipe, itafaa kwa Ramadhani inshaallah. Greetings from Mombasa Kenya
Ahsante sana
Mashaa Allah yummy yummy , napenda unavyo fundisha ❤❤
Mashaa Allah
MashaAllah good idea thank sweet ❤😍
Asante Sana...ubarikiwe
Maa Shaa Allah Tabarak Arahman
Nimependa mbwembwe zako zimenifurahisha habibty
Shukran dear
Delicious...
MASHALLAH
MashaAllah
Wow so 😋😋😋👌🏻👌🏻👌🏻
Mashallah
Wow! These Kababs are looking Marvellous! 😍🤤Nice Video ..... Very Neatly & Beautifully Prepared & Presented❤72
Thanks a lot
Baraqaalllhu fiki..
Labda ungewacha nafasi baina ya kabab
Ndio hivyo nilikosea
MashaAllah ❤ looks 😋 I started with sambusa next stop kababu 😊Ramadhani Mubarak
Mashallah, keep going
Wow jamani, always here to hear from you dada.
Always welcome, you have been missing in action though
Man'shallah zimekaa kama shape ya burger
Naam
Mimi napenda vitu hivi lakini Tukianza kula sana tunanenepa double
Nikula kidogo kidogo tu, portion control ni muhimu na kina sisi na familia siwezi kuwanyima
Masha Allah 🤤🤤 Maybe ungefreeze huo mchanganyiko kabla ya kuukata. Usingechukua muda mwingi
Ukifreeze ni tabu kufanya shape its bidi ungoje mpaka itoke barafu, sijui nimekufaham
@@aromaofzanzibar I mean ukate then uweke kwenye fridge iwe solid kidogo ili iweze kutoa hizo za pembeni kiurahisi. Anyway sijawahi kujaribu, I'm just assuming
@@nadyajaffarali7289 Hujaelewa maelezo yangu habibty
@@nabihakassimally9089 Samahani Habibty,sijaelewa kweli
@@nabihakassimally9089 Ok nimefaham , nilikuwa na haraka ..nishachoka hapo taabani . Shukran kwa wazo