Video není dostupné.
Omlouváme se.
Jinsi ya kupika chapati mayai za kusukuma laini na tamu
Vložit
- čas přidán 15. 11. 2018
- Upishi wa Leo ni chapati mayai tamu sana
MAHITAJI:
2 cups wheat flour
salt as per taste
1 tbsp oil
water as required
4 eggs
salt as per taste
1/2 tsp black pepper powder
1/2 tsp red chilli powder
1 tomato chopped
1 potato chopped & fried
1 onion chopped
1 green chilli
2 tbsp fresh coriander leaves
Mmmmh mzur xanaaaaaaaaa....... My dr
Nzuri sana..kabis
Rahisi kupika, na tamu sana 😋
Asante! 😊
Nimeipenda chapati mayai na sauti yako nyoroooro... MashaAllah!! 😊
Leo ndo kitakua chakula cha ucku thanks Dada u really are amazing nakupenda bure unazid kunipa ujuzi😘💜💜💜
Nakama sipendi tomato ndani ya mayai
Maa Shaa Allaah.
MashaAllah nice recipe
Namshukuru mungu najivunia kujuwa kupika tena nabuni tu chakula bila yakuangalia
Mashallah Tamu sana wajukuu watafurahia. Shukran sana.
MashaAllah delicious thanks dear
Mashaallah yummy. In sha Allah Nitajaribu ubunifu wa mapishi rahisi 😍shukraaan habibty
Masha allah habinty shukrani jazzakallah kherry
nimependa upishi huu wa chapati mayai so Nce..
Mashaa'allah!! Nimeipenda
Kama wapenda mapishi ya dada wetu weka gonga likes
Mashaallah sister I like this video
Maa shaa Allah,
Masha Allah ajaab zapendezaa sanaa thanks for sharing dear
Thanks❤
Ni nzuri sana masha allah mungu akubariki
Nimeipenda Wajina nakupenda saana cz wazd kunipa maujuzi zaidi😘😘
Waooo
I love it 😋😋😊☺
mashallah yummy 😋
Thank you so much for this video. Now I have a new way of making healthy chapati
naomba utualekeze jinsi ya kupika katless
Yummy.Asante kwa iyi recipe
wow umekunja vizuri....
I love it
Safi sana,uko vizuri
shukran bibie kwa kutujuza mengi mungu akujaze
Maa Shaa allah
Hongera sana zinavutia
loving the reciepe
Maashaallah 👌💋
This is so good
nimeipenda mungu akujazi kheri
Asante, nzuri sana
Ima in luv with yr voice sorry sijuhi kuandika shwahili
Ur voice mwaahh...nice video
Asante kwa kuniongezea ujuzi
Mashaallah so yummy
You have a lovely recipe
I love the recipe
😍ماشاءالله
Rolex we call it...soo sweet and whites love it here
Mashallh inaonesha tamu inanitiya hamu kuila😋
Great recipe.
Namasha sub my sweet sister wewe ndiyoa bado and you food is woow rifikiyangu👌🏽👌🏽🙏🏿🌷🌷🌷😍
Machallah bravo champione merci à vous 💕😍😘
Nice
nawashukuru kwa receip ya keki nilijaribu ikatoka mmmmwa.
ChipebbleBritp@op0
nice to me naomba utupikie chengine rahisi na kitam
Mashaallah😊
Mashallah yummy asantee sana hii ndio itakua chakula chngu cha leo
😊❤❤
Taarab
.taarab
Napenda sauti yako nzuri Sana pili hongera kwa mapishi yako ya chapati lkn sijui KUPIKA njoo unipikie mimi ni bashela boy naishi pekee yangu kula kwangu hotel naitaji uje unipikie
Asante sana. I had never heard of chapati Mayai before. Hata nimependa vile umekuja vidonge vya chapati. Nitajaribu leo
Mimi pia nimependa ntafanyaga hvyoo
Bertha Lucy Paul natamani kujua kupika keki na chapati
I like it i will try
Nashukru sana kwa mafunzo mazuri
Mashallaah
masha Allah
Shukran habibty
nzuri chapati zako zako ht mimi mara ingine napika km zako niliwaki kupika nzuri shukran
duu ngoja nikajaribu asante sana
Mashaa Allah
kila ukipita nataman kula jaman😋😋
Nimependa sana asant nimejifuza
sweet and simple
Woww perfect i need to try
Kazi nzuri sana
Mashaallh 😋😋😋😋😋
Wonderful
asante mpenz nmependa
Av tried somewhere before. Will definitely try it out 😋
Vgv. G v
,,,,,,,,,:(= ;68656::(58
Masha Allah
Maashaallah yuummy asnte sana my love napenda kufwatilia channel zako jazakah Allah kheir
Shukran💕
MashaAllah. Wallahi chapati zavutia 😋👍 . Allah baarikk
Pliz employ me am Somali nd I cook better meals too shukran I was a cooker in Dubai before.....
@@fahmialinoor6614 walaley Shaqo kheyr qabto Allah's ku sahlo lakin dadka dhan ha aminin
Asant dada nimependa upishi wako
Shukrani sana
Hi! Hongera sana kwa kazi nzuri... naomba utuletee jinsi ya kupika zanzibar pizza pls...
aisee chapati nzuri sana vile napenda chapati ndio kwanza umenikosha aisee asante kwa upishi
Asanti
Nzr
👍mapishi mazuri
😋😋😋😋😋😋Tena naingia jiko hivi sasa
asante nimependa tajaribu nami
hongera mamy
Mashallah
Maashaallah
asante kwa mafundisho yako
Mashaallah
Hongera
😍😘 ni tamu sana
zed nimependa chapati hii,tayari nimeifanya kwa kweli tamu sana
so nice
very nice
Mmmm yahm
Jaribu ukikanda punguza mafuta. Usinyime kwenye tabaki na weka mafuta one side pekee. With your mkunjo insha Allah zitatoka ajab
Safi kabisa
Nzuri Sana
Waoooo thank you my aunt
mashallah
Woowi
Mash Allah
I love it its wow
Iyo masala mbona haujaitaja jina zipo nyingi
Shoga kwenye ndoa utaachika kwa kutokukata kiuno lakin sio kwa kupika mashaAllah ✌😘