Nawezaje kpata kadi ya uanachama? Niko Tanga , kauli ya Ally kamwe iliniingia moyoni siwezi kutaka furaha huku sichangii chochote niko tayari viongozi wetu wa Yanga, nasubiri maelekezo kutoka kwenu
Huyu dogo wambieni ukweli ili ajifunze. Ndicho kinachowagharimu vijana wengi wa timu za chini, sijui wakufunzi wao wanawafundisha nini maana wakiwa uwanjani hawafuati maelekezo. Ndio maana Mzize hata akose magoli elf3 bado ni mchezaji anayefundishika. Akicheza kama attaking midfielder alikuwa anapiga back pasi tu, akicheza kama Central midfilder bado square pasi nyingi. Sasa atajifunzaje kama hajaribu? Carry the ball forward hata kama utapotea ila ujenge mentality ya kwenda mbele siyo ma back pass tu af mnasifia. kuna tofauti ya Kupongeza vs Kusifia. Mpongezeni then mwambieni arekebishe makosa yake. Mbona Kibwana kaanza kubadilika now hajui tu kupiga krosi ila ni Yao Kwasi mtupu...
MUNGU ni mwema hongera Sana kila la kheri kwenye nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
Hongera kijana kwa unyenyekevu huo wakukubari kuelekezwa na kaka zako nakuhakikishia kwa jina la Yesu utafika mbali wewe ni nyota
Asante. Sana. Kocha. Gamond. Na. Meneja. Wetu. Walter. Harrison. Tuombe. Tu. Huyo. Dogo. Shekhan. Hamis. Anatisha. Moeni. Mech. Nyingi. Ili. Azoeane. Na. Hao. Wakubwa. Wake. Asante
Kibwana nakuombea duaa uzidi kupambana usikate taamaa mbo kwenye shirikisho ulikuwa vizuri kazaa butiy
Alhamndulilah Allah tujaalie zaidi Inshaallah
#points3goli3
🎉🎉🎉💛💛🇹🇿💚
🔥🔥🔥🔥🔥
Nic San jmn
Safi
Mwacheni ajifunze, atakuwa bonge la mchezaji. Ongeza tu kutulia na kuwa mbunifu. Kila siku weka bidii kujifunza kitu kipya tofauti na jana.
Wanajangwani
Wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Nawezaje kpata kadi ya uanachama? Niko Tanga , kauli ya Ally kamwe iliniingia moyoni siwezi kutaka furaha huku sichangii chochote niko tayari viongozi wetu wa Yanga, nasubiri maelekezo kutoka kwenu
ingia page ya ali kamwe instagram mtumie meseji
nenda kwenye page ya alikamwe Kwa ile posti aliyosema tulipie kuna namba pale
Nenda benki ya CRDB au NBC kajisajili utapata kadi Yako, uwe na TSH 34000 hakikisha unapojisajili ujue Tawi lako la Yanga KATIKA maeneo yako
We komaaa mshezi
Wewe kolo au dunduka spotclub 🙈🙈🙈
@@KimSaidiyuguyugu fc huyo😂😂
Iyobato yanzengeli aucho qui azizi bwana mdogo shehani yeye namax moja Sita mw ngin 8
makolo mtapata tabu sana
ata mikia spotclub wanapata tabu sanaaa😂
Uhakika
Kibwana Hana furaha maana ameshajua anasepa!
Pambana Sana dogo
Nitapataje kadi ya uanachama wakati mi niko sumbawanga?naomba msaada wenu viongozi wangu wa yanga.
Utopolo
Unawashwa ukiwa wapi nipe location nije
Haa kumbe Nguruwe
Timu mateso, maumivu, kolozidadi, a.k.a nguruwe FC, unateseka ukiwa wapi?
Tuliza tako ilo kolo sindano ikuingie vzr shubamit zak
Huyu dogo wambieni ukweli ili ajifunze. Ndicho kinachowagharimu vijana wengi wa timu za chini, sijui wakufunzi wao wanawafundisha nini maana wakiwa uwanjani hawafuati maelekezo. Ndio maana Mzize hata akose magoli elf3 bado ni mchezaji anayefundishika. Akicheza kama attaking midfielder alikuwa anapiga back pasi tu, akicheza kama Central midfilder bado square pasi nyingi. Sasa atajifunzaje kama hajaribu? Carry the ball forward hata kama utapotea ila ujenge mentality ya kwenda mbele siyo ma back pass tu af mnasifia. kuna tofauti ya Kupongeza vs Kusifia. Mpongezeni then mwambieni arekebishe makosa yake. Mbona Kibwana kaanza kubadilika now hajui tu kupiga krosi ila ni Yao Kwasi mtupu...
Ushauri mzuri wa kujenga. Akiwa msikivu akazingatia maoni haya atakuwa mchezaji mkubwa!
@@sylvestercameo6263 Dogo
wamshauri, kama amezungukwa na ma legend timu nzima anakwama wapi?
Gemu inayofata anakandwa nani vile yanga raha jama nawapenda wachezaji
Huyo Shekhan miyeyusho
Huyoo ni future bro anajifunza vitu
@@FTUBEMEDIA_TV anajifunza nini bhn,mechi nzima hakuna kitu anachocheza
@@callicevallice7383ujui mpila bloo gwede alikujaje xaizi yupo wapi unataka adi afunge au acha uxhamba😂