Pastor pastor pastor ❤ hakika wewe niwakipekee sana mungu mungu azidi kuinua huduma Yako pia mungu anipe uzima nijekupata kibali kwa mung na kwako pia nitafte mchoraji makini akuchore vzr maana wewe ni wathaman unainua Imani za wengi sana ubarikiwe shukran 🫱🫲🙏
Huyu baba anafanya kazi usiku na mchana hapumziki jaman, hii roho si ya kawaida akifanikiwa tusishangae maana kwa uchapa kazi huu ni hatari jaman, ubarikiwe baba
Hallelujah hulituma NENO kutimiza ahadi yake DAMU YA YESU KRISTO kwa maisha yangu,kwa ndoa yangu na kwa kila eneo la maisha yangu 🙇♀️🙇♀️🙇♀️🤲🤲🤲🤲🤲🤲 barikiwa mno pastor AMEN AMEN AMEN 🙏🙏🙏
Pastor pastor pastor ❤ hakika wewe niwakipekee sana mungu mungu azidi kuinua huduma Yako pia mungu anipe uzima nijekupata kibali kwa mung na kwako pia nitafte mchoraji makini akuchore vzr maana wewe ni wathaman unainua Imani za wengi sana ubarikiwe shukran 🫱🫲🙏
Huu mwaka hautaisha nkiwa vile nlvyokuwa mwanzo🙏
Kwakupitia madhabahu hii, sitabaki kama nilivyo hakika. God, im so grateful to have this spiritual dady.... SITABAKI KAMA NILIVYO
Huyu baba anafanya kazi usiku na mchana hapumziki jaman, hii roho si ya kawaida akifanikiwa tusishangae maana kwa uchapa kazi huu ni hatari jaman, ubarikiwe baba
Hallelujah hulituma NENO kutimiza ahadi yake DAMU YA YESU KRISTO kwa maisha yangu,kwa ndoa yangu na kwa kila eneo la maisha yangu 🙇♀️🙇♀️🙇♀️🤲🤲🤲🤲🤲🤲 barikiwa mno pastor AMEN AMEN AMEN 🙏🙏🙏
Jina langu limetengwa kwa dam ya yesu❤
Amen Baba
Be blessed pastor
Thank You PT 🎉❤
Amen ,man of God....!
Amen
I love you father
Napokea kibali kila eneo kwenye Maisha yangu 🙏🙏
Ee Mungu naomba unikumbuke huu mwaka usiishe nikabaki hivi
anaenionea hata ishi kwa Jina la Yesu
Mm ni bora kuliko wote APA Tanzania
Aimen PT🎉❤