Nyota Yako Ina Thamani | Maombi Ya Kuombea Taifa | Pastor Tony Osborn
Vložit
- čas přidán 23. 02. 2024
- Do you know the impact your star has? Watch this to receive the full revelation on how impactful your Star is.
Link to playlist from this series:
• MAOMBI YA KUOMBEA TAIFA
Connect with Pastor Tony Kapola Ministries:
Facebook:
/ pastortonykapola
Instagram:
/ pastortonyosborn
Contacts (Mawasiliano): +255 713 702 187
Offerings (Sadaka): +255 762 153 539 (ANTHONY KAPOLA) - Hudba
Narudisha nyota yangu Kwa jina la yesu,aijaliahi ni nani aliye iba from today,kama unasoma huu mwezi wa saba , like tafathali
Narudisha nyota yangu kuanzia Leo nyota yangu iliyo ibwa nakubebwa katika jina la yesu alie hai I return it🙏🙏🙏
Eeh Mungu naomba unirudishie nyota yangu na kuiihifadhi . Nisamehe na kuniokoa mimi mwana kondoo wako 😢🙏
Hakuna mchezo m'baya kama huu wa kulala na kile mtu aah una maliza nguvu sana ila wengi hawajui. Unalala na mtu mnabadilishana Energy( STAR) kama ukikutana na nzuri twende ikiwa mbaya ndo hayo mashimo marefu anayosema mtumishi apo
Mung naomb nisaidie mm jamn huu mchez ndo ninaufanya nimeomb San kutok nashindwa
Amen
@@jenjuma6255 Pole jeni Mungu wa mbinguni anasikia dhamila yako kuu yakuacha sasa subiri Muujiza wako utaacha na utasahau maan Mungu anasikia dhamila ya ndani kabsa,,,
Dear pole but hata mim nilikuwa hivy ila nikakutana na one man I believe him a lot but she hurts me ndo nilijifunza to stay in one pass but nilisaidiwa napastor kwa maombi@@jenjuma6255
Nimekuja kugundua very late pombe na uhasherati ndio adui wa mwanaume
Narudisha na kupokea nyota yangu in jesus name 🙏🙏❤️❤️
U chang my life pastor nilikuw nimejikatia tamaa san lkn umebadilish maish yang kwanzia sas am going to change🎉
Mungu azidi kukuinua umenibariki kwa maneno yenye nguvu yaliyobadilisha maisha yangu.
Mwenye sikio na asikiye☝️
Ameen Pastor God bless you ,hizi Siri za Mbinguni unatufunulia Tunakuombea Baba 🙏🏼😭😭
Mahubiri mazuri sana yenye ujumbe mzito.ubarikiwe mtumishi wa Mungu
I wish Hawa wanaocheka wangeelewa na kulia... Somo sensitive sana
Mungu baba Mumbai mingus na inji naomba unirejeshee nyota yangu mahali popote ilipo mungu na baba yangu niurumie
Amen napokea nyota yangu leo kokote iliko iludi katika jina layesu amen
Namshukuru mungu kwa neema ya kujua haya na kumjua yeye mapema❤
Ningelikujua zaman nngelikua mbali sanaaa... ❤
Muda ndio huu, haujachelewa utafika mbali sana bado una nafasi hiyo.
Kila jambo na WAKATI wake
Wakati wa Bwana ndo huu
😭😭😭😭😭😭😭😭ninatman ningekujua toka zaman mung nisaidie mm
Lord Jesus😢 have Mercy on me and my friends and Family 🙏
Asante kwa kunifungua na Mungu anisamehe kwa ujinga❤wangu wa kutomkaribisha mapema zaidi
Imagine what you could be if you live a Holy life? ...what a powerful msg? Barikiwa Mtumishi
Amiiin 🤲
This guy is more talented,, God bless you pastor
Mafunzoazuri sana,nimejifunza mengi ambayo sikuyafahumu nimebarikiwa sanaa
Umbali huu Nimekosa Mengii! Yaani Najifunza Neno kiundani Sanaa Mungu akutunze sana Pastor Kwa Ajiri yetu🙏
Amen napokea nyota yangu kwa jina la yesu🙏
napenda niwe mwanafunzi wako kila cku
Napojea nyota yangu kwa jina la yesu.nyota ya utajiri na ufanisi.nyota ya ndoa
Pastor Tony may you always be blessed, AMEN AMEN AMEN.
Mungu akupe hekima na maarifa ya kuendelea kutupea ujumbe mzuri utakao badili Maisha ya kila mmoja barikiwa Sana mtumishi 🙏🙏🙏
God hv Mercy on me😭😭
Amen narudisha nyota yangu popote ilipo irudi kwa damu ya Yesu kwa jina la Yesu amen
Ulimpa nani😂
Nabarikiwa sana sana na Pastor Tony Kapola......
Narudisha nyota yangu kwa jina la yesu🙏
Dady thankyou kwa haya mahubiri
hili neno tamuuuuuuuu❤❤❤❤❤❤
Amen narudisha nyota yangu popote ilipo kwajina la Yesu
Nani aliyeiba,,prove scriptures
May God intervene 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Surely mtumishi wa MUNGU UBARIKIWE SANA kwa hilo neno linazidi kunisaidia
Wee powerful msg MUNGU tusaidie tupatekuelewa watu wanaotafuta kilicho ndani yetu
Barikiwa mchungaji somo zuri👏🏽👏🏽
Napokea nyotayangu kwajina la Yesu
Aise wewe mtumishi unanipaga somo zuri sana.
Mungu akubariki mutumishi
Mungu na mwanawe yesu kristo akuzidishie nguvu na ufunuo zaidi umenibariki sana.
Ubarikiwe mtumishi
Be blessed man of God
sjui kama kuna pastor anajua kufundisha kama pastor tony namuelewa
Mungu azidi kukutumia
Mungu tusaidie point ni nyingi sana anazisema ....ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
Umetuzaidia sana pastor Mungu akubariki tumejua kuchelewa lakin namini kwa Mungu hakuna kitu kama kuchelewa
Nailudisha nyota yangu popote pale ilipo kwajina la yesu kiristo
😂
Narudisha nyota yangu aijalishi sijuwi nani laibeba ila kwa jina la yesu kristo aliye hayi irudi kwangu🤲🤲🤲🤲
P.p😊l
Sasa hapa nimegindua why mume wangu huniambia ninanyota ya utajiri lakin ameniachia majukum yote na kustareh nyumbani
Be blessed pastor
Mungu akubaliki mtumishi wa Mungu 🙏🙏🙏🙏
Neno nitaa asante Mungu kwa ajili ya neno lako barikiwa Sana mtumishi
Mungu akubaliki
True pastor Mungu akubariki sana
Amina
Tumeelewa
Bring all back
🔥
Amen tufungue baba
Ukweli mtupu, zinaa, uasherati unaua nguvu za kiroho na Kila kitu
Mungu azidi kukubariki pastor, najiona nazidi kuwa mpya kila siku
Nimekuelewa vizuri
Barikiwa saaaana
Nakubalii:::::!!!
Amen and Amen Pastor ,powerful message
Barikiwa mtumishi
Nabarikiwa sana
Nothing but 🤩 wow!! Asante mutumishiii
This word is next level.
Mungu aniponye kwa kweli mtumishi umeongea powerful message to me 🔥🔥🔥
Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina
Amina Mtumishi
Mungu akubaliki sana pastor Tony
Ameeeeen Ameeen kubwa pastor barikiwa kwa ujumbe mzuri
Ameen Mungu akutunze Pastor nimejifunza na kuelewa🙏
Barikiwa sana mtumishi w mungu,soma linatugusa wengi
Hakika 🙏🙏🙏 Mungu atusaidie
Amen napokea nyota yangu kwa jina la yesu
Ameeni napokea nyota yangu kwa Jina la Yesu
Bas tu niumbali ningekuwa naabudu kwenye kanisa lako❤
Hiv kanisa lake liko wapi
Mungu popote nyota yngu ilipo irudi
Aisee nimekuelewa sana na nimeipenda❤
Pastor nashukuru sana kutoka Kenya.Mi mwenyewe umeniguza sana.shabiki wako na mshirika wako kuendelea sasa
Together we can
Tuko site🎉mtumishi ananena ukweli ❤🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Asante kwa neno
Pastor MUNGU akujaalie kheri na uzid kutubariki
Barikiwa sana Mtumishi wa MUNGU
Maombi haya mazuri mno mtumishi Mungu akupe umri mrefu
ubalikiwa sana
Amina
Amen pastor na pokea nyota yangu popote pale ilipo
Umeeleweka mchungaji
Napokea nyota yangu katika jina la yesu
Hallelujah 🙏🏻🙏🏻🙏🏻❤❤❤
Amen pastor
Nimelia leo uwiiiii
Ameen Ameen
MUNGU atusaidie pastor Tonny coz tumeisha ukweli,nyota imeenda ,
I always understand pst Kapola❤🎉
Mimi nimuumini wako muda wote wote ❤