KUUAMSHA ULIMWENGU WAKO WA ROHO (Sehemu Ya Pili) Na Pastor Tony Kapola

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 07. 2022
  • Life Chapel International Church, Morogoro, Tanzania.
    Preaching the Word of Life through Our Man Of God Pastor Tony Kapola.
    Unaweza kunifutalia kwenye mitandao yangu mingine kwa kubonyeza links hapa chini:-
    Facebook: / pastortonykapola
    Instagram: / pastortonykapola
    Subscribe My CZcams: / @pastortonykapola
    Kwa mawasiliano zaidi: +255 659 085 731 au +255 713 702 187
    NAMBA YA SADAKA : +255 762 153 539 (NEEMA MASENGA)

Komentáře • 85

  • @peterkitsao9429
    @peterkitsao9429 Před 2 lety +10

    Roho yangu iamke kwa jina la Yesu, Amen

  • @sikudhankhamis8402
    @sikudhankhamis8402 Před 2 lety +10

    Pastor Tony ur a blessing to our generation

  • @francisjohanes6895
    @francisjohanes6895 Před rokem +3

    tunaelewa sana kwamaana sisi ni wa Rohoni kitupekee ambacho namuomba Mungu ni hata wale ambao sio wa Rohoni wapate neema ya kuyaelewa aya.... GOD please wape macho na masikio ya Rohoni wapate kuelewa ndipo watakapofanikiwa sana

  • @frankstarstz470
    @frankstarstz470 Před 18 dny

    Roho yangu amka,, kwa jina la yesu kristo,,

  • @WalingileMwasimuke
    @WalingileMwasimuke Před 4 měsíci +2

    Kwa Jina la Yesu , kwa neno hili siwezi kuwa maskini

  • @florencekananu6706
    @florencekananu6706 Před 11 měsíci +4

    The teachings are super wonderful....may God help me to keep his word and walk in accordance 🙏🙏

  • @pastor.gideonmwarandu3931
    @pastor.gideonmwarandu3931 Před 5 měsíci +2

    Mtu wa Mungu umenifungua macho!

  • @user-sc3dn3oc8e
    @user-sc3dn3oc8e Před 24 dny

    Amen, amen

  • @njokibeatrice5329
    @njokibeatrice5329 Před 20 dny

    Tuned from Kenya, essential wisdom from God always blessed by your sermons🙏 more grace.

  • @eliamanimelakiti8261
    @eliamanimelakiti8261 Před rokem +2

    Daaah pastor Tony kapola mahubir Yako yamenijenga sana Toka nimeanza kukuftlia nimekua kiimani na nmejifunz vingi!!!! Mungu azidi kukutia nguvu

  • @user-rr1fi3hr7f
    @user-rr1fi3hr7f Před 2 měsíci +1

    Walioko upande wetu ni wengi ❤❤❤❤

  • @JairoOchola
    @JairoOchola Před 3 měsíci +1

    Macho yangu na yaone nisichokiona.
    In Jesus name.

  • @AnitaAnn77
    @AnitaAnn77 Před rokem +3

    I love this man of God , kwakweli naona nikielewa kitu kuhusu dini. Nimekuwa naomba tu but naanza nakujuwa what I need to do becz nimepitia mengi sana magumu

  • @piuly254
    @piuly254 Před rokem +6

    Amen from 🇰🇪🇰🇪but this is more than a scripture.....this are special teachings that no one knows

  • @peterjohnedward7154
    @peterjohnedward7154 Před 2 lety +31

    Brother Mimi ni Mseminary...ila Theology uliyonayo nizaid sio ya kawaida...najifunza vingi sana kwako hata wenzangu wamekubaliana na Mimi

    • @veeJesus
      @veeJesus Před 2 lety +2

      It's called revelation

  • @glorykessy6942
    @glorykessy6942 Před měsícem

    Amen

  • @priscillamutave892
    @priscillamutave892 Před rokem +3

    Nimepata pa kutokea umaskini. Sitakuwa maskini tena.

  • @peterjohnedward7154
    @peterjohnedward7154 Před 2 lety +3

    Daaaah!! Wewe ni hatar sanaa Mungu akupe umri mrefu sanaa

  • @eliethaudax6752
    @eliethaudax6752 Před 8 dny

    I connect my self

  • @JacksonCostar
    @JacksonCostar Před 11 měsíci +1

    Amen.ulimwengu wangu wa roho umeamka sasa.barikiwa sana dady.from morogoro Ccwc (c.a.g)

  • @filbeteromary3153
    @filbeteromary3153 Před rokem +7

    🤔Uyu mtu anafundsha kuutafta muujiza hatoi muujza and tujue t hakuna muujiza unakuja kimuujza put the strategies to find your miracle 🥰

    • @sarahnzomo9905
      @sarahnzomo9905 Před rokem +2

      Tunakuelewa lkn tumwite pastor tonny kapola sio Tu MTU ju tunalifahamu jina lake ama mtumishi WA mungu please

  • @benjamindottomakungubenjam3093

    Pastor Mungu wa mbinguni akutunze na kuelewa sana

  • @narggdhdv765
    @narggdhdv765 Před 2 lety +2

    Nakataa kuaibikaa kwajina la yesuu.

  • @techniciantheprogrammer5513

    God bless you more. thanks man of God. Hallelujah Hallelujah

  • @christinakembe3869
    @christinakembe3869 Před 2 lety +3

    Pasta,Pasta una Neema

  • @esthermudanya9074
    @esthermudanya9074 Před rokem +1

    The teachings are super powerful,tunatoa katika ulimwengu wa kiroho kwa maneno ili kuleta kile unachotaka Kwa ulimwengu wa nyama....in short confession is possession.iwapo unakiona rohoni unaweza kukileta duniani kwa kukiri🙏🙏

  • @rosamanjau6685
    @rosamanjau6685 Před 3 měsíci

    Mkono wa Mungu uwe nawe pastor tupate kula chakula cha roho daima

  • @jmsabaha
    @jmsabaha Před rokem +1

    Amen, nimejifunza kitu

  • @AgnesHillary-js4hd
    @AgnesHillary-js4hd Před rokem

    Mungu azidi kumlinda Tony kapola kiukwelii toka nianze kumfatilia star bonga nimekuwa kiroho

  • @eaglecrown6470
    @eaglecrown6470 Před rokem +1

    Amina 🙏🏿

  • @veeJesus
    @veeJesus Před 2 lety +1

    Amina baba

  • @ireneviane970
    @ireneviane970 Před rokem

    Roho. Yangu ipate uwamsho kwajina la yesu

  • @MarryNombo-lg1ky
    @MarryNombo-lg1ky Před 11 měsíci

    MUNGU akubaliki San Kila siku napanda utukufu adi utukufu 🙏🙏

  • @neemamwanja9876
    @neemamwanja9876 Před 11 měsíci

    Amen mtumishi ubarikiwe kwa somo zuri

  • @MarcoLalyShilinde
    @MarcoLalyShilinde Před rokem

    Kama BWANA aishivyo sadaka zang zikawe ukumbusho mbele za MUNGU, nipate matokeo katk ulimweng wa mwil, pastor be blessed forever and ever

  • @nestorysospeter7162
    @nestorysospeter7162 Před 2 lety +1

    ameen

  • @farajamlay0015
    @farajamlay0015 Před rokem

    Pastor your blessings coz everyday I learning the new world of God in spirit of God

  • @esthermudanya9074
    @esthermudanya9074 Před rokem

    Macho ya ndani yanafunguliwa Kwa maneno... Ishmael's mother had not seen the well until her inner eyes were opened.🙏

  • @agnesmbone231
    @agnesmbone231 Před rokem

    Be blessed man of God nimejifunza mengi kupitia kwako

  • @DayanaSospeter-sy8wl
    @DayanaSospeter-sy8wl Před rokem

    Amn much love your words

  • @reubenmwakalundwa7881
    @reubenmwakalundwa7881 Před 2 lety +1

    Mmhmmm...
    Am blessed

  • @nurudaud3993
    @nurudaud3993 Před 2 lety +2

    Be blessed man of God pastor Tony 🙏 🥰I learned a lot 🙏 yaani hapo kwenye network hapo😆

  • @davidmembedalamethepsalmis2885

    I love this pastor

  • @anandepallangyo4177
    @anandepallangyo4177 Před 3 měsíci

    Asante sana Pastor🎉🎉

  • @DayanaSospeter-sy8wl
    @DayanaSospeter-sy8wl Před rokem

    Be blessing pastor

  • @mberiaproperty9092
    @mberiaproperty9092 Před rokem

    Amen revelation thank you pastor

  • @estherdhahabu9586
    @estherdhahabu9586 Před 2 lety +1

    Amen powerful

  • @jacklinepatrick7950
    @jacklinepatrick7950 Před rokem +2

    hii ni level nyingine ya mafunuo

  • @susierchuwa4490
    @susierchuwa4490 Před rokem

    AMEN from zanzibar naangalia

  • @narggdhdv765
    @narggdhdv765 Před 2 lety

    Amen Amen pastor mungu akubariki.

  • @tausikahindo8750
    @tausikahindo8750 Před rokem

    Amen pastor. 🙏

  • @flaviakyaruzi7277
    @flaviakyaruzi7277 Před 2 lety

    Be blessed

  • @jeremiaisowe4443
    @jeremiaisowe4443 Před rokem

    Amen!!!!

  • @dennismakunza9968
    @dennismakunza9968 Před rokem +1

    Akili nyingi zilizozidi na kuzidi

  • @mwamvuakayanda8730
    @mwamvuakayanda8730 Před rokem

    Jmn najilaum kuchelewa kupata aina hii mafundisho nisingehangaika lkn MUNGU Ni mwema asantee kwa neema hii midhari bado naishii nitang'ang'an na maarifa haya nisijeangamia

  • @bettykikimba2340
    @bettykikimba2340 Před rokem

    Blessed

  • @johnigohe9701
    @johnigohe9701 Před 2 lety

    Naaaam ya ukweli hiyo AMENI kubwa

  • @esthermudanya9074
    @esthermudanya9074 Před rokem

    Ulichonacho cha mwisho unakifanyia Nini?....what a revelation 🙏🙏🙏🙏🙏( zeraphath woman)

  • @azizakalutha9835
    @azizakalutha9835 Před rokem

    Hooo pastor

  • @mariamramadhani3860
    @mariamramadhani3860 Před rokem +1

    Papaaa

  • @atubwenekapange2802
    @atubwenekapange2802 Před rokem

    Dady kapola

  • @chumvinanuru
    @chumvinanuru Před 2 lety

    🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @hellenyusto6374
    @hellenyusto6374 Před 2 lety

    🙏🙏🙏

  • @faithikenda
    @faithikenda Před rokem

    🙌🏼🙌🏼🙌🏼

  • @jeffkahwai6905
    @jeffkahwai6905 Před rokem

    I am blessed, God increase you by revelation We receive.

  • @winifridamushi3388
    @winifridamushi3388 Před rokem

    Nimeomba kwelikweli

  • @AgnesHillary-js4hd
    @AgnesHillary-js4hd Před rokem

    Pastor ata me kuna ndoto naota Mara nyingi tena namuota mtu uyouyo kiukwelii nataka mungu anifunulie iyo ndoto

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast8179 Před rokem

    Jamani huyu kaka yuko sahihi mimi kuna siku uncle Wang aliniadhibu kisa wamekuja tenesco nikawapa stuli wakakata umeme mimi sikuelewa aisee alinipa vibaya mno usiku nikaota marehem mama ananikimbiza anichape watu wanasema muache mtoto,😢kesho mjomba akaniomba msamah yani njozi nyingi zimekuwa zikitokea ngoja niombe sana

  • @yesuyuhaipectv9176
    @yesuyuhaipectv9176 Před rokem

    Shalom,Hongera kwa masomo ya kweli maana Neno la Mungu ndiyo kweli,( Ninaombi,ingawa ni gumu kwako,ilalitasaidia wengi,Naomba ukihubiri kiswahili usichanganye na kingereza Masomo yako yanatusaidia wengi, upange kama utahubiri kingereza liwe somo la kingereza mpaka mwisho,niombi sio lazima Mtumishi wa Mungu ) Mungu akutunze katika zama hizi za mwisho Endelea kufundisha hii kweli

    • @johnkassian7746
      @johnkassian7746 Před rokem +2

      Nnavyoona hutumia kiingereza kama lugha ya msisitizo au mkazo na mara nyingi anachokizungumza kwa kiingereza anakitafsiri kwa Kiswahili papo hapo.
      Binafsi nimependa hata hiyo code mixing👍

  • @filbeteromary3153
    @filbeteromary3153 Před rokem +1

    Aya wale wapenda miujza ya chapchap ya burebure wanakmbilia kwenye baraka za kpepoo hupokei muujza bure as pastor says fatlia wenye miujza nn walifanya ad muujza ukaja

  • @bahatibulabo1018
    @bahatibulabo1018 Před rokem

    P

  • @rosamanjau6685
    @rosamanjau6685 Před 3 měsíci

    Amen

  • @christinamsuku9255
    @christinamsuku9255 Před 2 lety

    Be blessed

  • @beatricenjoroge8016
    @beatricenjoroge8016 Před rokem +1

    Amen

  • @annaanthony2850
    @annaanthony2850 Před rokem

    Amen

  • @odinahmwavali5048
    @odinahmwavali5048 Před rokem

    Amen

  • @estherdhahabu9586
    @estherdhahabu9586 Před 2 lety

    Amen

  • @wansibho554
    @wansibho554 Před 2 lety

    Amen