KUTEGUA YALIYOPANGWA NA SHETANI (DODOMA)
Vložit
- čas přidán 23. 10. 2019
- SEMINAR YA NENO LA MUNGU NA MAOMBEZI YA ILYOFANYIKA KATIKA UKUMBI WA DEAR MAMA HOTEL NA KUONGOZWA NA MTUMISHI WA MUNGU SUNBELA KYANDO KUANIA TAREHE 18 - 20 OCTOBER 2019
#SUNBELLA_KYANDO
#DODOMA_STEP_AHEAD
Mungu azidi kukuinua na kukupa upako mpya Mtumishi wa Mungu🙏...tangu nianze kufuatilia mafundisho Yako ,nimeimarika kiimani pakubwa sana,.utukufu kwa Mungu🙏🙏🙏
Mimi pia
Pastor Philip from Nakuru-Kenya
Servant of God,am much blessed
Honour and Glory be to God
Mafundisho yako yananigusa siku zote.Namuomba Mungu aendelee kukutumia Mtumishi wake
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu .Mafundisho yako yamenikuza sana kiroho
More than a teacher amazing be blessed.
May God bless u Man of God kwa maana nimejifunza kitu from you
Asante Mungu,kwa uwepo wako Mtumishi,unafundisha vizuri sn
The annointing of God lord our father Amen.
God bless you mchungaji
Hakika ujumbe huu ni wangu haswa nimekua na miaka kumi nikipitia mambo magumu,mitihani kisha usiku ukifika ndio balaa,attacks kila ucku Ila toka nianze kukufuatilia nimeelewa ni kwa nini, na kupata suluhisho,Asante mtumishi,Mungu akubariki sanaaa,you are heaven sent.
Powerfully teaching be blessed Pastor
Asante baba najifunza mengi sn kutoka kwako
Amen unafundisha vizuri ninabarikiwa mno MUNGU azidi kukuinua mtumishi
Karibu Mbeya pastor
Nafundishika,Sana mtumishi mungu kyando,nakupata toka pande za mozambique
Ameni hii imegusa kabsa maisha yangu yote Amina ubarikiwe
Barikiwa sana baba, naendelea kupokea uponyaji. Naomba Mungu anipe nafasi ya kukuona.
Asante kwa masom mazur
Mungu akubarik San unatufungua san
Mungu akubariki sana Mtumishi kwa mafundisho yako
Good teachings
Let the grace of the lord Jesus Christ be with you always
Hakika Mungu anakutumia kwa viwango vya juu yaan unafarriji unatia moyo jamanii God bless Yu Mim Sunbell
Wilbard 36 habari
@@ambelamwaitebele7540 Salama Mtumishi kwema
ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU
Ashukuriwe mungu
Wow chanzo cha tatizo ndio mafanikio thank u Jesus.
Amen nimebarikiwa sn.
Chochote shetani umepanga juu ya mtoto wangu Jose napangua in Jesus name 🙏
Anahubiri vizuri
Amen Amen Amen
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Am so blessed about this
Dodom mnaabudu sehem gani na utaratibu wa ibada ukoje
Amen pastor 🙏
Mungu skin a riki sana upo duniani kwa makusudi kamili la mungu
Ujumbe huo Ni mzuri nimeupenda
Amen mungu akuongoze
Amen barikiwa sana mtumishi
Unahubiri vizuri sana Pastor. Mungu akuongeze na kukuzidisha
Mungu akubariki sana
Amen amen
Amen
Amin
Amina
Ameen
ni somo la October 2019 lakini hivi leo limenifungua ufahamu wangu wa kuelewa na kufahamu zaidi
amen
Hallelujah Amen 🙏 🙌 👏
Mtumishi mungu azidi kukutumia
Amina kubwa
Amina mtumishi
Mungu wangu ninakushukuru kwa ajili ya faraja ninayoipata kupitia neno lako kwa mtumishi wako huyu.ninapita kwenye mapito magumu na oma kupata namba ya simu au ninavyoweza asiliana na mtumishiwako
Barikiwa mtumishi
Mungu akutunze sana mtumishi nabarikiwa sana. Arusha mnakuja lini?
Poster God bless you
🙏🙏
Powerful teaching be blessed paster,, please pray for me and my family,we passing through hard and pain thorns
ppppp
Mahubiri yako yanabariki na kuinua sn Yana mafuta ya roho mtakatifu
Thank you .and may God continue to bless you
Mungu akulinde man of God
POWERFUL REVELATION 🙏🙏🙏
Asanteee
Great
Ameeen mtumishi kwa fundisho hilo ,nime barikiwa mno
Napataje namba
Barikiwa mtumishi wa Mungu naomba namba zako
here I am
Bwana asifiwe pastor please mimi huwa nakufatilia sana please mtu anaweza kupata aje juu mimi ni mkenya but nafanya kazi Saudi Arabia please I need you're help pastor
powerful teachings
maria zabron mzima
maria zabron habari
Mzima
Naomba nipate namba ya mtumishi
Unatupa mwanga mkubwa sana mtumishi, Mungu akusaidie sana
yanii balaaa fire la uakika
yanii balaaa fire la uakika
MUNGUAkuinue zaidi
Hata nami naomba yesu asinipite.God bless you man of God 🙏
GOD BLESS YOU JEHOVAH akutunze mpakwa mafuta wa BWANA
Nimebarikiwa sn na mafundisho yako
ni vema kufanya biashara za ngurwe
wanao dislike hao niwachawi najuua wanapigwa sana hao sio wakawaida.
Kweli ni wachawi na sijui wamefata nn humu
Dodoma mpo wapi
Amen Mtumishi nimebarikiwa sana,he Dodoma mko sehemu gani?
Pia naomba no.ya mtumishi taf
Jamani naomba namba ya Mtumishi uyu
niko nasikiliza sshv
Jamila mtumishi umenipa kitu cha thamani sana kila nikisikiliza unanipa maarifa
Hakika sio Jamila
Amee
Mtumimish wa mungu help me please niombee juu ya masomo yangu
Mtumishi please uje mwanza baba please nakuomba
Mtumishi nabarikiwa sana. namafundisho yako nimekutafuta zaidi ya Mara NNE Mtumishi niombee
Nimepokea kitu
MTUMISHI WA MUNGU ALIYE HAI NAMUOMBA MUNGU AENDELEE KUKUINUA KWA VIWANGO VYA JUU,MAFUNDISHO YAKO YANANIBARIKI SANA,YAANI NABARIKIWA KWA VIWANGO VYA JUU,KUNA VITU VINANIGUSA MIMI NA MAISHA YANGU,HATA NA MAJARIBU NINAYOPITIA.
Mimi nipo Dodoma napenda sana huyu Mch ananibariki sana ingawa Mimi Nina kanisa lakini naomba kujua Kama kanisa la Dodoma Wana ibaada za katikati ya week niweze kuhudhuria.
DODOMA tuna ibada kila siku ya Jumatano kuanzia saa kumi na moja jioni pale ukumbi wa Dear Mama, Area C njia panda ya kuelekea Arusha.
Karibu sana.
Bwana Yesu asifiwe Amina Amin mwenyewe nipo dodoma sikujua kila jumatano takuja kila jumatano
🔥🔥🔥🙏🙏🙏
Muda maalumu wa ibada zenu ni saa ngapi huwa nnaanza? Mfano j3 j5 ni saa ngapi ibada inaanza?
Sasa ni jumatano sa kumi na moja na nusu ijumaa kumi na moja na nusu na jumapili sa tatu asubuhi
Powerful samon I wish ututembelee Nairobi Kenya man of God .
@@MrSunbella mtumishi ninahitaji sana kugusa mikono yako msaada tafadhali.
Amen
Amina
Mchungaji mafunzo yako ni makuu na mazuri. zidi kubarikiwa.
niko nasikiliza sshv
Amen
Amen
Amen
Amina
Amina
Amina
Mungu yumwema asante mtumishi