Kwanini unashambuliwa sana?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 09. 2024

Komentáře • 149

  • @precieuxwalina8533
    @precieuxwalina8533 Před 3 lety +4

    Ikiwezekana wana D.R.Congo kuyafata mafundisho haya.
    Mungu atusaidiye sana.
    Mubarikiwe✋

  • @geofreykibure8018
    @geofreykibure8018 Před 6 lety +12

    Hakika,huu ndio ujumbe ambao ulimwengu wa sasa unauhitaji Mungu atusaidie sana,Baba azidi kukutumia pastor.

  • @ibrahjoel7283
    @ibrahjoel7283 Před 4 lety +5

    Ivi wangapi 2nashambuliwa
    Weka like 2juaneee😂😂😂

    • @trihanah7725
      @trihanah7725 Před 4 lety

      Helloo pastor barikiwe sana kwa neno sasa naomba unisaidie ni vitabu gani vinavyo nipasa kusoma kwa ajili yakutubu

    • @ibrahjoel7283
      @ibrahjoel7283 Před 4 lety

      @@trihanah7725 biblia 2 mwenywe utajihis ku2bu 🙏

    • @viddamgeneka8881
      @viddamgeneka8881 Před 4 lety

      Ibrah Joel yaani! Yaani

  • @jaredmayaka2993
    @jaredmayaka2993 Před 2 lety +1

    Amen and Amen 🙏🙏 you have gifted me from where I was God bless you sooooooo much pastor

  • @CosmasKailikia
    @CosmasKailikia Před 4 měsíci

    Barikiwa Pastor

  • @SimonPaulo-rw4fs
    @SimonPaulo-rw4fs Před 4 měsíci

    Pastor MUNGU Akubalik saana maana mim kila ninapo sikiliza somo lako kuna jambo linatokea ambalo nizuri katika poa nabalikiw saana Ase

  • @magrethmzava6541
    @magrethmzava6541 Před 6 lety +6

    amina Sana pastor wetu, taji yako inakusubiri Mbinguni.

    • @samueljr9105
      @samueljr9105 Před 5 lety +1

      Kwani wewe ndio ulimtengenezea ukaeka taji yake uko mbinguni ? Mchungaji anahubiri lkn Mungu ndio anajua mambo yake ya mbinguni imani yake huioni sasa unamuahidi taji gani muache Mungu amuahidi yeye.

  • @remigiusrespicius9317
    @remigiusrespicius9317 Před 6 lety +3

    amen pastor nabarikiwa sana

  • @christellemakuta2153
    @christellemakuta2153 Před 5 lety +1

    Amen Mungu atabaki kuwa Mungu hata katika manjugumu yeye ni Yaweah tu.

  • @jessikaakinyi8445
    @jessikaakinyi8445 Před 4 lety

    Kweli pastor Mungu awabariki sana pastor wote kwa kazi yao nzuri tunawaombea Mungu awatunze vyema

  • @postoburra6844
    @postoburra6844 Před 2 lety

    Unanibariki sana mm pasto bura

  • @graceymaghema2753
    @graceymaghema2753 Před 6 lety +1

    Amina Amina nabarikiwa kwa kweli Ee Mungu utusaidie barikiwa Mtumishi

  • @sarahwawuda7638
    @sarahwawuda7638 Před 6 lety +1

    MUNGU akubariki sana mtumishi....nipokea mafundisho mazuri

  • @ahimaazuhmburu536
    @ahimaazuhmburu536 Před 5 lety +3

    You are truly a chosen savarnt of almighty creater

    • @jensenbodhi6045
      @jensenbodhi6045 Před 3 lety

      not sure if anyone cares at all but I just hacked my girl friends Instagram account using Instablaster.

  • @crichjonlinetv7064
    @crichjonlinetv7064 Před 6 lety +2

    Mchungaji Mungu Akubariki sana nakuelewa mtumishi nahitaji kujua zaidi HAKI KWA IMANI

    • @davidmmbaga3350
      @davidmmbaga3350 Před 6 lety

      Crich J. Nitumie email kwenye davidmmbaga@gmail.com

  • @esthermsely3537
    @esthermsely3537 Před 2 lety +1

    Amen🙏

  • @janetnzai9866
    @janetnzai9866 Před 4 lety

    Aah Mungu akubariki sana, I'm really blessed May our Lord Jesus bless you abundantly Pst

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 Před 6 lety +5

    Asante sana Pastor kwa mahubiri , naomba Mungu azidi kukupatia afya njema ili uzidi kuhubiri neno lake..
    Yaani tukifika karibu na maombi Mara nyingi inakatika..lakini Nina Imani yote uliyooomba nasi tumeyasikia..

  • @alicesidi9601
    @alicesidi9601 Před rokem

    Mungu azidi kukutumia uzidi kutushibisha kiroho, Ubarikiwe sana

  • @mlishohadija6923
    @mlishohadija6923 Před 8 měsíci

    Amen 🙏🙏🙏

  • @lilianmugyabuso8908
    @lilianmugyabuso8908 Před 2 lety

    Mungu Akulinde nakuelewaga sanaaaa mchungaji David Mbaga

  • @fadhilimagambo9110
    @fadhilimagambo9110 Před 6 lety +1

    Mungu akubariki Sana Pastor, tumebarikiwa sana ulipo kuwa Ukonga, Mungu atukuzwe

  • @paulomaiga2939
    @paulomaiga2939 Před 2 lety

    Amen kubwa

  • @ghvb9421
    @ghvb9421 Před 7 měsíci

    AMEN

  • @edwardiha9005
    @edwardiha9005 Před 4 lety +1

    Surely Am blessed by the word

  • @niyonizigiyekarithas4710

    Nami mwaka huu MUNGu anitambulishe etc in USA kama mkristo. nishinnde vita vya imani Amen A😇😇😇🏠💗💖😀

  • @jessikaakinyi8445
    @jessikaakinyi8445 Před 4 lety

    Ameeeeen Mungu nipe Imani hii Imani imara isiyotikiswa wakati wote

  • @leahwainaina4396
    @leahwainaina4396 Před 7 měsíci

    Amen

  • @Agness58
    @Agness58 Před 6 lety

    Jina LA Bwana lipewe sifa.Bwana akuzidishe Imani kwa kukujaza na Roho Mtakatifu.Bwana abariki na familia yako.

  • @woodmanufacturersltdwood596

    Huyu Pastor, ametimiza unabii wangu miaka si mingi imepita. asante yesu. Dini sana sana ya SDA ambaye imefanya bidii sana kukuza watu kama sisi kwa njia bora za mungu walakini walibaki nyuma kiroho, watakuwa wakwanza.

  • @rhinakiza
    @rhinakiza Před 4 lety +1

    Wow Amina👏👏

  • @rodahadhiambo3637
    @rodahadhiambo3637 Před rokem

    Amen pastor ,God bless you .

  • @keziamzia485
    @keziamzia485 Před 3 lety

    Mungu akubaliki mtumishi umeniinua kiimani sana

  • @violetnyansiaboka2821
    @violetnyansiaboka2821 Před 5 lety +1

    Amina mungu akubaliki pastor

  • @leawamukota9217
    @leawamukota9217 Před 2 lety

    Amen pastor karibu kenya

  • @regisshayo9522
    @regisshayo9522 Před 4 lety

    Amen....ubarikiwe Baba.

  • @lucynyigana2801
    @lucynyigana2801 Před 7 měsíci

    Jina la BWANA litukuzwe AMINA

  • @angel-y
    @angel-y Před 6 lety +4

    Amen. God bless you Pastor abundantly.
    Karibu sana Kenya.

    • @hondenisonmagufulinyabaro3923
      @hondenisonmagufulinyabaro3923 Před 6 lety +1

      Angel Nyamisa ,,,pr anafaa kuwa Kenya vile alinishow last month,,,,moganyere nakuru na Nairobi Kenya,,,kwaigure???

    • @angel-y
      @angel-y Před 6 lety +1

      Dennison Mogire Nyabaro, where will Pastor be in Nairobi?

    • @hondenisonmagufulinyabaro3923
      @hondenisonmagufulinyabaro3923 Před 6 lety

      Angel Nyamisa ,,yet to confirm Cox bado hajacommuicate

    • @angel-y
      @angel-y Před 6 lety

      Hi, I have confirmed he will be at Kitengela church nrb and at KITI nks. Will you attend Kite?

    • @angel-y
      @angel-y Před 6 lety

      Dennison Mogire Nyabaro

  • @maxlove2668
    @maxlove2668 Před 4 lety

    Amen,Mungu nisaidie nami nifikie utukufu wako

  • @toshaswedy1
    @toshaswedy1 Před 10 měsíci

    Ameina😊

  • @joshuanyamaiswe4327
    @joshuanyamaiswe4327 Před 6 lety +10

    Natamani kila siku uwe una upload mahubiri mapya. Maana nasikiliza hadi nakosa ya kusikiliza naanza kurudia ya nyuma. Barikiwa sana pastor!

    • @davidmmbaga3350
      @davidmmbaga3350 Před 6 lety +4

      Joshua Nyamaiswe Tuombee tupate team ya kutosha. Mahubiri Tv ina team ya watu wawili wa kujitolea. Ombea huduma hii

    • @violetnyansiaboka2821
      @violetnyansiaboka2821 Před 5 lety +2

      Amina

    • @hadijamlokakuzenza2146
      @hadijamlokakuzenza2146 Před 2 lety

      Tupo wengi tunaosikiliza ,mpaka na mahubiri ya nyuma,kiukweli mungu ni mwema

  • @berithanimfashaamenbalikiw7436

    Asante kwa mahubiri mazuri YAWE akubaliki na akutie nguvu

  • @betterjoshua7203
    @betterjoshua7203 Před 4 lety

    Mungu akubariki Sana Mtumishi

  • @DONATUSKomba-pu1bk
    @DONATUSKomba-pu1bk Před 10 měsíci

    Tuombe kuongezewa imani

  • @maureenmuhonja722
    @maureenmuhonja722 Před 6 lety +2

    AMEN🙏

  • @imangregory8392
    @imangregory8392 Před 5 lety

    Amina, Mungu ashukuriwe milele!

  • @fgbeatricegg145
    @fgbeatricegg145 Před 5 lety

    Barikiwa mtumishi

  • @eliakyando3976
    @eliakyando3976 Před 6 lety +4

    Amina mtumishi nashukuru maana nabarikiwa kupita maelezo, mungu akuzidishie na kuzidi.

    • @angelaluka7463
      @angelaluka7463 Před 3 lety +1

      Somo hili limenichoma sana Na nahisi Kama umeniona jinsi nilivyoo kwakweli nimepata jibu lakumpa shetani hatonisumbua tena

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  Před 3 lety

      Mungu amekuona

    • @angelaluka7463
      @angelaluka7463 Před 3 lety

      @@MahubiriPrMmbaga Aminaaa

  • @elilumbashadrack2274
    @elilumbashadrack2274 Před 4 lety

    Nashukuru mtumishi kwa ujumbe mzuri

  • @samsonngweina5048
    @samsonngweina5048 Před 3 lety

    😂😂😂 Ubarikiwe Mr David mbaga

  • @victoriajames6190
    @victoriajames6190 Před 3 lety

    Nimebarikiwa mno ahsant Mungu

  • @lailathussain6492
    @lailathussain6492 Před 6 lety +2

    Mtumishi mimi nasematu asante kwasababu nakosa hata chakusema

  • @niyonizigiyekarithas4710

    Watumishi MUNGU anatakamuzae matunda mema. Tutawatambuwa kwa matendo mazuri 😇😇🚛

  • @NYUMBANI2024
    @NYUMBANI2024 Před 6 lety +1

    mungu atukuzwe

  • @user-rf5tz5ft2y
    @user-rf5tz5ft2y Před 5 lety

    Uwonga umeshindwa Kwa jina la Yesu

  • @georgettetulinabo9428
    @georgettetulinabo9428 Před 6 lety +2

    Amin amin

  • @joshuamasiaga7051
    @joshuamasiaga7051 Před 5 lety

    Nimebarikiwa sana mtumishi

  • @frankpima3564
    @frankpima3564 Před 2 lety

    Muujiza ulitendeka ndani ya Moto na siyo inje ya Moto ingia Kwanza pr. siku nikushika mkono naomba ROHO anikumbushe nikwambie hivyo tena

  • @keziamzia485
    @keziamzia485 Před 3 lety

    Mtumishi nitakupataje nimeupenda ujumbe huu

  • @adorymongish2972
    @adorymongish2972 Před 2 lety

    Umesema ukweli mtupu imenitendekea leo nika kana kabisa

  • @doricesteven7531
    @doricesteven7531 Před 6 lety

    Mungu akubaliki

  • @lazaromalanga6543
    @lazaromalanga6543 Před 6 lety +2

    Mchungaji ubalikiwe sana

  • @witnessmbogora3966
    @witnessmbogora3966 Před 4 lety

    'Kumbe nimekaaa na mtu mbaya hapa 'kumbe mtu mbaya ni wewe mwenyewe duh..wachawi jamani badilikeni🙏🙏🙏

  • @Nyanda_Jr
    @Nyanda_Jr Před 6 lety +2

    You are always a blessing pr

  • @beatricealexander1373
    @beatricealexander1373 Před 6 lety

    oooooh Mungu wangu !!mtumishi David Mbaga umenifundisha jambo kubwaaa mnoooo,hili somo ni kuu kama nini,tafadhali moyo wangu unahitaji kukuona Mtumishi,wkt mwingne kwenye maisha yangu ninakutana na mambo ya ajabu sana,naumizwa na kujeruhiwa yaan maneno magumu na mazito ya kusingiziwa !niombee kwa kuwa cjui kwanni nakutana na mambo km haya ,story yako ya maisha ya kwenye daladala ni somo zito mno,naamin na nimeona kama unaniponya mimi,Ninahis amani unavyofundisha,asante Mtumishi

  • @lovenessmichael968
    @lovenessmichael968 Před 5 lety

    Nimebarikiwa kupitia ww,Mungu anisaidie

  • @rwesimbibicharles8994
    @rwesimbibicharles8994 Před 3 lety

    amen.

  • @tonnsimbasportsclub7168
    @tonnsimbasportsclub7168 Před 5 lety +1

    ***Kanyaga kanyaga hakuna kuogopa wew kanyaga***

  • @catherinekihengu354
    @catherinekihengu354 Před 5 lety

    Amina

  • @samsonngweina5048
    @samsonngweina5048 Před 3 lety

    Paster hapa nilipo mtandao waintenet ya vodacom haushiki nikifungua kuangalia habari za kidunia ila nikifungua mahubili haugomi wala kukwama huyu Mungu ni wanamna gani hata tuwe na moyo mgumu tusimwamini Mimi sasa naamini kabisa bando hili lisaidie nikisikia neno la Mungu na mfumo wa maisha yangu ubadirike

  • @denismodest1540
    @denismodest1540 Před 5 lety

    amina tuishinde dhambi karbu karatu pr mbaga

  • @marthaemmanuel9338
    @marthaemmanuel9338 Před 4 lety

    Nimebarikiwa na haya mahubiri🙏🙏

  • @mariakamnde8007
    @mariakamnde8007 Před 4 lety

    Nimekuelewa Mtumishi

  • @janekuloba926
    @janekuloba926 Před 6 lety +2

    Pastor Ashuriwe MUNGU kwani katika maupiri yako nafwata sana lakini nilikuwa iko siku nitapona kwaimani yangu MUNGU alikuwa nakusudhi na Mimi kwani kilicho nifunga macho kimeondoka kwajina la YESU uparikiwe pastor AMINA

  • @febroniakundya8951
    @febroniakundya8951 Před 5 lety

    God your bless

  • @nancypretty7576
    @nancypretty7576 Před 6 lety +1

    Kuna kipindi nilipitia hiyo mambo ya wewe wajua yaani maneno yote yalipotea

  • @machangopaul236
    @machangopaul236 Před 6 lety +3

    Mungu atusaidie kujiimarisha kiimani

  • @jessikaakinyi8445
    @jessikaakinyi8445 Před 4 lety

    Kabisa pastor kwanza Imani yangu imeingia test kubwa ya kupambana na mapepo kwenye nyumba yetu ila Mungu anatenda mpaka yakanikaba shingo ila Mungu aliingilia shingo halikuleta shida aendelee kunipigania

  • @captainbosingwa7226
    @captainbosingwa7226 Před 3 lety

    Ni kweli unaomba mpaka inafika mahali ni kama Mungu amekuwacha.mahubiri yako imenitia Imani nime mambana mpaka nimefika mwisho na kosa matumaini lakini nakataa kutenda dhambi kwa wakati wake Mungu atajibu maombi.

  • @josphinewanja9482
    @josphinewanja9482 Před 6 lety

    Amena

  • @chachazacharia3149
    @chachazacharia3149 Před 4 lety

    Piga kazi mtumishi

  • @happinessmanyama4753
    @happinessmanyama4753 Před 5 lety

    Nashindwa kukuelezea zaid ya kusema hii ndio injili tuliokua tunaitaji,Coz Nilisha wahi kumuliza Mzee wangu wa kanisan kuhusu Mungu kuongea ,Alisema hilo jambo halipo na aliongea na Ellen G white tu,Wakat mm nilisha sikia sauti ya Mungu Mara kadhaa,ilinisikitisha sana

  • @bahatisaimon6019
    @bahatisaimon6019 Před 6 lety

    amen

  • @seifzongo320
    @seifzongo320 Před 6 lety +1

    jina LA somo zuri lakin umezungumzia somo lingne LA imani ...ungetutafutia hilo somo kamili LA kwanini unashambuliwa ,imani n somo lingne

  • @sakirpenabel5338
    @sakirpenabel5338 Před 4 lety

    /mbaga hapo ndiyo penyewe ubarikiwe

  • @agneskatuma3573
    @agneskatuma3573 Před 6 lety

    amina

  • @user-gn5bw4dr1e
    @user-gn5bw4dr1e Před 8 měsíci

    Nina mshukuru MUNGU kwa neema kubwa iyi amenipa ya ku sikia ili neno la MUNGU,
    Niko D.R.CONGO, KIVU YA KASKAZINI, MJI wa GOMA

  • @samueljr9105
    @samueljr9105 Před 5 lety +1

    Mimi nina ndoto kila mara na sijaijua maana yake yaani najikuta mahali kuna fanyika kitu na niko na simu lkn nikitaka kupiga picha nakuta aidha simu inaenda betrey low au kioo inaziba so siwezi piga picha sijaijua huwa inamaanisha nini

  • @nundabe
    @nundabe Před 5 lety

    15:00

  • @fellygodblessyouster6418

    Amina pst ooooh mm niko utumwan sina ruhusa ya kuabudu lakin naingiaga kwa chumba changu nasali nanikipata nafasi y kuskiza yutube napata habari njema inanihuuisha upya hakika sitatupa kitbulisjo changu naomba unikumbuke kwa maombi kutoka Bahrain

  • @HealthyLifeBasics
    @HealthyLifeBasics Před 6 lety +2

    Pr.ubarikiwe,swali langu ni kuwa huyo Pr. Ulosimulia habari zake aliyefia offisin jina lake nani?

  • @bertinmvungi530
    @bertinmvungi530 Před 5 lety

    ambiere nikushukuru ambu mi ninavogha Mira yoo nimwisho

  • @yagwishaheke5433
    @yagwishaheke5433 Před 6 lety +3

    NACHELEA KUJITAMBUA MIMI NI MTU WA DUNIA SASA HAKIKA YAKO MUNGU AKUBARIKI NAOMBA NAMBA YAKO NINA SWALI AU 0714454242

    • @davidmmbaga3350
      @davidmmbaga3350 Před 6 lety

      Yagwisha Heke +255764600129

    • @marympemba8843
      @marympemba8843 Před 5 lety +1

      David Mmbaga Mtumishi wa Mungu umejibu maswali mengi sana. Nina siku tatu nakusililiza ila nimebarikiwa sana. I wish ningekufuatikia mafundisho yako muda mrefu ungenisaidia sana lakini hakijaharika kitu mungu anafanya vitu kwa wakati wake. Mungu akulinde Skype miaka mingi ya kuishi ili utusaidie kiroho. Zaburi 91

  • @hondenisonmagufulinyabaro3923

    Pr umefika Kenya??? Maana uliniambia utakuwa nakuru na Nairobi Kenya???

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  Před 6 lety +1

      Dennison Mogire Nyabaro Nairobi nitakuwa tr 18/8/2018

    • @hondenisonmagufulinyabaro3923
      @hondenisonmagufulinyabaro3923 Před 6 lety

      Mahubiri Tv karibu Sana kanisa gani ??? Mm Niko Kangemi SDA Church camp meeting inaisha leo,,, choir yako inaitwa kibangu juu SDA Church choir iko hapa unaijua??

    • @hondenisonmagufulinyabaro3923
      @hondenisonmagufulinyabaro3923 Před 6 lety

      Mahubiri Tv karibu Sana Sana brother mahubiri yako yamenitia nguvu kweli kweli kabisa,laiti nikuone life siku iyo,,,Kuna jamaa yupo Dodoma aliniambia anakujua,,barikiwa Sana,, welcome!!!

    • @nicokakoyo1583
      @nicokakoyo1583 Před 6 lety

      Amina, barikiwa sana

    • @hondenisonmagufulinyabaro3923
      @hondenisonmagufulinyabaro3923 Před 6 lety

      Uko pande gani ya Nairobi Kenya

  • @agneskatuma3573
    @agneskatuma3573 Před 6 lety

    a

  • @user-rf5tz5ft2y
    @user-rf5tz5ft2y Před 5 lety +1

    Amen

  • @angelakimaro607
    @angelakimaro607 Před 5 lety

    Barikiwa mtumishi

  • @lydiahmogaka7978
    @lydiahmogaka7978 Před 5 lety

    Amina

  • @lilianluhasi7685
    @lilianluhasi7685 Před 5 lety

    Amen

  • @annasangwa4989
    @annasangwa4989 Před 5 lety

    Amen