Kwanini Umezaliwa

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 07. 2018

Komentáře • 95

  • @biblianenolamungubypr.lusa2413

    MUNGU akutie nguvu nyingi pastor David Mmbaga. Watu wengi wanapotea kwa kukosa maarifa ukianza na Mimi. Lakini kulingana na mbaraka wa somo lako, sasa natambua ya kuwa ni makusudi ya aliyeniumba (MUNGU), Kuwepo katika ulimwengu huu. Mchungaji naomba uwe kuhani wangu kwa MUNGU, ili ndoto yangu itimie, na ndoto yangu ni kufanya kazi ya Mungu. Kwani Mimi nimebatizwa miaka miwili iliyopita, na kabla ya hapo nilikuwa sina sehemu ya kusali wala sikujua kanisa ni nini, lakini cha kushangaza nilipenda kuwa kama wahubiri wa neno la Mungu, kama ninavyopenda kuwa kama wewe Mchungaji Mmbaga.(Napenda kuhubiri,hivyo basi, namuomba MUNGU aniwezeshe, kwani peke yangu sitaweza.MUNGU Fanya jambo kwa ajiri yangu kwa kuwa wewe ndiwe unayeyaweza yote, pia ukabariki ombi la Mchungaji Mmbaga na ukasikie ombi atakaloomba kwa ajili ya watu wote na Mimi nikiwemo.Mchungaji David A Mmbaga,MUNGU akubariki, na aendelee kukutumia katika kazi yake, ili sote kwa pamoja tupate kuishi milele pamoja na Mfalme wa wafalme yaani YESU KRISTO, BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YETU Amina.

  • @resgoldphilays1800
    @resgoldphilays1800 Před 5 lety +15

    Mimi napenda sana Mungu aliye ndani yako. NIMWAMINIFU SANA. MIMI SI MSABATO LAKINI MFUASI WA YESU KRISTO ALIYE NDANI YAKO.

  • @princessjovinatha8209
    @princessjovinatha8209 Před 3 lety

    Nabarikiwa sana 👏👏 nimelielewa muondoeni mkamuue inje y madhabu

  • @giftqueen4868
    @giftqueen4868 Před 5 lety +7

    I really enjoyed this sermons poster may God bless you I’m fasting so i was listening to the sermons who is here with me 2019

  • @christinasenga4412
    @christinasenga4412 Před 5 lety +3

    Hareluya pastor kwa ujumbe mzuri nimeelewa kuwa sikuzaliwa Kwa bahati mbaya hata nipitie magumu kiasi gani sikuzaliwa Kwa bahati mbaya

  • @stevenlukumay5517
    @stevenlukumay5517 Před 6 lety +4

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu endelea kutupa gombo la chuo haleluya

  • @rahelmakala5440
    @rahelmakala5440 Před 6 lety +4

    Aiseee Mmmmmm sawa sawa, nihatar nimebarikiwa sana.mora akujalie maisha marefu akujalie hekima amani na busara.

  • @gracezunda8804
    @gracezunda8804 Před 5 lety +4

    Nabarikiwa sana mtumishi ni kweli kabisa usemavyo,!!

  • @graceymaghema2753
    @graceymaghema2753 Před 6 lety +6

    Amina Mtumishi nimepata kitu kwa ujumbe huu natamani sana kujuwa kwa nn nimezaliwa ubarike sana

  • @ibrahimmarwa3502
    @ibrahimmarwa3502 Před 6 lety +6

    amina mchungaji mmbaga ww unaongea ukweli sana mungu akulinde kwa kazi unayo Fanya kwa kuwaelemisha watu wenye mioyo migumu balikiwa sana

  • @meshaester2827
    @meshaester2827 Před 6 lety +5

    Yes Pastor! We are waiting you in ukonga

  • @suzanneborawetemwami9638

    Mtumishi wa Mungu,ubrikiwe saana

  • @nippermshana9260
    @nippermshana9260 Před 5 lety +5

    Barikiwa mchungaji

  • @esthermargaret6476
    @esthermargaret6476 Před 2 lety

    May GOD BLESS YOU you have really blessed my life .

  • @sarahwawuda7638
    @sarahwawuda7638 Před 5 lety +5

    AMEN......asante sana mchungaji

  • @christinasenga4412
    @christinasenga4412 Před 6 lety +8

    Nimejifunza somo zuri sana tena Kwa uchungu mkubwa,kumbe sikuzaliwa kwa bahati mbaya

  • @user-hw9um8su3k
    @user-hw9um8su3k Před 10 měsíci

    Pastor ubarikiwe sana umenikumbusha mbali sana kuna muda hata waliojidai kukupenda sana na kukukataa bila kujua unapitia nini kwa wakati huo utabaki na wazazi na ndugu zako wa karibu tu ndo watakuelewa barikiwa sana mchungaji

  • @veronicajimisha61
    @veronicajimisha61 Před 5 lety +3

    Barikiwa pr.

  • @mandwashija4992
    @mandwashija4992 Před 5 lety +3

    ubarikiwe sana mchungaji

  • @judithcherono2595
    @judithcherono2595 Před 4 lety +2

    2020 Still watching you pastor God bless you

  • @marymwetafrancis9669
    @marymwetafrancis9669 Před 5 lety +7

    Ubarikiwe Pastor kwa mafunuo haya, ingekuwa ni shauri langu.. Ungekuwa mchungaji, mwinjilist Daily... Kwa kweli Mungu wa mbinguni akupe tuu baraka za afyaaaa na ulinzi

  • @silasmonubi9168
    @silasmonubi9168 Před 6 lety +4

    Mchungaji napenda sana mahubiri yako, nabarikiwa sana

  • @judithcherono2595
    @judithcherono2595 Před 6 lety +7

    Amen Yesu apewe sifa,barikiwa mchungaji

  • @maureenkemei9254
    @maureenkemei9254 Před 3 lety

    Wow natamani kusikia neno la Mungu zaidi na zaidi maana ni matamu eee Mungu nisaidie nijue kwanini nimezaliwa

  • @deborahmukendi1928
    @deborahmukendi1928 Před 5 lety +4

    Really powerful 🙏🏻❤️

  • @edwinlawi710
    @edwinlawi710 Před 5 lety +2

    Barikiwa sana pastor mbaga

  • @marthadaniel4904
    @marthadaniel4904 Před 2 lety

    Amina ubarikiwe san Mchungaji

  • @imangregory8392
    @imangregory8392 Před 5 lety +2

    Mungu wa mbinguni akutie nguvu katika utumishi wako!

  • @hassanhussein6161
    @hassanhussein6161 Před rokem

    amina sana mchungaji napenda sana huduma yako natamani siku mmoja nikuone

  • @restutasamuson815
    @restutasamuson815 Před 2 lety

    Unanibariki sana mtumishi yaani nikisikiliza naelewa zaidi neno la Mungu kila siku namic kukusiliza nakua na kui natafuta votcher kwa nguvu ili nikusie nifurahi

  • @nakundwamallya2295
    @nakundwamallya2295 Před 5 lety +1

    MUNGU ambariki sana pastor MMBAGA

  • @williammuriki2967
    @williammuriki2967 Před rokem

    Mungu uwasikikia wanaomwabudu Kwa roho na kweli

  • @simonnyakunga6030
    @simonnyakunga6030 Před 5 lety +4

    Ninapenda sana haya mahubiri pastor. Asante sana

  • @sheilaombongi8086
    @sheilaombongi8086 Před 4 lety

    Maombi ya kunitoa machozi tumepitia magumu lakini kwa Jina la Yesu tuko na huai,barikiwa pastor Amina

  • @restutasamuson815
    @restutasamuson815 Před 2 lety

    Mungu aendelee kukutumia

  • @365basics
    @365basics Před 6 lety +3

    Ahsante PR.

  • @joycekabungo6483
    @joycekabungo6483 Před 2 lety

    Amen Barikiwa

  • @happypetro4175
    @happypetro4175 Před 2 lety

    Nmebarkiwaa sana

  • @doreenfavour622
    @doreenfavour622 Před 5 lety +3

    Mchungaji kuna mambo unaweza pitia hadi unaanza kujitia mbona nikazaliwa kwenye dunia ya tabu.

  • @woodmanufacturersltdwood596

    NAFUATILIA KUTOKA NAIROBI KENYA, INJILI SAFI INAONDOA ROHO MBAYA YA UDINI

  • @ezekielwilliam4654
    @ezekielwilliam4654 Před 2 lety

    Hapana wewe pastor ndani yako kuna Mungu bwana tena anakaa kwako siku zote anaishi ndani yako hata sijui nikwambie nini ila nakwambia ukweli Mungu yupo ndani yako

  • @sulehassanshall6140
    @sulehassanshall6140 Před 3 lety

    Eenyi mulio laaniwa namungu ..token makanisani kwamashetan. Huko kuna mashtan....shetan Ataendelea kuwabaka wanawake nawanaume ucku siku zote wasio msujudia mungu. .Pole wakirsto kwakubakwa nashetan

    • @jacksonnchimbi308
      @jacksonnchimbi308 Před 3 lety

      Wewe Una Mungu au miungu hapo penyewe kila mwaka unaenda Kwa waganga kuomba msaada maana roho mtakatifu moyoni mwako huna na kule Kwa waganga utakuta kile kitabu chako unachokiamini

  • @christinasenga4412
    @christinasenga4412 Před 5 lety +6

    Watu wenye Shida moja wanaongea lugha moja

  • @samueljr9105
    @samueljr9105 Před 5 lety +7

    Napenda sana kusikiliza mahubiri haya maana yanatia msisimko wa kumuangukia Mungu miguuni kwa maombi

  • @kingsdaughter2040
    @kingsdaughter2040 Před 6 lety +3

    Nahitaji maombi juu ya mzee wangu anasikia mgonjwa lakini sipitali akienda ugonjwa haupatikani Lakin anasikia tu mgonjwa am from kenya

  • @fajvavsbvvbs1910
    @fajvavsbvvbs1910 Před 6 lety +9

    Muchungaji injili nitamu nasikia niko mbinguni

  • @cynthianawambugha7663
    @cynthianawambugha7663 Před 3 lety

    Tabia za manoa bado ziko ni majina tuu ndio walibadilisha🤣🤣🤣🤣🤣

  • @joycemashikolo9096
    @joycemashikolo9096 Před 6 lety +3

    mchungaji mmbaga umekuwa mbaraka mkubwa sana kwangu Mungu anisaidie niyaishi maisha ya kusudi lake mimi kuwepo hapa Duniani.

  • @enockmogaka8041
    @enockmogaka8041 Před 3 lety

    What a great revelation. God bless u abundantly pst

  • @mawazomangala6341
    @mawazomangala6341 Před 5 lety +1

    Mtumishi Mungu hakubariki

  • @robertchristopher9809
    @robertchristopher9809 Před 5 lety +1

    Blessed pastor

  • @watwegopnina6480
    @watwegopnina6480 Před 3 lety

    Amen mchungaji, Mungu mwema sana

  • @esthermargaret6476
    @esthermargaret6476 Před 2 lety

    U have really changed my life

  • @gabrielpott3325
    @gabrielpott3325 Před 5 lety +1

    Ameeeeeen saaaana.

  • @hondenisonmagufulinyabaro3923

    Miaka mingi Haina maana but umefanya Nini miaka iyo yote???? PST barikiwa

  • @christinasenga4412
    @christinasenga4412 Před 4 lety

    AMINA PASTOR MMBAGA UNANIBARIKI SANA NA MAHUBIRI YAKO,BARIKIWA SANA

  • @danielitangakubuntu3770
    @danielitangakubuntu3770 Před 5 lety +3

    Wow

  • @fajvavsbvvbs1910
    @fajvavsbvvbs1910 Před 6 lety +1

    Asante sana muchungaji najisikia rohoni mwangu nimeshafishwa

  • @ireneorina3560
    @ireneorina3560 Před 3 lety

    Nitapata kitabu chako pastor

  • @rukundomicheal4626
    @rukundomicheal4626 Před 4 lety +1

    Asante Niko Uganda

  • @robhimarwa8550
    @robhimarwa8550 Před 5 lety +2

    Amen

  • @crispinstini9840
    @crispinstini9840 Před 6 lety +3

    jina la bwana libarikiwe

  • @mmungamleci4876
    @mmungamleci4876 Před rokem

    Nazidi kubarikiwa

  • @nicokakoyo1583
    @nicokakoyo1583 Před 6 lety +2

    Nimebarikiwa San, ila huwa zinakata kabla yakuomba nataman sana ila cjawahi kubahatika ukaomba mpak mwisho, Mungu nimwema IPO cku., Barikiwa sana mchungaji

    • @kenedysamwel3471
      @kenedysamwel3471 Před 5 lety +1

      Mchungaji afundisho yameni okoa sana hasa kuhusu upendo katika ndo sio kitu chamuhimu sana cha muhimu ni hekima na busara

    • @kashindikibatcha8788
      @kashindikibatcha8788 Před 5 lety

      Baba umenibariki nakunijenga zaidi
      Maana wengine bila uyu yesu maisha yangekua ni bure ubarikiwe

  • @bonnymanyama2868
    @bonnymanyama2868 Před 5 lety +4

    mchunguji umenitoa chozi langu yaani nikama unaniambia mimi (unanikumbusha mengi)

  • @ezekielwilliam4654
    @ezekielwilliam4654 Před 2 lety

    Kuna wakati naogopa kukusikiliza yaani naona kama ni Mungu ndio anaongea

  • @maxmillianmturi1370
    @maxmillianmturi1370 Před 5 lety +1

    amen

  • @beatricealexander1373
    @beatricealexander1373 Před 6 lety +4

    Mtumishi naomba No yako ya simu tafadhali

  • @richardmichaeli4548
    @richardmichaeli4548 Před 3 lety

    Amina

  • @geromejelome752
    @geromejelome752 Před 10 měsíci

    Mchngj Mimi naitwa Gerome ila uyo uliyemsema Jelome historia yake kwa ufupi ilikuwaje au yeye alikuwa nani

  • @japhetedwin4220
    @japhetedwin4220 Před 6 lety +2

    Aaaamen

  • @vicentndiholeye1067
    @vicentndiholeye1067 Před 2 lety

    amina

  • @fadhililogatus4422
    @fadhililogatus4422 Před 6 lety +1

    jina la bwana lipewe sifa

  • @lailathussain6492
    @lailathussain6492 Před 6 lety +4

    Mtumishi namba zako tutapataje

    • @kaliwabuyehosheba4330
      @kaliwabuyehosheba4330 Před 5 lety +1

      0764600129 No yake Mch

    • @leonidashatungimana8266
      @leonidashatungimana8266 Před 5 lety

      kaliwabu yehosheba asante saana je namba hiyo ni ya whatsapp ??? mimi niko Burundi yaani nahitaji kupata namba ya whatsapp ya mcungaje huo

    • @leonidashatungimana8266
      @leonidashatungimana8266 Před 5 lety

      pia niko burundi ,pia mumi nimeanza na huu mwaka unapita kuingia na kanisa la wa sabato nikusema kama mimi ni jakomaa sana kwa kanisa la wa sabato ila nimelipenda saaaana nikaamuwa kushiriki kwa kanisa hii

  • @eliajoseph8129
    @eliajoseph8129 Před 6 lety +1

    Mchungaji hakika nina neemeka na mafundisho yako ya kisabato ,mm rc lkn

  • @omariedward4539
    @omariedward4539 Před 6 lety +5

    Jamani MBAGA, AMINA SANA.

  • @phoebemumbi2180
    @phoebemumbi2180 Před 6 lety +2

    Amen