🔴

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 17. 09. 2023

Komentáře • 33

  • @drfrankmgwabati7781
    @drfrankmgwabati7781 Před 9 měsíci +2

    Mungu akubariki sana mtumishi,.Kuna siku nilipitia mafundisho yako juu ya kuomba jambo Kwa kumshukuru, aisee kweli Mungu kanipa hitaji langu, Mungu akubariki sana mtumishi

  • @catherinekihengu2420
    @catherinekihengu2420 Před 9 měsíci +2

    Amina pastor ubarikiwe kwa ujumbe mzuri ulisababisha mpaka nikabatizwa kwenye mahubiri ya ushindi hatimae pastor Mungu akupe maisha marefu Amen🙏

  • @margaretwanjiru9096
    @margaretwanjiru9096 Před 9 měsíci +4

    Kila siku namjua Mungu zaidi na zaidi kupitia mafundisho yako Pastor....Barikiwa sana

  • @DavidJoseph-pw9yz
    @DavidJoseph-pw9yz Před 9 měsíci

    Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu, hakika mimi toka niamini katika imani hii ya waadventista wasabato, mahubiri yako ya menifanya kuipenda kazi ya uchungaji, Hadi Leo hii napenda ningeanza kusoma masomo ya uchungaji lakini kipato duni, pastor Mungu azid kukubariki sana katika maisha yako na uzidi kutulisha neno lake, na roho zipate kuongolewa kila iitwapo leo

  • @hbdina
    @hbdina Před 9 měsíci +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿Ndio Mchungaji tutunze mbegu zetu za asili kwa jina la Yesu Kristu Amen

  • @carolinemwugusi8945
    @carolinemwugusi8945 Před 9 měsíci

    Amen powerful teachings barikiwa pastor

  • @user-sk3jt9fb7b
    @user-sk3jt9fb7b Před 9 měsíci +2

    Kila nilijarbu kupig a hatua najikuta narudi nyuma doesn't matter kwenye maisha ya kiroho pia hata kwenye fiscal yaani kiuchumi, nimejaribu Zaid ya mara tatu Nahitaji macho ya kiroho please pray for me spirit and spiritual.

  • @user-ri8xo6rt6e
    @user-ri8xo6rt6e Před 9 měsíci

    Pastor mbanga , nashukuru kwa mafundisho Yako , Mimi ni daudi kutoka busia Kenya na ningependa kushea na wewe ushuhuda ambayo mungu alinitendea nilipotumia kanuni ya ujasiri

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  Před 9 měsíci

      Mungu akubariki Daudi! Unaweza kunitumia kwa WhatsApp

  • @jailomhengilolo2898
    @jailomhengilolo2898 Před 9 měsíci +1

    Barikiwa kwa neno hili la matumaini, Bwana azidi kukutumia ahsante.

  • @farajasteven9856
    @farajasteven9856 Před 9 měsíci +5

    Pastor naomba nikupe ushuhuda
    Kupitia fundisho la nguvu ya ufalme uliopo ndan yetu ,nilikuwa naelezea mahal tukiwa na rafiki yangu ,kumbe alikuwa anapitia changamoto kubwa sana mda mrefu,nilieleza kipande ulichomshudia kijana mmoja ambae alikuwa mraibu wa jambo flan,akasema Yesu Leo twende wote ,na akapona tokea hapo ,bas huyu rafiki yangu akayachukuwa Yale maneno akayafanyia kazi,,maana alikuwa anakabwa na kinyongwa Kila akienda kulala hivyo siku hiyo na yeye akasema Yesu uko ndan yangu,bas Leo naomba tukabwe wote anasema Ile amelala vikaanza kidogo mwisho vikapotea ,ameniambia juz kuwa ana wiki sasa analala kama mtoto,,Jina Bwana litukuzwe sana

    • @SaitotiHinyura
      @SaitotiHinyura Před 9 měsíci

      Amina

    • @allround8056
      @allround8056 Před 9 měsíci

      Amen! This is the classic example of "they defeated him by the blood of the lamb and by word of their testimony!" Hallelujah!

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  Před 9 měsíci

      Ameeeeeen

  • @esthersimuli9952
    @esthersimuli9952 Před 4 měsíci

    Amen

  • @rahabumorro4148
    @rahabumorro4148 Před 9 měsíci

    Asante sana nimebarikiwa mno Mungu atukuzwe sana

  • @NesthaSimeoni
    @NesthaSimeoni Před 9 měsíci +1

    Ubarikiwe pastor

  • @HopeforAfricaTv
    @HopeforAfricaTv Před 9 měsíci +1

    Mungu awabariki

  • @josianeniyonkuru5796
    @josianeniyonkuru5796 Před 9 měsíci

    Mungu asifiwe sana nimebarikiwa

  • @upendoramadhan9222
    @upendoramadhan9222 Před 9 měsíci

    Amen nimejifunza

  • @farajasteven9856
    @farajasteven9856 Před 9 měsíci

    Namuona Jemima hapo barikiwen

  • @nancyabura7316
    @nancyabura7316 Před 9 měsíci

    Tunaokolewa kwa neema

  • @BarnabasJonas-nv4ig
    @BarnabasJonas-nv4ig Před 9 měsíci

    AMINA

  • @geraldmwangira.4978
    @geraldmwangira.4978 Před 9 měsíci +1

    Amen ubarikiwe Pastor kwa somo zuri.

  • @angelnziajose7655
    @angelnziajose7655 Před 9 měsíci +2

    Hivi ni mimi simu yangu au Kama Kuna sehemu inaruka ulianza nibadili Jina mara imeruka sehemu nyingine au ni simu yangu?

    • @saulidongo1865
      @saulidongo1865 Před 9 měsíci

      Ni kweli inarka nadhan ni tatzo la kiufundi

  • @jolemerci2155
    @jolemerci2155 Před 9 měsíci

    Wa imbaji kavaa vema sana hawa wanao vaa miwani njo katu changanya ila kwa mavazi ni asili Mia % 100

  • @waltergekone3879
    @waltergekone3879 Před 9 měsíci +1

    Week mbili tumekumiss sana

  • @priscaayo3878
    @priscaayo3878 Před 9 měsíci

    Mmeondokamo?!

  • @user-mw6wv6tt7v
    @user-mw6wv6tt7v Před 9 měsíci

    Amen