Mungu akubariki sana mtumishi,.Kuna siku nilipitia mafundisho yako juu ya kuomba jambo Kwa kumshukuru, aisee kweli Mungu kanipa hitaji langu, Mungu akubariki sana mtumishi
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu, hakika mimi toka niamini katika imani hii ya waadventista wasabato, mahubiri yako ya menifanya kuipenda kazi ya uchungaji, Hadi Leo hii napenda ningeanza kusoma masomo ya uchungaji lakini kipato duni, pastor Mungu azid kukubariki sana katika maisha yako na uzidi kutulisha neno lake, na roho zipate kuongolewa kila iitwapo leo
Kila nilijarbu kupig a hatua najikuta narudi nyuma doesn't matter kwenye maisha ya kiroho pia hata kwenye fiscal yaani kiuchumi, nimejaribu Zaid ya mara tatu Nahitaji macho ya kiroho please pray for me spirit and spiritual.
Pastor mbanga , nashukuru kwa mafundisho Yako , Mimi ni daudi kutoka busia Kenya na ningependa kushea na wewe ushuhuda ambayo mungu alinitendea nilipotumia kanuni ya ujasiri
Pastor naomba nikupe ushuhuda Kupitia fundisho la nguvu ya ufalme uliopo ndan yetu ,nilikuwa naelezea mahal tukiwa na rafiki yangu ,kumbe alikuwa anapitia changamoto kubwa sana mda mrefu,nilieleza kipande ulichomshudia kijana mmoja ambae alikuwa mraibu wa jambo flan,akasema Yesu Leo twende wote ,na akapona tokea hapo ,bas huyu rafiki yangu akayachukuwa Yale maneno akayafanyia kazi,,maana alikuwa anakabwa na kinyongwa Kila akienda kulala hivyo siku hiyo na yeye akasema Yesu uko ndan yangu,bas Leo naomba tukabwe wote anasema Ile amelala vikaanza kidogo mwisho vikapotea ,ameniambia juz kuwa ana wiki sasa analala kama mtoto,,Jina Bwana litukuzwe sana
Mungu akubariki sana mtumishi,.Kuna siku nilipitia mafundisho yako juu ya kuomba jambo Kwa kumshukuru, aisee kweli Mungu kanipa hitaji langu, Mungu akubariki sana mtumishi
Amina pastor ubarikiwe kwa ujumbe mzuri ulisababisha mpaka nikabatizwa kwenye mahubiri ya ushindi hatimae pastor Mungu akupe maisha marefu Amen🙏
Kila siku namjua Mungu zaidi na zaidi kupitia mafundisho yako Pastor....Barikiwa sana
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu, hakika mimi toka niamini katika imani hii ya waadventista wasabato, mahubiri yako ya menifanya kuipenda kazi ya uchungaji, Hadi Leo hii napenda ningeanza kusoma masomo ya uchungaji lakini kipato duni, pastor Mungu azid kukubariki sana katika maisha yako na uzidi kutulisha neno lake, na roho zipate kuongolewa kila iitwapo leo
🇹🇿🇹🇿🇹🇿Ndio Mchungaji tutunze mbegu zetu za asili kwa jina la Yesu Kristu Amen
Amen powerful teachings barikiwa pastor
Kila nilijarbu kupig a hatua najikuta narudi nyuma doesn't matter kwenye maisha ya kiroho pia hata kwenye fiscal yaani kiuchumi, nimejaribu Zaid ya mara tatu Nahitaji macho ya kiroho please pray for me spirit and spiritual.
Pastor mbanga , nashukuru kwa mafundisho Yako , Mimi ni daudi kutoka busia Kenya na ningependa kushea na wewe ushuhuda ambayo mungu alinitendea nilipotumia kanuni ya ujasiri
Mungu akubariki Daudi! Unaweza kunitumia kwa WhatsApp
Barikiwa kwa neno hili la matumaini, Bwana azidi kukutumia ahsante.
Pastor naomba nikupe ushuhuda
Kupitia fundisho la nguvu ya ufalme uliopo ndan yetu ,nilikuwa naelezea mahal tukiwa na rafiki yangu ,kumbe alikuwa anapitia changamoto kubwa sana mda mrefu,nilieleza kipande ulichomshudia kijana mmoja ambae alikuwa mraibu wa jambo flan,akasema Yesu Leo twende wote ,na akapona tokea hapo ,bas huyu rafiki yangu akayachukuwa Yale maneno akayafanyia kazi,,maana alikuwa anakabwa na kinyongwa Kila akienda kulala hivyo siku hiyo na yeye akasema Yesu uko ndan yangu,bas Leo naomba tukabwe wote anasema Ile amelala vikaanza kidogo mwisho vikapotea ,ameniambia juz kuwa ana wiki sasa analala kama mtoto,,Jina Bwana litukuzwe sana
Amina
Amen! This is the classic example of "they defeated him by the blood of the lamb and by word of their testimony!" Hallelujah!
Ameeeeeen
Amen
Asante sana nimebarikiwa mno Mungu atukuzwe sana
Ubarikiwe pastor
Mungu awabariki
Mungu asifiwe sana nimebarikiwa
Amen nimejifunza
Namuona Jemima hapo barikiwen
Tunaokolewa kwa neema
AMINA
Amen ubarikiwe Pastor kwa somo zuri.
My sister hope you're doing well
My sister hope you're doing well
@@jaredmayaka2993 yh am fine my bro, how about you?
Hivi ni mimi simu yangu au Kama Kuna sehemu inaruka ulianza nibadili Jina mara imeruka sehemu nyingine au ni simu yangu?
Ni kweli inarka nadhan ni tatzo la kiufundi
Wa imbaji kavaa vema sana hawa wanao vaa miwani njo katu changanya ila kwa mavazi ni asili Mia % 100
Week mbili tumekumiss sana
Mmeondokamo?!
Amen