MAISHA YAKO NI MATOKEO YA UFUNUO ULIONAO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 09. 2024

Komentáře • 98

  • @El9a
    @El9a Před 3 lety +7

    Hii ndio seminar yangu ya kwanza kuipata kumsikia huyu Mtumishi wa Mungu...
    Tangu hapo nmejifunza vingi sana kupitia yeye. BWANA Yesu Akuzidishie Neema yake Mtumishi.
    I appreciate your Ministry.
    Siku ya kwanza kufika Madhabahuni nilibarikiwa na nlivyofika nyumban Mtumishi Sunbella na Pastor John Sembatwa Wote nliwaona kwenye ndoto, Mwl Sunbella Aliongea na mimi wakati Pastor alikua akiniangalia...
    Nikaona hii huduma iko kwaajili ya msaada wa wengi'🙏

  • @liliansukhe3386
    @liliansukhe3386 Před 5 lety +10

    Sifa na utukufu kwa Mungu! ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu Sunbella pia umependeza sana na hiyo suti.

  • @mtumishichristina2522
    @mtumishichristina2522 Před 5 lety +5

    Mungu akubariki sana,umekuwa mwalimu mzur mno.sifa na utukufu tumrudishie Mungu mwenyewe aliyekufinyanga.

  • @graceambilikile7442
    @graceambilikile7442 Před 3 lety +1

    Unanibariki sana pastor wangu

  • @majaliwampika5417
    @majaliwampika5417 Před 5 lety +2

    Mungu akufunulie zaidi pastor.

  • @SimonMusa-lm4tf
    @SimonMusa-lm4tf Před rokem

    Amen amen.

  • @bethcharles1794
    @bethcharles1794 Před 2 lety

    Apostle ubarikiwe sana unanifundisha vingi sana! Amen

  • @dominikamwajombe5759
    @dominikamwajombe5759 Před 5 lety +3

    Barikiwa sana mtumishi kwa ujumbe

  • @petermunuo1657
    @petermunuo1657 Před 2 lety +1

    Amen

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před rokem

    Amen amen amen YESU AHSANTE

  • @aminaashika2971
    @aminaashika2971 Před 2 lety

    Na mungu akulinde ziku zakk mana unajambu Nemo vilivuo

  • @mwalimubakari5213
    @mwalimubakari5213 Před 2 lety

    Asante mchungaji mwalimu bakari kutoka kenya

  • @lekenoishoo3038
    @lekenoishoo3038 Před 5 lety +6

    May God grant you more favour servant of the living God...Great revelation...

  • @MonyBasil-xf5pm
    @MonyBasil-xf5pm Před 10 měsíci

    Mungu awabariki

  • @catherinekileva414
    @catherinekileva414 Před 3 lety +1

    Roho mtakatifù anafundisha vizuri ndani yako BABA yaaaani hata ukiwa tahira roho MUNGU anatoa ufahau wa uelewa.

  • @jefrineliaselias691
    @jefrineliaselias691 Před 2 lety

    Hakika wewe ni mwalim nakuelewa vizuri Sana mtumishi sunbella

  • @jeremiaisowe4443
    @jeremiaisowe4443 Před 19 dny

    Amen🙏🙏🙏

  • @elaineeliudi2497
    @elaineeliudi2497 Před 3 lety +1

    MUNGU akufunike Mtumishi uweze kulitimiza kusudi lake. AMEN

  • @drrphaeltz1
    @drrphaeltz1 Před 2 lety +1

    Amen ubarikiwe kwa Jumbee hii, maana Mungu aliye hai kanifunulia jambo kuu juu ya Huduma yangu

  • @janekuria1898
    @janekuria1898 Před 5 lety +2

    Asante Sana mchunganji mahubiri yako imenishaidia Sana.

  • @MnyabiGang
    @MnyabiGang Před 28 dny

    Ameni🙏

  • @elianyanga9654
    @elianyanga9654 Před 5 lety

    Ameni amina mtumishi wa Mungu, nimeguswa sana na pia nmepokea upako vizuri sana

  • @alexsanga9179
    @alexsanga9179 Před 5 lety +1

    Mungu akubariki mtumishi

  • @El9a
    @El9a Před 5 lety +8

    Bwana YESU Asifiwe sana Atukuzwe sana sana sanaa,
    Amen, AMIN & Amina.!!!
    Kwa kweli mtu akiangalia kwa macho na mazoea aweza kukosa ujumbe muhimu sana(ni motooo) ni silaha ni hekima ya kweli...
    Mtumishi wa Bwana Ubarikiwe sana ufike viwango vingine vya kulitukuza Jina la Bwana Yesu, sijafika mwisho kuskiliza ila nmeona kuna vitu vya kutosha ndani yake (content) kwa kila aliye hai
    .. Shalom

    • @godwinmnenex2982
      @godwinmnenex2982 Před 5 lety

      Upo wap

    • @El9a
      @El9a Před 3 lety

      Sikujua kumbe niliwahi kucomment miaka miwili iliyopita
      Leo nmekuja huku ndio nmejua...
      Na nmekuja nikitaka kuituma link mtu mwingine afaidi somo kama nlivyofaid mm'.

  • @jonaselisha1100
    @jonaselisha1100 Před 3 lety

    Mungu akupe maisha marefu Mtumishi

  • @sesenemwanze9376
    @sesenemwanze9376 Před rokem

    Asante mutumishi kwa mahubiri

  • @ventoven7120
    @ventoven7120 Před rokem

    Neno hili likae ndani yangu ameni!

  • @florarichard8200
    @florarichard8200 Před 4 lety

    Amen🙏🙏 ubarikiwe mnooo baba

  • @joygeno4579
    @joygeno4579 Před 3 lety +3

    Amen. Deep revelation. Glory to God.

  • @bandekepaul6955
    @bandekepaul6955 Před 5 lety +4

    Ameen mtumishi.

  • @miriamomunandi2170
    @miriamomunandi2170 Před 5 měsíci

    Naomba namba za simu

  • @mhamdahmd7758
    @mhamdahmd7758 Před 2 lety

    Amen Amen

  • @peteryabesa3637
    @peteryabesa3637 Před 2 lety

    God bless you

  • @saiguranlaizer2483
    @saiguranlaizer2483 Před 2 lety

    Thanks dady

  • @happinessakim2889
    @happinessakim2889 Před 3 lety +2

    Thanks so much Dady🙏🙏🙏

  • @uwimanamagnifique6983
    @uwimanamagnifique6983 Před 3 lety

    Papa paster ubarikiwe Sana juu umeni bariki sana

  • @safarijoseph9591
    @safarijoseph9591 Před 2 lety

    Ninapoenda ufundishahi wako mtumishi be blessed

  • @marymelkiory7422
    @marymelkiory7422 Před 3 lety

    Hongera unafundisha vizuri

  • @saiguranlaizer2483
    @saiguranlaizer2483 Před 2 lety

    I'm blessed

  • @sarahsoso7202
    @sarahsoso7202 Před 5 lety +1

    Nimemwona mungu akijifunua kwangu Amina

  • @redemthasumaye2492
    @redemthasumaye2492 Před 3 lety

    Amen sana

  • @ellynjuu9687
    @ellynjuu9687 Před 5 lety

    Neno la Mungu halipiti bure. Barikiwa mtumishi..

  • @mackmillan9040
    @mackmillan9040 Před 4 lety

    Eeeh mwenyenzi mungu unayeishi,, Naomba unitendee nikushuhudie

  • @NuruDunianiFM-TV
    @NuruDunianiFM-TV Před 5 lety +8

    Ni mara yangu ya kwanza kukusikiliza nimebarikiwa

  • @chrismassawe326
    @chrismassawe326 Před 5 lety +2

    Huo mwamba ni ufaham ambao hata malango ya kuzimu hayatashinda hata mm ninaufaham huo na malango ya kuzimu hayaniwezi

  • @anaaanick4187
    @anaaanick4187 Před 2 lety

    Amen Ameen

  • @joyceissaya3760
    @joyceissaya3760 Před 5 lety +1

    Amina ubarikiwe sana pastor

  • @sarahsoso7202
    @sarahsoso7202 Před 5 lety +2

    Barikiwa Sana mwalimu mafundisho yako yanifanya nilielewe neno la mungu.

  • @gmruma8867
    @gmruma8867 Před 3 lety

    asante Mungu Roho mt ,kwa mtu huyu.
    naombariki.

  • @veronicasadi3853
    @veronicasadi3853 Před 5 lety

    Ubarikiwe Baba, kwa mafundisho mazuri mno

  • @rosemtamakaya2961
    @rosemtamakaya2961 Před 2 lety

    Ameen barikiwa na SoMo hili

  • @chrisshonga
    @chrisshonga Před 5 lety

    MUNGU akubariki Sana mtumishi nimebarikiwa Sana kwa kweli

  • @BeatriceMalema-p1w
    @BeatriceMalema-p1w Před měsícem

    Mtumishi unapatikana wapi

  • @WinWilly4162
    @WinWilly4162 Před 5 lety +1

    Amen.. Ahsante pastor kwa mafundisho mazuri

  • @anithawisdom1165
    @anithawisdom1165 Před 2 lety +1

    Ameen

  • @user-mf5ww2gj6b
    @user-mf5ww2gj6b Před rokem

    🙏

  • @delphindidas9861
    @delphindidas9861 Před rokem

    🙏🏾

  • @sifumungu2
    @sifumungu2 Před 5 lety

    Mungu wetu akubariki kwa mafundisho hii.aksanti kabisa

  • @samwelihaonga3984
    @samwelihaonga3984 Před 2 lety

    Be bleesed pastor

  • @banathdaniel6550
    @banathdaniel6550 Před 5 lety

    Barikiwe sana dady

  • @undulemwambesela223
    @undulemwambesela223 Před 3 lety

    Hakika nabarikiwa sana napo sikiriza mafundisho yako nabarikiwa sana mung akutie nguvu

  • @kessyhapecom6293
    @kessyhapecom6293 Před 3 lety

    Asante Sana

  • @milyamukumbi5414
    @milyamukumbi5414 Před 3 lety

    I'm blessed 🙏🙏

  • @faybaibe9023
    @faybaibe9023 Před 5 lety +2

    Amen 🙌🙌🙌🙌

  • @godwinimwandete2504
    @godwinimwandete2504 Před 3 lety

    Nabalikiwa

  • @suziemichael4338
    @suziemichael4338 Před 2 lety

    Haya mafundisho yameniponya nafsi yangu

  • @marykibwana9413
    @marykibwana9413 Před 3 lety

    Apostle, Mungu akubariki lkn kanisa lako liko wapi

  • @ndelwaeditha2808
    @ndelwaeditha2808 Před 4 lety

    Naomba namba ya mtumishi.Asante

  • @kayumbasosthenes3596
    @kayumbasosthenes3596 Před 7 měsíci

    Chupa nyeupe iliyofunukwa au kufungwa nakifuniko cha dhahabu,ukiona mtumish naomba jibu

  • @omikajanja1134
    @omikajanja1134 Před 5 lety

    Asante kwa mafundisho mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana

    • @evarlightpaul6192
      @evarlightpaul6192 Před 4 lety

      Ameen 🙏

    • @highonebalo8289
      @highonebalo8289 Před 3 lety

      Mungu Mwema akutunze mtumishi.
      Nakuelewa sana mwalimu.
      Mafuta ya kufundisha yako ndani yako kwa viwango.
      Bless u man of God.

  • @estherkoya8410
    @estherkoya8410 Před 4 lety

    Somo linanihusu, hili ni somo langu kila ulichosema😭

  • @hopejacob2436
    @hopejacob2436 Před 3 lety

    HII NIYANGU KABISA

  • @sigaladaniel653
    @sigaladaniel653 Před 5 lety +1

    nimekuelewa sana sana mwl,tembea hata mikoani

  • @peteralpha650
    @peteralpha650 Před 5 lety

    Yesu asifiwe, mtumishi ninaomba ufafanuzi zaidi ni vipi unaposema Petro alikuwa very weak kuliko wanafunzi wote!

    • @El9a
      @El9a Před 5 lety +4

      Yesu alisema( Marko:14.38)
      Kesheni mwombe, msije mkaingia majaribuni, roho i radhi ila mwili ni dhaifu.
      Hivyo Katika hali ya kimwili alikuwa ana udhaifu wake...
      Ambao ulionekana sehemu nyingi (imani ya kutembea juu ya maji, kumkana Yesu mara tatu n.k) ambayo tunapata taswira ya madhaifu yetu sisi wa kikazi hiki
      Lakini baada ya Roho Mtakatifu kutawala tunaona picha nyingine ya ujasiri na imani kuu ambayo sifa haziendi kwa Petro kama mtendaji mkuu bali kwa Roho Mtakatifu aishie ndani ya waamini wanaotii.

    • @mchisraelimbarikiwanassari3588
      @mchisraelimbarikiwanassari3588 Před 5 lety

      Ubarikiwe man of god

  • @jefrineliaselias691
    @jefrineliaselias691 Před 2 lety

    Hakika wewe ni mwalim nakuelewa vizuri Sana mtumishi sunbella

  • @linnetatama8164
    @linnetatama8164 Před rokem

    Amen

  • @costanciamwita7532
    @costanciamwita7532 Před 5 lety

    Amina

  • @jefrineliaselias691
    @jefrineliaselias691 Před 2 lety

    Hakika wewe ni mwalim nakuelewa vizuri Sana mtumishi sunbella

  • @jovinthomas8882
    @jovinthomas8882 Před 2 lety

    Amen

  • @veronikaaugustino4321
    @veronikaaugustino4321 Před 4 lety

    Amina

  • @bettyoluoch9774
    @bettyoluoch9774 Před 5 lety

    Amen