MIGUU ILIYOHAMISHWA - PASTOR SUNBELLA KYANDO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 09. 2024
  • Luka 10:19
    [19]Tazama, nimewapa amri ya kukanyaga nyoka na nge, na nguvu zote za yule adui, wala hakuna kitu kitakachowadhuru.
    Huwezi kukanyaga kitu kilichopo juu yako,Yesu anaposema kuwa amekupa amri ya kukanyaga nyoka na nge kwa maana nyingine ni kuwa kuna nafasi katika ulimwengu wa roho ambayo hizi nguvu za giza zimewekwa,yaani chini ya miguu yako.Na kama adui anajua kwa miguu yako utamkanyaga yeye na kazi zake zote ndio maana katika vitu anaviwinda kuvikamata kwa binadamu ni miguu.Ulishawahi kujiuliza kwanini wachawi au washirikina huchukua mchanga wa unyayo wa mtu alipokanyaga?au kwanini umekuwa ukiota umefungwa na minyororo miguuni?
    Ukisoma Ayubu 13:27-28
    📝Waitia miguu yangu katika mkatale, na kuyaaua mapito yangu yote; Wajiandikia alama kuzizunguka nyayo za miguu yangu; Nijapokuwa ni kama kitu kilichooza, kinachosinyaa, Mfano wa nguo iliyoliwa na nondo.📝
    Imeelezea vizuri sana.Mkatale maana yake ni "mnyororo".Ukifungwa na mnyororo kuna hatua zako na njia zako zinakuwa zimezuiwa na huwezi kusogea zaidi ya urefu wa mnyororo huo.Ndio maana kuna vitu vikubwa unajua kabisa una uwezo wa kuvifanya lakini hata ukijaribu vipi unaishia kushindwa lakini vya chini yake unavifanya vizuri na kwa ustadi..kuna mnyororo uliofungwa na unaweza kuvifanya vilivyo ndani ya urefu wa huo mnyororo.Ndio maana kuna familia ambazo kwenye kuishi hawazidi umri fulani, kwenye kupata kipato hakizidi kiwango fulani,kwenye uzao hawazidi idadi fulani ya watoto n.k na hata wakijitahidi vipi kusogea wanashindwa.
    Huyu mtu hawakuishia tu kumfunga kwa mnyororo bali wameua na mapito yake yote.Kuna maono makubwa ambayo alikuwa nayo lakini tangu amefungwa hata hayo maono hana tena maana amehamishwa na kwenye njia ya kusudi lake.Anasema amekuwa kama kitu kilichooza na kusinyaa.Hakuna mtu anayeweza kukaa karibu na kitu kilichooza,yaani kwa huyu mtu kibali chake pia kimeondolewa,watu wanamkwepa..kwa ufupi amekuwa na roho ya kukataliwa.Lakini ukiangalia haya yote yanayomtokea yameanzia kwenye miguu yake kufungwa.

Komentáře • 60

  • @megastudio5763
    @megastudio5763 Před 2 měsíci

    Ni somo nililokuwa nalisubiri muda wote. Nmewai kuota zaidi ya mara mbili ndoto inayousiana na miguu na nyoka. Mtumishi sunbella naomba namba kwa ajili ya maombi. Naomba tafadhali

  • @kaninimuindi6470
    @kaninimuindi6470 Před 4 měsíci

    Amen kwamafuzo mungu atukuzwe na hainuliwe amen

  • @ndolehamisi5567
    @ndolehamisi5567 Před 3 měsíci

    sijachelewa kwakweli, nabarikiwaa

  • @annkauri7406
    @annkauri7406 Před 2 lety +4

    Mtumishi mumgu akubariki,kila ninapokukuskiza kila wakati ni kama unaubiria familia yetu,sababu imefungwa pande zote,magonjwa,chuki,ulevi na umaskini umekita mizizi kwetu but nimesimama kwa ajili ya familia yetu and i believe and i trust God minyororo yote, mungu atafungua.I trust God for healing.Ann KENYA.

  • @elizajumanne8059
    @elizajumanne8059 Před rokem

    Mungu akutunze baba

  • @maribasimon47
    @maribasimon47 Před 2 lety +3

    BWANA YESU ASIFIWE ,Napenda kumushukuru mungu kwa mafundisho ya mungu hasa somo la roho ya umasikini jinsi shetani anavyo haribu mahusiano ya mtu na mungu nimefunguliwa sasa amen 🙏

  • @claudiakijoma2101
    @claudiakijoma2101 Před 2 lety +1

    Mungu awabariki watumishi waMungu.Mimi ni muumini wenu kupitia CZcams.Nawaombea Mungu wa.Mbinguni asiwapungukie Mema yake.AMINA

  • @masprintventures7646
    @masprintventures7646 Před 2 lety +1

    Bishop sunbella nakutazama kutoka Kenya na mahubiri yako yamenijenga sana, hasa mateso ya kifamilia,niombee Bishop nataka kufungua biashara mashinani na Kuna changa moto za kupata nyumba ya biashara.

  • @imanimbwiga9009
    @imanimbwiga9009 Před 5 měsíci

    My mentor

  • @stephanosospeter1709
    @stephanosospeter1709 Před 23 dny

    Ameen

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před rokem

    Sauti ipo chini sana

  • @magrethmvwango2682
    @magrethmvwango2682 Před rokem

    Ameni kwaimani mungu niponye magojwa yote mwilini mwangu 🙏 kwaimani mungu waponye familia yangu esta jackrini bitrice waponye wazazi wangu Ameni kwaimani Emanueli mnyogele arudi kwenye mikono yangu Ameni 🙏

  • @florencekwamboka9717
    @florencekwamboka9717 Před rokem

    Amen

  • @maryandason1815
    @maryandason1815 Před 2 lety +4

    Amen Asante Sana Bishop Sanbella 🙏🙏 nakuelewa BABA 🙌🙌.natendea kazi pia mafundisho haya mazur ya kunifungua ufaham wangu.barikiwa Sana Bishop Sanbella

  • @raysjames1776
    @raysjames1776 Před měsícem

    Kupitia ushuhuda huu naimani kaka yangu atapona palalize

  • @loycegodson7754
    @loycegodson7754 Před rokem

    Amen....

  • @user-nm2jz9ww4q
    @user-nm2jz9ww4q Před 7 měsíci

    Kwetu.congo.lumbu.mbashi.asate.mutusahidiyeko.mahombi.

  • @monicahmwalozi
    @monicahmwalozi Před rokem

    🙏🙏huyu mtumishi wa Mungu namuelewa kabisa mimi ameniokoa sana na maisha ya ulimwengu wa kiroho .

  • @magrethmvwango2682
    @magrethmvwango2682 Před rokem

    Kwaimani mungu nafunguliwa kiuchumi mungu kwaimani napokea uponyaji kwenye biashala yangu mungu naomba simama pamoja nami Amen 🙏

  • @priskasaleh9679
    @priskasaleh9679 Před 2 lety +1

    Amen nikumbe Kwa maombi pamoja na familia yangu 🙏🙏

  • @christinechambuni9060
    @christinechambuni9060 Před 8 měsíci

    Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu nimebarikiwa sana amen

  • @esaiehakizimana5783
    @esaiehakizimana5783 Před 2 lety

    Nashukuru kuwa waminifu na kuonyesha upendo kwa gusaidia wa Kristo usingefunga pamoja nae ungegunduwa sili ya gifungo ca huyu mutu .asanté Yesu Kristo kwa upendo wako . kwako upendo ni musingi wa gutumika nawe

  • @petermunuo1657
    @petermunuo1657 Před 2 lety +1

    Amen mtumishi barikiwa sana

  • @lilianfaustine3703
    @lilianfaustine3703 Před 2 lety

    Kupitia ushuhuda huo nami najiunganisha na madhabahu hayo ya ROC napokea mrejesho🙏🙏Tiba ya wazazi Mungu akawaondolee maradhi yanayowasumbua na mdogo wangu apate kazi🙏

  • @user-hr7yp6yf1d
    @user-hr7yp6yf1d Před 3 měsíci

    Nisaidie mtumishi kama vile ni mimi

  • @user-hr7yp6yf1d
    @user-hr7yp6yf1d Před 3 měsíci

    Naomba uniombee nipo Kagera Mleba

  • @christopherisrael8438
    @christopherisrael8438 Před 2 lety

    Amina baba.Najiungamanisha na mafundisho haya na yajayo.Nahisi nimeshatiwa katka mkatale na niko ktk hatua ya kusinyaa.Eee Mungu nisaidie kupitia madhabahu hii.Amina

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před rokem

    Hallelujah hallelujah Glory to God Ahsante YESU WANGU

  • @ilynnkawa4038
    @ilynnkawa4038 Před 11 měsíci

    Jesus am here touch me with this annointing🙏

  • @AtupokileKashililika
    @AtupokileKashililika Před 5 měsíci

    Pasta unaeleweka Sana mungu akupe maisha malefu

  • @salomemueni100
    @salomemueni100 Před 2 lety +1

    Kwetu kenya..
    Hallelujah, hallelujah, hallelujah..
    AMEN
    AMEN
    AMEN..🙏🙏🙏

  • @hendricathomas2053
    @hendricathomas2053 Před 2 lety

    Barikiwa kwa Somo zuri mtumishi wa Mungu

  • @babaloisethan7010
    @babaloisethan7010 Před 2 lety

    Kitu Cha kiroho hakiondoki kwa bidii ya kimwili...Duuu YUKO NDANI YA SHABIBY...Mungu tuokoe.

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda9239 Před 2 lety

    Eee Mungu naomba wote walomloga mama yangu na kizazi chake,Moto wa Mungu uwateketeze.

  • @victorishunga2893
    @victorishunga2893 Před 2 lety

    Barikiwa Mtumishi Neema ya Mungu ni kubwa napata kitu

  • @magrethmvwango2682
    @magrethmvwango2682 Před rokem

    Eee mungu kwaimani nami nafunguliwa leo 🙏

  • @mercylongo7165
    @mercylongo7165 Před 2 lety

    Namshukuru sana mungu kwaajili yako mtumishi

  • @jefrineliaselias691
    @jefrineliaselias691 Před 2 lety

    Hakika wewe ni mwalim nabarikiwa mnoooh

  • @maureenprosperity6335
    @maureenprosperity6335 Před 2 lety

    Asante mchungaji na Mungu akubariki

  • @happynesskapela1153
    @happynesskapela1153 Před rokem

    Amen🙏🙏🙏

  • @sarahburetta8547
    @sarahburetta8547 Před 2 lety

    Mtumishi wa Mungu lini unakuja morogoro

  • @janettheis3749
    @janettheis3749 Před 2 lety

    Amen nakuelewa mtumishi wa mungu

  • @freddynkya7094
    @freddynkya7094 Před 2 lety

    Barikiwa sana baba

  • @leah1187
    @leah1187 Před 2 lety

    Familia yangu inamatatizo San natamani siku nikutane nawe mtumishi mungu akubariki

  • @collinscharles4859
    @collinscharles4859 Před 2 lety

    Ameeen 🙏

  • @suziemichael4338
    @suziemichael4338 Před 2 lety

    Very powerful

  • @janetmusyoka4704
    @janetmusyoka4704 Před 2 lety +1

    Tuko pamoja mtumishi wa mugu

  • @lilianpatrick4367
    @lilianpatrick4367 Před 2 lety

    Amina

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 Před 2 lety

    Ninawashukuru kwa walimu na wachungaji kwa kutupa chakula kizuri

  • @levismjasiliamali4267
    @levismjasiliamali4267 Před 2 lety

    Lini mnakuja Dodoma pastor

    • @pastorsunbellakyando
      @pastorsunbellakyando  Před 2 lety

      Tuko kila jumatano pale dear mama hoteli kuanzia kumi na koja jioni

    • @estermatee4834
      @estermatee4834 Před 2 lety

      @@pastorsunbellakyando
      Arusha sehemu gani na siku gan pastor!

  • @maureenprosperity6335
    @maureenprosperity6335 Před 2 lety

    Nimebarikiwa na kujifuza mengi

  • @Miriam84Akizimana
    @Miriam84Akizimana Před 2 lety

    🙏

  • @enserosengolly7619
    @enserosengolly7619 Před 2 lety

    Amen

  • @collinscharles4859
    @collinscharles4859 Před 2 lety

    Ameeen 🙏

  • @anethrwamshenyi5953
    @anethrwamshenyi5953 Před 2 lety

    Amen

  • @meshackmathayo6876
    @meshackmathayo6876 Před 2 lety

    Amen

  • @elizabethmwachiti7987
    @elizabethmwachiti7987 Před 2 lety

    Amen