NOMA!! BARIDI LA NJOMBE, WANANCHI WAFUNGUKA "BARIDI NI KALI SANA, WATU WANAAMKA SAA NNE ASUBUHI"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024

Komentáře • 294

  • @leylamohamed9939
    @leylamohamed9939 Před 2 lety +4

    Ili Baridi la hivi lipo eneo fulani hivi linaitwa Njiapanda ukitokea Singida Mjini kuelekea Katesh, Aisee Kile kipande kipo kama hivi ukungu mzito baridi sana na huo ilikuwa ni mwezi wa 3, sasa sijui sasa hivi kukoje🙌🏽🙌🏽 Aiseee balaa

  • @sharonyclement9457
    @sharonyclement9457 Před 2 lety +34

    Safi sana Tanzania wapendabaridi karibuni njombe

  • @mwajumamtulia3727
    @mwajumamtulia3727 Před 2 lety +3

    Nakumbuka miaka 4 iliyopita nilifika njombe.wakat nipo kwenye gari naelekea makete kufika Ikonda nikapoteza faham kwa barid.sitasahau maishani mwangu

  • @lanlady2504
    @lanlady2504 Před 2 lety +18

    Tulikuwa tunapita hapo kuelekea au kutoka songea. Tunaambiwa usinywe chai, unaweza kuhisi ya baridi kumbe ya moto balaa. Eti unaweza kukatika ulimi

  • @georgeosmund727
    @georgeosmund727 Před 2 lety +15

    Njombe na makete ndio sehemu ninazo zipa salute kwa baridi,kwengine ni maigizo tu.

    • @jumanneomari842
      @jumanneomari842 Před 2 lety +3

      Nenda na mafinga uone baridi lake

    • @TheMouser1985
      @TheMouser1985 Před 2 lety

      Unakujua Lushoto mkuu?

    • @flova7022
      @flova7022 Před 2 lety +4

      @@TheMouser1985 nko Lushoto na ni mkazi WA njombe . Ila Lushoto na Arusha bado Hali ya huku haitii timu Njombe Tena hususan makete duu Hadi 1 c degree

    • @joyceafrican6527
      @joyceafrican6527 Před 2 lety

      kilimanjaro ulishawahi kufika

    • @sharifajuma9945
      @sharifajuma9945 Před 2 lety +4

      arusha, kilimanjaro rushoto aioni ndani aiseee kwa makete we usiku ukiend cjoon ukirud kulala sehem yako unahis kama wamemwaga mabarafu

  • @laurentchimbirani5990
    @laurentchimbirani5990 Před 2 lety +31

    Mwaka 2014 nilichaguliwa kwenda kusoma form 5 Njombe high school (NJOSS) kutoka Musoma to Iringa nikalala usiku Makambako mjini baridi ya pale nikaambiwa hii ni cha mtoto subiri kesho yake huko Njombe mjini. Asbh yake nilitua njombe stand saa 5 asbh kuna jua lakini baridi ni hatari. Niliishi pale miaka miwili ya masomo yangu nilijuta sana kutokuoga siku 5 hata wiki kwa mwanafunzi ni kawaida kbsa😅 barafu na ukungu unapiga kama ulaya, na hapo ni njombe mjini sasa tukawa tunaambiwa balaa kubwa lipo wilaya ya makete mkoa huo huo wa njombe🙌🙌

    • @rehemamkalawa3801
      @rehemamkalawa3801 Před 2 lety +2

      😂😂 unaweza unuke na usijijue km unanuka

    • @LAWIMSALILWA
      @LAWIMSALILWA Před 2 lety

      Hahahaha kumbe umesoma pale

    • @LAWIMSALILWA
      @LAWIMSALILWA Před 2 lety

      Wazee wa msitu wa ndovu ,kihesa nyamagana

    • @kibikihotfilm0621
      @kibikihotfilm0621 Před 2 lety +2

      Sasa sisi tunaishi nayo🤣🤣

    • @hatari9591
      @hatari9591 Před 2 lety +3

      @@rehemamkalawa3801
      Huwezi kunuka kwa sababu ni ya baridi mimi nakaa hadi mwezi.

  • @ntengufamily9208
    @ntengufamily9208 Před 2 lety +14

    Duh ase kwel uko kuna baridi Dom apa linakung'uta tunasema ni barid kumbe huko ndo kabisa

  • @goodluckulimboka8117
    @goodluckulimboka8117 Před 2 lety +5

    Duuuuh hiii ni hatari sana,
    Najaribu TU kuwaza vipi mtoto mchanga anaezaliwa KATIKA hiyo hali anawezaje kuhimili??
    Kikubwa naendelea kuwapongeza Millard Ayo tv hasa Kwa kutoa taarifa halisi na pia camera zenu ni supper HD.
    Safi sana Millard Ayo tv, you are the best of all CZcams channels!!!

    • @haldinkiope9753
      @haldinkiope9753 Před 2 lety

      Watt wapo na wanaish

    • @goodluckulimboka8117
      @goodluckulimboka8117 Před 2 lety

      @@haldinkiope9753 Ila Mungu ana maajabu yake kwakweli,
      Maana Kwa Mimi ambae sijazoea hiyo baridi nikifika TU basi siku ya pili unatangazwa msiba.
      Nashangaa sana kuwa watoto wachanga wanazaliwa huko na wanahimili hiyo hali ya baridi Kali.

    • @haldinkiope9753
      @haldinkiope9753 Před 2 lety +1

      Mazingira tu kwanza uku hakuna jua la utosi

    • @goodluckulimboka8117
      @goodluckulimboka8117 Před 2 lety

      @@haldinkiope9753 😂😂😂 daaaah hatali sana.
      Na Kwa hiyo hali lazima watu watakuwa na urafiki na tendo la ndoa kama Moja ya NAMNA ya kujiimalisha dhidi ya mashambilizi ya baridi.

    • @haldinkiope9753
      @haldinkiope9753 Před 2 lety

      Usipime

  • @highvoltages4169
    @highvoltages4169 Před 2 lety +5

    Njombe kuna baridi *mpaka miti inatamani kuota moto*

    • @telaamtauta2227
      @telaamtauta2227 Před 2 lety

      😂😂😂😂😂😂😂😂 hapana chea baridi limekwenda shule

  • @haldinkiope9753
    @haldinkiope9753 Před 2 lety +6

    Juzi hapo ilikuwa hatar mpka tulishindwa kutaiti bert maana hata kushuka kwenye gari inshu

  • @chidrashid3797
    @chidrashid3797 Před 2 lety +15

    Dawa ya barid nikuoa tu😂😂

    • @Zahrazahra-ue7bp
      @Zahrazahra-ue7bp Před 2 lety

      Faida ya kuoa ucku mchana unafanyaje kazi ukiwa kazini mke yupo nyumbani

    • @masanjaabasi8970
      @masanjaabasi8970 Před 2 lety

      Kwasasi wadada dawa yabaridi nikuvaa upendeze watu wakuone wakusifie husikii baridi kabisa

    • @priscamsigwa1684
      @priscamsigwa1684 Před 2 lety

      Kwahiyo muda wote nikaamukambatiana wenyewe😂😂

    • @priscamsigwa1684
      @priscamsigwa1684 Před 2 lety

      Kwahiyo muda wote mmekumbatia

    • @jacklinebrightness4513
      @jacklinebrightness4513 Před 2 lety

      Hata hao manao waoa nao wamekuwa wabaridiii🤣

  • @ramadhanseleman4276
    @ramadhanseleman4276 Před 2 lety +1

    Mwl Nyerere dar es salaam angeipelekaga tu huko hiyo baridi ingeshapotea na msongamano wawatu na viwanda😂😂

  • @ashurafarijala1460
    @ashurafarijala1460 Před 2 lety +2

    Nikikumbuka nilisoma huko miaka miwili asee najihisi sio mm 🙌 sitaki kurudi💔😐

  • @zimbatvone6532
    @zimbatvone6532 Před 2 lety +13

    Kama kunamtu mweupe uko mniite mbwa niko nimekaa apo

  • @Starlighttz538
    @Starlighttz538 Před 2 lety +3

    Duuh Ndugu yangu Sayll The One Ndio Upo ukoo!! Pole

  • @petriciajohn1245
    @petriciajohn1245 Před 2 lety +5

    Makambako, njombe , Iringa, Mbeya izo sehem hatarii kwa baridii nililia nilipokuwa makambako mmh haisikii kitu

    • @priscamlyuka5531
      @priscamlyuka5531 Před 2 lety

      Mbona makambako m nimezaliwa apo nimesoma shule ya msingi mpk olevel miaka 11 lakini tulizoea mweeee haahahahhaa sema njombe ni hatari sana bora makambako

    • @Swahili14
      @Swahili14 Před rokem

      @@priscamlyuka5531 makambako upepo wa barid
      Njombe is more like cold apocalypse/ new ice age in the making 💀😭🤣🙌

  • @succesjabari4618
    @succesjabari4618 Před 2 lety +3

    Nimezaliwa wilaya ya makete kwa kweli nishda ...... apa nawaza iv ingekuaje pangekua na sheria ya kila mtu abak mkoa alozaliwa hakika watu wa njombe tusingejua kama Dunian kuna joto na jua kari

  • @matataoneproduction5355
    @matataoneproduction5355 Před 2 lety +3

    Daaaah ninavyopajua hapo hiyo bado maana vinatokaga hadi vibarafu kuna baadhi ya sehemu

  • @mama_mlezi7744
    @mama_mlezi7744 Před 2 lety

    Home sweet home,,,,nakumbuka olevel mwalimu akifundisha kipindi Cha asubuhi peni inateleza Ani haishikiki,,,,adi uvae groove,,au ufikishe mikono ipate joto uandike,ikipoa unapasha tena😭

  • @hildamasonda6528
    @hildamasonda6528 Před 2 lety

    Ni kwet iringa nakupenda sanaaaa lkn baridi Sasa 🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @Giant_Original
    @Giant_Original Před 2 lety +1

    😂😂 jamani tujiandaee na joto kali baadae AKA 2020 imejirudia tena.😂

  • @hawahabibu3881
    @hawahabibu3881 Před 2 lety +1

    Huwaga nawaza sana ikiwa Dar es Salaam saiv Kuna baridi Njombe inakuwaje Dah!!!aisee poleni ndugu zangu😌

  • @mawazoaliselemani8909
    @mawazoaliselemani8909 Před 2 lety +1

    huko ndio kwa kuishi mimi..mpenzi sana wa baridi

  • @masanjaabasi8970
    @masanjaabasi8970 Před 2 lety +3

    Sema mm nikivaa nikapendeza ili watu wanione sisikiagi baridi kabisa 😂

  • @mitanotena5149
    @mitanotena5149 Před 2 lety +3

    My home tushazoea

  • @rasheedabby2871
    @rasheedabby2871 Před 2 lety +3

    Hili ndo lenyewe Sasaaa Baridi yenyeweeee

  • @aishaissa2512
    @aishaissa2512 Před 2 lety +5

    Naitamani hiyo baridi oman joto linatutesa sana

  • @peterlupenza873
    @peterlupenza873 Před 2 lety +1

    Home Sweet Home❣️❣️❣️

  • @doramkolo1745
    @doramkolo1745 Před 2 lety +4

    Ikifikia hadi dar kuna baridi huko lazima mnaganda

  • @nyokaroadtv5828
    @nyokaroadtv5828 Před 2 lety +2

    Sijawahi fika Njombe ila natamani sana nifke uko asa asa kipindi kama hiki cha baridi hili nikajionee, mimi nipo Dar na kwa kweli Dar baridi ni kali sana yaani joto lote kwiiiiiiiisha

    • @Swahili14
      @Swahili14 Před rokem

      If you have sensitive respiratory conditions, please don't ever think of staying there😭🤣

  • @Fredde_
    @Fredde_ Před 2 lety +5

    Home sweet home

  • @hamadfaki2503
    @hamadfaki2503 Před 2 lety +9

    Sisi mbeya tunalia baridi ila njombe mmetuzidi

  • @nafuwswedi2465
    @nafuwswedi2465 Před 2 lety +1

    5 degrees, ni kama baridi ya hapa ulaya winter

  • @amoonatnzani9834
    @amoonatnzani9834 Před 2 lety

    Duuh poleni sana

  • @miramboofficial946
    @miramboofficial946 Před 2 lety +1

    Hatari mzee baba

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Před 2 lety +3

    Duh! Mjombe kama ulaya bac

  • @Asheri-k5k
    @Asheri-k5k Před 2 lety +11

    Ukimtoa mtu dar umlete njombe afu awe hajawahi kuishi njombe atajuta

    • @suleimaniamadi1441
      @suleimaniamadi1441 Před 2 lety +3

      Acha kabisa

    • @sharifajuma9945
      @sharifajuma9945 Před 2 lety +1

      😂😂😂 kweli mim niliend ilivyofika mwez wa 6 nikaona hapan nitafia uku nilikuw kila siku nalia mpk nikarudishwa

    • @Asheri-k5k
      @Asheri-k5k Před 2 lety

      Kule njombe hakufai

  • @mariamsemwa226
    @mariamsemwa226 Před 2 lety +1

    Naipenda Njombe ndonyumban

    • @li9onlinetv
      @li9onlinetv Před 2 lety

      Suberscber🙏🙏🤦Suberscber🙏🙏🤦

  • @othmanally1230
    @othmanally1230 Před 2 lety +1

    mm sipawezi huko

  • @bantuboy9492
    @bantuboy9492 Před 2 lety +1

    Polen

  • @amadimlilapi1185
    @amadimlilapi1185 Před 2 lety

    Hometown

  • @elicangota3326
    @elicangota3326 Před 2 lety +1

    Hatariii sana

  • @malelabmalela5016
    @malelabmalela5016 Před 2 lety

    Ok

  • @modysultan6170
    @modysultan6170 Před 2 lety +1

    yani huko kama capetown poleni sana

  • @kakabaraka1058
    @kakabaraka1058 Před 2 lety +4

    mi napenda sana baridii

  • @leonardkapati3125
    @leonardkapati3125 Před 2 lety +2

    Sasa timu zitakazo cheza kimataifa mkazoee MAZINGIRA huko katika kipindi Cha PRE SEASON

    • @highvoltages4169
      @highvoltages4169 Před 2 lety

      Hahahaaa kati kati ya mechi watu wanakunywa chai badala ya maji

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Před 2 lety +1

    Safi sana!!

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Před 2 lety

    Mtihani poleni

  • @ephrahimilomo5052
    @ephrahimilomo5052 Před 2 lety +1

    Hellow Wana wa ikonda

  • @blessmalumbizo3781
    @blessmalumbizo3781 Před 2 lety

    Ndo sweet home

  • @leylamohamed9939
    @leylamohamed9939 Před 2 lety +1

    Sema na pia sisi waafrika kwa ujumla tuliopo tropical hatujawekeza sana ktk vitu kama hivi kwa hali ya hewa sababu hiyo 5degrees ya joto njombe kwa ulaya ni baridi ya kawaida sana sana kwanza tuseme sawa na HAKUNA baridi watu wanatoka out kabisa kwa sababu kuanzia nguo, heating system za majumbani, kwny magari yao yako kulingana na hali ya hewa, ila huku kwetu ni shida utajikuny'ata ukiwa chumbani sababu huna heater za joto ya ndani nadhani ni wakati muafaka sasa kuwa na matumizi hayo

  • @florameza1028
    @florameza1028 Před 2 lety

    Mhhh kweli kuna baridi

  • @omobabaoluwo3003
    @omobabaoluwo3003 Před 2 lety +2

    Ni kudinyanaaaa tuuu . Qmmk 😂

  • @zuberizr8505
    @zuberizr8505 Před 2 lety

    Naupenda mkowa wangu wa NJOMBE...

  • @HanceBablo-ot8sz
    @HanceBablo-ot8sz Před 4 měsíci

    Hajaend ulaya hhh achen kushangaa jombe nenda norway wakati wa barid ndo utajua njombe kuna joto

  • @shamimhayat7637
    @shamimhayat7637 Před 2 lety

    Duh natamani nihamie huko

  • @salumsaid6337
    @salumsaid6337 Před 2 lety

    Hivi hari hii mfano ndio cku ijeitokee ukanda wa pwani na baadhi ya maeneo kusini watu wengiwataasilika

  • @johnngalya1524
    @johnngalya1524 Před 2 lety

    Nchi za wenzetu kiongozi hapo anajiuzuru Hali ikiwa hivyo 😃😃

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 Před 2 lety +1

    Iyo baradi ingekuwepo zanzibar tungeect kama tupo ulaya

  • @aminamacha5594
    @aminamacha5594 Před 2 lety +1

    Serikali iwafanyie wepesi wananchi waweze kununu hita za joto Kama nchi nyingine moshi Arusha iringa baridi ni kilio kwao

  • @OmanOman-bx5du
    @OmanOman-bx5du Před 2 lety

    Mmi ukosiwez ishi nimuogasan wa baridi

  • @imanhaonga6687
    @imanhaonga6687 Před 2 lety

    duh

  • @mawazoselemani614
    @mawazoselemani614 Před rokem

    baridi sio mbaya tuache kuita baridi kuwa MBAYA

  • @masanjaabasi8970
    @masanjaabasi8970 Před 2 lety +1

    Igeli nilitorokaga shule nikatokea igeli da maisha aya

  • @prudentsalim08
    @prudentsalim08 Před 2 lety +1

    Selikali ifanye nn hapo😳

  • @fusotanzania8174
    @fusotanzania8174 Před 2 lety +1

    5c duh

  • @shammhagama2527
    @shammhagama2527 Před 2 lety +1

    Nyanda za juu kusini ni habari nyingine. Acha kabisa.

  • @uledimtumwa2406
    @uledimtumwa2406 Před 2 lety +1

    Likizidi mpaka 1°C, mtaanza kuungua 😂😂

  • @larryking623
    @larryking623 Před 2 lety +2

    Baridi mpaka kuongea kipengele 😂

  • @RichMotherr
    @RichMotherr Před 2 lety +1

    N kuna mtu anatakiwa kazini kila siku asubuhi 🤣🤣

  • @barakakings
    @barakakings Před 2 lety +1

    Kwetu Makete ndio mara2 ya hapo Njombe

  • @aishachambo8663
    @aishachambo8663 Před 2 lety

    Duh😀😀

  • @kabeyaselemani3699
    @kabeyaselemani3699 Před 2 lety +1

    Mama samiha tusaidie jamani

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 Před 2 lety

    Iyo baridi ingekuwepo tungeect kama tupo ulaya

  • @charlesmkondoa2884
    @charlesmkondoa2884 Před 2 lety

    Wa kwanza

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 Před 2 lety +1

    Nliona mbeya Kuna barid kumbe kunasem ukungu wakutosha na barid kali

  • @athumanikigolo1579
    @athumanikigolo1579 Před 2 lety

    Hadari poleni,ila msilale na majiko ya mkaa ndani yanaua sana

  • @roselameck770
    @roselameck770 Před 2 lety +1

    Tunakufa jmn, ni baridi sana limezdi kiukwel

    • @kennethbenjamin275
      @kennethbenjamin275 Před 2 lety

      Mwanadam hanaga shkran,ikija joto atalalamika likija Baridi atalalamika,

  • @amaninaupendo.3539
    @amaninaupendo.3539 Před 2 lety

    Iyo baridi ni noma. Arusha tu tatizo baridi. Boymanda nilienda kulikua na baridi kali nikasali Mungu mkuu akaleta jua. Poleni njombe.

  • @alphoncemnyambwa9720
    @alphoncemnyambwa9720 Před 2 lety +2

    Huku Dodoma pia tuna lia baridi

  • @user-tt2gd6jy4g
    @user-tt2gd6jy4g Před 11 měsíci +1

    Hkn ajabu apo

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta2227 Před 2 lety

    Heeeeeeee kumbe hivooo mimi sijiitena ilikuwa nasafari yakujahuko baridi hiyo nitazimia buree labda sikuza mbele kama nikiwa hai

  • @waziriadam1022
    @waziriadam1022 Před 2 lety +1

    Msije mkaomba msaada serikali baridi kali msaidiwe wana njombe

  • @J4UPro
    @J4UPro Před 2 lety

    Duh ni hatari sana

  • @christinewomanoffaith5479

    halafu chuga wanasema kuna baridi

  • @edwardsinkonde9878
    @edwardsinkonde9878 Před 2 lety

    Kalibuni njombe tunaishii kwenyee friji 🤣

  • @shabansalee4924
    @shabansalee4924 Před 2 lety +3

    Kuna semuu uko panaitwa makete niatari uko

  • @maidamhanje5993
    @maidamhanje5993 Před 2 lety

    Nyumbani kweli baridi lkn nakupenda sana

  • @ydtv9167
    @ydtv9167 Před 2 lety

    Pamoja sana wana makete

  • @nasraabdallah850
    @nasraabdallah850 Před 2 lety

    Iyo hatar duh

  • @daudmtange8005
    @daudmtange8005 Před 2 lety

    Pigeni kazii Raia acheni miyeyushoo 5°c tuu mnalialiaa tu watu wanaishi mpaka -0°c

  • @tithomhagama
    @tithomhagama Před 2 lety

    Tumeizoea sana

  • @patricksounda9993
    @patricksounda9993 Před 2 lety

    Eti na sisi mwanza tuna joto kweli😂😂😂😂😂

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před 2 lety

    Daah ni nyoko aseee

  • @naomypaul2761
    @naomypaul2761 Před 2 lety

    Mi sipawezi hata kwa kujaribu tu

  • @teychriss3248
    @teychriss3248 Před 2 lety +4

    Huko ni shida!! Magogo ya moto kila mahali! Ila kuna watoto utawakuta njiani hawajavaa chochote kifuani na wako ok kabisa!!

    • @prettyh7509
      @prettyh7509 Před 2 lety

      😔 Mungu anawapigania

    • @sylviaoum2943
      @sylviaoum2943 Před 2 lety +2

      Tatizo ni kuvimiliki hivyo vitu.. kupata sweta au koti ni mafanikio makubwa sana na havipatikani kirahisi kwa baadhi ya watu.. hakuna anayependa baridi ila maisha yanamfanya awe hivyo. Ndo maana tukijaaliwa awasaidie na wengine ..kugawana baraka ni mafanikio makubwa

  • @enickosanga4921
    @enickosanga4921 Před 2 lety

    Ulaya ya africa

  • @ney2308
    @ney2308 Před 2 lety

    Jamani huku kuna balidi🥺🥺🥺🥺

  • @suzanetilito8194
    @suzanetilito8194 Před 2 lety

    Europe ndogo hiyo

  • @emanuelyamay6828
    @emanuelyamay6828 Před 2 lety

    Hainatofauti na hapa kwetu maisara