Ili Baridi la hivi lipo eneo fulani hivi linaitwa Njiapanda ukitokea Singida Mjini kuelekea Katesh, Aisee Kile kipande kipo kama hivi ukungu mzito baridi sana na huo ilikuwa ni mwezi wa 3, sasa sijui sasa hivi kukoje🙌🏽🙌🏽 Aiseee balaa
Mwaka 2014 nilichaguliwa kwenda kusoma form 5 Njombe high school (NJOSS) kutoka Musoma to Iringa nikalala usiku Makambako mjini baridi ya pale nikaambiwa hii ni cha mtoto subiri kesho yake huko Njombe mjini. Asbh yake nilitua njombe stand saa 5 asbh kuna jua lakini baridi ni hatari. Niliishi pale miaka miwili ya masomo yangu nilijuta sana kutokuoga siku 5 hata wiki kwa mwanafunzi ni kawaida kbsa😅 barafu na ukungu unapiga kama ulaya, na hapo ni njombe mjini sasa tukawa tunaambiwa balaa kubwa lipo wilaya ya makete mkoa huo huo wa njombe🙌🙌
Duuuuh hiii ni hatari sana, Najaribu TU kuwaza vipi mtoto mchanga anaezaliwa KATIKA hiyo hali anawezaje kuhimili?? Kikubwa naendelea kuwapongeza Millard Ayo tv hasa Kwa kutoa taarifa halisi na pia camera zenu ni supper HD. Safi sana Millard Ayo tv, you are the best of all CZcams channels!!!
@@haldinkiope9753 Ila Mungu ana maajabu yake kwakweli, Maana Kwa Mimi ambae sijazoea hiyo baridi nikifika TU basi siku ya pili unatangazwa msiba. Nashangaa sana kuwa watoto wachanga wanazaliwa huko na wanahimili hiyo hali ya baridi Kali.
@@haldinkiope9753 😂😂😂 daaaah hatali sana. Na Kwa hiyo hali lazima watu watakuwa na urafiki na tendo la ndoa kama Moja ya NAMNA ya kujiimalisha dhidi ya mashambilizi ya baridi.
Mbona makambako m nimezaliwa apo nimesoma shule ya msingi mpk olevel miaka 11 lakini tulizoea mweeee haahahahhaa sema njombe ni hatari sana bora makambako
Nimezaliwa wilaya ya makete kwa kweli nishda ...... apa nawaza iv ingekuaje pangekua na sheria ya kila mtu abak mkoa alozaliwa hakika watu wa njombe tusingejua kama Dunian kuna joto na jua kari
Sijawahi fika Njombe ila natamani sana nifke uko asa asa kipindi kama hiki cha baridi hili nikajionee, mimi nipo Dar na kwa kweli Dar baridi ni kali sana yaani joto lote kwiiiiiiiisha
Sema na pia sisi waafrika kwa ujumla tuliopo tropical hatujawekeza sana ktk vitu kama hivi kwa hali ya hewa sababu hiyo 5degrees ya joto njombe kwa ulaya ni baridi ya kawaida sana sana kwanza tuseme sawa na HAKUNA baridi watu wanatoka out kabisa kwa sababu kuanzia nguo, heating system za majumbani, kwny magari yao yako kulingana na hali ya hewa, ila huku kwetu ni shida utajikuny'ata ukiwa chumbani sababu huna heater za joto ya ndani nadhani ni wakati muafaka sasa kuwa na matumizi hayo
Tatizo ni kuvimiliki hivyo vitu.. kupata sweta au koti ni mafanikio makubwa sana na havipatikani kirahisi kwa baadhi ya watu.. hakuna anayependa baridi ila maisha yanamfanya awe hivyo. Ndo maana tukijaaliwa awasaidie na wengine ..kugawana baraka ni mafanikio makubwa
Ili Baridi la hivi lipo eneo fulani hivi linaitwa Njiapanda ukitokea Singida Mjini kuelekea Katesh, Aisee Kile kipande kipo kama hivi ukungu mzito baridi sana na huo ilikuwa ni mwezi wa 3, sasa sijui sasa hivi kukoje🙌🏽🙌🏽 Aiseee balaa
Safi sana Tanzania wapendabaridi karibuni njombe
Apo ujafika uwemba
Ninaenda baridi balaa😋😋
@@halimakilonzo4018 😂😂mbona kwetu Uwemba kuna baridi la kawaida
Nakumbuka miaka 4 iliyopita nilifika njombe.wakat nipo kwenye gari naelekea makete kufika Ikonda nikapoteza faham kwa barid.sitasahau maishani mwangu
Suberscber🙏🙏🤦
Tulikuwa tunapita hapo kuelekea au kutoka songea. Tunaambiwa usinywe chai, unaweza kuhisi ya baridi kumbe ya moto balaa. Eti unaweza kukatika ulimi
Haukatiki ulimi ila utaungua bila kujua ukifika kwenye joto ndio utakuwa
Huchunika ngozi mdomoni Hadi kwenye ulimi
Subhannahllah
@@fadhilaongezaongeza226 🤣🤣🤣🤣
Njombe na makete ndio sehemu ninazo zipa salute kwa baridi,kwengine ni maigizo tu.
Nenda na mafinga uone baridi lake
Unakujua Lushoto mkuu?
@@TheMouser1985 nko Lushoto na ni mkazi WA njombe . Ila Lushoto na Arusha bado Hali ya huku haitii timu Njombe Tena hususan makete duu Hadi 1 c degree
kilimanjaro ulishawahi kufika
arusha, kilimanjaro rushoto aioni ndani aiseee kwa makete we usiku ukiend cjoon ukirud kulala sehem yako unahis kama wamemwaga mabarafu
Mwaka 2014 nilichaguliwa kwenda kusoma form 5 Njombe high school (NJOSS) kutoka Musoma to Iringa nikalala usiku Makambako mjini baridi ya pale nikaambiwa hii ni cha mtoto subiri kesho yake huko Njombe mjini. Asbh yake nilitua njombe stand saa 5 asbh kuna jua lakini baridi ni hatari. Niliishi pale miaka miwili ya masomo yangu nilijuta sana kutokuoga siku 5 hata wiki kwa mwanafunzi ni kawaida kbsa😅 barafu na ukungu unapiga kama ulaya, na hapo ni njombe mjini sasa tukawa tunaambiwa balaa kubwa lipo wilaya ya makete mkoa huo huo wa njombe🙌🙌
😂😂 unaweza unuke na usijijue km unanuka
Hahahaha kumbe umesoma pale
Wazee wa msitu wa ndovu ,kihesa nyamagana
Sasa sisi tunaishi nayo🤣🤣
@@rehemamkalawa3801
Huwezi kunuka kwa sababu ni ya baridi mimi nakaa hadi mwezi.
Duh ase kwel uko kuna baridi Dom apa linakung'uta tunasema ni barid kumbe huko ndo kabisa
Haha
Watu nawaambiaga barid liko njombe hawaelewi
Duuuuh hiii ni hatari sana,
Najaribu TU kuwaza vipi mtoto mchanga anaezaliwa KATIKA hiyo hali anawezaje kuhimili??
Kikubwa naendelea kuwapongeza Millard Ayo tv hasa Kwa kutoa taarifa halisi na pia camera zenu ni supper HD.
Safi sana Millard Ayo tv, you are the best of all CZcams channels!!!
Watt wapo na wanaish
@@haldinkiope9753 Ila Mungu ana maajabu yake kwakweli,
Maana Kwa Mimi ambae sijazoea hiyo baridi nikifika TU basi siku ya pili unatangazwa msiba.
Nashangaa sana kuwa watoto wachanga wanazaliwa huko na wanahimili hiyo hali ya baridi Kali.
Mazingira tu kwanza uku hakuna jua la utosi
@@haldinkiope9753 😂😂😂 daaaah hatali sana.
Na Kwa hiyo hali lazima watu watakuwa na urafiki na tendo la ndoa kama Moja ya NAMNA ya kujiimalisha dhidi ya mashambilizi ya baridi.
Usipime
Njombe kuna baridi *mpaka miti inatamani kuota moto*
😂😂😂😂😂😂😂😂 hapana chea baridi limekwenda shule
Juzi hapo ilikuwa hatar mpka tulishindwa kutaiti bert maana hata kushuka kwenye gari inshu
Dawa ya barid nikuoa tu😂😂
Faida ya kuoa ucku mchana unafanyaje kazi ukiwa kazini mke yupo nyumbani
Kwasasi wadada dawa yabaridi nikuvaa upendeze watu wakuone wakusifie husikii baridi kabisa
Kwahiyo muda wote nikaamukambatiana wenyewe😂😂
Kwahiyo muda wote mmekumbatia
Hata hao manao waoa nao wamekuwa wabaridiii🤣
Mwl Nyerere dar es salaam angeipelekaga tu huko hiyo baridi ingeshapotea na msongamano wawatu na viwanda😂😂
Nikikumbuka nilisoma huko miaka miwili asee najihisi sio mm 🙌 sitaki kurudi💔😐
Kama kunamtu mweupe uko mniite mbwa niko nimekaa apo
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
🤣🤣🤣
😄😄😄😁
😄😄😄
Duuh Ndugu yangu Sayll The One Ndio Upo ukoo!! Pole
Makambako, njombe , Iringa, Mbeya izo sehem hatarii kwa baridii nililia nilipokuwa makambako mmh haisikii kitu
Mbona makambako m nimezaliwa apo nimesoma shule ya msingi mpk olevel miaka 11 lakini tulizoea mweeee haahahahhaa sema njombe ni hatari sana bora makambako
@@priscamlyuka5531 makambako upepo wa barid
Njombe is more like cold apocalypse/ new ice age in the making 💀😭🤣🙌
Nimezaliwa wilaya ya makete kwa kweli nishda ...... apa nawaza iv ingekuaje pangekua na sheria ya kila mtu abak mkoa alozaliwa hakika watu wa njombe tusingejua kama Dunian kuna joto na jua kari
Suberscber🙏🙏🤦
Daaaah ninavyopajua hapo hiyo bado maana vinatokaga hadi vibarafu kuna baadhi ya sehemu
Home sweet home,,,,nakumbuka olevel mwalimu akifundisha kipindi Cha asubuhi peni inateleza Ani haishikiki,,,,adi uvae groove,,au ufikishe mikono ipate joto uandike,ikipoa unapasha tena😭
Ni kwet iringa nakupenda sanaaaa lkn baridi Sasa 🙌🙌🙌🙌🙌🙌
😂😂 jamani tujiandaee na joto kali baadae AKA 2020 imejirudia tena.😂
Huwaga nawaza sana ikiwa Dar es Salaam saiv Kuna baridi Njombe inakuwaje Dah!!!aisee poleni ndugu zangu😌
huko ndio kwa kuishi mimi..mpenzi sana wa baridi
Sema mm nikivaa nikapendeza ili watu wanione sisikiagi baridi kabisa 😂
Ata mmi nikiulamba sivalii mikoti Tena Shep wataiionaje
@@aminamussa7632 kweli kabisa mama
My home tushazoea
Hili ndo lenyewe Sasaaa Baridi yenyeweeee
Naitamani hiyo baridi oman joto linatutesa sana
Hahahah fanya uende ty
samahan upo sehem gn dada oman ??
@@adamally6 nip mussanah
Home Sweet Home❣️❣️❣️
Ikifikia hadi dar kuna baridi huko lazima mnaganda
Sijawahi fika Njombe ila natamani sana nifke uko asa asa kipindi kama hiki cha baridi hili nikajionee, mimi nipo Dar na kwa kweli Dar baridi ni kali sana yaani joto lote kwiiiiiiiisha
If you have sensitive respiratory conditions, please don't ever think of staying there😭🤣
Home sweet home
Sisi mbeya tunalia baridi ila njombe mmetuzidi
5 degrees, ni kama baridi ya hapa ulaya winter
Duuh poleni sana
Hatari mzee baba
Suberscber🙏🙏🤦
Duh! Mjombe kama ulaya bac
🤣 🤣
Ukimtoa mtu dar umlete njombe afu awe hajawahi kuishi njombe atajuta
Acha kabisa
😂😂😂 kweli mim niliend ilivyofika mwez wa 6 nikaona hapan nitafia uku nilikuw kila siku nalia mpk nikarudishwa
Kule njombe hakufai
Naipenda Njombe ndonyumban
Suberscber🙏🙏🤦Suberscber🙏🙏🤦
mm sipawezi huko
Suberscber🙏🙏🤦
Polen
Suberscber🙏🙏🤦
Hometown
Hatariii sana
Ok
yani huko kama capetown poleni sana
Suberscber🙏🙏🤦
mi napenda sana baridii
Uko sio barid uku hatari
Barid yao zaidi
@@ilynpayne7491 hata theruji haidondoki? hiyo yakawaida tuu
@@kakabaraka1058 duuh we jamaa unaishi mkoa gani?
@@ilynpayne7491 Mi Mbeya.
Sasa timu zitakazo cheza kimataifa mkazoee MAZINGIRA huko katika kipindi Cha PRE SEASON
Hahahaaa kati kati ya mechi watu wanakunywa chai badala ya maji
Safi sana!!
Mtihani poleni
Hellow Wana wa ikonda
Ndo sweet home
Sema na pia sisi waafrika kwa ujumla tuliopo tropical hatujawekeza sana ktk vitu kama hivi kwa hali ya hewa sababu hiyo 5degrees ya joto njombe kwa ulaya ni baridi ya kawaida sana sana kwanza tuseme sawa na HAKUNA baridi watu wanatoka out kabisa kwa sababu kuanzia nguo, heating system za majumbani, kwny magari yao yako kulingana na hali ya hewa, ila huku kwetu ni shida utajikuny'ata ukiwa chumbani sababu huna heater za joto ya ndani nadhani ni wakati muafaka sasa kuwa na matumizi hayo
umeongelea future
Hamia ulaya
Umeshasema ulaya
Kwanza Usha Sema magar Yao yapo kulingana na hali ilivyo😁
Njombe nimeona mtu kwa tv ana fire place kama wenzentu ulaya sasa hii ni kama tu unauwezo wa kuiweka kwa nyumba yako!
Mhhh kweli kuna baridi
Ni kudinyanaaaa tuuu . Qmmk 😂
Naupenda mkowa wangu wa NJOMBE...
Hajaend ulaya hhh achen kushangaa jombe nenda norway wakati wa barid ndo utajua njombe kuna joto
Duh natamani nihamie huko
Hivi hari hii mfano ndio cku ijeitokee ukanda wa pwani na baadhi ya maeneo kusini watu wengiwataasilika
Nchi za wenzetu kiongozi hapo anajiuzuru Hali ikiwa hivyo 😃😃
Iyo baradi ingekuwepo zanzibar tungeect kama tupo ulaya
Suberscber🙏🙏🤦Suberscber
Serikali iwafanyie wepesi wananchi waweze kununu hita za joto Kama nchi nyingine moshi Arusha iringa baridi ni kilio kwao
Suberscber🙏🙏🤦
Mmi ukosiwez ishi nimuogasan wa baridi
duh
baridi sio mbaya tuache kuita baridi kuwa MBAYA
Igeli nilitorokaga shule nikatokea igeli da maisha aya
Selikali ifanye nn hapo😳
5c duh
Nyanda za juu kusini ni habari nyingine. Acha kabisa.
Likizidi mpaka 1°C, mtaanza kuungua 😂😂
Baridi mpaka kuongea kipengele 😂
🤣
N kuna mtu anatakiwa kazini kila siku asubuhi 🤣🤣
Suberscber🙏🙏🤦Suberscber
Kwetu Makete ndio mara2 ya hapo Njombe
Duh😀😀
Mama samiha tusaidie jamani
Suberscber🙏🙏🤦
Iyo baridi ingekuwepo tungeect kama tupo ulaya
Wa kwanza
Nliona mbeya Kuna barid kumbe kunasem ukungu wakutosha na barid kali
Hadari poleni,ila msilale na majiko ya mkaa ndani yanaua sana
Tunakufa jmn, ni baridi sana limezdi kiukwel
Mwanadam hanaga shkran,ikija joto atalalamika likija Baridi atalalamika,
Iyo baridi ni noma. Arusha tu tatizo baridi. Boymanda nilienda kulikua na baridi kali nikasali Mungu mkuu akaleta jua. Poleni njombe.
Huku Dodoma pia tuna lia baridi
Hkn ajabu apo
Heeeeeeee kumbe hivooo mimi sijiitena ilikuwa nasafari yakujahuko baridi hiyo nitazimia buree labda sikuza mbele kama nikiwa hai
Msije mkaomba msaada serikali baridi kali msaidiwe wana njombe
Suberscber🙏🙏🤦
Duh ni hatari sana
halafu chuga wanasema kuna baridi
Kalibuni njombe tunaishii kwenyee friji 🤣
Kuna semuu uko panaitwa makete niatari uko
Nyumbani kweli baridi lkn nakupenda sana
Pamoja sana wana makete
Iyo hatar duh
Pigeni kazii Raia acheni miyeyushoo 5°c tuu mnalialiaa tu watu wanaishi mpaka -0°c
🙄
Tumeizoea sana
Eti na sisi mwanza tuna joto kweli😂😂😂😂😂
Daah ni nyoko aseee
Mi sipawezi hata kwa kujaribu tu
Huko ni shida!! Magogo ya moto kila mahali! Ila kuna watoto utawakuta njiani hawajavaa chochote kifuani na wako ok kabisa!!
😔 Mungu anawapigania
Tatizo ni kuvimiliki hivyo vitu.. kupata sweta au koti ni mafanikio makubwa sana na havipatikani kirahisi kwa baadhi ya watu.. hakuna anayependa baridi ila maisha yanamfanya awe hivyo. Ndo maana tukijaaliwa awasaidie na wengine ..kugawana baraka ni mafanikio makubwa
Ulaya ya africa
Jamani huku kuna balidi🥺🥺🥺🥺
Europe ndogo hiyo
Hainatofauti na hapa kwetu maisara