EXCLUSIVE: MAKUBWA MEYA ALIYEFUKUZWA KISA SHEREHE ZA USHOGA, UTAJIRI, MAGUFULI NA SABAYA WATAJWA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 03. 2023

Komentáře • 233

  • @zaym7769
    @zaym7769 Před rokem +3

    Nimempenda bure huyu Diwani anajitambua sana. Mungu ampiganie

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 Před rokem +22

    Nimekupenda diwan endelea kupiga kaz na mungu atakusimamia🔥🥰

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 Před rokem +13

    Hongera sana diwani wetu mungu akupe maisha marefu na afya njema kila kitu kitakua sawa inshaallah

  • @boscomtani1006
    @boscomtani1006 Před rokem +7

    Siasa ni kazi ngumu sana, kaza moyo, chapa kazi, mwamini Mungu, dumisha upendo na ishi kwa kutambua kwamba binaadamu wote hawatakupenda hata ukiwafanyia wema kiasi gani. Chama kina misingi ya kuwazawadia wakweli na wanyenyekevu wanaosimamia misingi ya Chama, kamwe usisahau hili.

  • @luckyngumbi4243
    @luckyngumbi4243 Před rokem +16

    Mkoa wangu iringa ila huyu jamaa nimemuelewa sanaaaaa natamani mama samia amuone

  • @twiststyle7497
    @twiststyle7497 Před rokem +14

    Huyu ana point kabisa inaoneka CCM wanapitishana mapito magumu wenyewe so far watu wasiojulikana wamo humuhumu course the end wanapotezana

  • @JamilSalanga-bv9of
    @JamilSalanga-bv9of Před rokem +1

    Sitaki kusema mengine ila nimeishi pasua i know u very well but,una roho nzur sana kaka juma.

  • @crusherbuly1366
    @crusherbuly1366 Před rokem +18

    Ila huyu jamaa ni life fighter aisee!

  • @shijadeogratias317
    @shijadeogratias317 Před rokem +10

    Maana halisi ua Mtu na UTU ndio huyu jamaa 🙌 Mungu wa mbinguni azidi kukuweka

  • @emmanuelimaanga9723
    @emmanuelimaanga9723 Před rokem +5

    Brother you are the best..Naamin Mungu atakusaidia kufika mbali Zaidi Maana unamtegemea..Keep it up brother..You deserve More.

  • @mawazoselemani614
    @mawazoselemani614 Před rokem +1

    mkoa wa kilimanjaro unatoa wazalendo wengi sana ikiwemo DR slaa

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 Před rokem +4

    MashaAllah anaongea vizuri ad Raha Mungu akulinde kwakweli unaona mbali ukipewa nafasi unaweza kuisogeza Tanzania yetu pahala flan ubarikiwe ❤🇹🇿🇹🇿

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 Před rokem +13

    Nimemsikiliza huyu jamaa. Mwandishi alipata interview nyepesi sana. Lakini pia jamaa yupo open sana, licha ya elimu yake kua ndogo, lakini ana upeo mkubwa sana. Binafsi siipendi kabisa CCM, lakini kwa huyu ningekua wa kwanza kumpigia kura. He is real . Nimeikubali sana hustle zake. Kama ni kweli aliyoyanena ndio anayoyasimamia basi Mungu ambariki sana. Na hongera nyingi kwa mama yake, kwa kulea mtoto vizuri.

  • @user-jw2vg3kh1d
    @user-jw2vg3kh1d Před rokem +4

    Juma Raibu Juma ni mwanasiasa kama wanasiasa wengine pamoja na mambo mengine yote ni mtu sana.

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 Před rokem +5

    Nimefatilia huyu jamaa anafanyiwa vigisu tu, lkn kwenye chama ni hazina kubwa Sana, karibu na Mbaral Brother tulime mpunga!

    • @liannsambu7264
      @liannsambu7264 Před rokem +1

      Naunga MKONO huyo ni bonge la leader , nawaza Bora aendelee na Biashara hao wa siasa wasije mzima akaachia familia yake MAJONZI na kilio , MUNGU ASIMAME NAYE

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Před rokem +10

    Kekekekekke boya anajiamin sn atagombea na atashinda saa2 nanusu asbuh kkkk bonge moja la shujaa pambana kaka

  • @franklesia8853
    @franklesia8853 Před rokem +24

    best interview for this month, sio kama ya yule mfalme wa mwanza 🤣

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Před rokem +4

      Mfalme wa mwanza tulimjua kwa interview ile...mjanja mjanja sana, mwongo, tapeli..alijikanyaga kanyaga

    • @atterbrown8581
      @atterbrown8581 Před rokem +1

      😂😂😂😂 kila nikikumbuka ile interview nacheka

    • @franklesia8853
      @franklesia8853 Před rokem +1

      @@atterbrown8581 sijui anatuonaje😄

    • @marcynhumbi3534
      @marcynhumbi3534 Před rokem +2

      Nilicheka eti alienda mbinguni akaona hadi magorofa,mfalme wa mwanza ni noma

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Před rokem +2

      @@marcynhumbi3534 😄🤣 mbinguni wanaendesha magari,(kwa hiyo kuna petrol stations, leseni..),wanavaa nguo.. yule msukuma ni noma

  • @godwinmushi7486
    @godwinmushi7486 Před rokem +4

    Keep it up mh Diwani

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 Před rokem +16

    Mungu bado anakupenda na yuko nawe, omba kila cku usimuache Mungu na ufunikwe mara 7 kwa damu ya Yesu Kristo🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @ukweli255
    @ukweli255 Před rokem +7

    Kama tu mtu yuko ndani ya CCM anapigwa vita hivi ,sasa Mwanachi atashindwa kuelewa kwanin wapinzani wanaonewa sana na viongozi wa CCM waliopo Madarakani..yani vita ya Siasa na Mwanasiasa mwenzako kama huna akiki ya kuicheza basi utaumizwa sana

  • @davidlukumay2226
    @davidlukumay2226 Před rokem +2

    Uyu mkuu anajua kuongea maaana hii story ni ndefu sana ila nimejikuta nimevutiwa kumsikiliza zaidiii , hongera sana . Bado nyota yako ipo safiiiiii

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 Před rokem +9

    Jamsni msema kweli mpenzi mungu kweli anaongea ni mkweli

  • @emmanuelmambarera141
    @emmanuelmambarera141 Před rokem +3

    Hongera Sana Kiongozi wangu ila Mungu kasimama na wewe siku zote

  • @jumaramadhanirajabu1938
    @jumaramadhanirajabu1938 Před rokem +2

    Hawa ndio viongozi wanatakiwa Africa nzima ili tuendelee mungu akusimamie kiongozi

  • @eliadaniel216
    @eliadaniel216 Před rokem +8

    Daah siasa ujinga Sana Bora kutohuaika nazo

  • @pascaldeusdedit4036
    @pascaldeusdedit4036 Před rokem +6

    Sasa kama role model wangu unapitia aya ushanivunja moyo embu natamani anitafute nina mengi sana juu yake infact nimeumia sanaaaa

  • @piusitarimo9676
    @piusitarimo9676 Před rokem

    Hapo nimeelewa vizuri xana tofauti na nilivyo kua nafikiri Nimejifunza Jambo kubwa sana Na nimegundua Mengii Mungu awe Nguzo yako atimize kusudiolake kwako amen 🙏

  • @matildschami5879
    @matildschami5879 Před rokem +2

    Mungu atazidi kusimama na wew maana anayekujua ni Mungu pekee usiwatazame wanasema nin na wanamipango gani na wew yote mwachie Mungu

  • @jacklinelyimo7407
    @jacklinelyimo7407 Před rokem +8

    Mkweli sana na ndo maana wanamfanyia figusi

  • @candyjunior1566
    @candyjunior1566 Před rokem +4

    Juma nakupenda jamani mungu akupiganie

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 Před rokem +1

    Dogo uko vizuri. Kwep it up.

  • @praygodmtui1407
    @praygodmtui1407 Před rokem +2

    Be blessed brother juma

  • @adrianoshindayi8294
    @adrianoshindayi8294 Před rokem +7

    Mwamba anaweza sana

  • @fredymapunda1768
    @fredymapunda1768 Před rokem +6

    Very honest guy

  • @stanleygeorge-lg8et
    @stanleygeorge-lg8et Před rokem +7

    Unajielewa sana mzee wangu

  • @BigDrones
    @BigDrones Před rokem +18

    Sema huyu Diwani mwema sana namfahamu sana Mungu amtie Nguvu

    • @stephanomoses7694
      @stephanomoses7694 Před rokem +1

      Unamjua vzur sio. Unakumbuka tukio la kijana aliyetumiwa jamaa na huyu huyu wakamuua pale pasua

    • @prettymasha2430
      @prettymasha2430 Před rokem

      @@stephanomoses7694 sasa ww unaushahidi na unalosema au ndo siasa tu 😮

    • @stephanomoses7694
      @stephanomoses7694 Před rokem

      @@prettymasha2430 sasa wew huo wema wake ni upi au ndio siasa tu za kuvishana vilemba vya ukoka. Huyu jama me simkubali kishenzi yan. Ameua sana vijana wa upande wa pili enz za jpm. Alafu ananishangaza sana akisema eti sabaya ni rafk ake ile hali sabaya alimteka kaka yake . Mi huyu namuelewa sana ni mkatili sana na alitumia madaraka kama fimbo ya kuwachapia wanyonge

  • @nabiimwokozi5967
    @nabiimwokozi5967 Před rokem +5

    Mungu atakupigania unamatunda ndiomaana unabondwa mawe Namatunda yenyewe ni marifa na ubunifu katika kazizako

  • @mwajabumrindoko-xw9mq
    @mwajabumrindoko-xw9mq Před rokem +4

    Jumaaaa bhanaaaa,,,,,alafu unachokitafutaa utakipataa unajua sabaya alimteka kaka ako alafu bila aibu unasema eti sabaya ni rafiki akoo be care nakujuaa ebuu kuwa makini jamanii

  • @christinamngara8277
    @christinamngara8277 Před rokem +3

    Pambana Mungu akusimamie.

  • @mariakibwana3700
    @mariakibwana3700 Před rokem +4

    Juma Raibu,nimependa historia yako. Endelea kupambana.

  • @annapeter-wb6iv
    @annapeter-wb6iv Před rokem

    Mungu akubariki sana wew ni mzalendo

  • @jonasshirima2376
    @jonasshirima2376 Před rokem +3

    Uko vizuri kijana na unafaa kwakua wewe ni mkweli

  • @iliasdelightfultours4859

    🙌🙌🙌

  • @leonardchapi9377
    @leonardchapi9377 Před rokem +3

    Nice ndgu

  • @ashuraseleman1208
    @ashuraseleman1208 Před rokem +5

    Karma will always work its way out..
    Malipo ni hapa hapa too sad kwa sababu among many,your the only one young leader/politician i have been looking up to.
    Mungu atakutenga mbaali na wadhalimu🙏🏾

  • @sabrinamarick488
    @sabrinamarick488 Před rokem +3

    Juma raibu juma tumekuelewa sana juma.. MUNGU NI MUWEZA WA YOTE ATAKUSIMAMIA

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Před rokem +1

    Hongera sana

  • @georgekimboka9821
    @georgekimboka9821 Před rokem +4

    Wema Daima wanapigwa vita sana kubwa sana
    Hakika Ipo siku Utarudi nakuwa salama

  • @mwanaidyibrahim1913
    @mwanaidyibrahim1913 Před rokem +1

    Allah yupamoja nawewe juma ❤

  • @brysonmandari5694
    @brysonmandari5694 Před rokem +1

    Huyu ana kipaji anajua kujieleza Mungu akimjalia atakuja kua kiongozi mkubwa zaidi

  • @alphoncekagezi4950
    @alphoncekagezi4950 Před rokem +5

    Kinacho fanyika ndani CCM ndio hayo kabisa ndani ya vikao vya teuzi.

  • @aziza9093
    @aziza9093 Před rokem +7

    Allah atakulida namabay yawatu

  • @dausonkakula3260
    @dausonkakula3260 Před rokem +4

    Sasa mashoga wamekamatwa au..naamimi umeonewa lkn mungu yupo

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 Před rokem +2

    My brother wewe ni bonge la TAA kwenye TAIFA hili ila nakusihi kwakuwa wewe ni NYOTA KUBWA SAWA NA NYOTA YA ASUBUHI , NASHAURI ACHA SIASA ZAO maana inaonekana unavita kubwa MNO BROTHER, SAVE YOUR LIFE binadamu ,Tena wanasiasa hawana wema no matter HOW THE BEST YOU ARE Kwa nchi hizi za Africa , Tena bongo my brother PAMBANA NA SECTOR BINAFSI WEWE NI ZAIDI YA SIASA ZA KIBONGO MAANA NYINGI NI SIASA ZA HAYO UNAYOYATAJA ,JANJA JANJA NA UONEVU , KUCHONGEWA CHONGEWA NINI wengi wanaroho za KUTU , NAKUOMBA SANA KAKA WEKEZA KWENYE BIASHARA ZAKO NA FAMILIA YAKO NA NDUGU ZAKO siyo SIASA za bongo

  • @nelsonpatricioestanislaus7144

    hongera diwani🔥🔥🔥🔥

  • @msifunilazaro6225
    @msifunilazaro6225 Před rokem +5

    Mh. Hata yesu aliwafia wa dhambi nimependa sana ukweli wako na msimamo wako kukitetea chama cha ccm natatizo lawatu wanapenda kuwatumia watu kwa maslahi yao nasio kuwatengeneza watu. kwa maslahi ya uma.

  • @immafilimoni4646
    @immafilimoni4646 Před rokem +2

    juma kuna baadhi ya mambo aje aniulize mm chawa wako nitamwambia mm ndo chawa wako mkuu usiseme sana mm ndio nitaongea

  • @ireneshao7950
    @ireneshao7950 Před rokem +3

    Shida Sio kua ccm au chadema moyo hakika una moyo wakuongoza watu

  • @janifajani8875
    @janifajani8875 Před rokem +2

    Diwani wangu pendwa yani ana udumia vema sana wananchi kila tukio analifatia adi ana lipatia haki sijui kwann wamemtowa huyu kaka

  • @abbashussein-hz4dr
    @abbashussein-hz4dr Před rokem +5

    Kaka yetu tume haso nae sana moshi gonga like kwa pasua yetu had boma mbuzi

  • @waltersesuru43
    @waltersesuru43 Před rokem

    Mungu atakubaliki%

  • @bobwhite9252
    @bobwhite9252 Před rokem +1

    so inspirational

  • @abdallahabdulaziz3683
    @abdallahabdulaziz3683 Před rokem +4

    Mi nakukubali bwana piga kazi bro, uzalendo NI popote sio lazima uwe chadema.

  • @emmanueladrehem7694
    @emmanueladrehem7694 Před rokem +2

    mungu amewaweka mahali pema MOTONI

  • @immafilimoni4646
    @immafilimoni4646 Před rokem +2

    kuhusu vita juma Raibu anajua cc ndie tunapigana hakuna wa kumgusa yy wala hajigusi cc ndo tutapambana usiku na mchana kuhusu juma Raibu juma rafiki wa wote

  • @sanyajuutv2679
    @sanyajuutv2679 Před rokem +4

    Mungu atakulipa kwa yote uliyo fanyiwa kaka

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Před rokem +2

    Achana na siasa kakangu saivi hadi afya inaonekana hizo shughul unafanya saivi ndiyo sehem sahihi

  • @abdallahantony9524
    @abdallahantony9524 Před rokem +2

    Nimwananchi lakini sio yanga🤣

  • @josephkiliko7114
    @josephkiliko7114 Před rokem

    Mungu akutunze nimejifunza sana

  • @mustaphajaphar6166
    @mustaphajaphar6166 Před rokem

    Mwananchi lakini sio yanga gonga like

  • @BigDrones
    @BigDrones Před rokem +7

    Sema Editor na wewe edit kwa brand ya Millard sasa iyo soundtrack veepe be a Brand Bwana unalipua sana kazi

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 Před rokem +1

    CCM haipendi watu waaminifu na wenye kusema ukweli.

  • @innocentthobias924
    @innocentthobias924 Před rokem +2

    Sijawahi kuskiliza intrvw mpaka mwisho bila kurusha lakini hii!😂 nimerudia rudia nipo kuwa sijaskia vizuri

    • @annamosha968
      @annamosha968 Před rokem

      Hata mie jamani! Nazirushaga mbele! Ila hii ni Mungu kanambia niitazame hadi mwishoNASHUKURU NIMEUJUA UKWELI LEO. Daaah watu tuacheni WIVU juu ya BARAKA za mwingine! Loooo😭😭😭

  • @ismailmshana2828
    @ismailmshana2828 Před rokem

    Brother achana na siasa wasiojulikana watakupoteza bado umdogo . Fanya kazi nyingine broo

  • @sudyslaa8278
    @sudyslaa8278 Před rokem +1

    Kuna mengi ya kujifunza hapa. Jamaa ametisha

  • @kassimally-zu3dz
    @kassimally-zu3dz Před rokem +1

    Pambana kabisa mkuu mungu atawaumbua washamba hao

  • @AbuwNibras926
    @AbuwNibras926 Před rokem +4

    Ishu ile ya kumuua yule Dogo kalolen vp?

  • @willymwasakyeni4393
    @willymwasakyeni4393 Před rokem +10

    Daaaah ila nchi hii ipo siku kila uovu na waovu wote ngoja tusibili 😭😭😭 Mungu tuokoe na mabaya yote

  • @emmanuelShilole-un5fg

    Pole kijana

  • @zikenims6167
    @zikenims6167 Před rokem +2

    Mie nawachukia sana wanatumia madalaka kunyanyasa wenzao

  • @mugishasteve325
    @mugishasteve325 Před rokem +4

    Mahala pema motoni😂😂

  • @hamadimgaza9351
    @hamadimgaza9351 Před rokem

    Vituo vya afya kwa vitongoji vilivyo chagua ccm tu?

  • @godwinmwakibibi274
    @godwinmwakibibi274 Před rokem +1

    Store tamu ila macha kiyaba 😙

  • @geradyswai-hb8hx
    @geradyswai-hb8hx Před rokem +7

    Meya wetu tunakupenda sana.....

  • @mwajabumrindoko-xw9mq
    @mwajabumrindoko-xw9mq Před rokem +2

    Sijuhi unatafutaa nn uwiiiiiiiiii,,,,,,,,ilaaa umepambana so kwa mjengo uwo

  • @ndosiissackjoseph8520
    @ndosiissackjoseph8520 Před rokem +2

    Tusikie pia upande wa pili.. lakini watu wasiojulikana.....

  • @zikenims6167
    @zikenims6167 Před rokem +2

    Allah atakulinda juma wetu awatakuzuru maisha yote

  • @jumamashaka837
    @jumamashaka837 Před rokem +2

    Kosa kwann uwende kwa bthdy na sherehe ya mwaka .wajina pole .majina ya kina juma ni ya haki

  • @michaelkivaria6011
    @michaelkivaria6011 Před rokem +1

    Wala usijali utasimama tena na zaidi Mumgu akusimamie

  • @samwelhiinyamhangahiileosi1060

    Samia anayakanyaga

  • @husseinmaingo5009
    @husseinmaingo5009 Před rokem +3

    Uyu ana hoja sasa anasemaje wagombea wa sasa wanabebwa Ina maana hakuna upigaj wa kura wa halal!! Kwel mwanasiasa akikwambia usitoke nje kuna mvua inanyesha ata kama rad zinapiga embu jaribu kuchungulia ata dirishan kama ni kwel

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Před rokem +6

    Watanzania wengi siyo wazarendo
    Wapo kwa hajir ya maslai tu! Hila kaka
    Kwenye uchunguzi wangu naona unapendwa sana sana sana but #AKILI UNAZO TENA SANA

  • @pastoraile7195
    @pastoraile7195 Před rokem +3

    Kaka tulia huwezi gombana nao watuuuu inchiiii nikituuu kizitooo

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Před rokem +8

    Nimempenda huyu jama

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Před rokem +1

      Mwanasiasa 😄, uwe mwangalifu na hawa watu...akikuambia sasa ni usiku..toka nje hakikisha mwenyewe

    • @andrewpembe8553
      @andrewpembe8553 Před rokem +1

      Mhe. Upo vizuri sana.

  • @dreadlocksspecialist7195

    Tanzania ili ubaki kwenye uongozi lazima uwe mchumia tumbo but nimejifunza kitu lazima uchunguze sana kila sehemu ya kwenda inabidi uchunguze sana

  • @abouayman8713
    @abouayman8713 Před rokem +1

    Yale mazee y ccm nd yalitengeneza hii figisu

  • @mwajabumrindoko-xw9mq
    @mwajabumrindoko-xw9mq Před rokem +1

    Iyooo historiaaaaa xaxaaaaaaaaaaa kuna ya uwongoo hapoo

  • @alexjinasa3054
    @alexjinasa3054 Před rokem

    Msema ukweli,hadumu.

  • @eddymakata2999
    @eddymakata2999 Před rokem +2

    Mwana kavuna sana sana anamiliki mali mnooo

  • @annamadavid4152
    @annamadavid4152 Před rokem +1

    Kama huujui uchafu ingia kwenye siasa,siasa ni mchezo mchafuu zaidi ya uchafu unaoujuaa