SHEIKH MZIWANDA AKERWA NA SWALI HILI JE MSEMAJI WA WAISLAM NANI? VIPI TUTAONDOA TOFAUTI ZA MADHEHEBU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 09. 2024
  • Tufuatilie mitaondao ya kijamii;-
    Facebook: / mzeewakhidma
    Instagram: / khidma_tv
    Tiktok: / khidmatv1
    CZcams: / @khidmaonlinetv350

Komentáře • 43

  • @2003hintay
    @2003hintay Před měsícem +2

    Sheikh Mziwanda uko wazi sana na mkweli sana Allah akuzidishie

  • @haroubsalim779
    @haroubsalim779 Před měsícem +2

    Uislamu una njia ya mageuzi, maisha haya sio yanayotakiwa na uislamu
    Kwa hiyo viongozi Hawa hawaendi Kwa mujibu wa uislamu, lazima mfumo ubadilishwe na apatikane kiongozi wa kiislamu.

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv Před měsícem

    MASHA ALLAH 🇰🇪💚💚💚

  • @user-tw4nf6bv8b
    @user-tw4nf6bv8b Před měsícem +2

    Jibu Swali hili Nani Kaanzisha Bakwata???????
    Ndio utajua huyo bwana kaulizwa swali hilo nani msemaji wa Waislam Tanzania

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z Před měsícem +1

    mi niko tofauti...swali limejibiwa tena vizuri kabisa;;ila kumkataa mungu sio kawaida,

  • @binaamour318
    @binaamour318 Před měsícem +1

    Kajibu ww unaeleta ushabik w masheikh angekuwa unaowkubali ungesema kajibu

  • @jamaliddiin9357
    @jamaliddiin9357 Před měsícem

    Sheikh ulikuwa ujibu swala
    Sio hasira

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před měsícem +1

    Dini ya uislam haina msemaji mkuu,msemaji mkuu wa uislam ni kitabu (qur'an)na sunnah(yaani hadith)
    wengineo wote lazima wafuate qur'an na sunnah kwa ufahamu wa maswahaba.,
    hizo taasisi ni maputo ya kiyahufkdi tu!!
    Maswahaba,taabig"hiin hawakuwa na hayo madude ya taasisi,nao ndio walikuwa ummma bora!!!

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa Před měsícem

      Wayahudi ndiyo wenye Mungu wa kweli kuliko waarabu,mungu wa waarabu hajawahi kufanya maajabu yoyote

    • @binaamour318
      @binaamour318 Před měsícem

      Cku ukitoka roho yko utajua mungu w waarab au wt wote duniani na akhera

    • @muktarkassim6647
      @muktarkassim6647 Před měsícem

      Hata hiyo Qur'an na Sunnah imefundisha ni namna gani utaheshimu mamlaka .....mfano Ibnu Abbas na mu'awiyah walikuwa kwenye mamlaka ila waliheshimiana .....acha sisi kwenye mjii mmoja Taifa mmoja tunatukanana kutiana motoni Kisha unasema tunafata Qur'an na Sunna

    • @mareeabdalla5739
      @mareeabdalla5739 Před měsícem

      Msemaji wa waislamu ni khalifa sio Quran

    • @mareeabdalla5739
      @mareeabdalla5739 Před měsícem

      ​@@FridayMwassamayahudi hawan mungu na wewe ujuwe kwa mayahudi weweni mtumwa wao na kwakuwa ni mkiristo nihalali kuuwawa Saka wewe

  • @SuleimanHassan-zq7dv
    @SuleimanHassan-zq7dv Před měsícem

    Sh tatizo nielim

  • @SuleimanHassan-zq7dv
    @SuleimanHassan-zq7dv Před měsícem

    Doo

  • @user-oh7gv8zg5y
    @user-oh7gv8zg5y Před měsícem

    Suluhisho ni watu wote warudi ,, kuzisoma dini Yao Kwa kufuata uelewa WA maswahaba naso, kuleta Rai na kutumia akili kwenye masuala ya dini

    • @ramadhanwilbard8196
      @ramadhanwilbard8196 Před měsícem

      Kama Mtume hakuwa na dhehebu sisi hayo tunayatowa wapi?

    • @zanzibaronlytv3470
      @zanzibaronlytv3470 Před měsícem

      Tusome kka sisi dini yetu sasa ivi inaendeshwa na akili hatuendeshwi na dalili ​@@ramadhanwilbard8196

    • @user-oh7gv8zg5y
      @user-oh7gv8zg5y Před měsícem

      @@ramadhanwilbard8196 unaelewa maana ya dhehebu, madhhabi,,

    • @ramadhanwilbard8196
      @ramadhanwilbard8196 Před měsícem

      Ndiyo naelewa ni nini maana ya dhehebu,kwani nini?

  • @user-xh3uh1qz3p
    @user-xh3uh1qz3p Před měsícem

    Hayo sio majibu sahihi ya swali ulilouilizwa

    • @fahmiiidrisa5110
      @fahmiiidrisa5110 Před měsícem +1

      Sie tmeelewa we kam hujaelew hio ni shida ya ufaham wko

    • @suleim505
      @suleim505 Před měsícem

      swali aliuliza mwulizaji ni aibu kabisa ,,wapi tunaelekea...

  • @zanzibaronlytv3470
    @zanzibaronlytv3470 Před měsícem +1

    Ni lazma tuwe masalafy tu

    • @meksd2418
      @meksd2418 Před měsícem

      Hawaa masalafii wasasaa wapotoshajii

    • @ibnayub2374
      @ibnayub2374 Před měsícem

      ​@@meksd2418 wazaman walikua wakweli ni kipi kinacho fanya Hawa kwasasa wawe waongo?

    • @adamhashim3352
      @adamhashim3352 Před měsícem

      Tuwe mayahudi au sio??

  • @user-iw5hu3mc7l
    @user-iw5hu3mc7l Před měsícem

    Shekh unakwepa swali

  • @JumaGishanga
    @JumaGishanga Před měsícem

    Mfiti kachaguliwa nani

    • @Silay1034
      @Silay1034 Před měsícem

      kwani muft wa saudia snachaguliwa nanani au mufti Huwa anachaguliwa nanani kisheria tuambia

  • @user-iw5hu3mc7l
    @user-iw5hu3mc7l Před měsícem

    Msemaji ni ponda

  • @kadrimwingamno258
    @kadrimwingamno258 Před měsícem

    Sheikh bado ujajibu swali...tunaona unavyo zunguka. Quran imetupa jibu juu ya ilo swali ulioulizwa ila Mzuwanda unaongea kihuni tu.

    • @yanyikawaterwelltanzania9600
      @yanyikawaterwelltanzania9600 Před měsícem

      wewe jibu sasa ni nani?

    • @OmarMbwana-c4h
      @OmarMbwana-c4h Před měsícem

      Yye anaongea kihun wwe je

    • @kadrimwingamno258
      @kadrimwingamno258 Před měsícem

      ​@@yanyikawaterwelltanzania9600hii dini siyo kuongea tu. Bila kurejea katika kitabu Allah. Al quran karim.

    • @kadrimwingamno258
      @kadrimwingamno258 Před měsícem

      ​@@OmarMbwana-c4h wewe endelea kuwafwata masheikh wa kisufi. Kazi zao kukonga nyoyo za waumini. Badala ya kufundisha quran na mwenendo wa Mtume Muhammad salawatu alyei wasalaam kufuwata uweleo wa Maswahaba RadhiAllah anumaa.

    • @swalahudinmohamed2666
      @swalahudinmohamed2666 Před 25 dny

      ​@@kadrimwingamno258
      Tuambie basi nani afaa kuwa msemaji
      Kufuata Qurani na Sunna Kwa ufahamu WA maswshaba?