Uislamu una njia ya mageuzi, maisha haya sio yanayotakiwa na uislamu Kwa hiyo viongozi Hawa hawaendi Kwa mujibu wa uislamu, lazima mfumo ubadilishwe na apatikane kiongozi wa kiislamu.
Dini ya uislam haina msemaji mkuu,msemaji mkuu wa uislam ni kitabu (qur'an)na sunnah(yaani hadith) wengineo wote lazima wafuate qur'an na sunnah kwa ufahamu wa maswahaba., hizo taasisi ni maputo ya kiyahufkdi tu!! Maswahaba,taabig"hiin hawakuwa na hayo madude ya taasisi,nao ndio walikuwa ummma bora!!!
Hata hiyo Qur'an na Sunnah imefundisha ni namna gani utaheshimu mamlaka .....mfano Ibnu Abbas na mu'awiyah walikuwa kwenye mamlaka ila waliheshimiana .....acha sisi kwenye mjii mmoja Taifa mmoja tunatukanana kutiana motoni Kisha unasema tunafata Qur'an na Sunna
@@OmarMbwana-c4h wewe endelea kuwafwata masheikh wa kisufi. Kazi zao kukonga nyoyo za waumini. Badala ya kufundisha quran na mwenendo wa Mtume Muhammad salawatu alyei wasalaam kufuwata uweleo wa Maswahaba RadhiAllah anumaa.
Sheikh Mziwanda uko wazi sana na mkweli sana Allah akuzidishie
Uislamu una njia ya mageuzi, maisha haya sio yanayotakiwa na uislamu
Kwa hiyo viongozi Hawa hawaendi Kwa mujibu wa uislamu, lazima mfumo ubadilishwe na apatikane kiongozi wa kiislamu.
Acha wehu mufti habadilik mpaka afe
MASHA ALLAH 🇰🇪💚💚💚
Jibu Swali hili Nani Kaanzisha Bakwata???????
Ndio utajua huyo bwana kaulizwa swali hilo nani msemaji wa Waislam Tanzania
mi niko tofauti...swali limejibiwa tena vizuri kabisa;;ila kumkataa mungu sio kawaida,
Kiubinadamu ndivo tulivoumbwa
Kajibu ww unaeleta ushabik w masheikh angekuwa unaowkubali ungesema kajibu
Sheikh ulikuwa ujibu swala
Sio hasira
Dini ya uislam haina msemaji mkuu,msemaji mkuu wa uislam ni kitabu (qur'an)na sunnah(yaani hadith)
wengineo wote lazima wafuate qur'an na sunnah kwa ufahamu wa maswahaba.,
hizo taasisi ni maputo ya kiyahufkdi tu!!
Maswahaba,taabig"hiin hawakuwa na hayo madude ya taasisi,nao ndio walikuwa ummma bora!!!
Wayahudi ndiyo wenye Mungu wa kweli kuliko waarabu,mungu wa waarabu hajawahi kufanya maajabu yoyote
Cku ukitoka roho yko utajua mungu w waarab au wt wote duniani na akhera
Hata hiyo Qur'an na Sunnah imefundisha ni namna gani utaheshimu mamlaka .....mfano Ibnu Abbas na mu'awiyah walikuwa kwenye mamlaka ila waliheshimiana .....acha sisi kwenye mjii mmoja Taifa mmoja tunatukanana kutiana motoni Kisha unasema tunafata Qur'an na Sunna
Msemaji wa waislamu ni khalifa sio Quran
@@FridayMwassamayahudi hawan mungu na wewe ujuwe kwa mayahudi weweni mtumwa wao na kwakuwa ni mkiristo nihalali kuuwawa Saka wewe
Sh tatizo nielim
Doo
Suluhisho ni watu wote warudi ,, kuzisoma dini Yao Kwa kufuata uelewa WA maswahaba naso, kuleta Rai na kutumia akili kwenye masuala ya dini
Kama Mtume hakuwa na dhehebu sisi hayo tunayatowa wapi?
Tusome kka sisi dini yetu sasa ivi inaendeshwa na akili hatuendeshwi na dalili @@ramadhanwilbard8196
@@ramadhanwilbard8196 unaelewa maana ya dhehebu, madhhabi,,
Ndiyo naelewa ni nini maana ya dhehebu,kwani nini?
Hayo sio majibu sahihi ya swali ulilouilizwa
Sie tmeelewa we kam hujaelew hio ni shida ya ufaham wko
swali aliuliza mwulizaji ni aibu kabisa ,,wapi tunaelekea...
Ni lazma tuwe masalafy tu
Hawaa masalafii wasasaa wapotoshajii
@@meksd2418 wazaman walikua wakweli ni kipi kinacho fanya Hawa kwasasa wawe waongo?
Tuwe mayahudi au sio??
Shekh unakwepa swali
Jibu ww
Mfiti kachaguliwa nani
kwani muft wa saudia snachaguliwa nanani au mufti Huwa anachaguliwa nanani kisheria tuambia
Msemaji ni ponda
Sheikh bado ujajibu swali...tunaona unavyo zunguka. Quran imetupa jibu juu ya ilo swali ulioulizwa ila Mzuwanda unaongea kihuni tu.
wewe jibu sasa ni nani?
Yye anaongea kihun wwe je
@@yanyikawaterwelltanzania9600hii dini siyo kuongea tu. Bila kurejea katika kitabu Allah. Al quran karim.
@@OmarMbwana-c4h wewe endelea kuwafwata masheikh wa kisufi. Kazi zao kukonga nyoyo za waumini. Badala ya kufundisha quran na mwenendo wa Mtume Muhammad salawatu alyei wasalaam kufuwata uweleo wa Maswahaba RadhiAllah anumaa.
@@kadrimwingamno258
Tuambie basi nani afaa kuwa msemaji
Kufuata Qurani na Sunna Kwa ufahamu WA maswshaba?