MJUE ALIYEKUWA RAIS WA IRAN - EBRAHIM RAISI: MBABE ALIYEFARIKI KWA AJALI YA HELIKOPTA...
Vložit
- čas přidán 19. 05. 2024
- MJUE ALIYEKUWA RAIS WA IRAN - EBRAHIM RAISI: MBABE ALIYEFARIKI KWA AJALI YA HELIKOPTA...
Dunia imekumbwa na mshtuko kufuatia taarifa za kifo cha ghafla cha Rais wa Iran, Ebrahim Raisolsadati anayejulikana zaidi kama Ebrahim Raisi, aliyefariki baada ya helikopta aliyokuwa akisafiria kupata ajali, tukio lililotokea Jumapili ya Mei 19, 2024.
Katika ajali hiyo, helikopta iliyokuwa imembeba Rais Raisi, ilipata ajali Mashariki mwa Azerbaijan ambapo ndani yake, kulikuwa na viongozi wengine kadhaa. Msafara wa Rais Raisi ulikuwa na helikopta tatu, lakini isivyo bahati, ni aliyokuwa amepanda yeye tu ndiyo iliyopata ajali ambapo saa kadhaa baadaye, taarifa ilitolewa kwamba watu wote waliokuwa ndani ya helikopta hiyo wamefariki dunia, akiwemo Rais Raisi, taarifa zilizoushtua mno ulimwengu.
Kufuatia tukio hilo, watu wengi wamekuwa na shauku ya kutaka kumjua kwa undani Rais Ebrahim Rais na hapo ndipo Global TV ilipoona haja ya kukuandalia makala haya ambayo yatachambua baadhi ya mambo ya msingi katika maisha ya Rais Ebrahim Raisi.
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Safi kabsa alinyonga watu muache aende
Yesu Kristo ndiye njia kweli na uzima. Ukimkataa umekwisha kuhukumiwa. Pole kwa familia na wananchi wa Iran
Hueleweki!!
@@jumamohammed2748 Mimi namwelewa Sana anamaanisha hivi yesu amelifundisha kanisa kuwapenda watu na sio kuuwa Kwa kisingizio eti dini
Swala ni kufa hata uwe wa yesu utakufa tuuu
hujielewi
Afe tu❤❤
Marekani noma
Huyo kama IdAmin Dada
Poleni sana ndugu zetu wa Iran
Kuna mungu mbingine mwenye anatetea wenye hawana uwenzo
Huyu Ali fanya kusetewa
Ihurumiwe Dunia nzima Kwa huruma ya Mungu
Pole sanakwakuondokewa na wajina
Mungu ndiyo kila kitu🙏🙏🙏
Hapo mtasema Israel imetungua kumbe ni mungu
Jibu ndio hilo. Amka unywe kahawa.
Mungu ampe pumzik jema
Poleni ndugu zetu wa iran
innalillahi wainnailaihi rajiuun
Mungu katoa aliyenyongaA
Haita ondoka nafsi ila kwamaandiko ya Allah ,Mola akusameheni makosayenu ,Dunia nimapito wala haijalishi wewe nani
Aliua wengi sana
Mpinga kristo mkubwa uyo mungu hazoelek acha afe
Angalieni Marekani rais akisafiri na helicopter na ni ulinzi wa kutosha hiyo helicopter hata upepo unaisukuma
Innah Lilah waina ilah rajiun
Innalilah waina lilah rajiun
Inalillah
Ase
Innalillah wainna illaihi Raajiun 😢😢
Katika yote YESU anakaribia kurudi, huu ni wakati wa sisi wanadamu kutubu na kuacha kushabikia hizi vitu, maana Biblia imesema mkiona mambo kama haya changamkeni kwa maana wakati wa kurudi YESU KRISTO aliye njia na kweli umekaribia na unyakuo uko njiani, tuamke na kutubu
Inna lilahi wa inna ilaihi rajiuun
Polen San Wana iran
Binadam ni kiumbe kizito na allah kuna watu amewanyima akili kabisa niseme tu innalilah wainnailah rajiona
SOME TIME MUNGU ANATENDA KWA KULIPIZA KWA ROHO ALIZOTOA
Kwasababu kifo sio dhambi. Basi ahadi ilifika. Na wewe utakufa pia. Mwenyezi Mungu sw atampa kheri
@@hilalalhabsi2047 YAH HAKUNA ATAKAE BAKI WOTE SAFARI INATUHUSU PIA
Marekani anamuwekeaje vikwazo wakati wao ndio wauwaji wakubwa
Mlinzi ni mungu tu
Innalilahi wa innalilaih rajiuun
Allah ampe kauli thabit yaarab msamehe makosa yake
Ni dicteta muache ache katili mkubwa uyo
Dikteta 🤭🤭🤭 kauaaaa sana
Saudi Arabia sio chinja chinja nyinyi global ni viraka wa marekani sisi wafrika tuna kasumba hao iran walitupa mafuta bure Tanzania katika miaka ya thaminini na wewe Ibrahim
Pumzika mwamba
Ukilani israeli naww unalaniwa alijaribu kugusa wayaudi naye kaguswa ogopa atari
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwa Israel Gani sasa
Ao mayahud iko siku yao watakavo fatwa wote
Unajua Ukweli utakuja kujulikana. Kama zilikuwa tatu iweje moja tu ipate ajali. Ni aibu kutangaza aibu ya Iran iliyojinadi ina nguvu ya kijeshi. Kusema iltunguliwa ni mpaka vizazi vipite kama ilivyo kwa Farao wa kale. Au Goliathi. Alikuwa muuji muoga alivizia wasio na hatia. Aliwachinja wairan waliofungwa mikono na macho! The Butcher of Tehran dead!
Wewe amechinjwa baba yako au shobo tu za ushoga wenu
Kafiri mpinga kristo kachinjwa Bado kafiri mwenzio putn nae kifo Cha aibu kinamsubilia
Hata wew pia kinakusubir kwann ucjiandae nacho unapigia mahesabu wenziwako
Astghafirululah.watu.wanajuwaWaoWamwishoKufaMahesabukwawenzaotu@@mussakarata6650
Hapo wasingiziaji mliozoea kuwasingizia islaeli haya haya jimbo liko wazi wasingizieni tena
Upo wapi wewe wamelitungua amka unywe kahawa.
Muuwaji kafa
Hata acye muuaji pia hufa kwasababu ni lazm wote tufee
Tuna mjuwa huyo mpinga Christo, shetani mkubwa. Kachokoza taifa teule ya Mungu Israel na amekipata
Wee mjinga hujui la kusema nyamaza unaropokwa tu
Na siku ukifa wewe wengine watafurahi kama unavyofurahia sasa hivi mjinga mkubwa we!
Cristo ndio nini?
@@IsmailJuma-zb5niukafiriMkubwa..ndyomaanayake
@@SalmanMughal-lq5lt swadakta