THE BRAIN FOOD: KIM KIDUKU; MKOREA MBABE WA MAKOMBORA YA NYUKLIA YANAYOITIKISA MAREKANI...

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 06. 2022
  • THE BRAIN FOOD: KIM KIDUKU; MKOREA MBABE WA MAKOMBORA YA NYUKLIA YANAYOITIKISA MAREKANI...
    Kim Jong Un, ni rais mbabe kutoka Korea ya Kaskazini. Ni mbabe kwelikweli. Anachojivunia zaidi ni makombora ya nyuklia aliyonayo, kulipua makombora ndiyo furaha yake. Ubabe wake amerithi kutoka kwa mababu zake.
    Marekani wanamfahamu vizuri Kim, anawachachafya kweli. Historia ya maisha yake imejaa mambo mengi ya kutisha ya kufurahisha na Mwalimu DENIS MPAGAZE.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Komentáře • 82

  • @dismasstanslaus5985
    @dismasstanslaus5985 Před rokem +19

    Kama umechekaa nipe like, eti sio sisi wafukunyuzi😅😅😅😅😅

  • @swalihintv
    @swalihintv Před 7 měsíci +5

    Ndugu .. amini ligonde anajua kusoma taarifa .. mauwa yake apewe .. siezi pita taarifa wakati ndie anaisoma .. salute mkuu mngu azidi kukubariki

  • @emanuelkidali9733
    @emanuelkidali9733 Před 13 dny +1

    Nampenda sana rais wa panki yupo vzr

  • @ndizindeleti761
    @ndizindeleti761 Před 2 lety +4

    Apendi Uhuru w bandia ukohuru maisha unapangiwa hataki

  • @shomariramazani7886
    @shomariramazani7886 Před rokem +1

    Kaka unajuwa Sana 💯💪🏾💪🏾

  • @abdul-kadiraly9312
    @abdul-kadiraly9312 Před rokem +4

    mungu atakulipa kaka asante ishi maisha marefu

  • @aishatarimotarimo2689

    Yaan mm nikisikia saut yko napenda na naisikiliza simuliz had mwishoooooooo❤❤❤❤❤

  • @naellashabani7622
    @naellashabani7622 Před rokem +3

    Thanks

  • @alexsengo77
    @alexsengo77 Před měsícem +1

    😆😁😆😁😆😁 Uko vizuri kaka

  • @alexsengo77
    @alexsengo77 Před měsícem +1

    Hanyi hovyoooooooo huyu bwana😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅

  • @kikongajoel5172
    @kikongajoel5172 Před 2 lety +2

    Kz nzuri

  • @allyomary2271
    @allyomary2271 Před 2 měsíci +1

    America ni watu wasiopenda kuona mataifa mengine yanakua kiuchumi na kijeshi

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 Před rokem +2

    Asante studios

  • @aishatarimotarimo2689

    Nakupata vzr kutoka🇨🇦🇨🇦 napenda venye uko na saut nzr

  • @kikongajoel5172
    @kikongajoel5172 Před 2 měsíci

    KAZI nzuri

  • @giftibrahim
    @giftibrahim Před rokem +1

    Namna unayochambua Hua unanifurahisha😂😂😂😂😂 sna daah unaupiga mwing

  • @user-um3ci6qs5p
    @user-um3ci6qs5p Před 2 měsíci

    Nakukubali sana mwamba

  • @user-jc8vt7ct9t
    @user-jc8vt7ct9t Před měsícem

    Wako vizuri

  • @khalidkhalfan1556
    @khalidkhalfan1556 Před rokem

    Nampenda sana uyu kiduku kwa kumbomoa shoga wa ulimwengu naomba kiduku putini na china wafungamane wamkimbize shoga asilande ulimwenguni

  • @YunusuKantangayo
    @YunusuKantangayo Před 5 měsíci

    Nasisitiza tuige kuishi kwa kujiamini bila kuibembeleza Marekani na msbeberu wa magharibi kwa ujumla

  • @abdul-kadiraly9312
    @abdul-kadiraly9312 Před rokem +2

    asante kaka

  • @emanuelkidali9733
    @emanuelkidali9733 Před 13 dny

    Huyo ndie jpm

  • @deusmauka8270
    @deusmauka8270 Před 2 měsíci

    Ni shidaaah

  • @danielivan4810
    @danielivan4810 Před 2 lety +5

    🔥🔥🔥🔥🔥💯💯

  • @geraldswai5492
    @geraldswai5492 Před rokem +1

    Daaa Brother nimekupenda bure endelea

  • @user-xl9zu9fz6q
    @user-xl9zu9fz6q Před rokem +1

    🌹남과 북🇰🇷🇰🇵🌹우리 한민족 한반도 평화를 바랍니다!🙏🇰🇷🇰🇵🇰🇷🇰🇵🙏

  • @samsonhaule3647
    @samsonhaule3647 Před 2 lety +3

    Mtangazaji Unanifurahisha Sana, Unaweza kutangaza Vizuri Sana.

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Před rokem +1

    😂😂😂nakwli ikosiku tutaikuta haipo nimekupenda wandishi 🔥🇴🇲🇹🇿,🤣🤣

  • @mohamedS-yd9wh
    @mohamedS-yd9wh Před 6 měsíci

    Kim big up

  • @emanuelkidali9733
    @emanuelkidali9733 Před 13 dny

    Hata mie cpendi kiduku aondoke

  • @Mapyatv
    @Mapyatv Před 2 měsíci

    Dah nimependa ningekua uk ilanamshukur mung

  • @ndizindeleti761
    @ndizindeleti761 Před 2 lety +1

    Kk umetisha Sana unasimulia vizuri tupe na za ndani huko uklein

  • @donaldmwahalende4841
    @donaldmwahalende4841 Před rokem +1

    Safi sana dear

  • @alikarisa
    @alikarisa Před rokem +3

    Kiduku huyu natamani amuonjeshe US bomu moja tu

  • @henrymatebe
    @henrymatebe Před 4 měsíci +3

    Kiduku hana chochote mbele ya marekani marekani ina technology ya juu sana hata nuclear anazo za kutisha ila hajionyeshi tena technology ya nuclear marekani ilianza miaka mingi iliyopita unadhani leo atakuwa wapi ?

  • @ndizindeleti761
    @ndizindeleti761 Před 2 lety +3

    Tunakiwa kuichukia malekani ndio mchafuz w dunia

  • @user-ks2xm5yb4p
    @user-ks2xm5yb4p Před 4 měsíci

    Unyama mkubwa sana

  • @evanccast6228
    @evanccast6228 Před rokem +2

    Kiduku Mungu akupe miaka mingi nakukubali ile kinomaa

  • @JumaMadebe-gp7ov
    @JumaMadebe-gp7ov Před 3 dny

    ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @EzekiaMyila
    @EzekiaMyila Před 10 dny

    Huyu mtu anamuamini dd yake na kitoto Chake kike ni ujinga tuu anafanya

  • @BM-mi8lo
    @BM-mi8lo Před rokem

    Kiduku ya paswa aje Bongo awa samablatishe mafisadi maana ni wengi sana wanatuudhi Kila siku na kutuona kama hatuwezi kuwafanya kitu wehu tu

  • @richhommiekhalifah9646
    @richhommiekhalifah9646 Před 2 měsíci

    Kim kiduku

  • @aidahddumba7764
    @aidahddumba7764 Před rokem +1

    A aassa

  • @alfredmutuajkia4992
    @alfredmutuajkia4992 Před 5 dny

    Kim masuruali

  • @nadrahassan5241
    @nadrahassan5241 Před 2 lety

    Haya

  • @kapondamsita476
    @kapondamsita476 Před 2 lety +1

    Kiongozi bora kabisa uyu

  • @EliasFrolian
    @EliasFrolian Před 2 měsíci

    WAKUOGOPWAA NIMUNGU TU HAWAWENGINI NISISIMIZI NA MUNGU AKIAMUWAA LAKEE KUNAWAKUBAKI HAPA DUNIANI 😂😂😂😂😂😂😂😂Anawazumu tu kwambali 😅😅😅😅😅😅

  • @barikilangoy4737
    @barikilangoy4737 Před 2 lety +3

    Natamani apige uku tz atuchangamshe maana tumepoa sana

    • @Awatee
      @Awatee Před 2 lety

      🤣🤣Nchi ina Wajinga hii Mungu atustiri sasa weye utabak

    • @reganshao
      @reganshao Před 2 lety +1

      Usirudie kuzungumza tena hivyo mpendwa , Mungu anaweza akaokoa watanzania wote na akakuadhibu wewe mwenyewe mfano wa vita acha kabisa,, matokeo ya maisha yako ni maneno ysko, jifunze kutamka maneno ya baraka

    • @Awatee
      @Awatee Před 2 lety

      @@reganshao Mtihan wanadhani vita kama kula tuu htr

    • @reganshao
      @reganshao Před 2 lety +1

      @@Awatee inaumiza sana mtu anapost coment kama hii ,,

    • @barikilangoy4737
      @barikilangoy4737 Před 2 lety

      Jamani uku burudani sijamaanisha

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 Před 2 měsíci

    🤔adabu. 0🤣🤣

  • @user-wr6uz1rx1o
    @user-wr6uz1rx1o Před 11 měsíci

    Hatumtaki uyoo asije akatuteketeza

  • @lilliandamian1854
    @lilliandamian1854 Před měsícem

    ..

  • @SanuliMohamed
    @SanuliMohamed Před 2 měsíci

    😂kaka pambana huna mpinzani

  • @ahmedsaidbachuba2398
    @ahmedsaidbachuba2398 Před rokem +1

    Mawazo yako ni potofu ni ya upendeleo tu hayana ukweli

  • @kenedykatarama3966
    @kenedykatarama3966 Před 2 lety +1

    Hayo mabomu yanawasaidia nini? Kama Corona inanyanyasa dunia hivi

  • @nasraswakala
    @nasraswakala Před 5 měsíci

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @yohanamasebo3478
    @yohanamasebo3478 Před rokem

    🤣🤣🤣

  • @user-iu1iy6tz9t
    @user-iu1iy6tz9t Před 2 měsíci

    Marekani ni mbabe WA wajinga wote wanao jipendekeza

  • @JonasGeorge-zo1ut
    @JonasGeorge-zo1ut Před 4 měsíci

    Kka we unatisha mno