KUMBUKIZI Rais Magufuli alipofanya Ziara ya Kushtukiza Bandarini DSM

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • #Magufuli #Tanzania #Magulificationoftanzania #short #shprts #shortvideo #shortsvideo #shorts
    KUMBUKIZI: RAIS MAGUFULI ALIPOTEMBELEA GHAFLA BANDARI YA DAR ES SALAAM
    JPM Afanya Ziara ya Kushtukiza Bandarini DSM SEPTEMBA 26,2016
    Rais Dkt John Magufuli lei Mei 15, 2018 amefanya ziara ya kushtukiza katika Bandari ya Dar es Salaam na kukagua matanki ya mafuta ambayo yana utata mkubwa unaosababisha bidhaa hiyo kuadimika na kupanda bei.
    Baada ya kufanya ukaguzi huo, Rais Magufuli amekuta madudu na udanganyifu mkubwa ambapo amefanya maamuzi ya kuwapiga faini waliokutwa na udanganyifu huo na kutoa agizo la mafuta yaliyokutwa ni Cruddle na Semi-refund yatolewe leo na yaanze kutumika kwa wananchi.
    Licensed under a Creative commons AttribushareAlike 4.0 International License. Based on a work at https

Komentáře • 67