Wakati Mzuri Unakuja | Jiamini & Amini Mungu. By Zahir Gomelo

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 01. 2023
  • Wakati Mzuri Unakuja Jiamini na Amini Mungu. Mwaka uliopita wengi wamepoteza wanaowapenda, wengine wamepoteza kazi zao, wengine wamepoteza wazazi, wengine wamepoteza wapenzi, wengine wmepoteza watoto wao, wengine wamepata ripoti mbaya ya afya zao! Wengine wamefail wenye mitihani yao wengine wameingia kwenye mikopo mikubwa. Maisha yamekuwa magumu kwao kuliko kifo.
    Vijana wengi wamepitia disappointments na magumu kwa kufeli mitihani yao, na kukosa kazi. Interview walizokuwa wamechaguliwa zimefutwa . Kuna muda maisha yanakuwa magumu, unalia kwa uchungu wa matatizo, vikwazo ambavyo vinakukumba, ambavyo vinatufanya kufikiria , kuwa maisha si rahisi kabisa.
    Maisha ni magumu, ni magumu! Kuna muda ndoto zetu hazifanikiwe, kuna muda mipango ye’tu haiwe, vitu haviende ‘upande wetu. Kutakuwa na changamoto, utafeli, kutakuwa na wakati mbaya, wakati mgumu. Lakini hiyo ni sawa. Kila alifanikiwa wamepitia wakati mbaya, kila aliyefanikiwa amefeli, Elon musk amefeli katika maisha, jeff bezos amepitia wakati mgumu, kila aliyefanikiwa unayemjua wamepitia disspointments na kufeli. Lakini nini walifanya katika hali hiyo nni walijiamini wenyewe, waliamini mungu kuwa wakati mzuri unakuja , walichukua hatua inayofuata na kusonga mbele. Na wewe pia fanya ‘hivyo amini wakati mzuri unakuja. See wote tunapitia hii hali ambayo inaonekana kuwa haitobadilika, ni rahisi kupoteza matumaini na kukubali kuwa uwezi kulivuka hilo. Ni rahisi kutokuwa na hamasa katika wakati mgumu.Ni rahisi kuvunjika moyo, lakini ‘ukweli ni kuwa lazima unapitia wakati mgumu, hayo ni maisha. Ona matokeo chanya kwenye hasi, kila gumu uja na fursa ndani yake. Unachotakiwa kuamini ni kuwa wakati nzuri zinakuja na tafuta hiyo nafasi. Sasa unaweza kuwa na hali mbaya unapitia ambayo inaonekana kuwa hapo milele, labda unahangaika sasa kufanya mambo yakae sawa , maybe your struggling kumrudisha unayempenda, au ADDICTION ambayo inaweza kuwa tabia ‘inayokudhoofisha, labda ‘unampango wa kuifanyia kazi , lakini inaonekana kama hakuna kinachofanya kazi. Labda unapitia kuumwa au kuvunjwa moyo na hali ‘hiyo inaonekana ni permanent na umejaribu kila kitu kukaa sawa kutoka kwenye hiyo hali. Lakini unaona kama ni mlima ambao uwezi kuupanda. Haijalisha ni mbaya kiasi gani inakutokea, kutakuwa na muda wa kupona, lakini nachotaka wewe uone ni kuwa huo nsi nmwisho wa story yako inapoishia. Sio mwisho ila ni siku mpya. Wkati mzuri unakuja soon, na pindi unakapokuja kila kitu ulichopoteza kitakaa sawa, na itabadilisha kila kitu, utageuza machungungu yako kwa Furaha. Biashara yako iliyokufa itarudi, muda huo addiction uliyokuwa na itakufanya kuwa ‘huru, maradhi yako yataisha inshallah, na kuwa mwenye afya. Inaweza kuonekana ni ngumu na kukudefeat lakini unahitaji kujiambia mwenyewe kuwa naamini. Chukua hatua inayofuata kwa kuamini, kuwa wakati mzuri unakuja. Unatakiwa kujiamini, jiamnbie mnwenye kuwa NAJIAMINI kwa kusema jina lako. Najiamini mimi, naamini kwenye uwezo wangu, naamini katika afya yangu, katika career yangu. Haijalishi nini kamwe usiache kujiamini mwenyewe.
    Siku zote kuna milango mipya itafunguka, njia mpya kutoka kwenye hayo matatizo. Kama ukiendelea kujiamini, muda utakuja na kukushangaza. Kuna mwanga, matumaini na wakati mzuri utafika, hakuna kibaya kitakutoka mbaka upoteze matumaini na kuacha kujiamini, hakuna kitakacho kushusha chini mbaka uache kuamini. Hakuna magumu yatakayokukusimamisha mbaka ujidoubt mwenyewe. Na mwisho nakuombea mungu atatue matatizo yako mwaka huu 2023, na ndoto zako kuwa kweli.
    Asante kwa kuangalia , usisahau Kulike video hii, share na rafiki na Subscribe kwa video mpya kila wiki (Jumapili na alhamisi)!!
    -----------------------------------------------------------------------------------------------------
    🏆Lengo Langu 🏆"Ni kushare na wewe Masomo chanya juu ya mambo mbalimbali katika Maisha na kuhakikisha tunakuwa sehemu ya mafanikio yako.
    🔴Nimeanzisha Podcast yangu mpya inaitwa Gonline kwenye Afripods, link hii 👉 afripods.africa
    Usiache pia kuniandikia mawazo kwenye comment section na share kwa wengine pia ila wajifunze zaidi.
    🔴Nifuate IG- / gonline_pos. .
    BIASHARA, MATANGAZO, KUSHIRIKIANA NA USHAURI EMAIL: onlinemedia364@gmail.com WHATSAPP : (+255) 629-718385
    ..............................................................................................................
    🔴TAZAMA VIDEOS ZANGU ZINGINE AMBAZO UTAZIPENDA 👇👇
    ⚡ KUJIAMINI SELF CONFIDENCE- • KUJIAMINI -SELF- CONFI...
    ⚡VITU 6 HIVI HUZUIA MAENDELEO YAKO MAISHAINI-KUSHINDWA
    KUFIKIA MAFANIKIO - • VITU 6 HIVI HUZUIA MAE...
    ⚡Usikate Tamaa Kwenye Kitu Unachokiamini.Najua Leo Itakuwa Ngumu, Kesho itakuwa Mbaya zaidi- • Usikate Tamaa Kwenye K...
    ⚡FAIDA ZA KUFANYA KAZI KWA BIDII- • FAIDA ZA KUFANYA KAZI ...
    ⚡NJIA 6 ZA KUONDOA MSONGO WA MAWAZO/HOW TO STOP STRESS- • NJIA 6 ZA KUONDOA MSO...
    ⚡Hatua 5 Jinsi Ya Kuboresha Maisha Yako Ndani ya Miezi 2- • Hatua 5 Jinsi Ya Kubor...
    #Wakatimzuri #Jiamini #AminiMungu #2023

Komentáře • 3