Unawezaje kutunza/kuweka pesa ukiwa na mshahara wa kawaida?
Vložit
- čas přidán 15. 10. 2022
- Kutunza pesa limekuwa ni jambo gumu sana kwa wengi na wengi wamekuwa wakifikri kuwa ili uweze kutunza pesa lazima uwe na mshahara mkubwa au kipato kikubwa sana jambo ambalo si la kweli. Swali ni unawezaji kuweka pesa/fedha ukiwa na mshahara/kipato cha kawaida?
"Siyo Kiasi gani chA fedha tunaingiza ndicho kitakachoamua mafanikio yetu bali ni kwa kiasi gani tunaweza kutunza"
Hii inafananishwa na tabia ya masikini walio wengi katika kutafuta na kutumia pesa.Masikini hutengeneza fedha kisha huzitapika kwa kuwa na matumizi yasiyo ya lazima na hatima'ye huendelea kuwa masikini.
Mafanikio yanataka juhudi nza muendelezo na kujitoa sana.Iwapo hatuwezi kulipa gharama kwenye maisha yetu, basi hatuwezi kufanikiwa katika kitu chochote na moja ya gharama kubwa sana tunayohitaji kulipa ili tuweze kufanikiwa kifedha ni wezo wa kuweka angalau 10% mpaka 20% ya kila fedha tunayoipata kwa malengo yetu ya baadaye.
Unaweza kuanza kuweka angalau 10% au hata 5% ya kila mapato yako ya siku, wiki au mwezi kwaajili ya lengo lako maalumu ulilojiwekea bila ya kuangalia shida ulizo nazo sasa hivi. Kwahiyo unawezaje kuweka pesa ukiwa na mshahara wa kawaida.Karibu
Asante kwa kuangalia , usisahau Kulike video hii, share na rafiki na Subscribe kwa video mpya kila wiki (Jumapili na alhamisi)!!
-----------------------------------------------------------------------------------------------------
🏆Lengo Langu 🏆"Ni kushare na wewe Masomo chanya juu ya mambo mbalimbali katika Maisha na kuhakikisha tunakuwa sehemu ya mafanikio yako.
🔴Nimeanzisha Podcast yangu mpya inaitwa Gonline kwenye Afripods, link hii 👉 afripods.africa
Usiache pia kuniandikia mawazo kwenye comment section na share kwa wengine pia ila wajifunze zaidi.
🔴Nifuate IG- / gonline_pos. .
BIASHARA, MATANGAZO, KUSHIRIKIANA NA USHAURI EMAIL: onlinemedia364@gmail.com WHATSAPP : (+255) 629-718385
..............................................................................................................
🔴TAZAMA VIDEOS ZANGU ZINGINE AMBAZO UTAZIPENDA 👇👇
⚡ KUJIAMINI SELF CONFIDENCE- • KUJIAMINI -SELF- CONFI...
⚡VITU 6 HIVI HUZUIA MAENDELEO YAKO MAISHAINI-KUSHINDWA
KUFIKIA MAFANIKIO - • VITU 6 HIVI HUZUIA MAE...
⚡Usikate Tamaa Kwenye Kitu Unachokiamini.Najua Leo Itakuwa Ngumu, Kesho itakuwa Mbaya zaidi- • Usikate Tamaa Kwenye K...
⚡FAIDA ZA KUFANYA KAZI KWA BIDII- • FAIDA ZA KUFANYA KAZI ...
⚡NJIA 6 ZA KUONDOA MSONGO WA MAWAZO/HOW TO STOP STRESS- • NJIA 6 ZA KUONDOA MSO...
⚡Hatua 5 Jinsi Ya Kuboresha Maisha Yako Ndani ya Miezi 2- • Hatua 5 Jinsi Ya Kubor...
⚡MAMBO YA KUEPUKA KUFANYA ASUBUHI-KUWEZA KUIKABILI SIKU NZIMA- • MAMBO YA KUEPUKA KUFAN...
⚡Sababu 5 Watu Ukata Tama Kwenye Malengo Yao Mapema - • Sababu 5 Watu Ukata Ta...
#Kuwekaakiba #Mshaharawakawaida
Keep going bro. Elimu yako ni muhimu sanaaa. Inatusaidia. MUNGU aku barik. Ufikie malengo yako pia.
Asante
Somo limeeleweka brother G,tunashkru🙏🙏
Nafanya kaz za ndan nalipwa kawida sana ila nina malengo nayo nawezaje kutunza
Hongera sana kaka kwa ushauri wako🙏
Mi nafanya kazi za ndan ninalipwa kawaida sana ila Nina malengo makubwa
Shukrani bradha mungu akubariki uzidi kutuelimisha zaidi
Asante
Kweli
Naomba kuuliza mfano napoke lake na nusu nikuamua kuweka kila mwezi asilimia 10 ya mshahara wangu ni shilingi ngapi maana mahesabu siyajui vyema
Ok unspoken 150000 mshahara wako. Asilimia 10% ya hiyo itakuwa 15000/=