MBINU ZA KUEPUKA MADENI MABAYA - Victor Mwambene.
Vložit
- čas přidán 26. 11. 2022
- Kupitia somo hili utajifunza tofauti kati ya madeni mazuri na madeni mabaya na jinsi ya kuepuka madeni mabaya yasiathiri kipato chako na uhusiano wako na watu au taasisi za kifedha.
.
Tafadhali Usiache Ku SUBSCRIBE na kubonyeza alama ya kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa ya somo jipya tunapo kuwekea.
.
KUMBUKA, Masomo haya yanakujia kila siku ya J’pili yenye lengo la kukusaidia kuwa na akili ya fedha pamoja na akili ya Biashara.
.
Kwa Mafunzo au Kupata Vitabu vyangu vya Fedha na Biashara Tafadhali wasiliana nami kwa 0744126640. Nitumie Majina yako Whatsapp Kupitia namba hiyo ili tukuunge kwenye Kundi letu la Whatsapp uzidi Kujifunza kutoka kwangu.
Asante sana kwa somo zuri mkuu hakika nimejifunza 💪💪
Umeeleza vema kiongozi Ila nieleweshe kwanini mkopo siyo mzuri kwa biashara.
Good
Asante sana
Napata hivyo vitabu npo shinyang kaham
Tunakutumia Kwa basi mpendwa, Naomba Nitafute Kwa 0744126640.
Kaka nime kupata vizulii hata Mimi Kuna wakati Kwa kweli madeni yalikuwaga mpaka yana ni kondesha
Kaka nimesha yakanyaga tayri kichwa kina niwaka moto
Pole sana Mpendwa, Usikate tamaa, Endelea Kujifunza.