Women Matters (2): Mtu aliyekufa anaweza kukutokea kiukweli ndotoni? Dr Elly atoa ufafanuzi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 08. 2019
  • Lillian Mwasha na Dr Elly wameamua kuzungumzia mada nzito kiasi - Kifo. Kuna mengi ya kujifunza japo yanaweza kukuacha kichwa kikiuma kutokana na uzito wake
  • Auta a dopravní prostředky

Komentáře • 85

  • @luluvictor5769
    @luluvictor5769 Před 4 lety +20

    If you like this show gonga like

  • @fikiriseleman3460
    @fikiriseleman3460 Před rokem +4

    Huyu dada anazinguwa , atulie tusikilize, sio rahis kumwelewa Dr.

  • @longstonebizzempire675
    @longstonebizzempire675 Před 4 lety +16

    Huyu dokta anavutu vikubwa sana tunavyohitaji kuvifaham

  • @estermgaya5816
    @estermgaya5816 Před 4 lety +12

    Yani doctor unajibu yarohoni pia yamwili Mungu akubaliki sana🙏🙏

  • @kelvintz7684
    @kelvintz7684 Před 4 lety +5

    Huyu jamaa kabra hajafa nitamfaidi sana kwa concept zake

  • @T1tanGamingCsgoMore
    @T1tanGamingCsgoMore Před 4 lety +12

    Dr. Ellie is a genius person i have never seen before. God bless yoy

  • @dominickalume2891
    @dominickalume2891 Před 4 lety +7

    Very sensitive... Lilian wee wee Binadamu Tunayapenda Maisha Bwana Tunaposkia kifo Sote Ni Balaa Hatuchukulii poa kabisa Kiukweli All in all Sote Inatuhusu#WomenMatters#SnS•√

  • @neemaalphonce1333
    @neemaalphonce1333 Před 4 lety +7

    Kuelewa inabidi utulie uconcentrate haswaa 🙌🙌.

  • @joventmushwaimi3681
    @joventmushwaimi3681 Před 4 lety +3

    Nadhani Dk Leo umezidi kunipa madini na nikushukuru Sana kwa maana nimebadilika sana kifikra mpk sasa na we ndo ulikuwa chanzo na mpk sasa najitahidi kusoma vitabu kdhaa vya wakali kama ww ,Asante sana ,na Dada Lilian hebu Fanya kama wiki tatu mfululizo hapo watu waelewe maana hizi imani zimewaumiza sana watu

  • @khadijak3065
    @khadijak3065 Před 4 lety +8

    Subhaallah safii dct maelezo elimu nzuri nimeipenda

  • @shabanrichard9269
    @shabanrichard9269 Před 4 lety +7

    Ndoto za hatima yako ni zile taarifa ulizokusanya tokea unazaliwa..lily nakuomba umlete tena doctor aongelee somo la changamoto kwa upana wake aweze kuwasaidia waliokwisha kata tamaa na maisha.

  • @felisterjohn493
    @felisterjohn493 Před 4 lety +10

    Shida ya huyo Dada muuliza maswali anakera Sana huwa anakuwa na papara Sana awe anaacha doctor anaeleza then anauliza lkn anarukia rukia tu kipindi ni kizuri but huyo Dada huwa anaharaka zimazoboa

  • @sifajacky7779
    @sifajacky7779 Před 2 lety +3

    Subhanah Allah! you are right Dr Elly. mutu alie poteza ufahamu anasikia. I experienced that feeling
    I have testimony for that. by the way it long story.

  • @khadijak3065
    @khadijak3065 Před 4 lety +5

    Safii sana LiLyan kwa maswali mazuri nimekipenda kipindi

  • @sidikgold1912
    @sidikgold1912 Před 4 lety +6

    Les francais (wafaransa ) tujuane hapa #TeamDrElly

  • @erickmakundi9760
    @erickmakundi9760 Před 4 lety +6

    Jamani wawekeeni hawa wageni wazungumzaji maji ya kunywa.

  • @davidone4705
    @davidone4705 Před 4 lety +8

    Napenda,,sana anavyo ongea dr,,,anafanya kitu kikubwa sana

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 Před 4 lety +4

    Maisha marefu Kwa Doctor uyo ni genius

  • @godwinmsigwa7037
    @godwinmsigwa7037 Před 10 měsíci

    Mtu hafi kinachokufa ni mwili asantee! Dr ellie

  • @hajatihajati5357
    @hajatihajati5357 Před 2 lety +3

    Merci beaucoup Doctor de vos bonnes experiences et avec une tré haute explication

  • @blessdmum.7380
    @blessdmum.7380 Před 4 lety +5

    From +254 I'm educated though it's a hard topic we need on being educated ndio tuweze kuelewa what is death.

  • @khadijak3065
    @khadijak3065 Před 4 lety +4

    Hakika wanao kupinga wanakuletea changamoto daa nzuri sana

  • @fauziyaomar7090
    @fauziyaomar7090 Před rokem

    Dr hebu mungu usimfananishe na kitu zungumza kifotu

  • @rashidisabina5356
    @rashidisabina5356 Před 2 lety +2

    Dr. Vous maîtriser les langues internationales vraiment. Vos analyses sont très deep

  • @sharonndowo6922
    @sharonndowo6922 Před 4 lety +5

    Uwiii jamani huyu Doctor

  • @halimatanzani8587
    @halimatanzani8587 Před 4 lety +4

    Sawa safi sana

  • @kaiemujaya7697
    @kaiemujaya7697 Před 4 lety +2

    Eee..!
    Hii ni akili kubwa MNO, natafakari.

  • @mjroyaltz8322
    @mjroyaltz8322 Před 2 lety +1

    Asanteee xan dokta Elie 🙏🙏🙏

  • @HappyGoddy-vp6un
    @HappyGoddy-vp6un Před 11 měsíci

    Nazidi barikiwa na vipindi vyenu, naomba umlete tena dr aongelee kua je ni sahii ukiona mambo hayaendi uombewe ili ya kwende au kusomewa dua

  • @lukona5821
    @lukona5821 Před 3 lety +1

    Mbona mwendelezo wa hii siupti Sis Lilly

  • @sabrinaali9750
    @sabrinaali9750 Před 4 lety +3

    Nakupenda lily

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia1024 Před 4 lety +1

    Achana watu wenye phd zao dr🙌🙌🙌yaan du mpk nimeogop kifo da

  • @paulsimba2786
    @paulsimba2786 Před rokem

    daaah hakika nimepata ahuweni ktk hili simo kwani nilikuwa naumia sana mke wangu kuacha mwili na mimi na watoto wake na nduguzake niliumia sana

  • @MELODTZMEDIATV
    @MELODTZMEDIATV Před 4 lety +4

    Fact

  • @raheemamkambha6013
    @raheemamkambha6013 Před 4 lety +1

    Mpo juu🔥🔥

  • @josephkadeghe4720
    @josephkadeghe4720 Před 2 lety +1

    Tatizo Dr anaeleza kana kwamba hakuna wachawi wala shetani

  • @fortnataangelo4805
    @fortnataangelo4805 Před 4 lety +1

    Wapendwa ninashida sana, natamani kupata msaada , natamani kama, kuna mtu anajua ofis zake ziko wapi, huyo dr Elie waminian,

    • @asfdodoma7373
      @asfdodoma7373 Před 4 lety

      Mcheki Lilian mwasha atakuunganisha nae yupo hapahapa daresalam ana ofs zake

  • @mussaathumani7595
    @mussaathumani7595 Před rokem

    Hii neti ya kuishi ni hapa hapa au kwengine

  • @rashidsmalik2460
    @rashidsmalik2460 Před 11 měsíci

    Ilitakiwa apatikane alie na ufahamu zaidi ya huyu mdada hajui kila kitu huyu

  • @neynaomagwari9441
    @neynaomagwari9441 Před 2 lety

    Abarikiwe Dkt

  • @anamichal2345
    @anamichal2345 Před 4 lety +4

    Huyu babajamani mi naomba niolewe nae nampenda mpka sielewi jamani yani no.reason anaakili mpka anatisha

  • @bahatimlowe1166
    @bahatimlowe1166 Před 4 lety

    Docter, thanks to every thing, nilkuwa juma sana kuhusu mtu kufa.

  • @leahavyarimana3731
    @leahavyarimana3731 Před 4 lety

    Deja vue :exactement docteur

  • @jeremiahmwasapilicharlie2926

    asanteni

  • @agnesspetro6695
    @agnesspetro6695 Před 2 lety

    Asee I love it

  • @felisterjohn493
    @felisterjohn493 Před 4 lety +1

    Kuwa mama aunt sadaka baby sky na wengine wanaokuwepo

  • @fatumahengo6849
    @fatumahengo6849 Před 4 lety +2

    Huyu docta kiboko sasa naanza kuvuta taswira

  • @hamisiramadhani8661
    @hamisiramadhani8661 Před 2 lety

    Dar, mungu nimshindi

  • @neynaomagwari9441
    @neynaomagwari9441 Před 2 lety

    mimi nauliza mtu alie kufa unawezamuombea toba kwa mungu

  • @selfaakinyi512
    @selfaakinyi512 Před 4 lety +1

    Nikweli Dr juu nakumbuka mamangu alikuwa akiongea na nyanya yangu ila nyanya alikuwa kitambo. Nyanya alikuwa akimwambia mamaa mbona amepotea kumbe nyanya alikuwa nampa mama ujumbe aende kijiji akajenge. Tangu mamaa ajenge nyanya haja wai Kumjia tena . sasa nimekuelewa vyema Dr . ubarikiwe

  • @a.856
    @a.856 Před 4 lety +4

    Kila nafsi itaonja mauti

  • @kilalakaila9762
    @kilalakaila9762 Před rokem

    Fact🙏

  • @rebeccaleonard4265
    @rebeccaleonard4265 Před 4 lety

    🖐

  • @mussaathumani7595
    @mussaathumani7595 Před rokem

    Kablla hujazaliwa ulikuwa wapi?

  • @nibiziblandina4410
    @nibiziblandina4410 Před 4 lety +2

    Hivi Hugo docta ni mkongo ?

  • @kelvintz7684
    @kelvintz7684 Před 4 lety +1

    Kukata roho haikuhusu

  • @mussaathumani7595
    @mussaathumani7595 Před rokem

    Binadamu akifa roho yake hateseki tena?

  • @mussaathumani7595
    @mussaathumani7595 Před rokem

    Kuzaliwa mipango ya Nani?

  • @hawahawa8166
    @hawahawa8166 Před 4 lety +2

    Mafunzo mazur san

  • @julienneinamuco2505
    @julienneinamuco2505 Před 3 lety

    j aimerais avoir le numero de ce monsieur dr Elie

  • @zuhuramike1399
    @zuhuramike1399 Před 4 lety

    .

  • @dionisiabarnabas96
    @dionisiabarnabas96 Před 4 lety

    Madam jitaidi kubadilika unaboa

  • @khadijak3065
    @khadijak3065 Před 4 lety +3

    Jee dct mfano mtu kafariki halafu ukamota anakupa pesa jee nitakuwa maskini au tajiri naomba unifafanulie

  • @immanuelmwaipopo1605
    @immanuelmwaipopo1605 Před 3 lety

    Duh huyu doctor anaongea kiswahili kabisa lkn nashindwa kumuelewa anaongea kiswahili kigumu balaa

    • @madetetv6576
      @madetetv6576 Před 2 lety

      Umezoea kinyakyusa tatizo

    • @rehemamajaliwa
      @rehemamajaliwa Před rokem

      @@madetetv6576 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mauvaisecompagnie951
    @mauvaisecompagnie951 Před 4 lety

    Wewe msichana mtangazaji ..ur useless with ur haaaaa...haaaaaaa....haaaaaaaa

  • @HappyGoddy-vp6un
    @HappyGoddy-vp6un Před 11 měsíci

    Nazidi barikiwa na vipindi vyenu, naomba umlete tena dr aongelee kua je ni sahii ukiona mambo hayaendi uombewe ili ya kwende au kusomewa dua