Women Matters (4): Mwanamke aliyeolewa KUTONGOZWA hovyo ni ishara kuwa wanaume wanamuona ni MRAHISI

Sdílet
Vložit

Komentáře • 212

  • @hatimsalum5587
    @hatimsalum5587 Před 4 lety +4

    Doctor mwaka ni moja kati ya watu wenye wigo mpana wa kufikiri, ameokoa sana fikra za kila jinsia hasa kwa wale waliokuwa hawajui majukumu yao katika ndoa thanks for your kindness.

  • @rosepeter415
    @rosepeter415 Před 4 lety +11

    Dr nimejifunza,ahsante MUNGU kwa kunipa mume anayejielewa sana

  • @user-xi1pi4zr3b
    @user-xi1pi4zr3b Před 4 lety +16

    Doctor mwaka nmekuelewa vzr sana elimu kwl aina mwisho c vyote utavijua na kwl uhaminifu na hekma na heshima ukiwa navyo maishani utafaulu.

  • @stanleygeorge6638
    @stanleygeorge6638 Před 4 lety +31

    Sijawai pataga like ata sikumoja jamani wanaume APA kwa Dr mwaka embu dondosheni like wazee wenzangu

  • @elizajuma5616
    @elizajuma5616 Před 4 lety +12

    Daah hii mada ya leo kiboko yaan doctor Mwaka kanifungua sana Akili....... Sijatamani iishe..... Pongezi kwako Lilian Mwasha kwa watu uliowaalika leo hapo women Matters

  • @breenyambu1088
    @breenyambu1088 Před 4 lety +5

    I have never used 2hrs on you tube like this. thank you Dr Mwaka and hosts

  • @papasatv1539
    @papasatv1539 Před 4 lety +14

    Gonga mezaaaaaaaa kwa ddk Mwaka

  • @buberhb9615
    @buberhb9615 Před 4 lety +3

    Doctor nimekuulewa uzuri sana umeeleza vizuri sana na nimejifunza mengi kutoka kwako ALLAH akuzidishie elimu zaidi ili nasi tupate faida kupitia kwako

  • @rhodamkungu9132
    @rhodamkungu9132 Před 4 lety +9

    Yaani Dr mwaka umeelezea reality ya maisha ya ndoa ipasavyo. Jamani dada Lily andaa kipindi kingine na Dr Mwaka, tupate nondo lol! i'm so happy.

  • @maryrosemukashema2751
    @maryrosemukashema2751 Před 3 lety +1

    Dr mwaka nampenda sana kwenye maongezi yake. Tena naya amini kama wa ume wakifanya kama yeye dunia inaweza kuwa paradiso

  • @abdulatifmoxamed8047
    @abdulatifmoxamed8047 Před 3 lety +2

    Mara ya mwanzo naangalia hivi vipindi kumbe vinasomesha mambo mengi Big up Lilian keep it up Dr Mwaka una madini mengi kichwani

  • @Ingabirechanny
    @Ingabirechanny Před 4 lety +8

    We're learning alot thanks for helping family's

  • @deejulesdonatha4107
    @deejulesdonatha4107 Před 4 lety +4

    Wow, Mwaka has kept me on the screen fir two whole good hours! TWO hours na bado natamani masomo yangeeendelea. Talks a lot of sense

  • @priscillaamossen8249
    @priscillaamossen8249 Před 4 lety +23

    Hawa madaktari unaowatafuta Lilian ni kiboko, nikija TZ lazima nikuone nikupe credit zako uko vizuri sister❤️

  • @azizakwileka1686
    @azizakwileka1686 Před 4 lety +1

    Yaani dokta Mwaka nakuelewa sanaa... Yaani unauelewa na unaijua dini yako vizuri mashaa Allah... Ndoa yako ikawe na baraka bi-idhinllah

  • @consojacob8636
    @consojacob8636 Před 4 lety +5

    Natamani watu wote wangelijua faida za hiki kipindi nimepata faida kubwa ktk akiri yangu. Asante waandaaji.

  • @bamsoskhamis8735
    @bamsoskhamis8735 Před 3 lety +1

    Ni mada nzuri mno .imenikumbusha mbali sana .nina mifano hai baba yngu alifanya hivyo .na mpaka leo ameharibu maisha yetu na ya kwake pia yameharibika.mno

  • @cynthiaprince277
    @cynthiaprince277 Před 4 lety +3

    Aisee Dr Mwaka ni motooooooo

  • @itsolutions2238
    @itsolutions2238 Před 4 lety +2

    dahh kaka mwaka.....upo vzr mkaribishen tenaaaa....ni kweliii anayoongeaa

  • @leylahley3542
    @leylahley3542 Před 4 lety +41

    Madam Lillian tunamuomba doctor mwaka katika kipindi kingine please anamengi sana ya kutufunza

  • @chalamossi6656
    @chalamossi6656 Před 4 lety +2

    Allah ampee mwisho mwem Dr Mwaka

  • @luckydavid7475
    @luckydavid7475 Před 4 lety +6

    Aunty sadaka umeongea vizuriiiii mnooooo, Kweli manaume haya ndo yanaletaga vitu vibaya ktk familiar dah... Kikubwa ni ivi ukikuta mwanaume anatoka nje ya ndoa wanawaketujitambue nikuachanaaa tu, basiiiii

  • @preciouspeter6126
    @preciouspeter6126 Před 4 lety +2

    Dr. Mwaka is right 100%

  • @aishaabdallah4560
    @aishaabdallah4560 Před 4 lety +2

    Asante Dr.Mwaka nimejifunza ktu

  • @joycembelwa6427
    @joycembelwa6427 Před 4 lety +1

    Dr. Mwaka nimekuelewa to the extent. Uko vizuri sana kaka.

  • @ashanahimana3425
    @ashanahimana3425 Před rokem +1

    Tuna mpenda sana docta

  • @tanzaniaoman6423
    @tanzaniaoman6423 Před 4 lety +5

    Nawapenda sana💕💕

  • @luluvictor5769
    @luluvictor5769 Před 4 lety +62

    Kama umesikiliza ya 1-4 gonga like.

    • @omarymb
      @omarymb Před 4 lety +1

      hahahahahahahahah nimeanza jana usku mpaka nw namaliza

  • @fashiontrendstv3207
    @fashiontrendstv3207 Před 4 lety +3

    Dokta mwaka asante your true n honest

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 Před 4 lety +3

    Daah Doctor Umetisha Sana umetufundisha mambo mengi Sana.

  • @joharijj2164
    @joharijj2164 Před 4 lety +4

    Wow!!!I love this 😍😍😍😍Awwwwo, good lessons

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 Před 4 lety +4

    This show should have bilious of vies nice topics I’ve ever head

  • @rizikilukali1558
    @rizikilukali1558 Před 4 lety +1

    Very good doctor unajitahidi kuwa mkweli, hasa kidini

  • @azizakwileka1686
    @azizakwileka1686 Před 4 lety +4

    Dokta Mwaka umezungumza ukweli kabisaaa.... "Vitu vya bei ghali haviuliziwi sanaaa" great👍

    • @amalali2554
      @amalali2554 Před 4 lety

      Nani nakwambia huku uzunguni vile vitu ni ghali hata watu hawanunui wanasubiri ifanywe sale ndio wakachukue hata mahari ya pesa kidogo ndio yenye baraka mwaka na kuchezewa akili tu mdomo ikija ukwly huwezi ukewenza pesa ndio kila kitu

  • @veronicamangala2488
    @veronicamangala2488 Před 4 lety +2

    You are very right Dr. Mwaka, may God enrich you more and more. I wish wanawake wote tungekuelewa....

  • @blessdmum.7380
    @blessdmum.7380 Před 4 lety +6

    From +254,what a sweet topic

  • @nozgeniuz1812
    @nozgeniuz1812 Před 4 lety +1

    Dr we genious ndomaana unaweza kumilik watu wote

  • @fatumamusa3704
    @fatumamusa3704 Před 4 lety +2

    Masha allah nawasalimieni kutoka NY.Dr.Mwaka umeusema ukweli.Mke wangu hana kasoro hata hii moja ila nimekupenda tu.safi sana.Kweli ndoa zina mitihani mungu atufanyie wepesi.
    Amiin

  • @user-nu9ip9en8i
    @user-nu9ip9en8i Před 4 lety +1

    Masha-Allah mumenielimisha vyema mwanzo mwisho sikutamani kipindi hiki kisha nimependa saana kipindi hichi. Nawaombea mungu azidi kuwabariki muwe imara mzidi kutuelimisha. 🤝🤝🤝🤝🤝❤❤❤🙏

  • @mariamyoyote8172
    @mariamyoyote8172 Před 3 lety +1

    Mwisho nimepata concept nzur Sana jaman mbalikiwe sanaaaaaa mama zetu na Baba yetu Kwa baadhi yetu wengine kaka na dada kwangu mie wazaz wangu ♥️♥️❤️❤️🔥🔥😝women matters💯💪🔥

  • @estarmussa3363
    @estarmussa3363 Před 4 lety +2

    Like so much woman matters

  • @lovenessdiva7132
    @lovenessdiva7132 Před 4 lety +2

    Asanten jmn God bless all
    Dr mwaka tunakushukur

  • @merryshoki4391
    @merryshoki4391 Před 4 lety +2

    Doctor mwaka umeongea ukweli kabisa nimejifuza mengi sana 👌

  • @zainabukassim9924
    @zainabukassim9924 Před 4 lety +6

    Dokta ubarikiwee....nimeeelewa na vutatendewa kazi inshaallah

  • @delphinasenge3321
    @delphinasenge3321 Před 4 lety +8

    Mwaka nimekuelewa vizuri sanaaaa,,,,,mm shuleni wakaka walikuwa wananiogopa kunifuata nawakituma MTU anakataa mpaka Leo aliyekuwa anatuma watu wanakataa kuja alinitafutaga mpakaleo ndomumewangu ,,,,,nimekuelewa sana

    • @mariamyoyote8172
      @mariamyoyote8172 Před 3 lety

      Masha Allah mpedwa barikiwa Sana muishi maisha marefu na mazur yenye upendo furaha na Aman mzae na watoto wake Kwa waume Amin ya'allab

  • @rahillhamidu2544
    @rahillhamidu2544 Před 4 lety +1

    Toka #women's matters ianze this was the grate show kwa kweli, nimejifunza mengi mno

  • @amyassyassin7909
    @amyassyassin7909 Před 4 lety +1

    Huyu kaka angelikuwa na elimu ya dini ya Kiislamu, angeuwakilisha vizuri Uislamu

  • @najjyali8176
    @najjyali8176 Před 4 lety +2

    True. Mungu abariki kipindi chenu.luv from kenya

  • @mutwalesylvie7443
    @mutwalesylvie7443 Před 3 lety +1

    Nice sana mwaka

  • @aminamndeme5623
    @aminamndeme5623 Před 4 lety +1

    Ant sadaka nimekuelewa sana .....

  • @fatousaeed7859
    @fatousaeed7859 Před 4 lety +4

    From Mombasa, Dr mwaka congrats that's a wonderful and honest talk

  • @gracekaniki789
    @gracekaniki789 Před 4 lety +2

    Yaani nimejifunza vingi mnoo dr mwaka amefafanua vizuri mnoo, yaani jmni awepo hpo na kipindi kijacho ila na mama Terry

  • @zainabukassim9924
    @zainabukassim9924 Před 4 lety +3

    Dokta..mashaallah...Allaha akulipe...fact

  • @sportsgram7364
    @sportsgram7364 Před 4 lety

    Dr. Mwaka Mungu azid mjalia maisha marefu na yenye baraka, mana kwa masomo yake anokoa familia nyingi sana za watu.

  • @theresiambunga3155
    @theresiambunga3155 Před 4 lety +1

    Dr mwaka umesomekaa vizuri saana

  • @deliusmsigwa5256
    @deliusmsigwa5256 Před 4 lety +14

    kaka mwaka, shikamoo kubwa

  • @vumiliachisoma6305
    @vumiliachisoma6305 Před 4 lety +1

    Asante Dr mwakaa

  • @winnyshayo8812
    @winnyshayo8812 Před 4 lety +1

    Thank you Lilian.

  • @rachaelsabiti5615
    @rachaelsabiti5615 Před 4 lety +1

    Wow I really enjoyed this
    Watching from USA

  • @ayoubsuleiman3675
    @ayoubsuleiman3675 Před 4 lety +1

    Huyu jamaa nimempenda San safi San brother wape elim

  • @sumaiyamihrma7852
    @sumaiyamihrma7852 Před 4 lety +3

    Nice kipindi 😍😍😍😍

  • @tatu3tatu549
    @tatu3tatu549 Před 4 lety

    Honger sana docta mwaka upo full fare

  • @mwanaishahussein2635
    @mwanaishahussein2635 Před 4 lety +2

    Yanini basi kutishiana na kuumizana nafsi, ishi na mke mmoja kadri ya uwezo wako kwani wazuri hawaishi Jamani😳😳😳🇰🇪

  • @mj.tv.forpeople992
    @mj.tv.forpeople992 Před 4 lety +2

    Safi sana kaka mwaka

  • @leen2733
    @leen2733 Před 4 lety +3

    Not true, being seduced does not mean that one is cheap. There are men without scruples and know no boundaries plus a beautiful woman will always get hit on, how she responds is what matters.

  • @muhamedwardah5144
    @muhamedwardah5144 Před 4 lety +1

    Kipindi kizuri kweli😍😍😘😘😘

  • @kamenge
    @kamenge Před 3 lety

    Asanti Sanaa love my culture, swahili culture

  • @estermgaya5816
    @estermgaya5816 Před 4 lety +1

    Nawapenda mno sns #womenmatters is fire💫💫💫💫

  • @noraevers8868
    @noraevers8868 Před 4 lety +1

    Mubarikiwe mins tufunza mengi.

  • @chainbre275
    @chainbre275 Před 4 lety +8

    Haloooo vitu vya bei kubwa haviuliziwi uliziwi ovyo 😂😂😂😂😂

  • @meedaafarai9677
    @meedaafarai9677 Před 4 lety +3

    Naomba nisikose hichi kipindi mara ingine.❤👏

  • @mlowombozi9726
    @mlowombozi9726 Před 4 lety

    Dokta uko. Vizuri sana nalkushauri jifunze uislam utatisha zaidi kuna vitu unaongea kama muislam ko ukiisoma itakuongezea

  • @chainbre275
    @chainbre275 Před 4 lety

    Point taken oneday lazima ntatimiza hayo nakumuhakikishia kwamba mm niwako not by words only Bali namatendo juu yake 🙏🙏🙏

  • @jenipherkavusha506
    @jenipherkavusha506 Před 4 lety +3

    Nimeelewa somo

  • @hidayasaidi7872
    @hidayasaidi7872 Před 2 lety

    Hongera Wana niukweli😁👍👍👍👍👍

  • @pendohumphrey7588
    @pendohumphrey7588 Před 4 lety +3

    Jaman Dr mwaka anajua kwakweli naomba vipindi vyote hasikose, yaani kipindi ni moto kwakweli

    • @mariamyoyote8172
      @mariamyoyote8172 Před 3 lety

      Yan kipind hiki kitamu Sana coz tunajifunza mengi Zaid kutuhusu kwenye ndoa ni misingi mizur Kwa maisha ya ndoa

  • @bihizaclement9868
    @bihizaclement9868 Před 4 lety +1

    Nawapenda sana

  • @rebornmimi7872
    @rebornmimi7872 Před 4 lety +4

    Nimejifunza sana. Mungu ibariki ndoa yangu 💖

  • @kb0x
    @kb0x Před 4 lety +1

    Niko hapa juu ya hiyo kiswahili. Yenye wanaongea haina maana

  • @asiazuberi9722
    @asiazuberi9722 Před 4 lety +2

    kipindi kizuri sana nimemwelewa sana doctor

  • @siwazabron8198
    @siwazabron8198 Před 4 lety +24

    huyu jamaa kicheko chake tu kinaonyesha hanajiamin,na vitu anavyoongea ni bonge la point,.

  • @tanzaniaoman6423
    @tanzaniaoman6423 Před 4 lety +1

    Dk Mwaka umenena hilo la kutungozwa tongozwa wanaume huwa wanaangalia hilo ni.kweli na ukiwa sio rahisi anajua kwa sura uguswi ovyo

  • @robbytz1314
    @robbytz1314 Před 3 lety +1

    Pamoja

  • @massuman4420
    @massuman4420 Před 4 lety +1

    Nime penda ushauri wa Dr mwaka

  • @minzagabriel6150
    @minzagabriel6150 Před 4 lety +1

    Dr mwaka unaakil sana.

  • @petrodaud3032
    @petrodaud3032 Před 4 lety +1

    Huu ni mtazamo wake tu naye, kila mtu anautofauti wa kimtazamo na Imani ya Kuishi kwenye ndoa

  • @rhodamkungu9132
    @rhodamkungu9132 Před 4 lety +1

    Hahahaha! Dr Mwaka leo umenichekesha sana, yaani kila kitu unachosema niukweli kabisa. kipindi kizuri mno. Big up Women matters. Wanandoa wengi watapona. Lol!!

  • @AlAl-sd9pl
    @AlAl-sd9pl Před rokem

    Lilian MIMI ni MKE wamtu lakin wanawake wa nje wawili Wanapigana mbele yangu Kumgombania mume wangu huwez amin mpaka nimepata maradh ya pesha Nifanyeje naomba Niulizie Hilo maana sijawahi Kuongea chochote zaid ya kulia ndan

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia1024 Před 4 lety +2

    Wanaume n mbwa maan mnanusa aswaa😀😀😀😀😊😊

  • @sanianan6586
    @sanianan6586 Před 4 lety +1

    Nikweli hujakosea kbs naisi mafunzo mazuri

  • @mwanaidikhamis5430
    @mwanaidikhamis5430 Před 4 lety +1

    Kila cku mumualike Dr Mwaka

  • @queeneva3709
    @queeneva3709 Před 4 lety

    Ahsante baba vitu vya gharama haviuliziwi saaana.

  • @Jc-wl6yf
    @Jc-wl6yf Před 4 lety +2

    Doctor's your the best

  • @zuberikamote2078
    @zuberikamote2078 Před 4 lety

    Nikweli kabisa dokta hatmm naangalia vigezoo

  • @fashiontrendstv3207
    @fashiontrendstv3207 Před 4 lety +4

    Mmethibitisha ili mapenzi ya work lazima a woman awe fala

  • @misscall7814
    @misscall7814 Před 4 lety +4

    Dr banah😂😂😂 kwahiyo wanawake ni mfano wa bidhaa ikiwa ghali haiulizwi ulizwi ila si mpka iwe inabei? Kama bidhaa nzuri vipi isiuliziwe bei? Huoni kama unacontradict point yako ya wanaume kua na nature ya tamaa na siucheap wa mwanamke? Sidhani kama kujua bei ya bidhaa ni kutokana na u cheap wa price. Kama ni hivyo basi hata bei zisingewekwa watu wangekua wanajibebea tu. My point is hujaoa wake 3 kwasababu walikua cheap kwako.

    • @dianamwinyikambi2319
      @dianamwinyikambi2319 Před 4 lety

      Miss Call

    • @namisgiggah1571
      @namisgiggah1571 Před 4 lety +2

      Hata ukitembea madukani hususan Europe vile vya ghali hukaa muda mwingi bila kuuzika! zaidi ya wengi kuvijabu na wengine kupigaga navyo picha ili kuuzia au kujifsgharisha wanamiliki.
      But mwisho wasiku siku za sales punguzo, vile vya ghali ndio hupunguzwa bei.! Na vile vya rahisi thamani yake kubaki pale Pale.

    • @alimakame3529
      @alimakame3529 Před 4 lety

      Amegusia kiwa unajulikana upo kwenye ndoa........

    • @mbarikiwambarikiwa3988
      @mbarikiwambarikiwa3988 Před 2 lety

      Nimekupenda

  • @alikhamis3723
    @alikhamis3723 Před 4 lety +3

    Dr. Mwaka ni Dr. kweli umestahiki kuwa Dr. yaani sijawahi kuona Dr. mwenye akili na hakika kama huyu

  • @mbarikiwambarikiwa3988

    Kusema kweli natongozwa sn tu ila siko cheap km anavyosema, thamani yangu naitambua na siwezi kuzuia kutongozwa.Mwanamke yeyote aliyekamilika kutongozwa ni kawaida ila kosa ni kukubali.Hakuna kitu chochote kizuri kisichouliziwa, hata nguo ghali inauliziwa bei yake hata km pesa huna. Hyo mwanamke asiyetongozwa labda sura ibadirike nyuma kuwe mbele na mbele kuwe nyuma.

  • @selfaakinyi512
    @selfaakinyi512 Před 4 lety +1

    Wooow nimejifunza sana sana, mungu awabariki from qatar

  • @childofgod4412
    @childofgod4412 Před 4 lety +1

    Mh this is too dip nimejifunza mengi sana