Doctor mwaka ni moja kati ya watu wenye wigo mpana wa kufikiri, ameokoa sana fikra za kila jinsia hasa kwa wale waliokuwa hawajui majukumu yao katika ndoa thanks for your kindness.
Daah hii mada ya leo kiboko yaan doctor Mwaka kanifungua sana Akili....... Sijatamani iishe..... Pongezi kwako Lilian Mwasha kwa watu uliowaalika leo hapo women Matters
Ni mada nzuri mno .imenikumbusha mbali sana .nina mifano hai baba yngu alifanya hivyo .na mpaka leo ameharibu maisha yetu na ya kwake pia yameharibika.mno
Nani nakwambia huku uzunguni vile vitu ni ghali hata watu hawanunui wanasubiri ifanywe sale ndio wakachukue hata mahari ya pesa kidogo ndio yenye baraka mwaka na kuchezewa akili tu mdomo ikija ukwly huwezi ukewenza pesa ndio kila kitu
Masha allah nawasalimieni kutoka NY.Dr.Mwaka umeusema ukweli.Mke wangu hana kasoro hata hii moja ila nimekupenda tu.safi sana.Kweli ndoa zina mitihani mungu atufanyie wepesi. Amiin
Masha-Allah mumenielimisha vyema mwanzo mwisho sikutamani kipindi hiki kisha nimependa saana kipindi hichi. Nawaombea mungu azidi kuwabariki muwe imara mzidi kutuelimisha. 🤝🤝🤝🤝🤝❤❤❤🙏
Mwisho nimepata concept nzur Sana jaman mbalikiwe sanaaaaaa mama zetu na Baba yetu Kwa baadhi yetu wengine kaka na dada kwangu mie wazaz wangu ♥️♥️❤️❤️🔥🔥😝women matters💯💪🔥
Mwaka nimekuelewa vizuri sanaaaa,,,,,mm shuleni wakaka walikuwa wananiogopa kunifuata nawakituma MTU anakataa mpaka Leo aliyekuwa anatuma watu wanakataa kuja alinitafutaga mpakaleo ndomumewangu ,,,,,nimekuelewa sana
Not true, being seduced does not mean that one is cheap. There are men without scruples and know no boundaries plus a beautiful woman will always get hit on, how she responds is what matters.
Hahahaha! Dr Mwaka leo umenichekesha sana, yaani kila kitu unachosema niukweli kabisa. kipindi kizuri mno. Big up Women matters. Wanandoa wengi watapona. Lol!!
Lilian MIMI ni MKE wamtu lakin wanawake wa nje wawili Wanapigana mbele yangu Kumgombania mume wangu huwez amin mpaka nimepata maradh ya pesha Nifanyeje naomba Niulizie Hilo maana sijawahi Kuongea chochote zaid ya kulia ndan
Dr banah😂😂😂 kwahiyo wanawake ni mfano wa bidhaa ikiwa ghali haiulizwi ulizwi ila si mpka iwe inabei? Kama bidhaa nzuri vipi isiuliziwe bei? Huoni kama unacontradict point yako ya wanaume kua na nature ya tamaa na siucheap wa mwanamke? Sidhani kama kujua bei ya bidhaa ni kutokana na u cheap wa price. Kama ni hivyo basi hata bei zisingewekwa watu wangekua wanajibebea tu. My point is hujaoa wake 3 kwasababu walikua cheap kwako.
Hata ukitembea madukani hususan Europe vile vya ghali hukaa muda mwingi bila kuuzika! zaidi ya wengi kuvijabu na wengine kupigaga navyo picha ili kuuzia au kujifsgharisha wanamiliki. But mwisho wasiku siku za sales punguzo, vile vya ghali ndio hupunguzwa bei.! Na vile vya rahisi thamani yake kubaki pale Pale.
Kusema kweli natongozwa sn tu ila siko cheap km anavyosema, thamani yangu naitambua na siwezi kuzuia kutongozwa.Mwanamke yeyote aliyekamilika kutongozwa ni kawaida ila kosa ni kukubali.Hakuna kitu chochote kizuri kisichouliziwa, hata nguo ghali inauliziwa bei yake hata km pesa huna. Hyo mwanamke asiyetongozwa labda sura ibadirike nyuma kuwe mbele na mbele kuwe nyuma.
Doctor mwaka ni moja kati ya watu wenye wigo mpana wa kufikiri, ameokoa sana fikra za kila jinsia hasa kwa wale waliokuwa hawajui majukumu yao katika ndoa thanks for your kindness.
Dr nimejifunza,ahsante MUNGU kwa kunipa mume anayejielewa sana
Doctor mwaka nmekuelewa vzr sana elimu kwl aina mwisho c vyote utavijua na kwl uhaminifu na hekma na heshima ukiwa navyo maishani utafaulu.
Sijawai pataga like ata sikumoja jamani wanaume APA kwa Dr mwaka embu dondosheni like wazee wenzangu
Daah hii mada ya leo kiboko yaan doctor Mwaka kanifungua sana Akili....... Sijatamani iishe..... Pongezi kwako Lilian Mwasha kwa watu uliowaalika leo hapo women Matters
I have never used 2hrs on you tube like this. thank you Dr Mwaka and hosts
Gonga mezaaaaaaaa kwa ddk Mwaka
Doctor nimekuulewa uzuri sana umeeleza vizuri sana na nimejifunza mengi kutoka kwako ALLAH akuzidishie elimu zaidi ili nasi tupate faida kupitia kwako
Yaani Dr mwaka umeelezea reality ya maisha ya ndoa ipasavyo. Jamani dada Lily andaa kipindi kingine na Dr Mwaka, tupate nondo lol! i'm so happy.
Dr mwaka nampenda sana kwenye maongezi yake. Tena naya amini kama wa ume wakifanya kama yeye dunia inaweza kuwa paradiso
Mara ya mwanzo naangalia hivi vipindi kumbe vinasomesha mambo mengi Big up Lilian keep it up Dr Mwaka una madini mengi kichwani
We're learning alot thanks for helping family's
Wow, Mwaka has kept me on the screen fir two whole good hours! TWO hours na bado natamani masomo yangeeendelea. Talks a lot of sense
Hawa madaktari unaowatafuta Lilian ni kiboko, nikija TZ lazima nikuone nikupe credit zako uko vizuri sister❤️
Yaani dokta Mwaka nakuelewa sanaa... Yaani unauelewa na unaijua dini yako vizuri mashaa Allah... Ndoa yako ikawe na baraka bi-idhinllah
Natamani watu wote wangelijua faida za hiki kipindi nimepata faida kubwa ktk akiri yangu. Asante waandaaji.
Ni mada nzuri mno .imenikumbusha mbali sana .nina mifano hai baba yngu alifanya hivyo .na mpaka leo ameharibu maisha yetu na ya kwake pia yameharibika.mno
Aisee Dr Mwaka ni motooooooo
dahh kaka mwaka.....upo vzr mkaribishen tenaaaa....ni kweliii anayoongeaa
Madam Lillian tunamuomba doctor mwaka katika kipindi kingine please anamengi sana ya kutufunza
Leylah Ley sure sure mdau
Kweli kabisaaa
kweli kabisa dr dr haswaaaaaaaaaaaaaaaaaaah
Allah ampee mwisho mwem Dr Mwaka
Aunty sadaka umeongea vizuriiiii mnooooo, Kweli manaume haya ndo yanaletaga vitu vibaya ktk familiar dah... Kikubwa ni ivi ukikuta mwanaume anatoka nje ya ndoa wanawaketujitambue nikuachanaaa tu, basiiiii
Dr. Mwaka is right 100%
Asante Dr.Mwaka nimejifunza ktu
Dr. Mwaka nimekuelewa to the extent. Uko vizuri sana kaka.
Tuna mpenda sana docta
Nawapenda sana💕💕
Kama umesikiliza ya 1-4 gonga like.
hahahahahahahahah nimeanza jana usku mpaka nw namaliza
Dokta mwaka asante your true n honest
Daah Doctor Umetisha Sana umetufundisha mambo mengi Sana.
Wow!!!I love this 😍😍😍😍Awwwwo, good lessons
This show should have bilious of vies nice topics I’ve ever head
Very good doctor unajitahidi kuwa mkweli, hasa kidini
Dokta Mwaka umezungumza ukweli kabisaaa.... "Vitu vya bei ghali haviuliziwi sanaaa" great👍
Nani nakwambia huku uzunguni vile vitu ni ghali hata watu hawanunui wanasubiri ifanywe sale ndio wakachukue hata mahari ya pesa kidogo ndio yenye baraka mwaka na kuchezewa akili tu mdomo ikija ukwly huwezi ukewenza pesa ndio kila kitu
You are very right Dr. Mwaka, may God enrich you more and more. I wish wanawake wote tungekuelewa....
From +254,what a sweet topic
Dr we genious ndomaana unaweza kumilik watu wote
Masha allah nawasalimieni kutoka NY.Dr.Mwaka umeusema ukweli.Mke wangu hana kasoro hata hii moja ila nimekupenda tu.safi sana.Kweli ndoa zina mitihani mungu atufanyie wepesi.
Amiin
Masha-Allah mumenielimisha vyema mwanzo mwisho sikutamani kipindi hiki kisha nimependa saana kipindi hichi. Nawaombea mungu azidi kuwabariki muwe imara mzidi kutuelimisha. 🤝🤝🤝🤝🤝❤❤❤🙏
Mwisho nimepata concept nzur Sana jaman mbalikiwe sanaaaaaa mama zetu na Baba yetu Kwa baadhi yetu wengine kaka na dada kwangu mie wazaz wangu ♥️♥️❤️❤️🔥🔥😝women matters💯💪🔥
Like so much woman matters
Asanten jmn God bless all
Dr mwaka tunakushukur
Doctor mwaka umeongea ukweli kabisa nimejifuza mengi sana 👌
Dokta ubarikiwee....nimeeelewa na vutatendewa kazi inshaallah
Mwaka nimekuelewa vizuri sanaaaa,,,,,mm shuleni wakaka walikuwa wananiogopa kunifuata nawakituma MTU anakataa mpaka Leo aliyekuwa anatuma watu wanakataa kuja alinitafutaga mpakaleo ndomumewangu ,,,,,nimekuelewa sana
Masha Allah mpedwa barikiwa Sana muishi maisha marefu na mazur yenye upendo furaha na Aman mzae na watoto wake Kwa waume Amin ya'allab
Toka #women's matters ianze this was the grate show kwa kweli, nimejifunza mengi mno
Huyu kaka angelikuwa na elimu ya dini ya Kiislamu, angeuwakilisha vizuri Uislamu
True. Mungu abariki kipindi chenu.luv from kenya
Nice sana mwaka
Ant sadaka nimekuelewa sana .....
From Mombasa, Dr mwaka congrats that's a wonderful and honest talk
👍
Yaani nimejifunza vingi mnoo dr mwaka amefafanua vizuri mnoo, yaani jmni awepo hpo na kipindi kijacho ila na mama Terry
Dokta..mashaallah...Allaha akulipe...fact
Dr. Mwaka Mungu azid mjalia maisha marefu na yenye baraka, mana kwa masomo yake anokoa familia nyingi sana za watu.
Dr mwaka umesomekaa vizuri saana
kaka mwaka, shikamoo kubwa
Asante Dr mwakaa
Thank you Lilian.
Wow I really enjoyed this
Watching from USA
Huyu jamaa nimempenda San safi San brother wape elim
Nice kipindi 😍😍😍😍
Honger sana docta mwaka upo full fare
Yanini basi kutishiana na kuumizana nafsi, ishi na mke mmoja kadri ya uwezo wako kwani wazuri hawaishi Jamani😳😳😳🇰🇪
Safi sana kaka mwaka
Not true, being seduced does not mean that one is cheap. There are men without scruples and know no boundaries plus a beautiful woman will always get hit on, how she responds is what matters.
Kipindi kizuri kweli😍😍😘😘😘
Asanti Sanaa love my culture, swahili culture
Nawapenda mno sns #womenmatters is fire💫💫💫💫
Mubarikiwe mins tufunza mengi.
Haloooo vitu vya bei kubwa haviuliziwi uliziwi ovyo 😂😂😂😂😂
Achaaaaa
Naomba nisikose hichi kipindi mara ingine.❤👏
Dokta uko. Vizuri sana nalkushauri jifunze uislam utatisha zaidi kuna vitu unaongea kama muislam ko ukiisoma itakuongezea
Point taken oneday lazima ntatimiza hayo nakumuhakikishia kwamba mm niwako not by words only Bali namatendo juu yake 🙏🙏🙏
Nimeelewa somo
Hongera Wana niukweli😁👍👍👍👍👍
Jaman Dr mwaka anajua kwakweli naomba vipindi vyote hasikose, yaani kipindi ni moto kwakweli
Yan kipind hiki kitamu Sana coz tunajifunza mengi Zaid kutuhusu kwenye ndoa ni misingi mizur Kwa maisha ya ndoa
Nawapenda sana
Nimejifunza sana. Mungu ibariki ndoa yangu 💖
Amin Allah akujalie uwe mke mwema mamiiii
@@mariamyoyote8172 amen
Niko hapa juu ya hiyo kiswahili. Yenye wanaongea haina maana
kipindi kizuri sana nimemwelewa sana doctor
huyu jamaa kicheko chake tu kinaonyesha hanajiamin,na vitu anavyoongea ni bonge la point,.
Kabisa yaan nmempenda bure aisee
hanajiani ndio nini?
Dorah Albert anajiamin soma vizur bas.
Sanaaaaaaa kubwa
Dk Mwaka umenena hilo la kutungozwa tongozwa wanaume huwa wanaangalia hilo ni.kweli na ukiwa sio rahisi anajua kwa sura uguswi ovyo
Pamoja
Nime penda ushauri wa Dr mwaka
Dr mwaka unaakil sana.
Huu ni mtazamo wake tu naye, kila mtu anautofauti wa kimtazamo na Imani ya Kuishi kwenye ndoa
Hahahaha! Dr Mwaka leo umenichekesha sana, yaani kila kitu unachosema niukweli kabisa. kipindi kizuri mno. Big up Women matters. Wanandoa wengi watapona. Lol!!
Lilian MIMI ni MKE wamtu lakin wanawake wa nje wawili Wanapigana mbele yangu Kumgombania mume wangu huwez amin mpaka nimepata maradh ya pesha Nifanyeje naomba Niulizie Hilo maana sijawahi Kuongea chochote zaid ya kulia ndan
Wanaume n mbwa maan mnanusa aswaa😀😀😀😀😊😊
Nikweli hujakosea kbs naisi mafunzo mazuri
Kila cku mumualike Dr Mwaka
Ahsante baba vitu vya gharama haviuliziwi saaana.
Sio pesa mnatakiwa kujieshimu queen
Doctor's your the best
Nikweli kabisa dokta hatmm naangalia vigezoo
Mmethibitisha ili mapenzi ya work lazima a woman awe fala
Dr banah😂😂😂 kwahiyo wanawake ni mfano wa bidhaa ikiwa ghali haiulizwi ulizwi ila si mpka iwe inabei? Kama bidhaa nzuri vipi isiuliziwe bei? Huoni kama unacontradict point yako ya wanaume kua na nature ya tamaa na siucheap wa mwanamke? Sidhani kama kujua bei ya bidhaa ni kutokana na u cheap wa price. Kama ni hivyo basi hata bei zisingewekwa watu wangekua wanajibebea tu. My point is hujaoa wake 3 kwasababu walikua cheap kwako.
Miss Call
Hata ukitembea madukani hususan Europe vile vya ghali hukaa muda mwingi bila kuuzika! zaidi ya wengi kuvijabu na wengine kupigaga navyo picha ili kuuzia au kujifsgharisha wanamiliki.
But mwisho wasiku siku za sales punguzo, vile vya ghali ndio hupunguzwa bei.! Na vile vya rahisi thamani yake kubaki pale Pale.
Amegusia kiwa unajulikana upo kwenye ndoa........
Nimekupenda
Dr. Mwaka ni Dr. kweli umestahiki kuwa Dr. yaani sijawahi kuona Dr. mwenye akili na hakika kama huyu
Kusema kweli natongozwa sn tu ila siko cheap km anavyosema, thamani yangu naitambua na siwezi kuzuia kutongozwa.Mwanamke yeyote aliyekamilika kutongozwa ni kawaida ila kosa ni kukubali.Hakuna kitu chochote kizuri kisichouliziwa, hata nguo ghali inauliziwa bei yake hata km pesa huna. Hyo mwanamke asiyetongozwa labda sura ibadirike nyuma kuwe mbele na mbele kuwe nyuma.
Wooow nimejifunza sana sana, mungu awabariki from qatar
Mh this is too dip nimejifunza mengi sana