Hongera Mwanangu Haris, kwa Ushindi huu...Mungu akufungulie Milango mingi ya Baraka , hadi Chuo kikuu ili Baadae. .uje kuwa msaada & baraka kwa wengine🙏
Hongera sana dogo, serikali kama serikali Ina kitu Cha kujifunza na kubotesha kutoka kwa uyo dogo.... Dogo kwenda Cambridge ni kama tumempoteza ni hayo tu
Dogo nimemuelewa sana, na iwe funzo kwa wizara ya elimu kwa ujumla, maswali kwa masomo yote yalenge kwenye uelewa zaidi kuliko kukariri, nchi kama china wanaelewa zaidi kwa sababu kila kitu kipo kwenye lugha yao tofauti na sisi unaanza kwa kukariri unakuja kupata concept umeshafika form four, kwa waliosoma masomo ya science watakubaliana na mm
Sio kukubaliana na wewe tu nakuunga mkono kwa asilimia zote, inakera sana siku zote huwa najiuliza hivi waziri wa elimu anafanya nini na kazi yake ni gani? Na ndio maama tunawakufunzi wengi sana mitaani hawana kazi na bado wanaishi kwa kukariri that ukisoma sana utapata kazi nzuri navutalipwa mamilioni ya pesa, wakati wanaosa vizuri wanajua tunasoma sababu tunapaswa kuwa na uelewa mkubwa kwendacsawa na wakati, nsio maana kwa wenzetu unakuta mtu ana masters lakini anafanya kazi ya kawaida sana tena hata supermarket’s ukibahatika kuwajua ukiuliza majibu yao utasikia siamini sana kwenye kuajiriwa so nipo hapa kwa muda kidogo nipate kianzio tu then nijiari, kwetu mru anasoma mpaka ana phd bado anazeeka kwenye ajira.
Maswali yanatoka kuaccomodate jamii nzima..huyo ni mtoto wa kishua huko vijijini hawana izo access,kuna vitu vya kurekebisha ila si kwa level ya dizaini ya huyu mtoto wakishua asiyeweza hata kuongea kiswahili vizuri.
Wamfunze na kiingereza this is his country sio sisi tumfate kwenye kiingereza.Anaweza akatamani kuwa kiongoz hapa home siku hawezi kueleweka akiongea hivyo
Hongera sana. Wazazi wapeni watoto wenu Samaki, Maziwa, Mbogamboga na Mayai lazima wawe na Akili sana. Big Up Mwamba wa Hesabu. Chuo Kikuu Namba 1 Duniani cha Havard kinakusubiria japo nakushauri ukasome China au Urusi uje usaidie Tanzania ya Viwanda. Tanzania Imara Kazi Njema Iendelee🇹🇿🇹🇿
@@jaspertheonest China ndiyo inaongoza kwa Viwanda, ikifuatiwa na Ujerumani na Japan. Unajua Muungano wa BRICS Brazil, Russia, India, China and South Africa. Marekani Dollar inaenda kupotea sababu ilikuwa inatumika kama Pesa ya Fuel yaani Mafuta ya Petrol and Diesel ila sasa Saudia Arabia hatumii Dollar tena.
Tatzo hatujui watoto wetu wana taka nn,wazazi wengi wana force wanayo taka wao sio kufata uwezo wa mtoto, Ndomana hata ngazi za uongozi Tz mtu kasoma kilimo anaenda kuwa kwenye ujenzi huwezi fanikiwa
Aliekwambia atakuja mtaani ni nani,,,,,😂😂😂 he has life already from his parents....labda aje kukutana na pear pressure huko juu ya kwenda kidimbwi sio hivo unavofikiria
Ningependa nimuone alafu nimpe swali langu la calculation moja tu...... Alf kingine kasoma shule zenye mitahara lain mzee so sio gineous... Ila hongera yk
@@mcback4384 😂😂😂hamna kaka, mfumo wetu wa maisha hauna formula sisi wakubwa tunajua....waliofeli wakija mtaani wanang'aa na waliofaulu wakija mtaani ku'organize maisha ni utata
Mfumo wa elimu Tz ni shida sana na bahat mbaya waliopewa dhamana kuongoza wizara Kila ajaye ana mfumo wake na maelekezo meeeeeengi thus why watoto wao wanasoma abroad
Hivi waandishi wetu Kingeli vipi? Huyu angejieleza vizuri sana kwa kimombo. Naomba mwandishi nguli wa lugha ya malkia arudie hii interview kwa Kiingereza.
Nyie mm 4m1 to 4m2 nilikuwa nafika 30% hadi 40% 4m3 to 4m4 Shangazi kaniloga sikuwahi pata zaid ya 20 😁😁 kifupi nina F Tujuanee 😁😁 Mleteni Hapa HGL hachomoi kila mtu na chake bhna🙌🏻🙌🏻
Dogo ni Fala 2 anashindwa kuzungumza kiswahili kilicho nyooka analeta mashauzi Kuna wahindi ambao wanazungumza kizungu na lugha ya nyumbani vzur sana huyo dogo ni mashauzi
Huyu sio mwenzetu hivyo anahaki kabsa ya kusema hayo,hebu tumpate aliyetoka KALIUA SEC au st.kayumba yoyote ashindanishwe na wegne af aje anasema kuwa mitihani ya NECTA ya hesabuni ni miepesi hakika uyo nitamkubali
Mjuaji anasema shule za kayumba mbadilishe ufundishaji watoto wanakalili kuliko kuerewa ufundishaji wenu tofauti na shure zingine kilicho msaidia kusoma online seem mbali mbali yu tubu
Ndiomaana wameficha matokeo ya mitihani Kwa kutotaja shule zilizofanya vizuri,, international school's wako juu hata tusipotaja shule zinazoongoza Bado watafanya vizuri 2.
@@Soon815 Aaha kumbe kwenye hii Siasa ya Leo ya Tanzania ambayo tayari walioshika Nchi wameshaanza kuingiza watoto wao kwenye Siasa huyu wa civics na kiswahili labda kama baba au mama yake au Kuna ndugu yake ni mwanasiasa ndio anaweza kuwa otherwise sijui
Uyu inaonekana wanamtenga sana hasa na jamii inayoongea Kiswahili! Ajichanganye na wenzake wanaoongea Kiswahili aelewe Lugha ya Kiswahili sasa! Ni muhimu pia!
Sio kuiga tabia za kizungu kasoma Cambridge system uwe na uelewa, na point kubwa amesema mfumo wetu ni wa kukalili zaidi wakati system nyingine ni za kupima uelewa zaidi, kitu ambacho ni kizuri sana, hesabu zinatakiwa uelewa zaidi
Hondera sana kijana kwa kutumia CZcams kutafuta mbinu na njia ya kujisomea mwenyewe kuzidisha uelewa. Hio ndio kutumia simu jana kwa elimu ambayo ni manfaa katika maisha yako. Ushauri bora jitahidi kuboresha luggage yako ya Taifa. Jiepushe kutumia *ga* nasomaga, naonaga, nakwendaga, nakaagaa. Hiyo ga inatumika passport kuwepo. Wazo langu kwako. Boresha lugha yako nayo ujivunie...
Kenya hawana kotu kichwani wasiwahadaa na kujidai wanajua english.hapa canada tunawakenya wengi wana feli nclex wanaishia kuolewa na vibabu vya kizungu na wanaijeria wenye pesa afu wanateseka kwenye ndoa na wanaijeria ila wamebanana
Hongera Mwanangu Haris, kwa Ushindi huu...Mungu akufungulie Milango mingi ya Baraka , hadi Chuo kikuu ili Baadae. .uje kuwa msaada & baraka kwa wengine🙏
hongera sana kwa malezi hakika wakiweza tunawafurahia
My dea many congrats babes
Haika hongera sister,Barikiwa
Nilikua najiuliza huyu mtoto namuonaga wapi, kumbe kwa Haika hongera sana
Hongera Sana mjukuu wa marehemu Babu Israel Magessa
Mashaallah Tabarak Allah. MMungu azidi kukupigania kukuongoza na kukulinda na mahasidi azidi kukuongezea uwelewa zaidi Hongera sana mjukuu
Hongera sana kijana sasa angalia huyu mtoto points anazotoa necta watazifanyia kazi tuachane na memory twende kwenye uelewa zaidi ndio itatusaidia
Vijana wa aina hii ni baraka, neema na hazina kwa Familia na Taifa, hongera sana dogo, endelea kuwa kipanga #Sky is the Limit
MashaAllah 🎉🎉🎉God bless his journey
Thank you. Blessing received🙏🏾
Had raha,Mungu aendelee kukutunza mtoto wetu
Hakika mtoto ni mwenye uwezo mkubwa ni neema ya Mungu kwa kweli❤
Hongera sana dogo, serikali kama serikali Ina kitu Cha kujifunza na kubotesha kutoka kwa uyo dogo.... Dogo kwenda Cambridge ni kama tumempoteza ni hayo tu
MUNGU NA AIBARIKI KAZI YA MIKONO YAKE AMEN
May God continue to bless baby boy 🙏 I hope my kids will be like you🙏
Hongera dogo ,pambana mpaka kieleweke ,hesabu sio ngumu ungesoma kipindi chetu ningesema tukutane tushindane
Honger Haris, hapa kuna kitu cha kujifunza kikubwa sana toka kwako.
Sio tu kwa wazazi bali hata kwa wale waliopewa dhamana ya kutengeneza mitahala.
Ata jinsi ya Nywele zake zililivyo inaonekana wazi uyu ni mathematics genus
Congrats dogo Mungu akusimamie vema
Big up dogo May God bless you
Hongera Mdogo wangu.. Mungu akubariki uwe zaidi na zaidi
Upo vzr Sanaa kijana.. Hongera
Hongera mwaya mdogo wangu
Dogo nimemuelewa sana, na iwe funzo kwa wizara ya elimu kwa ujumla, maswali kwa masomo yote yalenge kwenye uelewa zaidi kuliko kukariri, nchi kama china wanaelewa zaidi kwa sababu kila kitu kipo kwenye lugha yao tofauti na sisi unaanza kwa kukariri unakuja kupata concept umeshafika form four, kwa waliosoma masomo ya science watakubaliana na mm
Sio kukubaliana na wewe tu nakuunga mkono kwa asilimia zote, inakera sana siku zote huwa najiuliza hivi waziri wa elimu anafanya nini na kazi yake ni gani? Na ndio maama tunawakufunzi wengi sana mitaani hawana kazi na bado wanaishi kwa kukariri that ukisoma sana utapata kazi nzuri navutalipwa mamilioni ya pesa, wakati wanaosa vizuri wanajua tunasoma sababu tunapaswa kuwa na uelewa mkubwa kwendacsawa na wakati, nsio maana kwa wenzetu unakuta mtu ana masters lakini anafanya kazi ya kawaida sana tena hata supermarket’s ukibahatika kuwajua ukiuliza majibu yao utasikia siamini sana kwenye kuajiriwa so nipo hapa kwa muda kidogo nipate kianzio tu then nijiari, kwetu mru anasoma mpaka ana phd bado anazeeka kwenye ajira.
Maswali yanatoka kuaccomodate jamii nzima..huyo ni mtoto wa kishua huko vijijini hawana izo access,kuna vitu vya kurekebisha ila si kwa level ya dizaini ya huyu mtoto wakishua asiyeweza hata kuongea kiswahili vizuri.
Huyu ange dedicate mind yake kwenye kusolve mikeka odds 7000+ ingekuwa dili sana
Mrudie interview by giving him a chance to explain him self in English,he is struggling
Exactly
Wamfunze na kiingereza this is his country sio sisi tumfate kwenye kiingereza.Anaweza akatamani kuwa kiongoz hapa home siku hawezi kueleweka akiongea hivyo
Tubadilike watz
Tupendane
Tusifiane kwa mazuri pia
Leo mtoto wa mwenzako Kesho wako
Tuache maneno kuntu
Kabisaaaa
Hakika na wivu uishe kbs.
@@ameria2332 kabisa unapofurahia mafanikio ya mwenzako Mungu naye anakubariki
@@jehovajonas9284 hudanyanyi ndg, baraka ndo zinatoka hapo kubarikiwa sio tu mpaka umsaidie mtu hata mawazo na maneno juu yake MUNGU uyatendea kazi.
Ila yawe mazuri sio mabaya.
Anakuja kuishia kwenye u professor Tu kwa mchi yetu hii,mungu tu amuongoze mtt mzuri❤️🙏
kuwa proffesor kuna ubaya gani ?
Unataka kusemaje
Kwa Tanzania wenye uwezo wa hivyo hawapati maisha mazuri wote wameenda kwenye Siasa.
@@jaspertheonest hakuna ubaya ila kuwa professor Tanzania ataishia kuwa lecturer tu na sio mvumbuzi. so atabaki kapuku akiwa TZ
We hauoni professor ni cheo kikubwa hiko.
He is a smart boy!
Naripot kutoka Marangu Masiah nimejitolea kupitisha hii clip nyumba kwa nyumba mtaa kwa mtaa mpaka kieleweke nimefurahi hadi nalia Mosha's
😂😂😂😂😂😂
Hongera sana mdogo wangu
Congratulation
Hongera mdogo wangu ! Mm nilipata mswaki Fm4 ! Uko vizuriii
😂😂😂😂😂pole mwenzangu na mimi, kumbe tupo wengi sio mi peke yangu.
Hata mimi dadeki, nilipata 1/100😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Oya kausha
@@zephaniamwangu9857 we upo juu sana mbona
Pole sana unapata F hesabu
Hongera sana kwake...❤
Hongera ❤❤
Mungu hakupi vyote anakupa hesabu anapunguza kidogo Kiswahili😂😂😂
😂😂😂😂😂
Big brain boy
Allah akifanyiwa wepc.n.usadea.n wengine
Hongera Sana Magessa, mdg wangu
hongera sana kijana wetu tunajivunia wewe na hongera kwa wazazi wako wanaokupigania ukamilishe ndoto zako
Amen
Hongera sana. Wazazi wapeni watoto wenu Samaki, Maziwa, Mbogamboga na Mayai lazima wawe na Akili sana. Big Up Mwamba wa Hesabu. Chuo Kikuu Namba 1 Duniani cha Havard kinakusubiria japo nakushauri ukasome China au Urusi uje usaidie Tanzania ya Viwanda. Tanzania Imara Kazi Njema Iendelee🇹🇿🇹🇿
china tena dah hapana aendi dunia ya kwanza kwa magenius
@@jaspertheonest China ndiyo inaongoza kwa Viwanda, ikifuatiwa na Ujerumani na Japan. Unajua Muungano wa BRICS Brazil, Russia, India, China and South Africa. Marekani Dollar inaenda kupotea sababu ilikuwa inatumika kama Pesa ya Fuel yaani Mafuta ya Petrol and Diesel ila sasa Saudia Arabia hatumii Dollar tena.
Marekani wakimuona tayari watamchukua, watampa kila kitu atakacho halafu ndio imeisha hiyo
Nenda ukasome urusi ...
Aise umeongea jambo muhimu lishe ni muhimu mnoo.
Kiswahili chenyewe shida tuu huyo sio mwenzetu sisi wa st. Kayumba tulieee tu 😢
Mtoto Wa Fezaa Huyu
@@pendokissatu937 ung'eng'e mwingi
@@jonasnyanga8167 kiswahili Shida 😁😁😁😁
Congratulations
Wahooo hongera sana Haika kwa kuzaa champion 🙏
Mtoto akiwa vizuri darasani, mtaani ni mtaani hajui chochote, wazazi tijitahidi kuwalea watoto balancing life
Tatzo hatujui watoto wetu wana taka nn,wazazi wengi wana force wanayo taka wao sio kufata uwezo wa mtoto,
Ndomana hata ngazi za uongozi Tz mtu kasoma kilimo anaenda kuwa kwenye ujenzi huwezi fanikiwa
Ishu ni Mungu atusaidie tupate hela watoto wetu wasome pazuri hivi unafikiri mtoto Kama huyu atakuja kupata tabu mtaani????
wanashindwa watoto wa masikini uyo mtaani huwezi kuja kuonana nae , ww umuini tu unazani anapanda bodaboda huyo
Aliekwambia atakuja mtaani ni nani,,,,,😂😂😂 he has life already from his parents....labda aje kukutana na pear pressure huko juu ya kwenda kidimbwi sio hivo unavofikiria
Hongera saaan
Genius sana aisee phares family is blessed
Ahsante sana
@@harisphares4568😅😅😅 dogo upo ongera mdogo wangu uko very smart keep it up focus on your vision God is our your side pray hard study hard
Hongera sana
Ningependa nimuone alafu nimpe swali langu la calculation moja tu...... Alf kingine kasoma shule zenye mitahara lain mzee so sio gineous... Ila hongera yk
amalize shule aje mtaani.. huku ndo kunahesabu za ukweli ukweli... 😃, by the way good job for the moment..
Dogo wakishua hatoona mtaa mgumu
Huyo hata afeli maisha mtaani humuoni
Time will tell, maisha bado mteremko kwa sasa
@@petrolconrad4250 kwamba unasubiri muda ufike afeli maisha arudi mtaani? Mbona ninyi kama mashetani? Hahaha
@@mcback4384 😂😂😂hamna kaka, mfumo wetu wa maisha hauna formula sisi wakubwa tunajua....waliofeli wakija mtaani wanang'aa na waliofaulu wakija mtaani ku'organize maisha ni utata
Smart🎉
Mfumo wa elimu Tz ni shida sana na bahat mbaya waliopewa dhamana kuongoza wizara Kila ajaye ana mfumo wake na maelekezo meeeeeengi thus why watoto wao wanasoma abroad
Hongera an mdogo wetu!!! Napenda pia mtoto wangu akasome Cambridge,, tatizo Ni mtonyo.
Pambana Dada.
Kamweneee...
Ishu ya upinde vp
Good competition and good attempt
Mmmh ok hesabu ukiipenda nayo itakupenda ukiichukia nayo inakuchukia mara 100.
Mwenyezi amuepushe na warogi maana vitaa wanazidisha mahesabu......
Mitihani ya necta ni mirahisi 😮😮😮😮😮😮😮 mimi nafkiria grade zangu🙉
Nice
Na lugha ni ya kiingereza ni tatizo sana kwa watoto wengi
Kijana smart sana
❤
❤❤
Hivi waandishi wetu Kingeli vipi? Huyu angejieleza vizuri sana kwa kimombo. Naomba mwandishi nguli wa lugha ya malkia arudie hii interview kwa Kiingereza.
Hongera kijana lakini jifunze kiswahili ni muhimu kwako,
Safi Sana kijana, Ila mbona kiswahili kinakupa shida sana ??
Naomba kwa mungu wanangu wawe ma genius kama dogo janja
Nyie mm 4m1 to 4m2 nilikuwa nafika 30% hadi 40% 4m3 to 4m4 Shangazi kaniloga sikuwahi pata zaid ya 20 😁😁 kifupi nina F Tujuanee 😁😁 Mleteni Hapa HGL hachomoi kila mtu na chake bhna🙌🏻🙌🏻
Dah nmecheka hahahahahahahahaha
Dogo ni Fala 2 anashindwa kuzungumza kiswahili kilicho nyooka analeta mashauzi
Kuna wahindi ambao wanazungumza kizungu na lugha ya nyumbani vzur sana huyo dogo ni mashauzi
Huyu sio mwenzetu hivyo anahaki kabsa ya kusema hayo,hebu tumpate aliyetoka KALIUA SEC au st.kayumba yoyote ashindanishwe na wegne af aje anasema kuwa mitihani ya NECTA ya hesabuni ni miepesi hakika uyo nitamkubali
🤝🏽🤝🏽🤝🏽👏🏽👏🏽👏🏽💪🏽💪🏽💪🏽
Kiswahili kinagoma goma sana 😅hongera dogo
Huyu dogo sio mhaya kweli 🤔
Ila pongezi sana kwake
Dogo anajua sana Kuna Siri alio ijua tunachojifunza nitofaut sana nakile wanachojifunza wao sijui kama mmemwelewa?
Mjuaji anasema shule za kayumba mbadilishe ufundishaji watoto wanakalili kuliko kuerewa ufundishaji wenu tofauti na shure zingine kilicho msaidia kusoma online seem mbali mbali yu tubu
Ety nimesikia yeye necta kwake ni rahisi, mmmmh lakin ni sawaa tuuh tunatofautiana alafu maths
🙏🙏🙏🙏🙏
FEZA OYEEEEEEEEEEEEE👌👌
Anasomea feza?
Oyeeee
Oyeeeeeh🎉
Ndiomaana wameficha matokeo ya mitihani Kwa kutotaja shule zilizofanya vizuri,, international school's wako juu hata tusipotaja shule zinazoongoza Bado watafanya vizuri 2.
Huyu kasoma feza boys Internationals school wazazi wake wako vizuri.
Hata wasipotaja wako sahihi ,make Tz yetu imebadilika mno ina wivu.
Necta rahic we mtoto weee 🙂
😂😂😂😂😂😂😂kunan
Nakubali wadau kama hawa japokuwa nimekuwa kilaza
Hatuna tuu uwezo wa kifedha lakini watoto wapo wengi wenye uwezo
Exposure pia sio tu uwezo wa kifedha maana full scholarship zipo
Jaman kuna mwanangu yupo vzr kwenye civics na kiswahili kama ikitokea mtuambiee
😂😂
Huyo ajiandae kuwa balozi wa mtaa,au fundi viatu
Kongole👏👏👏
@@jrsaid4270 Huyu wa civics ni mwanasiasa tambua hilo!! Huyo ni waziri etc usishangae anakuja kupelekesha hao maTO ambao watakuwa madaktar etc
@@Soon815 Aaha kumbe kwenye hii Siasa ya Leo ya Tanzania ambayo tayari walioshika Nchi wameshaanza kuingiza watoto wao kwenye Siasa huyu wa civics na kiswahili labda kama baba au mama yake au Kuna ndugu yake ni mwanasiasa ndio anaweza kuwa otherwise sijui
nekta mirahisi sana ...ahhahaa
Uyu inaonekana wanamtenga sana hasa na jamii inayoongea Kiswahili! Ajichanganye na wenzake wanaoongea Kiswahili aelewe Lugha ya Kiswahili sasa! Ni muhimu pia!
That's bad surely..!Anatatizika sana na lugha mama yake na anasoma Tanzania nyumbani.Atakuwa alienated
Hahaah sheikh unastack san 😂
nikupe swali😎
Huyu aende India huko ndo Kuna ma genius na mabingwa wa hesabu Kwa haraka
Mbona kiswahili kwake ni kigumu?
1:33 hapo amechanganya channel ya youtube ya hisabati inaitwa MindYourDecisions
vip Bakari Nondo Mwanyeto ajashinda
haaaaaaaaaa nimecheka sana
Eti NECTA kwako kitonga sana..😁😅🙌
Ila usiige tabia za kizungu
Sio kuiga tabia za kizungu kasoma Cambridge system uwe na uelewa, na point kubwa amesema mfumo wetu ni wa kukalili zaidi wakati system nyingine ni za kupima uelewa zaidi, kitu ambacho ni kizuri sana, hesabu zinatakiwa uelewa zaidi
Jmn
uyu dogo anafanana sana mchomvu adam
🇹🇿💯🔥🙏
Uyu mtoto nlichogundua kiswahil pia kinamsumbua
Necta wamekusikia aisee umewachongea wenzio daaah wakina chumanchukunkazi wanayo
Kwanza.dgo kiswahili kinamsumbua so mtihani mgumu kwake ni kiswahili
Hondera sana kijana kwa kutumia CZcams kutafuta mbinu na njia ya kujisomea mwenyewe kuzidisha uelewa. Hio ndio kutumia simu jana kwa elimu ambayo ni manfaa katika maisha yako. Ushauri bora jitahidi kuboresha luggage yako ya Taifa. Jiepushe kutumia *ga* nasomaga, naonaga, nakwendaga, nakaagaa. Hiyo ga inatumika passport kuwepo. Wazo langu kwako. Boresha lugha yako nayo ujivunie...
Mimi naona private school ndio zitanufaika especially international
Kwani lengo ni kunufaisha watu?
@@mcback4384 think out of Box
Hesabu mimi nilikuwa nakariri tu
na kiswahili yake ni ya marakani
Kwani hajui kiswahili vizuri?
Badaye mnawapelekaga wapi hao
Shakahola
Kenya hawana kotu kichwani wasiwahadaa na kujidai wanajua english.hapa canada tunawakenya wengi wana feli nclex wanaishia kuolewa na vibabu vya kizungu na wanaijeria wenye pesa afu wanateseka kwenye ndoa na wanaijeria ila wamebanana
Hiyo sio mbongo bana acheni izoo