KUTANA NA GENIUS WA HESABU ALIYEONGOZA AFRIKA MASHARIKI, APELEKWA MASHINDANO YA DUNIA.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 05. 2023

Komentáře • 316

  • @haikalawere2002
    @haikalawere2002 Před rokem +45

    Hongera Mwanangu Haris, kwa Ushindi huu...Mungu akufungulie Milango mingi ya Baraka , hadi Chuo kikuu ili Baadae. .uje kuwa msaada & baraka kwa wengine🙏

  • @salminasalim5630
    @salminasalim5630 Před rokem +7

    Mashaallah Tabarak Allah. MMungu azidi kukupigania kukuongoza na kukulinda na mahasidi azidi kukuongezea uwelewa zaidi Hongera sana mjukuu

  • @josephkaka6270
    @josephkaka6270 Před rokem +1

    Hongera sana kijana sasa angalia huyu mtoto points anazotoa necta watazifanyia kazi tuachane na memory twende kwenye uelewa zaidi ndio itatusaidia

  • @user-zg9gh8er3t
    @user-zg9gh8er3t Před 3 měsíci

    Vijana wa aina hii ni baraka, neema na hazina kwa Familia na Taifa, hongera sana dogo, endelea kuwa kipanga #Sky is the Limit

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Před rokem +7

    MashaAllah 🎉🎉🎉God bless his journey

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi6253 Před rokem +17

    Had raha,Mungu aendelee kukutunza mtoto wetu

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 Před rokem +2

    Hakika mtoto ni mwenye uwezo mkubwa ni neema ya Mungu kwa kweli❤

  • @kelvinrwegasira2082
    @kelvinrwegasira2082 Před rokem +1

    Hongera sana dogo, serikali kama serikali Ina kitu Cha kujifunza na kubotesha kutoka kwa uyo dogo.... Dogo kwenda Cambridge ni kama tumempoteza ni hayo tu

  • @pallangyodaniel8918
    @pallangyodaniel8918 Před rokem +5

    MUNGU NA AIBARIKI KAZI YA MIKONO YAKE AMEN

  • @marryeliasmarryelias9289

    May God continue to bless baby boy 🙏 I hope my kids will be like you🙏

  • @drisayaambulatoryvetclinic1514

    Hongera dogo ,pambana mpaka kieleweke ,hesabu sio ngumu ungesoma kipindi chetu ningesema tukutane tushindane

  • @ik3934
    @ik3934 Před rokem

    Honger Haris, hapa kuna kitu cha kujifunza kikubwa sana toka kwako.
    Sio tu kwa wazazi bali hata kwa wale waliopewa dhamana ya kutengeneza mitahala.

  • @godfreymaagi2973
    @godfreymaagi2973 Před rokem +9

    Ata jinsi ya Nywele zake zililivyo inaonekana wazi uyu ni mathematics genus

  • @victorcephas3618
    @victorcephas3618 Před rokem +2

    Congrats dogo Mungu akusimamie vema

  • @ezekielmwakalindile1922
    @ezekielmwakalindile1922 Před rokem +5

    Big up dogo May God bless you

  • @isackmosha4283
    @isackmosha4283 Před rokem

    Hongera Mdogo wangu.. Mungu akubariki uwe zaidi na zaidi

  • @HD-gm4jg
    @HD-gm4jg Před rokem +1

    Upo vzr Sanaa kijana.. Hongera

  • @gracesilayo7670
    @gracesilayo7670 Před rokem +5

    Hongera mwaya mdogo wangu

  • @fredymwakikono1575
    @fredymwakikono1575 Před rokem +20

    Dogo nimemuelewa sana, na iwe funzo kwa wizara ya elimu kwa ujumla, maswali kwa masomo yote yalenge kwenye uelewa zaidi kuliko kukariri, nchi kama china wanaelewa zaidi kwa sababu kila kitu kipo kwenye lugha yao tofauti na sisi unaanza kwa kukariri unakuja kupata concept umeshafika form four, kwa waliosoma masomo ya science watakubaliana na mm

    • @davidcurtis175
      @davidcurtis175 Před rokem

      Sio kukubaliana na wewe tu nakuunga mkono kwa asilimia zote, inakera sana siku zote huwa najiuliza hivi waziri wa elimu anafanya nini na kazi yake ni gani? Na ndio maama tunawakufunzi wengi sana mitaani hawana kazi na bado wanaishi kwa kukariri that ukisoma sana utapata kazi nzuri navutalipwa mamilioni ya pesa, wakati wanaosa vizuri wanajua tunasoma sababu tunapaswa kuwa na uelewa mkubwa kwendacsawa na wakati, nsio maana kwa wenzetu unakuta mtu ana masters lakini anafanya kazi ya kawaida sana tena hata supermarket’s ukibahatika kuwajua ukiuliza majibu yao utasikia siamini sana kwenye kuajiriwa so nipo hapa kwa muda kidogo nipate kianzio tu then nijiari, kwetu mru anasoma mpaka ana phd bado anazeeka kwenye ajira.

    • @josephmeshack3147
      @josephmeshack3147 Před rokem

      Maswali yanatoka kuaccomodate jamii nzima..huyo ni mtoto wa kishua huko vijijini hawana izo access,kuna vitu vya kurekebisha ila si kwa level ya dizaini ya huyu mtoto wakishua asiyeweza hata kuongea kiswahili vizuri.

  • @geeva99
    @geeva99 Před rokem +1

    Huyu ange dedicate mind yake kwenye kusolve mikeka odds 7000+ ingekuwa dili sana

  • @Truly_Afrikan
    @Truly_Afrikan Před rokem +25

    Mrudie interview by giving him a chance to explain him self in English,he is struggling

    • @alvinchristi7361
      @alvinchristi7361 Před rokem +2

      Exactly

    • @josephmeshack3147
      @josephmeshack3147 Před rokem

      Wamfunze na kiingereza this is his country sio sisi tumfate kwenye kiingereza.Anaweza akatamani kuwa kiongoz hapa home siku hawezi kueleweka akiongea hivyo

  • @jehovajonas9284
    @jehovajonas9284 Před rokem +18

    Tubadilike watz
    Tupendane
    Tusifiane kwa mazuri pia
    Leo mtoto wa mwenzako Kesho wako
    Tuache maneno kuntu

    • @pendokissatu937
      @pendokissatu937 Před rokem +1

      Kabisaaaa

    • @ameria2332
      @ameria2332 Před rokem +1

      Hakika na wivu uishe kbs.

    • @jehovajonas9284
      @jehovajonas9284 Před rokem +2

      @@ameria2332 kabisa unapofurahia mafanikio ya mwenzako Mungu naye anakubariki

    • @ameria2332
      @ameria2332 Před rokem +2

      @@jehovajonas9284 hudanyanyi ndg, baraka ndo zinatoka hapo kubarikiwa sio tu mpaka umsaidie mtu hata mawazo na maneno juu yake MUNGU uyatendea kazi.

    • @ameria2332
      @ameria2332 Před rokem +2

      Ila yawe mazuri sio mabaya.

  • @jamillahkheir6536
    @jamillahkheir6536 Před rokem +20

    Anakuja kuishia kwenye u professor Tu kwa mchi yetu hii,mungu tu amuongoze mtt mzuri❤️🙏

    • @jaspertheonest
      @jaspertheonest Před rokem +2

      kuwa proffesor kuna ubaya gani ?

    • @hijazhija316
      @hijazhija316 Před rokem

      Unataka kusemaje

    • @gibsonjosephat6352
      @gibsonjosephat6352 Před rokem

      Kwa Tanzania wenye uwezo wa hivyo hawapati maisha mazuri wote wameenda kwenye Siasa.

    • @ammaherman3391
      @ammaherman3391 Před rokem

      @@jaspertheonest hakuna ubaya ila kuwa professor Tanzania ataishia kuwa lecturer tu na sio mvumbuzi. so atabaki kapuku akiwa TZ

    • @mohani7390
      @mohani7390 Před rokem

      We hauoni professor ni cheo kikubwa hiko.

  • @tukuswigaikasu5227
    @tukuswigaikasu5227 Před rokem +2

    He is a smart boy!

  • @MagrethKessy-fj1ul
    @MagrethKessy-fj1ul Před rokem +8

    Naripot kutoka Marangu Masiah nimejitolea kupitisha hii clip nyumba kwa nyumba mtaa kwa mtaa mpaka kieleweke nimefurahi hadi nalia Mosha's

  • @naslee1010
    @naslee1010 Před rokem +3

    Hongera sana mdogo wangu

  • @roseamos2812
    @roseamos2812 Před rokem +5

    Congratulation

  • @methodiutou7278
    @methodiutou7278 Před rokem +11

    Hongera mdogo wangu ! Mm nilipata mswaki Fm4 ! Uko vizuriii

    • @ameria2332
      @ameria2332 Před rokem +1

      😂😂😂😂😂pole mwenzangu na mimi, kumbe tupo wengi sio mi peke yangu.

    • @zephaniamwangu9857
      @zephaniamwangu9857 Před rokem +1

      Hata mimi dadeki, nilipata 1/100😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @hijazhija316
      @hijazhija316 Před rokem +1

      Oya kausha

    • @ameria2332
      @ameria2332 Před rokem

      @@zephaniamwangu9857 we upo juu sana mbona

    • @obadiamshana2518
      @obadiamshana2518 Před rokem

      Pole sana unapata F hesabu

  • @gabrielsango8745
    @gabrielsango8745 Před rokem

    Hongera sana kwake...❤

  • @emanuelleopod3949
    @emanuelleopod3949 Před rokem +1

    Hongera ❤❤

  • @emmanuelnkukura6736
    @emmanuelnkukura6736 Před rokem +4

    Mungu hakupi vyote anakupa hesabu anapunguza kidogo Kiswahili😂😂😂

  • @godfreysanga633
    @godfreysanga633 Před rokem +3

    Big brain boy

  • @jasmineseph2907
    @jasmineseph2907 Před rokem +1

    Allah akifanyiwa wepc.n.usadea.n wengine

  • @easternyerembe7271
    @easternyerembe7271 Před rokem

    Hongera Sana Magessa, mdg wangu

  • @zainabhaidarymsangi3160
    @zainabhaidarymsangi3160 Před rokem +2

    hongera sana kijana wetu tunajivunia wewe na hongera kwa wazazi wako wanaokupigania ukamilishe ndoto zako

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema Před rokem +17

    Hongera sana. Wazazi wapeni watoto wenu Samaki, Maziwa, Mbogamboga na Mayai lazima wawe na Akili sana. Big Up Mwamba wa Hesabu. Chuo Kikuu Namba 1 Duniani cha Havard kinakusubiria japo nakushauri ukasome China au Urusi uje usaidie Tanzania ya Viwanda. Tanzania Imara Kazi Njema Iendelee🇹🇿🇹🇿

    • @jaspertheonest
      @jaspertheonest Před rokem +2

      china tena dah hapana aendi dunia ya kwanza kwa magenius

    • @Hillary_Daudi_Mrema
      @Hillary_Daudi_Mrema Před rokem +1

      @@jaspertheonest China ndiyo inaongoza kwa Viwanda, ikifuatiwa na Ujerumani na Japan. Unajua Muungano wa BRICS Brazil, Russia, India, China and South Africa. Marekani Dollar inaenda kupotea sababu ilikuwa inatumika kama Pesa ya Fuel yaani Mafuta ya Petrol and Diesel ila sasa Saudia Arabia hatumii Dollar tena.

    • @mcback4384
      @mcback4384 Před rokem

      Marekani wakimuona tayari watamchukua, watampa kila kitu atakacho halafu ndio imeisha hiyo

    • @rithadonatus8110
      @rithadonatus8110 Před rokem

      Nenda ukasome urusi ...

    • @stellamsangi4281
      @stellamsangi4281 Před rokem

      Aise umeongea jambo muhimu lishe ni muhimu mnoo.

  • @jonasnyanga8167
    @jonasnyanga8167 Před rokem +18

    Kiswahili chenyewe shida tuu huyo sio mwenzetu sisi wa st. Kayumba tulieee tu 😢

  • @Kizanda_84
    @Kizanda_84 Před rokem +2

    Congratulations

  • @mercyswai2746
    @mercyswai2746 Před rokem +4

    Wahooo hongera sana Haika kwa kuzaa champion 🙏

  • @stephanopeter373
    @stephanopeter373 Před rokem +5

    Mtoto akiwa vizuri darasani, mtaani ni mtaani hajui chochote, wazazi tijitahidi kuwalea watoto balancing life

    • @wilsong520
      @wilsong520 Před rokem

      Tatzo hatujui watoto wetu wana taka nn,wazazi wengi wana force wanayo taka wao sio kufata uwezo wa mtoto,
      Ndomana hata ngazi za uongozi Tz mtu kasoma kilimo anaenda kuwa kwenye ujenzi huwezi fanikiwa

    • @josamjoel2079
      @josamjoel2079 Před rokem

      Ishu ni Mungu atusaidie tupate hela watoto wetu wasome pazuri hivi unafikiri mtoto Kama huyu atakuja kupata tabu mtaani????

    • @jacobmwaseba9142
      @jacobmwaseba9142 Před rokem

      wanashindwa watoto wa masikini uyo mtaani huwezi kuja kuonana nae , ww umuini tu unazani anapanda bodaboda huyo

    • @zuhurasaidi9521
      @zuhurasaidi9521 Před rokem

      Aliekwambia atakuja mtaani ni nani,,,,,😂😂😂 he has life already from his parents....labda aje kukutana na pear pressure huko juu ya kwenda kidimbwi sio hivo unavofikiria

  • @deogratiusjacob5658
    @deogratiusjacob5658 Před rokem +1

    Hongera saaan

  • @godfreysanga633
    @godfreysanga633 Před rokem +3

    Genius sana aisee phares family is blessed

    • @harisphares4568
      @harisphares4568 Před rokem

      Ahsante sana

    • @victorphilibert1629
      @victorphilibert1629 Před rokem

      ​@@harisphares4568😅😅😅 dogo upo ongera mdogo wangu uko very smart keep it up focus on your vision God is our your side pray hard study hard

  • @abdallahkambangwa7215

    Hongera sana

  • @derickrweyemam
    @derickrweyemam Před 4 měsíci

    Ningependa nimuone alafu nimpe swali langu la calculation moja tu...... Alf kingine kasoma shule zenye mitahara lain mzee so sio gineous... Ila hongera yk

  • @adamamin6987
    @adamamin6987 Před rokem +25

    amalize shule aje mtaani.. huku ndo kunahesabu za ukweli ukweli... 😃, by the way good job for the moment..

    • @humphreypeter5641
      @humphreypeter5641 Před rokem +2

      Dogo wakishua hatoona mtaa mgumu

    • @mcback4384
      @mcback4384 Před rokem +1

      Huyo hata afeli maisha mtaani humuoni

    • @petrolconrad4250
      @petrolconrad4250 Před rokem

      Time will tell, maisha bado mteremko kwa sasa

    • @mcback4384
      @mcback4384 Před rokem +1

      @@petrolconrad4250 kwamba unasubiri muda ufike afeli maisha arudi mtaani? Mbona ninyi kama mashetani? Hahaha

    • @petrolconrad4250
      @petrolconrad4250 Před rokem +2

      @@mcback4384 😂😂😂hamna kaka, mfumo wetu wa maisha hauna formula sisi wakubwa tunajua....waliofeli wakija mtaani wanang'aa na waliofaulu wakija mtaani ku'organize maisha ni utata

  • @linluxe101
    @linluxe101 Před rokem

    Smart🎉

  • @victorcephas3618
    @victorcephas3618 Před rokem +1

    Mfumo wa elimu Tz ni shida sana na bahat mbaya waliopewa dhamana kuongoza wizara Kila ajaye ana mfumo wake na maelekezo meeeeeengi thus why watoto wao wanasoma abroad

  • @rhodamgimwa356
    @rhodamgimwa356 Před rokem +5

    Hongera an mdogo wetu!!! Napenda pia mtoto wangu akasome Cambridge,, tatizo Ni mtonyo.

  • @revilsonsariah307
    @revilsonsariah307 Před rokem

    Good competition and good attempt

  • @salmamlokela1987
    @salmamlokela1987 Před rokem +2

    Mmmh ok hesabu ukiipenda nayo itakupenda ukiichukia nayo inakuchukia mara 100.

  • @thedeepgamerdenny5364

    Mwenyezi amuepushe na warogi maana vitaa wanazidisha mahesabu......

  • @ndrwdotts4347
    @ndrwdotts4347 Před rokem +2

    Mitihani ya necta ni mirahisi 😮😮😮😮😮😮😮 mimi nafkiria grade zangu🙉

  • @ZBOYTZ
    @ZBOYTZ Před rokem +1

    Nice

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 Před rokem +1

    Na lugha ni ya kiingereza ni tatizo sana kwa watoto wengi

  • @bonifacesamwel4365
    @bonifacesamwel4365 Před rokem

    Kijana smart sana

  • @AdilMedir
    @AdilMedir Před 3 měsíci

  • @neemamayila3096
    @neemamayila3096 Před rokem

    ❤❤

  • @MaaneML
    @MaaneML Před rokem

    Hivi waandishi wetu Kingeli vipi? Huyu angejieleza vizuri sana kwa kimombo. Naomba mwandishi nguli wa lugha ya malkia arudie hii interview kwa Kiingereza.

  • @kanaelikanuya7919
    @kanaelikanuya7919 Před rokem +1

    Hongera kijana lakini jifunze kiswahili ni muhimu kwako,

  • @jhoanpinto9648
    @jhoanpinto9648 Před rokem

    Safi Sana kijana, Ila mbona kiswahili kinakupa shida sana ??

  • @godwillkilangi9299
    @godwillkilangi9299 Před rokem

    Naomba kwa mungu wanangu wawe ma genius kama dogo janja

  • @edgarelikana7204
    @edgarelikana7204 Před rokem +3

    Nyie mm 4m1 to 4m2 nilikuwa nafika 30% hadi 40% 4m3 to 4m4 Shangazi kaniloga sikuwahi pata zaid ya 20 😁😁 kifupi nina F Tujuanee 😁😁 Mleteni Hapa HGL hachomoi kila mtu na chake bhna🙌🏻🙌🏻

  • @salmasultan3882
    @salmasultan3882 Před rokem

    Dogo ni Fala 2 anashindwa kuzungumza kiswahili kilicho nyooka analeta mashauzi
    Kuna wahindi ambao wanazungumza kizungu na lugha ya nyumbani vzur sana huyo dogo ni mashauzi

  • @jamesnyarubandwa1500
    @jamesnyarubandwa1500 Před rokem +1

    Huyu sio mwenzetu hivyo anahaki kabsa ya kusema hayo,hebu tumpate aliyetoka KALIUA SEC au st.kayumba yoyote ashindanishwe na wegne af aje anasema kuwa mitihani ya NECTA ya hesabuni ni miepesi hakika uyo nitamkubali

  • @f.a6043
    @f.a6043 Před rokem

    🤝🏽🤝🏽🤝🏽👏🏽👏🏽👏🏽💪🏽💪🏽💪🏽

  • @rukiauwonde7062
    @rukiauwonde7062 Před rokem +1

    Kiswahili kinagoma goma sana 😅hongera dogo

  • @benancejohn1198
    @benancejohn1198 Před rokem

    Huyu dogo sio mhaya kweli 🤔
    Ila pongezi sana kwake

  • @leemartin1419
    @leemartin1419 Před rokem +1

    Dogo anajua sana Kuna Siri alio ijua tunachojifunza nitofaut sana nakile wanachojifunza wao sijui kama mmemwelewa?

  • @agnesschaote5583
    @agnesschaote5583 Před rokem +1

    Mjuaji anasema shule za kayumba mbadilishe ufundishaji watoto wanakalili kuliko kuerewa ufundishaji wenu tofauti na shure zingine kilicho msaidia kusoma online seem mbali mbali yu tubu

  • @lazaroleonard3630
    @lazaroleonard3630 Před rokem

    Ety nimesikia yeye necta kwake ni rahisi, mmmmh lakin ni sawaa tuuh tunatofautiana alafu maths

  • @rosemery5751
    @rosemery5751 Před rokem

    🙏🙏🙏🙏🙏

  • @nawechi4818
    @nawechi4818 Před rokem +6

    FEZA OYEEEEEEEEEEEEE👌👌

  • @omarylukindo5306
    @omarylukindo5306 Před rokem +3

    Ndiomaana wameficha matokeo ya mitihani Kwa kutotaja shule zilizofanya vizuri,, international school's wako juu hata tusipotaja shule zinazoongoza Bado watafanya vizuri 2.

    • @fabiano7887
      @fabiano7887 Před rokem +2

      Huyu kasoma feza boys Internationals school wazazi wake wako vizuri.

    • @ameria2332
      @ameria2332 Před rokem +1

      Hata wasipotaja wako sahihi ,make Tz yetu imebadilika mno ina wivu.

  • @mohdmohd8428
    @mohdmohd8428 Před rokem +2

    Necta rahic we mtoto weee 🙂

    • @jigga2554
      @jigga2554 Před rokem

      😂😂😂😂😂😂😂kunan

  • @Roym97
    @Roym97 Před rokem

    Nakubali wadau kama hawa japokuwa nimekuwa kilaza

  • @mathtech_ik
    @mathtech_ik Před rokem +2

    Hatuna tuu uwezo wa kifedha lakini watoto wapo wengi wenye uwezo

    • @benlangson2686
      @benlangson2686 Před rokem

      Exposure pia sio tu uwezo wa kifedha maana full scholarship zipo

  • @miltonmachage2462
    @miltonmachage2462 Před rokem +6

    Jaman kuna mwanangu yupo vzr kwenye civics na kiswahili kama ikitokea mtuambiee

    • @rockyvlogs2214
      @rockyvlogs2214 Před rokem +1

      😂😂

    • @jrsaid4270
      @jrsaid4270 Před rokem +1

      Huyo ajiandae kuwa balozi wa mtaa,au fundi viatu

    • @Soon815
      @Soon815 Před 7 měsíci

      Kongole👏👏👏

    • @Soon815
      @Soon815 Před 7 měsíci

      @@jrsaid4270 Huyu wa civics ni mwanasiasa tambua hilo!! Huyo ni waziri etc usishangae anakuja kupelekesha hao maTO ambao watakuwa madaktar etc

    • @jrsaid4270
      @jrsaid4270 Před 7 měsíci

      @@Soon815 Aaha kumbe kwenye hii Siasa ya Leo ya Tanzania ambayo tayari walioshika Nchi wameshaanza kuingiza watoto wao kwenye Siasa huyu wa civics na kiswahili labda kama baba au mama yake au Kuna ndugu yake ni mwanasiasa ndio anaweza kuwa otherwise sijui

  • @nwntz
    @nwntz Před rokem +2

    nekta mirahisi sana ...ahhahaa

  • @chrissg4026
    @chrissg4026 Před rokem +5

    Uyu inaonekana wanamtenga sana hasa na jamii inayoongea Kiswahili! Ajichanganye na wenzake wanaoongea Kiswahili aelewe Lugha ya Kiswahili sasa! Ni muhimu pia!

    • @josephmeshack3147
      @josephmeshack3147 Před rokem

      That's bad surely..!Anatatizika sana na lugha mama yake na anasoma Tanzania nyumbani.Atakuwa alienated

  • @swalhamalos6570
    @swalhamalos6570 Před rokem

    Hahaah sheikh unastack san 😂

  • @Jonnibo
    @Jonnibo Před rokem

    nikupe swali😎

  • @rpynoel566
    @rpynoel566 Před rokem

    Huyu aende India huko ndo Kuna ma genius na mabingwa wa hesabu Kwa haraka

  • @ninahmbonea6248
    @ninahmbonea6248 Před rokem

    Mbona kiswahili kwake ni kigumu?

  • @hazaaahmadhazaa2770
    @hazaaahmadhazaa2770 Před rokem

    1:33 hapo amechanganya channel ya youtube ya hisabati inaitwa MindYourDecisions

  • @brightontheogenes5093
    @brightontheogenes5093 Před rokem +3

    vip Bakari Nondo Mwanyeto ajashinda

  • @emmanuelmakaya7604
    @emmanuelmakaya7604 Před rokem

    Eti NECTA kwako kitonga sana..😁😅🙌

  • @PeterNMzee
    @PeterNMzee Před rokem +6

    Ila usiige tabia za kizungu

    • @fredymwakikono1575
      @fredymwakikono1575 Před rokem

      Sio kuiga tabia za kizungu kasoma Cambridge system uwe na uelewa, na point kubwa amesema mfumo wetu ni wa kukalili zaidi wakati system nyingine ni za kupima uelewa zaidi, kitu ambacho ni kizuri sana, hesabu zinatakiwa uelewa zaidi

    • @khabibahussein7239
      @khabibahussein7239 Před rokem

      Jmn

  • @MD-sz5ti
    @MD-sz5ti Před rokem

    uyu dogo anafanana sana mchomvu adam

  • @joelkipilipili7976
    @joelkipilipili7976 Před 10 měsíci

    🇹🇿💯🔥🙏

  • @cleartzboy
    @cleartzboy Před rokem

    Uyu mtoto nlichogundua kiswahil pia kinamsumbua

  • @deogratiusjacob5658
    @deogratiusjacob5658 Před rokem +1

    Necta wamekusikia aisee umewachongea wenzio daaah wakina chumanchukunkazi wanayo

  • @givenmalatu4146
    @givenmalatu4146 Před rokem

    Kwanza.dgo kiswahili kinamsumbua so mtihani mgumu kwake ni kiswahili

  • @mariamezialor8911
    @mariamezialor8911 Před rokem

    Hondera sana kijana kwa kutumia CZcams kutafuta mbinu na njia ya kujisomea mwenyewe kuzidisha uelewa. Hio ndio kutumia simu jana kwa elimu ambayo ni manfaa katika maisha yako. Ushauri bora jitahidi kuboresha luggage yako ya Taifa. Jiepushe kutumia *ga* nasomaga, naonaga, nakwendaga, nakaagaa. Hiyo ga inatumika passport kuwepo. Wazo langu kwako. Boresha lugha yako nayo ujivunie...

  • @dannysengata2298
    @dannysengata2298 Před rokem +3

    Mimi naona private school ndio zitanufaika especially international

  • @Eddo-es7zs
    @Eddo-es7zs Před rokem +1

    Hesabu mimi nilikuwa nakariri tu

  • @richardrobert9492
    @richardrobert9492 Před rokem +1

    na kiswahili yake ni ya marakani

  • @erickagwe8841
    @erickagwe8841 Před rokem +1

    Kwani hajui kiswahili vizuri?

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Před rokem +4

    Badaye mnawapelekaga wapi hao

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 Před rokem

    Kenya hawana kotu kichwani wasiwahadaa na kujidai wanajua english.hapa canada tunawakenya wengi wana feli nclex wanaishia kuolewa na vibabu vya kizungu na wanaijeria wenye pesa afu wanateseka kwenye ndoa na wanaijeria ila wamebanana

  • @richq8678
    @richq8678 Před rokem

    Hiyo sio mbongo bana acheni izoo