KIJANA wa MBEYA ALIYEJIREKODI AKICHOMA MOTO PICHA ya RAIS SAMIA - RC HOMERA AAGIZWA ASAKWE...
Vložit
- čas přidán 1. 07. 2024
- KIJANA wa MBEYA ALIYEJIREKODI AKICHOMA MOTO PICHA ya RAIS SAMIA - RC HOMERA AAGIZWA ASAKWE...
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Cde: Juma Z. Homera amemuagiza Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya SACP Benjamini Kuzaga kumsaka na kumkamata Kijana anayepatikana Ntokela Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe Mkoani Mbeya Kwa Kosa la Kumkashifu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Maneno Makali na Kisha kuichoma moto Picha inayomuonyesha Mh:Rais.
RC Homera amelaani vikali Kitendo hicho kuwa si Cha Maadili Wala Uungwana na Kiko tofauti na Utamaduni halisi wa Wananchi Mkoani Mbeya.
Hata hivyo ametoa Masaa 24 kwa Kamanda Kuzaga Kumkamata Kijana huyo ili alisaidie Jeshi la Polisi juu ya tuhuma hizo na Mashambulizi hayo ambayo kayaelekeza Moja kwa Moja kwa Mh: Rais Dkt: Samia Suluhu Hassan.
Mwisho RC Homera amewasihi Wananchi Mkoani Mbeya kutojiingiza kwenye Vitendo viovu kwa Kukashifu Viongozi Makusudi badala yake wajikite katika Utafutaji na Uchapa Kazi kwa Manufaa ya Familia zao na Tanzania kwa Ujumla.
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Viongozi wote msidharau hili kuna upumbavu mwingi sana wa wasiopenda maendeleo ya nchi yao naomba asakwe hatutaki Rais wetu adhalilishwe!
Wachangiaji humu acheni kuandika eti mama anapingwa kwa dini kwan magufuli kipindi anasumbuana na kina lisu hawakuwa wakatoliki wote.. Acheni kuligawa taifa kwa fikra dhaifu ya dini
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Bangi nimbaya haki ya mama ipatikane
Kipindi cha magufuli yalitokea tu kuna watu walihoji udactar wa magu wakapotezwa
Bangi mbichi hizo kama sukuma ndani shenzi sana
Shida yake ni nini? Sijaiona kosa hapo
Huyu mkuu wamkoa ndooo akamatwee kwanza anaongereaje😂😂😂😂china...siindioyareyare mahujumu uchumiii
Hongera Mkuu wa mkoa kwa kujenga mbeya yetu kihasi hiki mpaka naona wazunguuu😁😁
Akamate na Sheria ichukue mkondo wake pumbavu huyo
Asante mkuu wa mkoa nakuunga mkono na naamini jeshi la polisi watamkamata chapu kwa haraka mpuuzi huyu mungu gani anaekutuma kuwakashifu waja wake huyo sio mungu bali ukishafika polisi utaeleza uzuri nani aliekutuma
kuchoma picha ya Rais sio kosa ni sehemu ya freedom of expression na katiba inaruhusu RC Homera anajitafutia umaarufu na kulinda kibarua chake hakuna lingine.
kuchoma picha ya Rais sio kosa ni sehemu ya freedom of expression dunia nzima inafanyika na katiba ya Tanzania ibara ya 18 inaruhusu RC Homera anajitafutia umaarufu na kulinda kibarua chake hakuna lingine.
Ww sasa umeongea
Akamatwe ang'olewe meno yote mpuuzi huyo anataka atuimgize kwenye machafuko
Dogo Katag location 😅😅😅
ANAYETOA MAAGIZO MWENYE YUPO CHINA HUKO .... NCHI YATIMA HII MPAKA MKUU WA MKOA NI MZURULAJI .... WAKUTEULIWA AWA KIONGOZI NI MAKONDA TU
Atafutwe huyu nidhamu mbovu, hii nchi sio kama ile
Heshimuni mama wa wenzenu kama mnavotaka waheshimiwe mama zenu.
Si sifa iyo, unajiona ndo mwamba, ushamba tu unakusumbua.
Na km mmedhamiria kutuletea fujo ktk Tz yetu, ALLAH akudhoofisheni, akunyong'onyisheni, akupeperusheni mbali uko
Unapataje nguvu ya kuchoma picha ya Raisi
Kwani kuchoma picha ya rais ni kosa, watu wanachoma bendera ya nchi sembuse picha ya mtu ?
Huyu dogo hajielewi
Kwa huku kwetu Ni matusi eti kuchoma picha ya kiongozi,lakini Ni uhuru wa kutoa maoni kwamba hapendezwi na serikali jins inavyoendesha nchi,sion kama Ni kesi yeye amechoma picha kupeleka ujumbe kuwa hapendezwi na mambo fulan,tumeona nchi mbali mbali wakiandamana na wananchi kuchoma bendera za nchi na picha za viongozi lakin sioni tatizo lolote hapo
Saingine sio Kila kitu kinachukuliwa ni kashfa huenda anaujumbe ambao aneona viongoz wa karibu hawamsaidii ko stress zimempelekea kufanya hivyo ...msikilizeni kwanza maana huenda mama yupo vizuri ila viongozi wa chini mnamwangusha mama mpaka haya yanajitokeza. ..
First 1 to comment nipeni likes zang
Sijaona inch ya kukosa haki kwa wanainch wake kama wa Tanzania
Kwan yey mungu
Jamani hata wanao fanya uharifu muwasake kama yule kijana Sativa wasakwe hyo mambo madogo
Kumbe mbeya ni kama MAREKANI imepita Hadi dar es salaam mazingira km MAREKANI au Dubai au Shanghai
Analana huyu rais yupo tu
Huyu atakuwa na ugonjwa wa Afya ya AKILI🤯 Binafsi atafutwe Atibiwe🥺
Huyu jamaa chizi sana ngoja ukamatwe ukaone
Kwa ufaham wangu nadhani hapo alidhihirish kwamb kun vitu vimemchosha na piah mbon sisi picha tuition haina umuhmu tunaichom kwan hapo kosa ni lip ?nimeuliz tyu
Huyo ni chizi ndio mana kila kijana anaye suka ras huwa simwamini.
Mbona wanamkashifu MUNGU hamuwakamati lakini pia kumbukeni kua tunaongozwa na Rais wa katiba sio wa kuchaguliwa na wananchi watanzania ni wavumilivu heshimuni hisia za watu na kuwapa elimu
Gen Z 🇹🇿🇹🇿
Kwani kua china ndo Hana maamuzi ya kukemea vitendo vibaya kwenye mkoa wake? Mkuu wa mkoa chapa kazi Tanzania nihuru ila so kwa alichokifanya huyo kijana atajuta
Kampimeni akiri kwanza mkikuta ni chizi mwacheni,mkikuta ni mzima pigeni risas za kichwa
Jamaa yukosawatu mbona mambomadogohiso 😂😂😂
Wala huyu jamaa siyo wa mbeya wala hawatampata imeisha hiyo
Mbeye siku hiz wameanza kulima Bangi kumbe
😮😮😮
Mumeacha kuwasaka walarushwa na mafisadi yalioiba nakuchukuwa hela za umma kupitia ripoti ya CAG mnashuhulika na kijana ambae katoa maoni yke ??
Muache ndugu yetu
Mpimeni akili zake huyo, naona km ni punguani kidogo, au anavuta tumbaku zao, mtu mwenye akili timamu hauwezi kufanya ujinga huo badala ya kufanya kz ulee gamilia yako, km hauna fanya kz lea wazazi wako, ukiwa na majukimu huo ujinga hauwezi hata siku.
Harafu unaagiza kukamatwa kwenye mitandaoni si atatonywa atoroke baadala ya kumtafuta kimya kimya uropoka nan umkute
Wanapenda kufatilia. Vitu. Ambavyo sio vya maan. Badala muwaze. Jinc. Ya kuwasaidia. Wananchi
Safi sana kijana umeonesha ushujaa wengi tupo nawe choma na huyu mkuu wa mkoa mandazi huyu
Kwanini waliotekwa hamtoki hadharani kusema kuueleza umma kwamba mmepata waliotekwa nyau ninyi
Ushujaa Upumbavu Wacha apate anayo stahili...alafu Sisi watanzania hatuna tabia za hivyo kama hizi
Mkuu wa mkoa Acha Uchawa
RC kweli wewe ni mpumbavu mno..unataka kila mmoja amsifie huyu rais mzembe
Kumsifia sio Shda Ila Shda nikuchoma picha ya mtu teena kiongoz mbele za Watu. Huon kama ni Dharau?
Wacheni ujinga huo hayo yote ni shida ya maisha Tz hakuna maendeleo haina aja hutumia selikali kwa mtu mmoja 😂😂😂
Kweli watotoo huchezea maziwa ya mama zetu tu sio mbupu za baba.😅😅😅
Ni uhuru wa maoni ,kama kijana ameona mama hafai,mama rais hawezi kumlazimisha kijana.
Halafu hata akikamatwa na polisi ni mahakama gani itamhukumu😂
Asakwe hsraka Pengine kuna watu nyuma yake hayo mashina ya mbegu mbaya sana kwa nchi yetu.
Acha ujinga, picha tu, kwani katukana?
Watanzania bwana sasa kosa lake nini 😂 kuchoma picha ndio hatia sasa sisi wakenya mbona mpaka bango tumechoma n ikilu wakafika 😂😂ila musituinge sisi tumemchoka ruto juu ya maisha ya ushuru kila leo
Mkuu wa mkoa unatoaje amri akamatwe wakat ww uko nje ya nchi yako ww ndo ukamatwe
Mh
Ya msingi hamfanyi pumbafu kabisa
We mkuu wa mkoa na samia wako nyote hamfai hata kidogo. Mnazurura kama kuku. Muda huu ulitakiwa uwe ofisini. Wwe ndo ulitakiwa ukamatwe na utoe majibu kwanini haupo ofisini.
Ndio na mimi nilijiuliza huyu kijana anajiamini nini
Angekuwa anajiamini angeifanya kazi hiyo mbele ya kituo cha polisi.
@@user-kw3yb2sh3s kwa maisha ya sasa hivi jali mambo yako tu huko kwingine waachie wenye nguvu tu wewe pambana na familia yako
Sasa wewe mkuu wa unafanya nini uko china muda huu?..yote aya yanafanyika kwa sababu yenu nyinyi viongozi wazembe ambao mupo madarakani kwa maslahi yenu binafsi
Picha tu ndio dhambi? Hajatukana wala kukashifu, je ni kosa mtu kuonesha kuwa hakupendi? Mbona viongozi hupigwa na mayai viza, na wapinzani hawaadhibiwi? Bush wa USA alirushiwa kiatu kikamkosa, mpinzani wake hakuadhibiwa. Kwa nini picha tu? Acha kujikomba, wakati SSH hana shida na hilo. Muulizeni yeye kwa hilo, atawacheka nyie. Kijana amewasilisha hisia zake kwa njia hiyo, mwacheni.
Wewe mkuu wa mkoa wewe ni kibaraka wa mama abdul
Acha ujinga wewe watu wame choka na upumbavu wa viongozi.
waliopo pamoja na kijana mchoma picha gonga like tuwaaaahi
Safi sana kijana na sio muda na mm nachoma subirini tu hakuna linachofanya hilo Mama lenu
mimi nashauri Serekali mdili na shida za wananchi maji umeme na barabara. Mungu amewahi kudhihakiwa. Yesu Kristo ameteswa na wanadam na Mtume Mohamad Katukanwa. sisi ni wanadam tu. tuachana na mambo yasiyo na threat kwa usalama wa taifa. tunaonekana ni vituko tu
Rais wetu hana shida kwa hili, ila hawa machawa ndio shida. Deal na shida za watu, achana na kuchomwa picha. Picha sio SSH, lile ni karatasi tu.
Makato ya umeme yamezidi kila ukinunua wanakata siyo kila mtanzania anaweza kununua umeme wa mwezi mzima mtupumzishe 10000 unapata unit19 makato alfu3 au ni mm tu nalipia umeme wa viwanda kwenye chumba cha kupanga😏😏
Naona watu wanaompiga mama zaidi ni kutoka Mbeya jee hii itakua ni nini maana yake dini?
Acha kuwaza mambo ya dini rais yoyote hawez achwa kina tramp wanapigwa ndo kusema wanaowapinga kule marekani ni waislam
Huko Mbeya wengi wameshikiwa akili na wachaga. Vijana wao wanatumiwa kufanya harakati alaf likitokea la kutokea wazazi wao ndio wanahangaika kwenda na kurudi mahakamani, huku waliowatuma wakiendelea kula bata na familia zao huko Moshi, Arusha na Dar es salaam.
@@user-kw3yb2sh3s Na kweli maana hii si kawaida
@@PrinceHendry-hp8vv mbona isitoke wakati wa Magufuli
@@halimamasai2234 best kipindi cha magufuli samia hakua rais sasa hivi atakutana na uozo wote coz ndo kiongoz mkuu hata wewe Leo ukipewa urais kwa mara ya kwanza utaskia masai gan mwislam
Watu wanajifanya majasil alafu wakikamatwa wanaomba msamaha..hata kenya wamejifanya kuandamana alafu baadhi yao waliokamatwa wanalia kuomba msamaha..uckubal kutolewa chambo maana sheria ilishika mkondo wake waliokutuma hawawez kuja kukutetea
Vijana wamevurugwa 😂